WATU SITA WAPANDISHWA KIZIMBANI GEITA, MAUAJI YA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA GGML.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 15

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Год назад +1

    Police mnakitu mtafika mbali❤❤❤

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 Год назад +2

    Sasa hao wa miaka 54 na uzee huo wanaua yani mtu unamlizia uzee wakoo kifungoni

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Год назад +1

    Pengine sasa tutajua sababu za kumuua mpendwa wetu

  • @RehemaMaluba
    @RehemaMaluba 5 месяцев назад

    Ukitaka kujua kwamba kila binaadam ana thamani na ana haki ya kuishi ukiua huta kaa salama ni lazima ulipe damu ya mtu haiendi bure haki lazima itendeke

  • @LinahLinahmgweno
    @LinahLinahmgweno 4 месяца назад

    Wanyongwe mama wakikubwa unaandaa ma uwaji nahuyo bint tamaa za pesa za watu

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад +4

    Kazi nzuri imefanyika na wamekamatwa na watahukumiwa kunyongwa na mjifunze Watanzania wote wana haki ya kuishi

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Год назад

    Mungu nimkubwa,napolice hongereni kwahilo,huyo mmoja nimwanamke,hivi hakuwa hta nauchungu wakuzaa jmn.Kweli binadamu tumemjua shetani siomungu.Tunaomba kuona sura zao.Leo maisha yao ynaishia jela yte tamaa ya pesa tu.Kma walipewa kai hyo bass naboss alijulikane.Kukatisha uhai wamtu sio sheria kbisa.Ww ninani unaekatili huai wamtu ,kwani ww utaishi milele.Tuache hya mambo yachuki chuki zamaisha,kufatiliana kwachuki tu.

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Год назад +3

    Damu ya mtu haipotei bure
    Majitu mazima ya roho za uuaji😳😳😏😏

  • @florachogo243
    @florachogo243 Год назад

    Hongereni. Makamanda wetu kwa kazi nzuri

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Год назад

    Haki ya Mungu ipo

  • @gervasjerry1694
    @gervasjerry1694 Год назад

    MUNGU ni mwema

  • @aishaanthony4508
    @aishaanthony4508 Год назад

    Mmmh jamani mtihani kweli

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Год назад

    Daaaah