Ukitaka kujua kwamba kila binaadam ana thamani na ana haki ya kuishi ukiua huta kaa salama ni lazima ulipe damu ya mtu haiendi bure haki lazima itendeke
Mungu nimkubwa,napolice hongereni kwahilo,huyo mmoja nimwanamke,hivi hakuwa hta nauchungu wakuzaa jmn.Kweli binadamu tumemjua shetani siomungu.Tunaomba kuona sura zao.Leo maisha yao ynaishia jela yte tamaa ya pesa tu.Kma walipewa kai hyo bass naboss alijulikane.Kukatisha uhai wamtu sio sheria kbisa.Ww ninani unaekatili huai wamtu ,kwani ww utaishi milele.Tuache hya mambo yachuki chuki zamaisha,kufatiliana kwachuki tu.
Police mnakitu mtafika mbali❤❤❤
Sasa hao wa miaka 54 na uzee huo wanaua yani mtu unamlizia uzee wakoo kifungoni
Pengine sasa tutajua sababu za kumuua mpendwa wetu
Ukitaka kujua kwamba kila binaadam ana thamani na ana haki ya kuishi ukiua huta kaa salama ni lazima ulipe damu ya mtu haiendi bure haki lazima itendeke
Wanyongwe mama wakikubwa unaandaa ma uwaji nahuyo bint tamaa za pesa za watu
Kazi nzuri imefanyika na wamekamatwa na watahukumiwa kunyongwa na mjifunze Watanzania wote wana haki ya kuishi
Wananyongewa wapi? Tanzania 😂?!
@@njuka3515 🤣🤣
Mungu nimkubwa,napolice hongereni kwahilo,huyo mmoja nimwanamke,hivi hakuwa hta nauchungu wakuzaa jmn.Kweli binadamu tumemjua shetani siomungu.Tunaomba kuona sura zao.Leo maisha yao ynaishia jela yte tamaa ya pesa tu.Kma walipewa kai hyo bass naboss alijulikane.Kukatisha uhai wamtu sio sheria kbisa.Ww ninani unaekatili huai wamtu ,kwani ww utaishi milele.Tuache hya mambo yachuki chuki zamaisha,kufatiliana kwachuki tu.
Damu ya mtu haipotei bure
Majitu mazima ya roho za uuaji😳😳😏😏
Hongereni. Makamanda wetu kwa kazi nzuri
Haki ya Mungu ipo
MUNGU ni mwema
Mmmh jamani mtihani kweli
Daaaah