Kunatofauti kubwa timu zinazokutana zikiwa nafasi ya tatu nayanne eti ulinganishe na timu zinazoongoza ligi kwenye nchi zao ukubali umkatae ukweli yanga ni tishio💚💛🙏🥎
Mmehamia kwenye pesa Tena? Mbn Hansem moo anapesa kuliko GSM ,hatun shda ya pesa ,hpa n HESHIMA YA TIMU NA NCHI ,WAJI.........WAPEN MOYO MAHAMUMA WENZENU.
Wewe siulikuwa unasema simba afiki maalipopote leo unabadilika unasemaea zawadi zakupata baadala ya kuonyesha uchambuzi wako kama ni mtu mueledi kwenye uchambuzi sio upenzi wako ugekuwa unaongelea hatua za timu zetu zipofikia sio kuongelea mambo ya pesa wewe ni mchumi?
Waliwaze Salamba. Mpira tunaujua kuliko unavyodhani.Leo ukiwaambia Yanga, wachague fedha na kufuzu robo fainali,watatofautiana na wewe.Fedha baadae hadhi ya kushinda kwanza
Ukweli unauma sio,subirini kukatwa tu alama na robo yenu ya shirikisho hamuendi popote na hamuwezi kuvunja rekodi ya Yanga mnatamba Bure tu na robo ya waliofeli kwanza mmecheza na vibonde mechi zote,kama mnabisha,angalia timu zilizocheza na kolo zinashika nafasi ya ngapi kwao
Tuko gizani sana, 1.Yanga/Simba zote zimewahi kucheza shirikisho 2.timu zilizoko shirikisho mwaka huu zimewahi kutambua Champions CAF,ni kupishana tu Kwa kupumulia 3.Ukisema Yule pale,wewe je uko wapi,unafanya nini? HILO TU
Wew kwelii n professor, big up!!!
Jitahidi kuwapa moyo migongo wazi, utateseka sana
Kweli baba waambie waelewe
Pole salamba inakuumiza timu Yako kutolewa
Usema ukweli walijituma sana bas tu mungu hakupenda
😂😂😂😂 kweli wachambuzi wengine vichwani hakuna kitu unampongezaje mtu aliefeli
Chawa.....sio mchambuzi!!!
Safe sana😅😅😅
Huyo salamba ndumila kuwili
Ramadhan Mbwaduke ndiyo mchambuzi Makini Mzee wa data namkubali saana
Huna jipy wew kwenye uchambuzi unaongea pumba tu
Endeleeni kuwapoza
Maneno ya mkosaji hayo salamba
Speech zako za nyuma hebu ziangalie
Kunatofauti kubwa timu zinazokutana zikiwa nafasi ya tatu nayanne eti ulinganishe na timu zinazoongoza ligi kwenye nchi zao ukubali umkatae ukweli yanga ni tishio💚💛🙏🥎
Dah makolo hamjui Mpira kipi msichojua hapo
mashindano haya yanaviwango kadri unavyoshinda kitu kidogo tu kila mtu anacuambua kwa mapenzi ya timu yake
Mmehamia kwenye pesa Tena? Mbn Hansem moo anapesa kuliko GSM ,hatun shda ya pesa ,hpa n HESHIMA YA TIMU NA NCHI ,WAJI.........WAPEN MOYO MAHAMUMA WENZENU.
Acha uongo
Piga kelele kwa Yanga oyooooooooooo😂😂😂
Kama simba akiishia robo atapoteza point 14,na yanga alieishia makundi anapoteza point ngapi
Chawa
Mnaosema yanga hajafuzu kwan ninyi mlitaka yanga aishie wp
hajui hanachoongey
Uchawa huo
Waandishi mnamuonea Dominik salamba Hilo swali aulizwe bwaduke mzee wa data
Wewe mbovu na Yanga yako, hata kama Yanga watavuta mpunga mwingi, haituhusu, Simba wenyewe walishawahi kuchukua mkwanja mrefu, hiyo siyo mada
Wewe siulikuwa unasema simba afiki maalipopote leo unabadilika unasemaea zawadi zakupata baadala ya kuonyesha uchambuzi wako kama ni mtu mueledi kwenye uchambuzi sio upenzi wako ugekuwa unaongelea hatua za timu zetu zipofikia sio kuongelea mambo ya pesa wewe ni mchumi?
Halafu Tv hii ni ya MACHAWA WA 🐸🐸🐸🐸🐸🐸
Chomoa kama inauma kolo wewe
Hapa hatuzungumzi pesa.Tunazungumza kufuzu
Kufuzu kwa waliofeli au kifuzu kwa mabingwa? We unazungumzia kufuzu ipi?
Mpuuz nn mbumbumbu fc huelewi unalazimisha tui la nazi kuwa maziwa
@@ototek8037 Sasa hao waliokuwa kwa Mabingwa mbona Wamefeli? Warudi utopoloni walikozoa
UNAZINGUA SALAMA PUNGUZA MAHABA
Liongo hilo lichambuzi
Unajulikana wewe nichawa wa yanga nyumba mwiko kinachopiganiwa hapa ni kufuzu sio pesa wewe ni Ms...........
Wataelewa tuuuuuu wa upande ule
Sasa chet unapewa ukihitimu au ukiwa katikati ya masomo mchambuzi mjinga mpira unasemewa na wajinga
Dominick jadili mpira.mbona unajihaibisha lkn?
Andika vizuri huko,unajihaibisha ndo nn,mkiambiwa ukweli mnatoa kauli zisizo na mashiko kolo wewe dunduka usiyejitambua
Waliwaze Salamba. Mpira tunaujua kuliko unavyodhani.Leo ukiwaambia Yanga, wachague fedha na kufuzu robo fainali,watatofautiana na wewe.Fedha baadae hadhi ya kushinda kwanza
Ukweli unauma sio,subirini kukatwa tu alama na robo yenu ya shirikisho hamuendi popote na hamuwezi kuvunja rekodi ya Yanga mnatamba Bure tu na robo ya waliofeli kwanza mmecheza na vibonde mechi zote,kama mnabisha,angalia timu zilizocheza na kolo zinashika nafasi ya ngapi kwao
Wewe chawa wayanga chambua mpira maneno swara nikufuzu bwege acha uchawa
Tuko gizani sana,
1.Yanga/Simba zote zimewahi kucheza shirikisho
2.timu zilizoko shirikisho mwaka huu zimewahi kutambua Champions CAF,ni kupishana tu Kwa kupumulia
3.Ukisema Yule pale,wewe je uko wapi,unafanya nini?
HILO TU
Huyu mbona anaongea kama msemaji wa yanga na sio mchambuzi wa soka