Yanga SC 2-1 Red Arrows | Highlights | Mwananchi Day 04/08/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 526

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 6 месяцев назад +7

    Mudathir our zanzibar finest❤🎉

  • @omarmatata-dc3mv
    @omarmatata-dc3mv 6 месяцев назад +5

    Mudathir ndo man of the match 👏 🙌👊💪💛💚

  • @ayoubndekela1918
    @ayoubndekela1918 6 месяцев назад +6

    Pacoume is back on his fitness 💪

  • @FahemaFahema-h9y
    @FahemaFahema-h9y 16 дней назад

    Yanga bingwa nayipenda sana muno from burundi❤❤❤

  • @MasumbukoMacho
    @MasumbukoMacho 6 месяцев назад +7

    Man of the match...Refa wetu kasaidia Sana kama pesa imeenda kialali

  • @fadboe772
    @fadboe772 6 месяцев назад +3

    Hii yanga itatikisa Africa kila mtu atakuja kuona 💚💛🙌

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw 6 месяцев назад +7

    Ase yanga hongera, kipa wa red arrows hongera

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 6 месяцев назад +4

    Huyu Golikipa ni next level😮🤩🤩 nomaa sana

  • @Likeiam552
    @Likeiam552 6 месяцев назад +4

    Aiseee kipa wa Red arrows 🔥🔥🔥🔥

  • @josephattz2003
    @josephattz2003 6 месяцев назад +13

    Huyu dube namuona kabisa anakamba 2 tarehe 8. Mark my words.

  • @revocatusadrian9262
    @revocatusadrian9262 6 месяцев назад +5

    Ila Pacome🔥🔥🔥

  • @NipaSanga-hp4tx
    @NipaSanga-hp4tx 6 месяцев назад +3

    daima mbelee yanga💛💛💛💛💛💛💛💛

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 6 месяцев назад +4

    Man of the match kipa

  • @AnkallyPandu
    @AnkallyPandu 6 месяцев назад +6

    Kipa wa red arrows apewe hongera yake maana kajituma sana yupo vizuri

  • @SebastianGeorgeSamuel-yg2zc
    @SebastianGeorgeSamuel-yg2zc 6 месяцев назад +3

    Kipa wa red arrows man of the match daaah ilikuaw ni kaziaaaag😢😢

  • @jaymorisonwonder1156
    @jaymorisonwonder1156 6 месяцев назад +6

    PACOME 🙌🙌🙌

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 6 месяцев назад +3

    Goal ako vizuri 🙌🙌

  • @rickyramsey1469
    @rickyramsey1469 6 месяцев назад +4

    Makolo roho Zina umaa yanga oyeeeee💚💛🖤☠️🇰🇪

  • @chedielGomezulu
    @chedielGomezulu 6 месяцев назад +5

    pacoume kawaka sana jana💥ila kuna wachezaji wapo kwenye viwango bora sana na wanashawishi kila kukicha..boka,duke abuya,mzize,pacome,maxi,musonda anazidi kuongeza kitu ila ajitahidi kuwekeza akili zaidi katika eneo la kumalizia..AZIZI katulia sana

  • @dumyutamu9668
    @dumyutamu9668 6 месяцев назад +3

    Man of the match inaenda kwa kipa wa Red 🫡 ila kwa 🟡🟢⚫️ wamejipata 🙌👏

  • @mazaramatucha
    @mazaramatucha 6 месяцев назад +3

    Nimeridhika na usajiri inatakuwa concentration tu kwa attacking midlfield na strukers.
    Kalumba wa man of Match. Safi sana.

  • @msholozizuma5428
    @msholozizuma5428 6 месяцев назад +4

    Yanga ya Huu Msimo itakua Kali sana Simba Mjiandae😂😂😂🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @dmswaggbamboostick4576
    @dmswaggbamboostick4576 6 месяцев назад +4

    Pacome +max+Duke 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @deoboy9102
    @deoboy9102 6 месяцев назад +2

    Yanga kama yanga 💛🔰💚

  • @CafelinLawrence
    @CafelinLawrence 6 месяцев назад +4

    Yanga 🎉

  • @emmawilliesmwangota
    @emmawilliesmwangota 6 месяцев назад +3

    Huyu kipa ni mzuri sanaaa

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 6 месяцев назад +1

    Ila hii yanga hii atakufa mtu siku mashaallah ❤

    • @boxdad
      @boxdad 6 месяцев назад +1

      Nyoko

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 6 месяцев назад

      @@boxdad unakufa ukiwa wapi

  • @ChrissSamwel
    @ChrissSamwel 6 месяцев назад +6

    Wamshukuru kipa wao yupo good wangekula nyingi sana

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 6 месяцев назад +2

      Kwani kazi yake kipa ni kudanga au kuzuia magoli? Mmeshindwa hata 3 nyingi mngetoa wapi?

    • @ototek8037
      @ototek8037 6 месяцев назад

      @@emmadora7848 mje na kipa bora

    • @abdallahmindika1641
      @abdallahmindika1641 6 месяцев назад +2

      Mchumba umebebwa 😂😂😂 diara anaongz kutolew bikra 😅😅😅😅

    • @singoimollel5399
      @singoimollel5399 6 месяцев назад +1

      Hii yanga ya kubebwa na refa hadi mechi ya kirafiki penalty laini sana

    • @jumapilimakondo4250
      @jumapilimakondo4250 6 месяцев назад +1

      Ona huyu naye wamshukuru nini sasa,kwani alikuwa pale kwa jukumu gani

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 6 месяцев назад +10

    Hii Saka Saka mwizi ya Yanga ni hatari sana, naogopa.

  • @Deadskytz
    @Deadskytz 6 месяцев назад +112

    Tukiacha ushabiki wa kijinga yanga wangeshinda nyingi Ni kipa tu wa red mzuri pia bahati haukuwa upande wao

    • @andrewIzdory-sk4cu
      @andrewIzdory-sk4cu 6 месяцев назад +17

      Ulitaka wacheze bila kipa?

    • @Deadskytz
      @Deadskytz 6 месяцев назад +9

      @@andrewIzdory-sk4cu elewa comment ndo ujibu usiwe una comment hujanywa chai Sawa mkuu

    • @sngrafx
      @sngrafx 6 месяцев назад +4

      😂😂😂 Unaandika comment ukiwa wapi? 😂

    • @monicakibiki8073
      @monicakibiki8073 6 месяцев назад +1

      Ww umenena bwana

    • @YusufuJafari-fu7og
      @YusufuJafari-fu7og 6 месяцев назад +3

      Hakuna nyiny kilicho wasaidia ni upungufu wao tu

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 6 месяцев назад +5

    Kuna mwehu alisema penati tumepewa wehu hawawezi kuisha😅😅😅💚💚💚💚

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 6 месяцев назад +2

    Safi 🎉🎉🎉🎉

  • @josephlyakurwa
    @josephlyakurwa 6 месяцев назад +7

    Pakome ni kisanga na nusu 🔥

  • @azizjuma6125
    @azizjuma6125 6 месяцев назад +2

    hawa jamaa wana Bonge moja la Nyanda .... Good Goalkeeper
    marverous saves

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 6 месяцев назад +2

    Viva Yanga Viva Wananchiiiiii PACOME Hatare Saaana

  • @OctaJohn-ov9gc
    @OctaJohn-ov9gc 3 месяца назад

    YANGA bingwa 💚💛🙏

  • @JacksonMakalanga-hs8xy
    @JacksonMakalanga-hs8xy 5 месяцев назад +2

    My beautiful team

  • @johnjava8510
    @johnjava8510 6 месяцев назад +1

    Ila huyu kipa ni mnoma ❤‍🔥

  • @WAKALAFAMILY
    @WAKALAFAMILY 6 месяцев назад +1

    Hivi yanga mbona on 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @AnnaChales
    @AnnaChales 6 месяцев назад +3

    Wamshukuru gor kipa arikuwa vizur

  • @maharusiMedia
    @maharusiMedia 6 месяцев назад +6

    Maskini kipa wa watu alipata tabu sana 😂😂 ⭐⭐⭐🖐🏼

  • @Hatibuhassani
    @Hatibuhassani Месяц назад +1

    Walipelekewa moto sana red arrows

    • @Samwel-y4d
      @Samwel-y4d 18 дней назад

      Ss utopolo na red arrow nn. Kapelekewa moto zaidi ya mama ni bebe

  • @mwakwelisaid3152
    @mwakwelisaid3152 6 месяцев назад +5

    Mimi nimkenya lkn napenda yanga kinoma juh wako na game nzuri than any team in Eastern Afrika.

  • @DiwaanOnline
    @DiwaanOnline 6 месяцев назад +7

    PACOME mtu hatari sana

  • @RashidMuhunzi-pr5xj
    @RashidMuhunzi-pr5xj 5 месяцев назад +4

    PACOME yupo juu SANA ki-soka.

  • @danken4153
    @danken4153 6 месяцев назад +1

    yanga iko vizuri

  • @gladyschristian2125
    @gladyschristian2125 6 месяцев назад +1

    love yanga

  • @samuelelombe6361
    @samuelelombe6361 6 месяцев назад +3

    Mungu mukubwa

  • @wachawasemeKagoma
    @wachawasemeKagoma 5 месяцев назад +2

    Yanga noma sana

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 6 месяцев назад +2

    Uyu kipa wa red atari sana la si ivyo zilikuwa nyingi sana leo

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 6 месяцев назад +4

    Chadrack Boka hatari sana🔥🔥

  • @AnkallyPandu
    @AnkallyPandu 6 месяцев назад +6

    Jana angekua kipa wa simba angekula nyingi sana 7

  • @HabibMakame
    @HabibMakame 6 месяцев назад +4

    Huyu kipa wa Red Arrows Mungu amfungulie milango apate timu itakayoweza kumlipa zaidi anavyolipwa sasa.Sincerely speaking,he is the best goalkeeper.

    • @rajabmwange4634
      @rajabmwange4634 6 месяцев назад +1

      Unaweza ukawa mzuka wa mechi moja tu 😀😀

  • @kharidikibakulikibakuli9223
    @kharidikibakulikibakuli9223 6 месяцев назад +3

    Kipa wao yupo vzr sana😂

  • @kugotwa004
    @kugotwa004 6 месяцев назад +5

    Pacome akishika mpira ningumu kumpokonya alf ana force kubwa kufika mbele na akifika ni shoot kubwa so naongea km mwana simba tareh 8 aangaliwe sana sana alf kipa wetu ayubu au ali salum yanga wana mashut ya mbali hatar hasa pacome chama na aziz ki pamoj na mudthir mznzibar mwenzngu

  • @GracieTyno
    @GracieTyno 29 дней назад

    Huyo kipa wa moto 🔥

  • @hamoudyahya7635
    @hamoudyahya7635 6 месяцев назад +3

    Mmudathir +aziz ki+ pakome+ dube+ musonda. Chama atasubiri sana

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 6 месяцев назад +1

    What a goal

  • @djmaxmnyamaglobal7744
    @djmaxmnyamaglobal7744 6 месяцев назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 6 месяцев назад +5

    Ila.mudathir ana kitu kinaitwa bahati nzuri

    • @NyamongoLife
      @NyamongoLife 5 месяцев назад

      Anajua sana sema hapewi heshima yake. Angekua sio Mtanzania angepewa heshima sana

  • @HajiHaji-v9f
    @HajiHaji-v9f 6 месяцев назад +1

    Noma

  • @ShadrackMuindi-l9f
    @ShadrackMuindi-l9f 6 месяцев назад +1

    Ndio maana ya team akikosekana mmoja n mbaya😊

  • @PAAKWAMEPAA
    @PAAKWAMEPAA Месяц назад

    Asante

  • @SAMWELSOLOMON-w3p
    @SAMWELSOLOMON-w3p 5 месяцев назад +1

    Washukuru kipa

  • @salumujaibu1837
    @salumujaibu1837 6 месяцев назад +5

    Yanga kikosi kipana kipo😂😂

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg 6 месяцев назад +6

    Yanga inaweza kucheza mechi mbili siku moja

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 6 месяцев назад +2

      KWA KULA VIDONGE VISIVO RUHUSIWA

  • @HekimaMalila
    @HekimaMalila 6 месяцев назад +5

    Yanga ni balaa sijui iyo tarehe 8 mwezi wa 8 watu watalia😢😂 nyie

  • @adamnehemia8316
    @adamnehemia8316 6 месяцев назад +2

    Shikamoo golikipa wa red arrows

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 5 месяцев назад +4

    Red arrows wangeshinda hii gem tatizo walipobadili jezi nyekundi yanga ikaaza kuwaona kama adui wengine

    • @philbertkabengo7905
      @philbertkabengo7905 5 месяцев назад

      Kwani hiyo nyeupe walipowatia moja bila haina utamu wa mnyama🦁

  • @HamidaMzee-m3i
    @HamidaMzee-m3i 6 месяцев назад +2

    Timu ya pili ya yanga inajaribu kupiga shoti sana kuliko ya kipindi cha mwanzo

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 6 месяцев назад +6

    Zambia kipa mnae @ anajua Kaz yake

  • @OctaJohn-ov9gc
    @OctaJohn-ov9gc 6 месяцев назад +1

    YANGA bingwa

  • @josepeter8033
    @josepeter8033 6 месяцев назад +5

    Yanga bingwa mpk wanatrendiiii😂

  • @MadahaidamaShihumbi
    @MadahaidamaShihumbi 6 месяцев назад +1

    Yanga daima mbele

  • @GodfreyMwangila-lr4cc
    @GodfreyMwangila-lr4cc 6 месяцев назад +5

    Shikamoo pacome

  • @raston4gkalonda821
    @raston4gkalonda821 6 месяцев назад +7

    Kosa kubwa la red arrows ni kuvaa nyekundu tu

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 6 месяцев назад +8

    PACOME ni moto

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 6 месяцев назад +3

      Aisee, jamaa ni balaa

    • @DanielErnest-nn2zj
      @DanielErnest-nn2zj 6 месяцев назад +1

      Hatari sana anajua sana 💚💚💛💛

    • @joycemmassi5046
      @joycemmassi5046 6 месяцев назад +2

      🎉Thus why katambulishwa wa mwisho mwisho huko ❤❤❤

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI 6 месяцев назад +1

      Pacome ni shida sema Aziz kii ana offer mechi nyingi bila injury yani msimu mzima anakuwa anacheza game nyingi

  • @yuzlongodfrey
    @yuzlongodfrey 6 месяцев назад +5

    huyu pacome achunguzwe 😂😂

  • @raybirry3816
    @raybirry3816 6 месяцев назад +3

    HAWA YANGA NYINYI,TIMU IKIJA HOVYO INAWEZA KUCHEZEA NYINGI SANA!

  • @hamisimasaww4598
    @hamisimasaww4598 6 месяцев назад +5

    Jamani ushabiki naweka mbali uyo kipa so pouwa angekuwa nikupa wa simba angekula 7

  • @RashidiMalik
    @RashidiMalik 6 месяцев назад +8

    Wanasimb wenzang tumuangalienisana huyu pacommme ..nishida

  • @NyamongoLife
    @NyamongoLife 6 месяцев назад +3

    Mudathir Yahya Abas

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 6 месяцев назад +8

    Man of the match alikua kipa wa red arrows! Kafanya saves nyingi!Nashanga wanaosema ref kawabeba yanga,( sioni sababu) red card ya mchezaji wa RA slijua ana njano,lkn akafanya ujinga.Red red card hapo ilimuhusu.Hii ilikua friendly match,hakuwa na sababu ya kufanya ule utoto! Penalty ilikua sahihi kabisa! Ref kuchezesha vizuri kabisa! Match ilikua nzuri sana kwa ujumla..wabongo tusiangalie mpira na fikra za kijinga jamani! Chama,sisee,touches zake zimenikosha,yaani anacheza mpira kwa uzoefu mkubwa sana,passes zake,zimepimwa! Tarehe 8/ ataumua watu.I cant wait

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 6 месяцев назад +6

      Sasa kwani kazi yake kipa ni kudanga uwanjani au?😂😂😂😂

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 6 месяцев назад +1

      @@emmadora7848 ukiwa na mawazo kama hayo ya kitoto,na maisha yako yatakuwa ya kitoto! Unaelewa maana ya man of the match inaaana gani!? Yaani wewe mawazo yako ni kudanga🤣🤣pole

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 6 месяцев назад +2

      ​@@errydeo8865MNGE FUNGWA USINGE MSIFIA REFA LAKINI WEWE NI WALE WALE 😂😂😂😂😂 TOPOLOOOOOOO

    • @HamisiLufyagila-g9w
      @HamisiLufyagila-g9w 6 месяцев назад

      𝕎𝔸𝕋𝕌 𝕎𝔸ℕ𝔸𝕆ℕ𝔾𝔼𝔸 𝕐𝔸ℕ𝔾𝔸 𝕀𝕄𝔼ℕ𝔹𝔼𝔹𝕎𝔸 𝕎𝔸𝕊𝕌𝔹𝕀𝕃𝕀 𝕋𝔸ℝ𝔼ℍ𝔼 8

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 6 месяцев назад

      @@errydeo8865 ww ndio masikini wa mwisho , kipa kafanya kazi yake ambayo analipwa kwayo

  • @mansouromary9246
    @mansouromary9246 6 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉

  • @clintonkatyale6891
    @clintonkatyale6891 6 месяцев назад +4

    Yanga baba lao tunasubilia hiyo tarehe nane

  • @JohariJuma-u8r
    @JohariJuma-u8r 6 месяцев назад +3

    🍎yani goal kipper ndio aliwaokowa

  • @maicofidelix3549
    @maicofidelix3549 6 месяцев назад +2

    Good 👍👍👍🎉

  • @enockm6101
    @enockm6101 6 месяцев назад +4

    mwaka huu makipa watapata shid sana. Abuya anapiga miwa, Aziz anamabomu, Muda anang'oa minara ya simu, Dube yeye popote nje ndani anakujuka, Pakome ndo ukigoma anakulazimisha mpaka chumbani kwako yaani tuburere.... kipa haelewi nani atatoa pasi au nani atapiga, simba mchukueni kabisa huyu kipa wa Red Arrows awaokoe na ninyi tarehe nani. Sisi tunajua Deborah tu akikamatwa basi!

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 6 месяцев назад +2

    Huyu kipa noma

  • @yusufyusuf-br5qk
    @yusufyusuf-br5qk 6 месяцев назад +1

    Hatar xna ❤❤❤❤

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 6 месяцев назад +3

    Imebidi apewe mtu RED CARD ili Vitenge FC waweze kushinda, ikashindikana ikabidi wapewe penati 😂😂😂😂

    • @RehemaPanga-x6z
      @RehemaPanga-x6z 6 месяцев назад +1

      Tatizo hujui sheria ya football, huyo mchezaji kajitakia mwenyewe hiyo card . Alikuwa tayari kashatoka nje , kisheria ukiwa nje huruhusiwi kuingia tena mpaka matibabu yamalizike ndo maana hata wenzao walimshangaa, anakuwa kama cyo mchezaji bwana . Hata kocha wao aliongea kuwa kadi nyekundu tulijitakia wenyewe.

    • @KennedyJohn-p1i
      @KennedyJohn-p1i 6 месяцев назад

      W kolo chakavu em uje uifunge yanga tar 8 ​@@RehemaPanga-x6z

    • @NURUSANGA-h9p
      @NURUSANGA-h9p 5 месяцев назад

      Usiwe unaongea tu yanga wanapiga ball

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 6 месяцев назад +6

    Kipa wiki hii haamki Kwa kuokoa mekwaju mingi

  • @ibrahimalharthi4599
    @ibrahimalharthi4599 6 месяцев назад +2

    Tunaishukuru Kadi nyekundu iliyotupa ahuweni na kiukweli April ina kiwango bora kuliko Red Arrow

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 6 месяцев назад

      Kwan red arrows si walicheza na Apr kwenye cecafa.. unajizima data.. subir tareh 8.. Simba wangecheza na Red arrows wangeliwa 3 bila

    • @SamwelMtasiwa-ok2qz
      @SamwelMtasiwa-ok2qz 6 месяцев назад

      Sio kweli kaka

  • @calvinjuma-l5b
    @calvinjuma-l5b 6 месяцев назад +14

    Inamana bira cad nyekundu yanga shghur ilikuwepo

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 6 месяцев назад +6

    Yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa ww huogopi 💚💚💛💪💪💃💃

    • @eliasmajambomwinyihaji1335
      @eliasmajambomwinyihaji1335 6 месяцев назад +2

      Jifariji tu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 6 месяцев назад +2

      VP SADA UTANIPA ILE KITU NAMESA MESA MWENSAKE??? 😂😂😂😂😂 SIMBA UBAYA UBWELA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 6 месяцев назад +1

      @@salimmalaka256 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tulia kolo sanda

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 6 месяцев назад +1

      @@sadahamad6158 BASI NIPE ILE NAMESA MESA MWENSAKE

  • @LeonardPastory-f8s
    @LeonardPastory-f8s 6 месяцев назад +1

    Ila yanga Mungu anawaona hadi mnabebwa

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs 6 месяцев назад +4

    Mbeleko FC🥱🥱🥱🤣🤣🤣🤣

  • @brysonjohn5306
    @brysonjohn5306 6 месяцев назад +3

    Ila kipa wanae!

  • @MeddyMusic4
    @MeddyMusic4 6 месяцев назад +3

    Uwezo wayanga nimkubwa sasa waonyesha viwango

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 6 месяцев назад +6

    Red mumepiga sana mpira lakini kilichokuponzeni ni hii jezi, imekaa kimnyama mnyama, na Yanga akiona hii kitu lazima aifanye kitu mbaya!

    • @iamdivineimage
      @iamdivineimage 6 месяцев назад

      Kitu mbaya ipi wakati alibebwa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 6 месяцев назад

      @@iamdivineimage Imekojoa mgongoni

    • @iamdivineimage
      @iamdivineimage 6 месяцев назад

      @@hajihassan5433 Hamna kitu utopolo mtupu

    • @ArabianDivaAyesha
      @ArabianDivaAyesha 5 месяцев назад

      Wakat wamebebwa 😅😅😅na mlishabebwa sana kwn hatujui