MAKONDA AWABANANISHA VIGOGO, TRA \ ATATUA KERO ZA MFUMO BILIONI 90 ARUSHA \ TAARIFA WILAYA ZAPOTEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 май 2024
  • #habari
    🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI?------------------------------
    TUTAFUTE Wananchi TV
    Contact:
    📞 Phone: +255 686 379370
    📱 WhatsApp: +255 686 379370
    📧 Email: wananchihabari@yahoo.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    Social Media Links
    📸 Instagram: / wananchiitv
    🐦 Twitter/X: x.com/wananchitv?s=21
    📘 Facebook: share/ff8FJq...
    -----------------------------------------------------------------------------------
    -- TIMESTAMPS --
    0:00 - WANANCHI TV
    01:04 - SUBSCRIBE,LIKE NA KUCOMENT.

Комментарии • 57

  • @fredrickwiliam6176
    @fredrickwiliam6176 22 дня назад +13

    Ukifanikiwa kujibu swali la makonda kwa usahihi una%90 za uwajibikaji; nimeamini moto ni ule ule big up kaka makonda , wanaichi wote masikio Arusha 🎉🎉

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570
    @michaeltuingilegewaubaridi8570 22 дня назад +6

    Bigg up mhe RC makonda

  • @shekhaahmed3961
    @shekhaahmed3961 22 дня назад +6

    Safi sana RC Makonda

  • @elibarikipaul1384
    @elibarikipaul1384 14 дней назад

    That's a good start #RCMakonda...TRA na Taasisi nyingi za umma zinatuumiza sana na neno "mfumo/mifumo" imekuwa kikwazo cha kuwahudumia wananchi. Kila wakitaka kukukwamisha wanasingizia mfumo na huko ndio rushwa zinazaliwaga. Wabananishe vizuri waeleze mambo bayana

  • @shinumbuntugwa4453
    @shinumbuntugwa4453 22 дня назад +7

    Safi sanaa makonda endelea kuwapambania wananchi

  • @hamzaabdallah8637
    @hamzaabdallah8637 22 дня назад +6

    Kazi baba Keegan, Nchi inakutegemea sana piga kazi

  • @lucasmkui3160
    @lucasmkui3160 21 день назад +6

    Makonda, Chalamila,Happi na Mwanry ebu mwanry apewe mkowa hayo ndiyo majembe ya Mama Big up

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 21 день назад +3

    Nafurahia kuwa mkazi wa arusha,asante mama samia kumleta makonda

  • @lembricesaravo3543
    @lembricesaravo3543 21 день назад +4

    Huyu jamaaa kichwa sanaaaa. Yaani watumishi wengi maofisini utasikia mfumo mfumo,mfumo kitu gani😂

  • @lucasmkui3160
    @lucasmkui3160 21 день назад +3

    Talented mkuu upovema, safisana

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 22 дня назад +6

    Makonda mwamba kweli kwwli

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 18 дней назад +1

    Makonda uko vizuri

  • @patricknjau3698
    @patricknjau3698 21 день назад +2

    Makonda M/mungu atakulinda usihofu piga kazi baba

  • @ThomasfrancisMvella
    @ThomasfrancisMvella 22 дня назад +3

    Pga kaz bro.....tuko pamoja

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 21 день назад +2

    Makonda ni kichwa sana

  • @SangaParty
    @SangaParty 21 день назад

    Yap mkuu kwa kazi nzuri tunakuombea kwa mngu

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424 21 день назад +2

    Mama Samia mlinde Makonda atatusaidia!

  • @shekhaahmed3961
    @shekhaahmed3961 22 дня назад +2

    Jicho la Mama Samiha halikosei

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 21 день назад

    Safi sana smart man... Up stairs keep it up

  • @charlesmayilla2926
    @charlesmayilla2926 21 день назад +1

    Kazi kweli

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 21 день назад

    Wakati wa mungu ni wakati sahihi. Congratulations wana WA Arusha

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 18 дней назад

    Makonda hazuiliki ,safi Kabisa kila kona ang'ara tu

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 21 день назад

    Simba ninakukubali sana

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 21 день назад

    HAPA ,PAUL MAKONDA ,UNAANZA VIZURI SANA....
    -PONGEZI SANA..."SERVICE LEVELS"...BADO NI TATIZO

  • @user-sq2bj1dm9z
    @user-sq2bj1dm9z 21 день назад

    Asante mama kumrudisha Broo mkonda wakuu,na wakurugenzi,makatibu tawala ARUSHA kazi wanayo😂😂😂

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 18 дней назад

    Watu wana msema vibaya makonda kwa uzuri wake ( wivu tu)

  • @mangaikwelamatengo8556
    @mangaikwelamatengo8556 5 дней назад

    Makonda hapo TRA Kuna upugaji wa Capital gain Tax hasa wanunuzi wa nyumba.. Wana mtu apo Tra anakula na wanunuzi na bado wanakopa pesa NMB .na bado wanacheza na Tra..Kuna mtu tutamtaja umfatulie mkuu wetu.

  • @user-mk1qz1mn7w
    @user-mk1qz1mn7w 22 дня назад

    🙏🙏🙏🙏👍

  • @nebartmuyagala9545
    @nebartmuyagala9545 22 дня назад +2

    Sina shaka naww kakaangu binafsi nakwamini

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 14 дней назад

    TRA wa tanzania niwapigaji waomba rushwa hapo kuna jambo huenda mfanya biashara huwa hatoi rushwa ndio maana wamemwekea kodi kubwa hyo ndio tabia ya inchi hiiii fukuzeni

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 21 день назад +1

    ndo maana mifumo inakua kandamizi sana

  • @EmmanuelKitula-lm1ft
    @EmmanuelKitula-lm1ft 21 день назад

    Piga kazi Kijana hadi waelewe Ya Kuwa uelewa wako uko juuu .kumjua mtu kuna ghalama sana. Mimi naona Urais uko karibu sana.

  • @YusufSasamalo-uz4ii
    @YusufSasamalo-uz4ii 21 день назад

    Wataalamu wetu ji tatizo

  • @neemaswila5666
    @neemaswila5666 21 день назад

    Hatimaye masikio yetu yote Arusha Kwa mwamba makonda

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 20 дней назад

    Those are not competent people as if Directo say taus work accountant say no they use government transport to deliver notice da kweli ndio maana Arusha Kila sehemu bango la waganga akuna utaratibu kabisa

  • @shabankiliani8234
    @shabankiliani8234 21 день назад

    Daaaah... sifahamu sana lakini hio data base mnayotumia ishindwe kuwa na subsections za kuonyesha makusanyo ya wilaya kwa wilaya huo mfumo haufai

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 20 дней назад

    Makonda anapiga kazi Sana Arusha kumeoza nikama tanga tu

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 19 дней назад

    Mimi huyu makonda naomba baada ya waziri mkuu kaondoka apewe uaziri mkuu

  • @braitonliwoko2529
    @braitonliwoko2529 21 день назад

    Hawa jamaa wa TRA wanajionaga wao ndio wako sahihi Kwa kila kitu wanatuonea saana wanachukua pesa za bure

  • @CharlesMadondo
    @CharlesMadondo 22 дня назад +3

    Wakuu wengne wanashndwa nn ku copy kwa Makonda kwenye maeneo Yao Kaz kusema tu mama kaupga mwng

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 21 день назад

    Hahaaaaaa kweli mfumo ni kama mbingu safi makonda wabane

  • @amospetro8789
    @amospetro8789 21 день назад +4

    Makonda anafuatiliwa na nchi nzima asaiv ni kodo Arusha

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 20 дней назад

    Yaani huyo afisa wa Tra ovyo kabisa nchi imeshatoka uko yeye anasema mifumo autambui mapato ya wilaya shem on you yaani akutakiwa kujibu hapo wanatengeneza rusha kwa hao wanafanyabiashara wanatakiwa kubadilishwa speed yako awawezi hao pamoja na mkurugenzi wa jiji

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 21 день назад

    Kwasasa Watanzaniawote tumehamia Arusha maanandiomteteziwetualipo

  • @shabankiliani8234
    @shabankiliani8234 21 день назад

    Data base inatakiwa uweze kufilter sio wilaya tu hata ukitaka kujua kata fulani makusanyo ya kodi ni shilingi ngapi mwezi fulani upate ontime

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 21 день назад

    Kuna tatizo mahari

  • @rashidiamani8645
    @rashidiamani8645 21 день назад

    Makonda fukuza watumishi wababaifu

  • @rashidiamani8645
    @rashidiamani8645 21 день назад

    Fukuza awo makonda awakufai watakukwamisha

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 21 день назад

    APO ATA MIE MWEZENU NASHANGAA IH NCHI MIKUUU YAMIKOA MENGINE IPO IPO MANINA SIJUI POJE DAAAA NCH NGUM IH

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 21 день назад

    Makonda mwamba

  • @tasukutechnologies2573
    @tasukutechnologies2573 21 день назад

    Mfumo

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 22 дня назад

    mfumo 🤣🤣🤣