🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio

Комментарии • 34

  • @zillerbas7048
    @zillerbas7048 Месяц назад +1

    Watching from KLF Kenia ...Ukizungumzia mcees wanaopeperusha benderq ya east Africa tusimsahau mex Cortez na freshlikeuuh

  • @RobertMwamlima-ek9pd
    @RobertMwamlima-ek9pd Месяц назад +2

    bar city baby❤ ,who gat barz ? Mex got bars

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 Месяц назад

    That's hip hop raw Uncut ❤

  • @kilimohub580
    @kilimohub580 Месяц назад

    noma

  • @PaulNgoroi-xv3eq
    @PaulNgoroi-xv3eq Месяц назад

    Shida kubwa Nikwamba wa Tanzania 🇹🇿 wengi hawajui tofauti ya mainstream rappers na underground rap ndiyo maana mnachanganya maji na mafuta

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla Месяц назад

    Mex.cortez a.k.a Nalmendraa

  • @fredrickkakila9392
    @fredrickkakila9392 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Месяц назад

    Mex

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Месяц назад

    Hawa ndio watu wa kupewa nafasi

  • @Dundo-tv6005
    @Dundo-tv6005 Месяц назад

    Uyu mwamba namkubali

  • @user-yw4og4vn5t
    @user-yw4og4vn5t Месяц назад

    Natamani jamaa afikembali kimataifa ili atuwakilishe Tanzania🇹🇿🇹🇿

  • @mimibusarachibu
    @mimibusarachibu Месяц назад

    Mi nilishasemaga sana, huyo mtu wenu Young Lunya ni Utopolo tu, hawezi hizi pigo za Mex Cortez

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Месяц назад

      Sisi hatubishani tunaangalia namba na wasikilizaji tu mana tukibishana tutapotezeana muda tu😁

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 Месяц назад

      ​@@Oldskulgemini9991Sasa ndio unapopotea msanii akiwa na wasilikilizaji wengi ndio anajulikana sana? Sio kweli nenda china & Korea huko kuna watu wanawasikilizaji wengi na hatuwajui

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 Месяц назад

      ​@@Oldskulgemini9991fact huna mtu kaingiza nyimbo mpaka kwenye mixtape ya msanii mkubwa wa hiphop marekani halafu wewe kutoka bongo unasema hajulikani 😂😂😂😂. Wewe ndio unaleta story

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Месяц назад

      @@mugadimon3563 nani anaemjua Mex Cortez bana na wewe Ebu acha siasa bana😂 kuingia kwenye mixtape ya msanii inatokana na msanii mwenyewe kukubali tu uwezo wako haimaanishi ndo umekuwa mkubwa bana😅 Sasa Mzee unataka fact Gani hapo, nimeshakupa hapo kwamba tafuta nani anawasikilizaji wengi kwenye digital platforms zote nani ana showbiz kubwa kuliko mwenzake ndo urudi na majibu hapa, acha kurukaruka twende kwenye point

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Месяц назад

      @@mugadimon3563 hao wasanii wa china wanajulilana Sana huko kwao Asia Sasa wewe unataka uwajue wasanii wa china we mziki wao unaelewa? Hakuna msanii Duniani ambae anawasikilizaji wengi alafu asiwe maarufu hizo fact zako za uongo kabisa, Dunia nzima ukiona msanii anawasikilizaji wengi lazima na umaarufu uwe mkubwa ukiona wasikilizaji wadogo hata umaarufu lazima uwe mdogo

  • @IssaChijuni
    @IssaChijuni Месяц назад

    Young lunya ninoma sana sema tyu amutaki kuelewa pia wasaniih wenu awajulikan

    • @MariamuMwalongo
      @MariamuMwalongo Месяц назад +3

      LUNYA HAMNA ALICHOMZIDI HUYU JAAMAAAA N BALAAA LUNYA KAMZID MEX CORTEZ LABDA HERUFI ZA MAJINA

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 Месяц назад +1

      Mex Cortez yupo kwa mixtape(who got bars volume 2)ya mkali wa hip hop marekani KING CASSIDY sasa hajulikani.
      Best hip hop artist East Africa khalighraph Jones anamjua.

    • @HerokuPlatform
      @HerokuPlatform Месяц назад +1

      ivi wew unamjuwa kweli uyo Mex 😂umfaananishe na young kunya

    • @impeccablerito7922
      @impeccablerito7922 Месяц назад

      Uwezo wa kufikiri na uwezo wa akili ya mtu unapimwa kwa maneno yake ni wazi una akili vinyu. Msanii mkali anapimwa kwa Talent na Skills. Sasa ww ukiangalia Umaarufu you're fuckin' STUPID. Mex anaweza kufanya anachofanya Lunya, JE Lunya anaweza kufanya anachofanya Mex kuanzia utunzi, Lugha na kutwist flows kama Mex ??

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 Месяц назад

      @@impeccablerito7922 😁😁😁😁😁 madogo wanazingua