Mmependeza sana Mungu awajaalie Nandi na Bilnas na Mtoto wenu na Wazazi wenu pia Mungu awajalie na awaweke pamoja katika Upendo wenu hivyo hivyo mlivyo.
Mtoto abatizwi billnas, mtoto anawekwa wakfu kwa Mungu kwa maombi tu, Hakuna sehemu kwenye Biblia imeruhusu ilo, Na niliona kwenye ndoa yako mlizawadiwa Biblia, Au mmeziweka ndani kama mapambo? Nyie ni wakristo fateni maandiko Mungu amejifunua katika neno lake.
Hadi raha jamani.uroho eti.hadi mtoto anagari lakutembelea?natamani ata ingekuwa mimi ndo mtoto wenu.sipati picha atakavyo kuwa.Mungu atulindie nae nakutulelea nae nakutukuzia nae.nawapenda sana
Safi Sana dada uendelee hivyo hivyo na mumeo jamani. Kila hatua mnatujulisha sio mnafanya kimya kimya huko sio vixuri. Ingawa jina na sura bado lakini angalau basi akianza kutembea, kwenda shule, kuvunja ungo, kupata mchumba nk ni muhimu kujua. Ukipata mimba pia tujuze please ili tuanze kujadili namna ilivyoingia huku mtaani kugumu hakuna kazi Bora kama hivi tunapoteza mawazo.
Congratulations brother billnass and ccy nandy hongreni sanaa ilipendeza sana
Mungu awabarki familia yako yote nawapenda sana ♥️♥️♥️♥️💗💗❤
Nawapenda Mpaka Nawapenda tena❤️❤️❤️❤️❤️
Adi raha jmn, Mungu akajalie katoto kadumu katika Imani ya kikristo, amina
Awe na furaha asiwe na furaha we inakuhusu nini !!?? maisha yao wawili wapendanao❤❤❤❤
Ongereni sana kwa kutambua Sakramenti ya ubatizo kwa mtoto.
Mwenyezi Mungu awabariki sana
Mashaa Allah mumependeza❤🥰💕🥰❤️🥰😍🤩
Safi sana kaka na dada mfano Kwa wale wasanii tunao wajua
Hongereni kwa kumpeleka mtoto madhabahuni
Kumbe nandy na billnassr wakristo
Kiukweli mmependeza mnoo
Wow looking amazing ❤
Congrats 👏 👏 👏 kila la kheri kwa mtoto ❤❤❤❤
კლასიკური მუსიკა ბავშვებისათვის
Hongereni sanaaa
Mmependeza sana Mungu awajaalie Nandi na Bilnas na Mtoto wenu na Wazazi wenu pia Mungu awajalie na awaweke pamoja katika Upendo wenu hivyo hivyo mlivyo.
Mungu awatunze daima
매우 훌륭하고 아름다운 꽃 노래입니다
Hayaaa mliosemaa mtoto mweusii nyoko zenuuu😂😂😂😂😂 mtoto wa nandy mashaaalah mkomee loooo
Shanghai leo hawana bando 😂
Juu ule alikua s wake awa washamba tayar kelele uku mitandaoni😂😂😂😂😂😂wamekomeshwa leo
Naipenda hiii couple wallay
Congratulations
Mungu awape maisha marafu nafuraha nawapend sana
mungu na awabariki saana
Nawapenda
Range
Hongeren Sana Mungu amtunze
Muwe na furaha kila
Sku za maishani mwenu🎉
Amen 🙏
Ubatizo special...cjui hakuna wengine wanaobatiza cku yaleo... anyway' mmependeza mno😍
Wapo lkn wenye pesa sio wenzako😅😅😅
@@maidamwaipopo9603 duh sema ata ilo kanisan linamuheshimisha...Ila nmeona hamna waumin nahis ubatizo wa familiia😆
Mnapendezana ❤❤❤❤
❤❤❤
Mtoto abatizwi billnas, mtoto anawekwa wakfu kwa Mungu kwa maombi tu, Hakuna sehemu kwenye Biblia imeruhusu ilo, Na niliona kwenye ndoa yako mlizawadiwa Biblia, Au mmeziweka ndani kama mapambo? Nyie ni wakristo fateni maandiko Mungu amejifunua katika neno lake.
Hadi raha jamani.uroho eti.hadi mtoto anagari lakutembelea?natamani ata ingekuwa mimi ndo mtoto wenu.sipati picha atakavyo kuwa.Mungu atulindie nae nakutulelea nae nakutukuzia nae.nawapenda sana
Bonyeza picha kisha SUBSCRIBE usipitwe na Habari zote zakijanja hapa town
Safi Sana dada uendelee hivyo hivyo na mumeo jamani. Kila hatua mnatujulisha sio mnafanya kimya kimya huko sio vixuri. Ingawa jina na sura bado lakini angalau basi akianza kutembea, kwenda shule, kuvunja ungo, kupata mchumba nk ni muhimu kujua. Ukipata mimba pia tujuze please ili tuanze kujadili namna ilivyoingia huku mtaani kugumu hakuna kazi Bora kama hivi tunapoteza mawazo.
That kid's blame will be on u 😢😢😢
God bless you
Kali sana bro
Nawapendanga mpaka najiogopa
❤❤❤nawapenda
SAFI SANA... NA HONGERENI
Hongereni 😊
Wow🎉💓💓💓
Tunapenda Sana cap yenu ila punguzen sherehe za Kila mara, ili msimpe shetan nafasi
mpendez xn mung awajalie maixh maref
Nice♥️
rahaa hongera Nandy
Jamani wa mwanzo naomba like zenu zifike japo 50
❤❤❤🎉🎉
❤❤❤❤❤
Makanisa ya Leo mengi hovyo kwa kweli,ustar hadi kwa Mungu?
Mmependeza
Congratulations ❤
Mlio sema mtoto mweusibmpo mmeonabtoto jeupe atari ona japo mikono tuu
Toto jeupe atar wambea wote kimyaaaa 😅
Piaa hata angekua mweusi kuna tatizo?
Hongeren sana vipenz mmependeza mungu awabarik sana mzid kupendana
Congratulations my Boy and Siz May God keep blessing your family 👪 🙏 ❤
Wooo mnapendeza a sana haki mungu awape upendo huo huo mko wazuri hadi nawaonea wivu
ありゃりゃ~…、ベティちゃんのテーマだよな?
Nawaombea kila la heri kwenye ndoa yenu
MMEPENDEZ sema mambo ya kubatiza mtoto me siko huko muslimu
Njaa hiyo inawasumbuwa
😂😂😂😂
Kaka nawashauri use mnaweka maisha yenu private kidogo why kila kitu kiwe post kaka.
Walio sema nimweusi wakowapi
Ubatizo unawekwa RUclips? 😲
Mmependeza saaana jmn,mungu awajalie upendo wenu udumu
😊
Ila bilnas namuona ka asokua na furaha.y?
Umebadili. Dini kijana.. Tafuta. Pesa.
Больше смотреьь не буду рецепта нет
C tumuone mtt jaman loh
nakpenda xn na nakukubali pia ila punguza izo aibu zako unaboa... unakuta mke ana vibe af we unajieka km kizee☹☹ unakera
Ni personality yake jamani mueleweni
❤❤❤