From Kenya i respect Mex this nigga is a G sema nyinyi wa Tz ni washamba kumamake😂....you niggas wanna hear only Hiphop in swahili sawa naelewa but remember real hiphop lazima you have to a conscious flow of rap in english OG wote wa hiphop lazima uweze kuswitch flow between english and swahili na Mex is a complete package appreciate what you have sio kubweka tu kama huelewi kizungu soma lyrics na vitabu.
Wewe ndo mshamba Sasa , watu wanajivunia na kitu chao, kiswahili in chetu lazima kitukuzwe, sasa wa ngangania kiingereza we ni muingereza. Si twaskia raha tukiskia kina Nas in Swahili version. Acha akili zakitumwa bado.uliskini Vladimir Putin akiongea kizingereza kwa Conference ?
Mex is arguably top 5 in Africa in terms of pen game & flow. Ruyonga from UG is nice like that too. Big Mex fan kutoka KE
Respect to Mex Cortez
Respect the OGz. Mex is a G.
Nakubali mex kwa heshima kubwa kwa fid Q
Respect sana kwa freestyle
Next level mex kawafunika wakongwe
From Kenya i respect Mex this nigga is a G sema nyinyi wa Tz ni washamba kumamake😂....you niggas wanna hear only Hiphop in swahili sawa naelewa but remember real hiphop lazima you have to a conscious flow of rap in english OG wote wa hiphop lazima uweze kuswitch flow between english and swahili na Mex is a complete package appreciate what you have sio kubweka tu kama huelewi kizungu soma lyrics na vitabu.
Wewe ndo mshamba Sasa , watu wanajivunia na kitu chao, kiswahili in chetu lazima kitukuzwe, sasa wa ngangania kiingereza we ni muingereza. Si twaskia raha tukiskia kina Nas in Swahili version. Acha akili zakitumwa bado.uliskini Vladimir Putin akiongea kizingereza kwa Conference ?
Daaa Mex unanikumbusha Dogo Hashim WA kikosi Cha mizinga
🔥🔥🔥🔥🔥👑👑👑 MEX
Respect to Mex fid real wanyama
Mex unajua sana mdogo wangu
Noma Sana mex
Muulize huyo jamaa anamkubali dizaztar vina
Umenfurhxha bro
Vina🔥🔥🔥🔥
Vina si katokea ukoo wake kwann asimjue
Hapo kwa dizastza lazma atamkubali
Lol modo wake ni One the incredible
Kendrick wa bongo huyu
Nouma sana Mex
jamaa yuko smart sana hata kwenye kuongea
Kama sijisikii kumsikiliza Drake nasikiliza Mex tz
Muulize uyo jama anamkubali Young killer ❤
Bila shaka anamkubali labda kama wamezinguana hivi kalibuni
Tamaduni wanamkubali young killer,,killer ni hip hop
Full mkoba,
I just pass by as a walker
Tema yai nation
Uyo jamaa kusoma ingilishi midiam ndo anajiita international artist aache uchiz
Acha makasiriko😂😂😂 ukitaka kuwa International tumia International language
Kweli ingilisiiiiii😂😂😂
Sasa na wewe si uende ukasome
Ingilishi
Kasome na wewe mlughalugha
Jamaa hatar uyu