HII NDIO TIMU ILIYOVUNA PESA NYINGI KIMATAIFA • Je, wamebebwa?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 48

  • @AndreaMrisho
    @AndreaMrisho 11 дней назад

    Wew kwelii n professor, big up!!!

  • @tumlashaibu
    @tumlashaibu 12 дней назад +1

    Jitahidi kuwapa moyo migongo wazi, utateseka sana

  • @Vickydawi-g5k
    @Vickydawi-g5k 13 дней назад +4

    Kweli baba waambie waelewe

  • @EmmanuelPeter-p8f
    @EmmanuelPeter-p8f 12 дней назад +1

    Pole salamba inakuumiza timu Yako kutolewa

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 13 дней назад +2

    Usema ukweli walijituma sana bas tu mungu hakupenda

  • @allyabdi8804
    @allyabdi8804 11 дней назад

    😂😂😂😂 kweli wachambuzi wengine vichwani hakuna kitu unampongezaje mtu aliefeli

  • @sulemammgeveke6265
    @sulemammgeveke6265 13 дней назад +1

    Chawa.....sio mchambuzi!!!

  • @Vickydawi-g5k
    @Vickydawi-g5k 13 дней назад +2

    Safe sana😅😅😅

  • @farishfarish258
    @farishfarish258 12 дней назад +1

    Huyo salamba ndumila kuwili

  • @michezotanzaniatv
    @michezotanzaniatv 12 дней назад

    Ramadhan Mbwaduke ndiyo mchambuzi Makini Mzee wa data namkubali saana

  • @MjaryaToto
    @MjaryaToto 12 дней назад +1

    Huna jipy wew kwenye uchambuzi unaongea pumba tu

  • @MwitaHassan-x2t
    @MwitaHassan-x2t 12 дней назад

    Endeleeni kuwapoza

  • @AssaKhamiss
    @AssaKhamiss 12 дней назад +1

    Maneno ya mkosaji hayo salamba

  • @MeshackMichael-xi1bn
    @MeshackMichael-xi1bn 12 дней назад

    Speech zako za nyuma hebu ziangalie

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 8 дней назад

    Kunatofauti kubwa timu zinazokutana zikiwa nafasi ya tatu nayanne eti ulinganishe na timu zinazoongoza ligi kwenye nchi zao ukubali umkatae ukweli yanga ni tishio💚💛🙏🥎

  • @OmaryMwinjuma-x1i
    @OmaryMwinjuma-x1i 12 дней назад

    Dah makolo hamjui Mpira kipi msichojua hapo

  • @davisbwatwa115
    @davisbwatwa115 12 дней назад

    mashindano haya yanaviwango kadri unavyoshinda kitu kidogo tu kila mtu anacuambua kwa mapenzi ya timu yake

  • @AroniBruno-v2b
    @AroniBruno-v2b 11 дней назад

    Mmehamia kwenye pesa Tena? Mbn Hansem moo anapesa kuliko GSM ,hatun shda ya pesa ,hpa n HESHIMA YA TIMU NA NCHI ,WAJI.........WAPEN MOYO MAHAMUMA WENZENU.

  • @SerafiniAxweso
    @SerafiniAxweso 12 дней назад

    Acha uongo

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 13 дней назад

    Piga kelele kwa Yanga oyooooooooooo😂😂😂

  • @saidtindwa5793
    @saidtindwa5793 10 дней назад

    Kama simba akiishia robo atapoteza point 14,na yanga alieishia makundi anapoteza point ngapi

  • @mgeningogomeloathuman7230
    @mgeningogomeloathuman7230 13 дней назад

    Chawa

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 12 дней назад

    Mnaosema yanga hajafuzu kwan ninyi mlitaka yanga aishie wp

  • @masudijuma-g1o
    @masudijuma-g1o 13 дней назад

    hajui hanachoongey

  • @michezotanzaniatv
    @michezotanzaniatv 12 дней назад

    Uchawa huo

  • @DanielJamesNgulo
    @DanielJamesNgulo 12 дней назад

    Waandishi mnamuonea Dominik salamba Hilo swali aulizwe bwaduke mzee wa data

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 11 дней назад

    Wewe mbovu na Yanga yako, hata kama Yanga watavuta mpunga mwingi, haituhusu, Simba wenyewe walishawahi kuchukua mkwanja mrefu, hiyo siyo mada

  • @respiciusmugezi8645
    @respiciusmugezi8645 12 дней назад

    Wewe siulikuwa unasema simba afiki maalipopote leo unabadilika unasemaea zawadi zakupata baadala ya kuonyesha uchambuzi wako kama ni mtu mueledi kwenye uchambuzi sio upenzi wako ugekuwa unaongelea hatua za timu zetu zipofikia sio kuongelea mambo ya pesa wewe ni mchumi?

  • @AnciscoKayombo
    @AnciscoKayombo 13 дней назад

    Halafu Tv hii ni ya MACHAWA WA 🐸🐸🐸🐸🐸🐸

  • @FarialaRokambele-n8w
    @FarialaRokambele-n8w 13 дней назад

    Hapa hatuzungumzi pesa.Tunazungumza kufuzu

    • @ototek8037
      @ototek8037 13 дней назад +1

      Kufuzu kwa waliofeli au kifuzu kwa mabingwa? We unazungumzia kufuzu ipi?

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 13 дней назад +1

      Mpuuz nn mbumbumbu fc huelewi unalazimisha tui la nazi kuwa maziwa

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 12 дней назад

      ​@@ototek8037 Sasa hao waliokuwa kwa Mabingwa mbona Wamefeli? Warudi utopoloni walikozoa

  • @michezotanzaniatv
    @michezotanzaniatv 12 дней назад

    UNAZINGUA SALAMA PUNGUZA MAHABA

  • @AllyHussein-qc3vm
    @AllyHussein-qc3vm 12 дней назад

    Liongo hilo lichambuzi

  • @bapetapo3997
    @bapetapo3997 12 дней назад

    Unajulikana wewe nichawa wa yanga nyumba mwiko kinachopiganiwa hapa ni kufuzu sio pesa wewe ni Ms...........

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu2380 13 дней назад

    Wataelewa tuuuuuu wa upande ule

  • @RajjMohamed
    @RajjMohamed 12 дней назад

    Sasa chet unapewa ukihitimu au ukiwa katikati ya masomo mchambuzi mjinga mpira unasemewa na wajinga

  • @FarialaRokambele-n8w
    @FarialaRokambele-n8w 13 дней назад

    Dominick jadili mpira.mbona unajihaibisha lkn?

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 13 дней назад

      Andika vizuri huko,unajihaibisha ndo nn,mkiambiwa ukweli mnatoa kauli zisizo na mashiko kolo wewe dunduka usiyejitambua

  • @ownmpompo6299
    @ownmpompo6299 13 дней назад

    Waliwaze Salamba. Mpira tunaujua kuliko unavyodhani.Leo ukiwaambia Yanga, wachague fedha na kufuzu robo fainali,watatofautiana na wewe.Fedha baadae hadhi ya kushinda kwanza

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 13 дней назад

      Ukweli unauma sio,subirini kukatwa tu alama na robo yenu ya shirikisho hamuendi popote na hamuwezi kuvunja rekodi ya Yanga mnatamba Bure tu na robo ya waliofeli kwanza mmecheza na vibonde mechi zote,kama mnabisha,angalia timu zilizocheza na kolo zinashika nafasi ya ngapi kwao

    • @EkaristMande
      @EkaristMande 12 дней назад

      Wewe chawa wayanga chambua mpira maneno swara nikufuzu bwege acha uchawa

    • @ownmpompo6299
      @ownmpompo6299 12 дней назад

      Tuko gizani sana,
      1.Yanga/Simba zote zimewahi kucheza shirikisho
      2.timu zilizoko shirikisho mwaka huu zimewahi kutambua Champions CAF,ni kupishana tu Kwa kupumulia
      3.Ukisema Yule pale,wewe je uko wapi,unafanya nini?
      HILO TU

    • @allyabdi8804
      @allyabdi8804 11 дней назад

      Huyu mbona anaongea kama msemaji wa yanga na sio mchambuzi wa soka