Arsenal mpaka leo tangia Aondoke Wenger,wanasajili vijana,ubingwa hawajauona karibu mika 20! CHAMPIONS LEAGUE,wameiona JUZI baada ya miaka 12! Huku Man City na Liverpool wakilajili wanaume! Shauri yenu! Azam akishaonja CAFCL,haiachii! Simba watasota sana msimu huu!
Arsenal mpaka leo tangia Aondoke Wenger,wanasajili vijana,ubingwa hawajauona karibu mika 20! CHAMPIONS LEAGUE,wameiona JUZI baada ya miaka 12! Huku Man City na Liverpool wakilajili wanaume! Shauri yenu! Azam akishaonja CAFCL,haiachii! Simba watasota sana msimu huu!