Tazama watoto waliotikisa mioyo ya waumini katika tukio la kusimikwa Askofu Kyando jimboni Njombe.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 8

  • @kihomboerasto5145
    @kihomboerasto5145 9 месяцев назад +1

    Safi sana, huu ni mfano wa kuigwa kwa wazazi na walezi. Tuwalee watoto katika kumjua Mungu kwani dunia ya leo ina mambo mengi sana ya kuwapotezea mwelekeo wa maisha 🙏🙏

  • @InnocentManyasi-u4v
    @InnocentManyasi-u4v 9 месяцев назад +1

    Hakika Kila mzazi anatamani Kumuona Mwanae Anapitia Njia Ihii Inapendaza sana Mungu Awasimamie Daima katika makuzi yao ,Shetan Asiwanyakuwe

  • @veronicahnyamweya2855
    @veronicahnyamweya2855 9 месяцев назад +1

    Mfano mzuri kabisah hakika

  • @SarapiaMmanda
    @SarapiaMmanda 9 месяцев назад +1

    😢Waendelee kukua katika roho hiyo