EXCLUSIVE! SIMBA WAFUNGUKA 'LIVE' CHAMA KUTOSAINI MKATABA / KUIBUKIA YANGA? /VIONGOZI WAMFUNGIA KAZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 18

  • @BekaRDaffa
    @BekaRDaffa 3 месяца назад

    hapo hakuna wachambuzi pana wasengetu hasa huyo mau lidi kama shoga haipendi simba sana huyo mnafkitu

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 3 месяца назад +1

    Sijaona sababu ya Yanga, kumtaka Chama. Kiwango chake cha Kawaida

    • @chillogeorge1383
      @chillogeorge1383 3 месяца назад

      Kisasi huwa hakiangalii hasara. Unamkumbuka BM3? Wanaume hawajasahau...

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 3 месяца назад

    Chama pole. Unaruka hivi unakanyaga jivu.

  • @rosinamtauka9933
    @rosinamtauka9933 3 месяца назад

    mnalishwa matango pori na nyie mnakubali

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 3 месяца назад

    AFU YANGA NDIO WANAO MPA JEURI HUYU KIUMBE

  • @NoelaJohn-p5d
    @NoelaJohn-p5d 3 месяца назад

    Wamuach tyu jaman daah kwan simb bil cham atuwez jaman aend tyu jaman

  • @SIMONHERMAN-qv2ln
    @SIMONHERMAN-qv2ln 3 месяца назад

    Simba wamuache TU chama... Maana ameeasumbua mno kuliko kuwasaidia...
    Pia katika mistake Yanga wanayoweza kufanya ni kumchukua Chama... N bola wote wamuache 2

    • @ramadhanrobin-st6hh
      @ramadhanrobin-st6hh 3 месяца назад

      Kweli kak ata mm naona yanga tunamsajili kimihemko ko tunazngua kwa hilo mbn wachezaj wazur wapo yanga tumeanza kuzngua chama aondoke tu Tanzania

    • @MikidadyAbdu
      @MikidadyAbdu 3 месяца назад

      Kwa simba kwa saidoo ilikuwaje

  • @MagrethCostantine
    @MagrethCostantine 3 месяца назад

    Utopolo chukueni hiyo sijui anaitwa chama. Maana yeye anatufanyia kiburi wanalunyasi, mwacheni aende utopwax

  • @Muna-en4yq
    @Muna-en4yq 3 месяца назад

    Semaji la shirikisho

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 месяца назад

    Yanga ndio wanaosema cmba ina wachezaji wazee haya mbona wanawataka hao wazee sisi watu wa tanga tunamsemo wetu kuwa WACHIRONDA HUKU WACHIBEABEA

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад +1

      😂😂😂😂 mbona madunduka..... Mna mbwinya mbwinya,,,, suala hapa ni kuwa mnaweza kumbakisha au .... Kwakuwa mnambiwa Kuna wazee na nyingi mna😂😂😂

    • @edwinmartin8066
      @edwinmartin8066 3 месяца назад +1

      Kwan ye hamuoni mkude anavyonawiri kwa wananchi

    • @MikidadyAbdu
      @MikidadyAbdu 3 месяца назад

      Hata simba walisema saidoo ni mzee mbona walikuja kumchukua