UBATIZO WA MTOTO WETU BILLNASS & NANDY

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 79

  • @emmanuelfaith216
    @emmanuelfaith216 Год назад +11

    Congratulations brother billnass and ccy nandy hongreni sanaa ilipendeza sana
    Mungu awabarki familia yako yote nawapenda sana ♥️♥️♥️♥️💗💗❤

  • @annatanzania2690
    @annatanzania2690 Год назад +5

    Nawapenda Mpaka Nawapenda tena❤️❤️❤️❤️❤️

  • @sopy3055
    @sopy3055 Год назад +2

    Adi raha jmn, Mungu akajalie katoto kadumu katika Imani ya kikristo, amina

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 Год назад +5

    Awe na furaha asiwe na furaha we inakuhusu nini !!?? maisha yao wawili wapendanao❤❤❤❤

  • @benOfficial36
    @benOfficial36 Год назад +1

    Ongereni sana kwa kutambua Sakramenti ya ubatizo kwa mtoto.
    Mwenyezi Mungu awabariki sana

  • @nashmirihamisi2417
    @nashmirihamisi2417 Год назад +4

    Mashaa Allah mumependeza❤🥰💕🥰❤️🥰😍🤩

  • @barakaalphan9015
    @barakaalphan9015 Год назад +3

    Safi sana kaka na dada mfano Kwa wale wasanii tunao wajua

  • @fridahjohn1219
    @fridahjohn1219 Год назад +1

    Hongereni kwa kumpeleka mtoto madhabahuni

  • @Yasserbrown
    @Yasserbrown Год назад +1

    Kumbe nandy na billnassr wakristo

  • @fridahjohn1219
    @fridahjohn1219 Год назад +1

    Kiukweli mmependeza mnoo

  • @julianachombo4463
    @julianachombo4463 Год назад +2

    Wow looking amazing ❤

  • @saumueunice1716
    @saumueunice1716 Год назад +4

    Congrats 👏 👏 👏 kila la kheri kwa mtoto ❤❤❤❤

  • @marinapanculaia7192
    @marinapanculaia7192 4 месяца назад

    კლასიკური მუსიკა ბავშვებისათვის

  • @LilianSige-sc9jn
    @LilianSige-sc9jn Год назад +1

    Hongereni sanaaa

  • @user-zh8wg3lc4i
    @user-zh8wg3lc4i Год назад

    Mmependeza sana Mungu awajaalie Nandi na Bilnas na Mtoto wenu na Wazazi wenu pia Mungu awajalie na awaweke pamoja katika Upendo wenu hivyo hivyo mlivyo.

  • @invocavitmbise5296
    @invocavitmbise5296 Год назад +1

    Mungu awatunze daima

  • @user-xr1xx7ex4v
    @user-xr1xx7ex4v 5 месяцев назад

    매우 훌륭하고 아름다운 꽃 노래입니다

  • @dianabrownie1829
    @dianabrownie1829 Год назад +3

    Hayaaa mliosemaa mtoto mweusii nyoko zenuuu😂😂😂😂😂 mtoto wa nandy mashaaalah mkomee loooo

    • @beatrice3675
      @beatrice3675 Год назад

      Shanghai leo hawana bando 😂

    • @mwanamisimwambeni4942
      @mwanamisimwambeni4942 Год назад +2

      Juu ule alikua s wake awa washamba tayar kelele uku mitandaoni😂😂😂😂😂😂wamekomeshwa leo

  • @angelfrank6424
    @angelfrank6424 Год назад +3

    Naipenda hiii couple wallay

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen17 Год назад +1

    Congratulations

  • @susankahindi244
    @susankahindi244 Год назад +2

    Mungu awape maisha marafu nafuraha nawapend sana

  • @mcjosemsafi2546
    @mcjosemsafi2546 Год назад +2

    mungu na awabariki saana

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Год назад +1

    Nawapenda

  • @ahmedalshaibany
    @ahmedalshaibany Год назад +1

    Range

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Год назад +1

    Hongeren Sana Mungu amtunze

  • @priscarmkilima3373
    @priscarmkilima3373 Год назад +5

    Muwe na furaha kila
    Sku za maishani mwenu🎉

  • @neysteriamwetha9059
    @neysteriamwetha9059 Год назад +4

    Ubatizo special...cjui hakuna wengine wanaobatiza cku yaleo... anyway' mmependeza mno😍

    • @maidamwaipopo9603
      @maidamwaipopo9603 Год назад

      Wapo lkn wenye pesa sio wenzako😅😅😅

    • @neysteriamwetha9059
      @neysteriamwetha9059 Год назад

      @@maidamwaipopo9603 duh sema ata ilo kanisan linamuheshimisha...Ila nmeona hamna waumin nahis ubatizo wa familiia😆

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian830 Год назад +3

    Mnapendezana ❤❤❤❤

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 Год назад +1

    ❤❤❤

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 Год назад +1

    Mtoto abatizwi billnas, mtoto anawekwa wakfu kwa Mungu kwa maombi tu, Hakuna sehemu kwenye Biblia imeruhusu ilo, Na niliona kwenye ndoa yako mlizawadiwa Biblia, Au mmeziweka ndani kama mapambo? Nyie ni wakristo fateni maandiko Mungu amejifunua katika neno lake.

  • @furahamanju
    @furahamanju Год назад +1

    Hadi raha jamani.uroho eti.hadi mtoto anagari lakutembelea?natamani ata ingekuwa mimi ndo mtoto wenu.sipati picha atakavyo kuwa.Mungu atulindie nae nakutulelea nae nakutukuzia nae.nawapenda sana

  • @Trend_TV_
    @Trend_TV_ Год назад

    Bonyeza picha kisha SUBSCRIBE usipitwe na Habari zote zakijanja hapa town

  • @hadijaabdallah8614
    @hadijaabdallah8614 Год назад +1

    Safi Sana dada uendelee hivyo hivyo na mumeo jamani. Kila hatua mnatujulisha sio mnafanya kimya kimya huko sio vixuri. Ingawa jina na sura bado lakini angalau basi akianza kutembea, kwenda shule, kuvunja ungo, kupata mchumba nk ni muhimu kujua. Ukipata mimba pia tujuze please ili tuanze kujadili namna ilivyoingia huku mtaani kugumu hakuna kazi Bora kama hivi tunapoteza mawazo.

  • @nayebarecarol7182
    @nayebarecarol7182 Год назад +2

    That kid's blame will be on u 😢😢😢

  • @Leyter.
    @Leyter. Год назад

    God bless you

  • @mcboychui
    @mcboychui Год назад +1

    Kali sana bro

  • @agathamachiro9504
    @agathamachiro9504 Год назад +1

    Nawapendanga mpaka najiogopa

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb Год назад +2

    ❤❤❤nawapenda

  • @ankochoka
    @ankochoka Год назад +2

    SAFI SANA... NA HONGERENI

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 Год назад +1

    Hongereni 😊

  • @maryammwinyi8896
    @maryammwinyi8896 Год назад +2

    Wow🎉💓💓💓

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Год назад +1

    Tunapenda Sana cap yenu ila punguzen sherehe za Kila mara, ili msimpe shetan nafasi

  • @marthanandy-qq6of
    @marthanandy-qq6of Год назад

    mpendez xn mung awajalie maixh maref

  • @caristaurio3671
    @caristaurio3671 Год назад +2

    Nice♥️

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад +1

    rahaa hongera Nandy

  • @Bayanni.
    @Bayanni. Год назад +12

    Jamani wa mwanzo naomba like zenu zifike japo 50

  • @teddysananga
    @teddysananga Год назад +1

    ❤❤❤🎉🎉

  • @user-tn6wz1ml5c
    @user-tn6wz1ml5c Год назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @GodwinMwenda-qb6up
    @GodwinMwenda-qb6up Год назад

    Makanisa ya Leo mengi hovyo kwa kweli,ustar hadi kwa Mungu?

  • @sakinafrancoise7134
    @sakinafrancoise7134 Год назад +1

    Mmependeza

  • @lillianbarongo2807
    @lillianbarongo2807 Год назад +6

    Congratulations ❤

  • @shaniabdallah9993
    @shaniabdallah9993 Год назад +3

    Mlio sema mtoto mweusibmpo mmeonabtoto jeupe atari ona japo mikono tuu

    • @salmaramadhani4647
      @salmaramadhani4647 Год назад +1

      Toto jeupe atar wambea wote kimyaaaa 😅

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 Год назад +2

      Piaa hata angekua mweusi kuna tatizo?

    • @user-ex4oi8sl1r
      @user-ex4oi8sl1r Год назад +1

      Hongeren sana vipenz mmependeza mungu awabarik sana mzid kupendana

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 Год назад +6

    Congratulations my Boy and Siz May God keep blessing your family 👪 🙏 ❤

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 Год назад +1

    Wooo mnapendeza a sana haki mungu awape upendo huo huo mko wazuri hadi nawaonea wivu

  • @user-ml3kq1lc8h
    @user-ml3kq1lc8h 3 месяца назад

    ありゃりゃ~…、ベティちゃんのテーマだよな?

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Год назад +1

    Nawaombea kila la heri kwenye ndoa yenu

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Год назад +1

    MMEPENDEZ sema mambo ya kubatiza mtoto me siko huko muslimu

  • @abdulhalimahmed1576
    @abdulhalimahmed1576 Год назад +1

    Njaa hiyo inawasumbuwa

  • @mickthomas-lh1fs
    @mickthomas-lh1fs Год назад +1

    Kaka nawashauri use mnaweka maisha yenu private kidogo why kila kitu kiwe post kaka.

  • @beatrice3675
    @beatrice3675 Год назад +1

    Walio sema nimweusi wakowapi

  • @yohananyabu5556
    @yohananyabu5556 Год назад

    Ubatizo unawekwa RUclips? 😲

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад +18

    Mmependeza saaana jmn,mungu awajalie upendo wenu udumu

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Год назад +1

    Ila bilnas namuona ka asokua na furaha.y?

  • @magufulitvkenya6315
    @magufulitvkenya6315 Год назад +1

    Umebadili. Dini kijana.. Tafuta. Pesa.

  • @user-rv7hm5ii5p
    @user-rv7hm5ii5p 7 месяцев назад

    Больше смотреьь не буду рецепта нет

  • @faridaissa2588
    @faridaissa2588 Год назад +1

    C tumuone mtt jaman loh

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 Год назад +2

    nakpenda xn na nakukubali pia ila punguza izo aibu zako unaboa... unakuta mke ana vibe af we unajieka km kizee☹☹ unakera

  • @AgneYusph
    @AgneYusph Год назад +1

    ❤❤❤