MAKONDA AWABANANISHA VIGOGO, TRA \ ATATUA KERO ZA MFUMO BILIONI 90 ARUSHA \ TAARIFA WILAYA ZAPOTEA
HTML-код
- Опубликовано: 4 май 2024
- #habari
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI?------------------------------
TUTAFUTE Wananchi TV
Contact:
📞 Phone: +255 686 379370
📱 WhatsApp: +255 686 379370
📧 Email: wananchihabari@yahoo.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Social Media Links
📸 Instagram: / wananchiitv
🐦 Twitter/X: x.com/wananchitv?s=21
📘 Facebook: share/ff8FJq...
-----------------------------------------------------------------------------------
-- TIMESTAMPS --
0:00 - WANANCHI TV
01:04 - SUBSCRIBE,LIKE NA KUCOMENT.
Ukifanikiwa kujibu swali la makonda kwa usahihi una%90 za uwajibikaji; nimeamini moto ni ule ule big up kaka makonda , wanaichi wote masikio Arusha 🎉🎉
Ni kweli kabisa!
Bigg up mhe RC makonda
Safi sana RC Makonda
That's a good start #RCMakonda...TRA na Taasisi nyingi za umma zinatuumiza sana na neno "mfumo/mifumo" imekuwa kikwazo cha kuwahudumia wananchi. Kila wakitaka kukukwamisha wanasingizia mfumo na huko ndio rushwa zinazaliwaga. Wabananishe vizuri waeleze mambo bayana
Safi sanaa makonda endelea kuwapambania wananchi
Kazi baba Keegan, Nchi inakutegemea sana piga kazi
Makonda, Chalamila,Happi na Mwanry ebu mwanry apewe mkowa hayo ndiyo majembe ya Mama Big up
Chalamila amelala saivi amna kitu
Nafurahia kuwa mkazi wa arusha,asante mama samia kumleta makonda
Huyu jamaaa kichwa sanaaaa. Yaani watumishi wengi maofisini utasikia mfumo mfumo,mfumo kitu gani😂
Talented mkuu upovema, safisana
Makonda mwamba kweli kwwli
Makonda uko vizuri
Makonda M/mungu atakulinda usihofu piga kazi baba
Pga kaz bro.....tuko pamoja
Makonda ni kichwa sana
Yap mkuu kwa kazi nzuri tunakuombea kwa mngu
Mama Samia mlinde Makonda atatusaidia!
Jicho la Mama Samiha halikosei
Safi sana smart man... Up stairs keep it up
Kazi kweli
Wakati wa mungu ni wakati sahihi. Congratulations wana WA Arusha
Makonda hazuiliki ,safi Kabisa kila kona ang'ara tu
Simba ninakukubali sana
HAPA ,PAUL MAKONDA ,UNAANZA VIZURI SANA....
-PONGEZI SANA..."SERVICE LEVELS"...BADO NI TATIZO
Asante mama kumrudisha Broo mkonda wakuu,na wakurugenzi,makatibu tawala ARUSHA kazi wanayo😂😂😂
Watu wana msema vibaya makonda kwa uzuri wake ( wivu tu)
Makonda hapo TRA Kuna upugaji wa Capital gain Tax hasa wanunuzi wa nyumba.. Wana mtu apo Tra anakula na wanunuzi na bado wanakopa pesa NMB .na bado wanacheza na Tra..Kuna mtu tutamtaja umfatulie mkuu wetu.
🙏🙏🙏🙏👍
Sina shaka naww kakaangu binafsi nakwamini
TRA wa tanzania niwapigaji waomba rushwa hapo kuna jambo huenda mfanya biashara huwa hatoi rushwa ndio maana wamemwekea kodi kubwa hyo ndio tabia ya inchi hiiii fukuzeni
ndo maana mifumo inakua kandamizi sana
Piga kazi Kijana hadi waelewe Ya Kuwa uelewa wako uko juuu .kumjua mtu kuna ghalama sana. Mimi naona Urais uko karibu sana.
Wataalamu wetu ji tatizo
Hatimaye masikio yetu yote Arusha Kwa mwamba makonda
Those are not competent people as if Directo say taus work accountant say no they use government transport to deliver notice da kweli ndio maana Arusha Kila sehemu bango la waganga akuna utaratibu kabisa
Daaaah... sifahamu sana lakini hio data base mnayotumia ishindwe kuwa na subsections za kuonyesha makusanyo ya wilaya kwa wilaya huo mfumo haufai
Hakuna wataalam wa mtandao hapo
Makonda anapiga kazi Sana Arusha kumeoza nikama tanga tu
Mimi huyu makonda naomba baada ya waziri mkuu kaondoka apewe uaziri mkuu
Hawa jamaa wa TRA wanajionaga wao ndio wako sahihi Kwa kila kitu wanatuonea saana wanachukua pesa za bure
Wakuu wengne wanashndwa nn ku copy kwa Makonda kwenye maeneo Yao Kaz kusema tu mama kaupga mwng
Hahaaaaaa kweli mfumo ni kama mbingu safi makonda wabane
Makonda anafuatiliwa na nchi nzima asaiv ni kodo Arusha
Nikwel kabisa
Yaani huyo afisa wa Tra ovyo kabisa nchi imeshatoka uko yeye anasema mifumo autambui mapato ya wilaya shem on you yaani akutakiwa kujibu hapo wanatengeneza rusha kwa hao wanafanyabiashara wanatakiwa kubadilishwa speed yako awawezi hao pamoja na mkurugenzi wa jiji
Kwasasa Watanzaniawote tumehamia Arusha maanandiomteteziwetualipo
Data base inatakiwa uweze kufilter sio wilaya tu hata ukitaka kujua kata fulani makusanyo ya kodi ni shilingi ngapi mwezi fulani upate ontime
Kuna tatizo mahari
Makonda fukuza watumishi wababaifu
Fukuza awo makonda awakufai watakukwamisha
APO ATA MIE MWEZENU NASHANGAA IH NCHI MIKUUU YAMIKOA MENGINE IPO IPO MANINA SIJUI POJE DAAAA NCH NGUM IH
Makonda mwamba
Mfumo
mfumo 🤣🤣🤣
Mfumo