Kassim Mganga - ODO UMMY (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2020
  • #KassimMganga #OddoUmmy #OfficialVideo @SlideDigital
    (C) Slide Digital
    SMS [Skiza 8091879] to 811
    Kassim Mganga Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/kassimmganga
    Written & Performed by Kassim Mganga
    Follow Kassim Mganga on:
    Instagram; / kassimmganga
    Twitter: / kassimmgangaa
    Facebook: / kassim.mganga.3
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 184

  • @abdusaalim5228
    @abdusaalim5228 3 года назад

    Odo ummy mwalimu umpe zawadi kwakweli Kassim mganga kafanya kazi kubwa sana tena sana

  • @musasimba3689
    @musasimba3689 3 года назад +13

    Wimbo namba moja kwa nyimbo zote za kampeni

  • @agnessfedrick1368
    @agnessfedrick1368 3 года назад

    Hapana chezea Odo Tanga raha sana. Kasimu Mungu akubariki sana wimbo unaladha tamu.

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 года назад

    Keki plus hiyo ndiyo tanga yetu mambo bulibuli 👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️🔥🔥🔥

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 3 года назад +1

    Hatareee sana Mzee Baba

  • @mariamsalum6737
    @mariamsalum6737 3 года назад +14

    Swahiba mganga nimekuelewa hunaga shoo mbovu piga kelele watoto kumi na nane

  • @medystarter
    @medystarter 3 года назад +9

    Like zote kwa cassim mganga ✔️✔️Sasa kwa hii nyimbo ya odo ummy 🎶🤔dislike zinatoka wapi au ndio mna roho za kichawi.
    @meddystarter

  • @travellingandadventures2549
    @travellingandadventures2549 3 года назад +7

    Hii ndo nyimbo nzur kuliko zote ya chama

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 года назад +6

    Huyu Kassim mganga huwa anaimba vizuri kweli yaani unausikiliza mziki mpaka unauelewa hongera sana Kassim kwa wimbo mzuri.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 года назад +9

    Wooooow odo ummy kama namuona huko👏👏👏👏👏👏👏atakuwa na raha huyo,raha ya uongozi wananchi wako wakuelewe...mashaAllah umy mwalimu Allah aendelee kukuongoza na kuimarisha uongozi wako.🙏🙏🙏🙏

  • @khulekanifelixnxumalo949
    @khulekanifelixnxumalo949 3 года назад

    Kasim unaweza kaka mzee wa manza bay uko juu

  • @cpaissachengo4705
    @cpaissachengo4705 3 года назад +10

    Am from kenya but all the songs for campaigns in tz....if you agree with me hit the like

  • @thomasmakala2082
    @thomasmakala2082 3 года назад +7

    Mdumange bila ya wale wadada wa Dar wanaojiita vyura wakutikisa makalio, fundi Kassim respect.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 года назад +20

    Oyee ooyee oyee jamani kati ya nyimbo zote za kampeni hii nimeipenda zaidi...ngoma pambe sana👏👏👏👏👏👏👏👏hongera kassim

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 3 года назад +5

    Wimbo Moto wakuotea mbali dogo kassim mganga hoyeee na odo ummy hoyee

  • @user-un3df1sl2h
    @user-un3df1sl2h 3 года назад +4

    Watu watanga tujuane jamani

  • @abdusaalim5228
    @abdusaalim5228 3 года назад

    Umefunika nyimbo zote katika nyimbo za vyama wee mkaliwao bhana mduara flani hivi

  • @kamkamandallaz7793
    @kamkamandallaz7793 3 года назад

    Kassim wewe hatari sana j'adore

  • @fatinamohamedy8710
    @fatinamohamedy8710 3 года назад +15

    Kassim hunaga papara wallah saut imetulia maashallah yani tulivu daaaah

  • @husseinchea5524
    @husseinchea5524 3 года назад +20

    Kiswahili cha tanga kitamu km vile cha Zanzibar na mombasa💕😊

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 3 года назад

    Wao wimbo mzuri sana

  • @keptenpojos821
    @keptenpojos821 3 года назад

    Kali sanaa taratibuuu

  • @sophiaabdallah7870
    @sophiaabdallah7870 3 года назад

    Wow wimbo mzuri like it

  • @michaelmdoe9368
    @michaelmdoe9368 3 года назад +2

    Kasimu nakukubali sana najivunia wanamusic wazuri wa mkoa wangu. #kasimumganga #romazimbabwe#matonya#wagosiwakaya nawengine mpaka #boshooninja

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 3 года назад +2

    Walahi ndio mara ya kwanza kuona mashalah kasim ngoma bila ya mauno sijui chura baikoko hiii lazima upate medali daah umetulia hamna hashuo la mutako

  • @sheeabdulkareem3316
    @sheeabdulkareem3316 3 года назад +9

    Odo ummy donyoa Tanga ni yako much Love all the way from mombasa kenya

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza 3 года назад +5

    Kiswahili kimezaliwa pwani, raha za pwani duh 😍

  • @mishymohamedy7821
    @mishymohamedy7821 3 года назад +9

    Ummy anatosha 🔥🔥🔥

  • @superkalimsangazi8724
    @superkalimsangazi8724 3 года назад

    Babaako mdogo mimi 🇹🇿 😁

  • @mariambakari9874
    @mariambakari9874 3 года назад +13

    Weuweeeeeeee👌👌 Tanga yetu oyeeeeeee makorora twadeka Na ummy wetu 😘😘❤💕

    • @user-un3df1sl2h
      @user-un3df1sl2h 3 года назад

      Umeonae tanga kwetu rahaa bwana asikwambie mtu

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 года назад +1

    Ummi umpe zawadi kassim

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 3 года назад +6

    Motooooo odo ummy 💥💥💥👏👏

  • @wifematerial249
    @wifematerial249 3 года назад +13

    Yaaani. I love you that anything you sing is beautiful. Love from Bahrain ❤️

    • @eltajir
      @eltajir 3 года назад

      Really?

    • @kingston6736
      @kingston6736 3 года назад

      Bahrain side gani coz mm pia nko bahrain juffar

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 года назад +2

    Weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mganga umenikuna mieeeee mambo ya odo hayoooooooooo👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️👯‍♂️

  • @moshyn1
    @moshyn1 3 года назад

    Mashairi ni mazuri sana sema temple imemuangusha sana beat ipo slow kuliko ilivyotakiwa

  • @nuromussa9926
    @nuromussa9926 3 года назад +1

    Wenye kazi wameludi kazini

  • @naylatwalibu6459
    @naylatwalibu6459 3 года назад

    Tanga Raha#kura kwa ODOUMMY#

  • @barkeumar3854
    @barkeumar3854 3 года назад

    Tam tam ccm juuu

  • @christinashaban7262
    @christinashaban7262 3 года назад +2

    Utaumwa sana na magufuli na ndiyo habari ya mjini

  • @habau_jr1755
    @habau_jr1755 3 года назад +2

    Bro. Safi sana

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 года назад +2

    MGANGA😍😍

  • @AyushAli-gv1yl
    @AyushAli-gv1yl 3 года назад +12

    Mimi mkenya lkn nakupenda sanaa tanga mashaallah tabarak Allah mazingira yao masafi sanaa

    • @kalebumkandi6439
      @kalebumkandi6439 3 года назад

      Mkenya wapi wewe jaman😁

    • @jamalsaedkivuruge4080
      @jamalsaedkivuruge4080 3 года назад

      @@kalebumkandi6439 umeona alivyo na sifa za kijinga

    • @user-un3df1sl2h
      @user-un3df1sl2h 3 года назад

      Mkenya wawapi?rabai au mazera au jimba au kisauni au mshomoroni au kongoea au fria taun tuambiazane mana mimi nia watanga lakini kenya mombasa naifaham vizuri au wewe nairobi moja

    • @jamalsaedkivuruge4080
      @jamalsaedkivuruge4080 3 года назад

      @@user-un3df1sl2h wamezoea kutumia Jina la Kenya ndo wapate like kwn ujawajua achana nae askusumbue akili

    • @user-un3df1sl2h
      @user-un3df1sl2h 3 года назад +1

      Kumbee nilikuwa sijui

  • @hemedhaulee3856
    @hemedhaulee3856 3 года назад

    Am tz but stay in dubai am following u broo

  • @seiftanzania5320
    @seiftanzania5320 3 года назад +5

    Naam🔥🔥🔥🔥 Oddo atosha kabisa

  • @davidjayunga6583
    @davidjayunga6583 3 года назад +1

    Safi sana

  • @sherrysalim50
    @sherrysalim50 3 года назад +10

    Km ulikuwa unasubiri kwa hamu videoclip gonga like 👌🏽 Asante Kassim nakukubali 💯%

  • @sixbetusumewashaa5677
    @sixbetusumewashaa5677 3 года назад

    Nakubaliiii

  • @hamidumchomvu1194
    @hamidumchomvu1194 3 года назад

    Ya habiib Tanga iweza

  • @kimwerionlinetv5574
    @kimwerionlinetv5574 3 года назад +5

    Kama umeiona 15 shuka like yako hapa #Tanga_raha sana homesweethome

  • @mohammedndaki928
    @mohammedndaki928 3 года назад +1

    We nae kassim umeshindwa sas

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 3 года назад +2

    ODO UMMY...👌💃🤗

  • @tejalamapenzikindua779
    @tejalamapenzikindua779 3 года назад +5

    Sawa Patna nimekusoma

  • @tamimuwaziri9692
    @tamimuwaziri9692 3 года назад

    Hakuna wa kukufikia uwezo wako kassim najuwa hata wasanii wenzako wanajuwa hilo💯💯

  • @rwegacelemensi5485
    @rwegacelemensi5485 3 года назад +1

    Unajua nyimbo zote magufuri magufuri mpaka zinaboa kabsa ila wewe hapa umeonesha uodari wako sio kama wakina mondi wafata upepo

  • @Machuka_
    @Machuka_ 3 года назад +2

    Kali sanaaaa.

  • @freduallughano2301
    @freduallughano2301 3 года назад +2

    we jamaa nalazimika ku download pamoja na kutoipenda fisiem,dah tamu sana!

  • @bakariamour6024
    @bakariamour6024 3 года назад +2

    Mnashindwa na kipande kidogo tuu cha kutokea Muheza mpaka Pangani pia duu ccm naivulia kofia, hiki chama ipo siku Mungu atakisambaratisha kama sifi, kama alivyosema Mwenyezi Mungu katika quruan atayafanya majabali kuwa sifi basi na ccm itakuwa ivyo hivyo

  • @ashaomary347
    @ashaomary347 3 года назад +1

    Mashaallah Kasim Safi wimbo mzuri

  • @amirially8865
    @amirially8865 3 года назад +1

    Oii najikuta akili yangu iko TNG nikija kung'aza macho vzr najiona niko +971 UAE hii daaaaah noma kweli mzee bb

  • @kassimshabanially655
    @kassimshabanially655 3 года назад +2

    Wap wa jina❤😘

  • @muniramunira9941
    @muniramunira9941 3 года назад

    🔥🔥🔥

  • @esadkulovic6777
    @esadkulovic6777 3 года назад +1

    Hoyee ccm no 1.Tanga raha×2.

  • @brayankennerdy736
    @brayankennerdy736 3 года назад

    Saut nzuri wimbo mzuri tatzo n hilo jezi la kijanii

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 3 года назад +1

    Nice song

  • @kapesamjenga5168
    @kapesamjenga5168 3 года назад

    Video nzuri sana INA maadili ya home tanga safi kaka kasim

  • @mdzadzapetitkabetch5857
    @mdzadzapetitkabetch5857 3 года назад +2

    cool💞💞👊

  • @zahirjumanne8520
    @zahirjumanne8520 3 года назад +7

    Bonge la ngoma kama umeikibali gonga like

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 3 года назад +3

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @julietbeka7331
    @julietbeka7331 3 года назад +1

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤝

  • @moudyhamisi2641
    @moudyhamisi2641 3 года назад +1

    Hakuna kama Kasimu Mganga

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 года назад +4

    Hamna anaecheza uchi haya ndio maadili halisi ya tz yetu

  • @davejoe5949
    @davejoe5949 3 года назад

    I love your song kassim, kweli vipaji vipo, please toka mkuu

  • @khadijazinga8173
    @khadijazinga8173 3 года назад +1

    Umeua katika nyimbo zote za kampeni🔥🔥🔥it lit

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 3 года назад +1

    🔥🔥🔥👍🏻

  • @jumaseif2140
    @jumaseif2140 3 года назад

    Mgangaaaa nakubaliii

  • @shaaqlassique6644
    @shaaqlassique6644 3 года назад

    Always on top

  • @tedkadodo2790
    @tedkadodo2790 3 года назад +2

    kassim nakukubali..ccm no one

  • @fadhilyusuf8475
    @fadhilyusuf8475 3 года назад

    Tangu ulipoacha mziki ungekuambali sana umepoteza

  • @Kba_inv
    @Kba_inv 3 года назад

    Ujawai kosea🔥🔥🔥🔥🔥

  • @daudikinyonyi5965
    @daudikinyonyi5965 3 года назад

    Ummy deserve this song
    Love u so much ummy.
    Hakika ni Malikia wa wanguvu

  • @KIPUDA2023
    @KIPUDA2023 3 года назад

    Cool

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos2008 3 года назад

    Natokea kusini mwa Tanzania ingawa sielewi vizuri kiswahili cha Tanga lakin nimeenjoy na ngoma Kali.

  • @issamaundu4876
    @issamaundu4876 3 года назад

    fundiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 3 года назад +2

    Odo ummy

  • @asashsjsj797
    @asashsjsj797 3 года назад

    Tajiri wa mahabaaa❤❤❤

  • @luugorgeous2709
    @luugorgeous2709 3 года назад +2

    Mpiga ngoma yuko sawa mpk kisigino kina kazi hapo ya kutengeneza sound😃😂😁

  • @aminaramadhani2733
    @aminaramadhani2733 3 года назад +1

    Hongela bro mic you 😘

  • @AB-ym2pu
    @AB-ym2pu 3 года назад +1

    nice one

  • @amigodossantos4129
    @amigodossantos4129 3 года назад

    I remember this Sister CCM

  • @ayoubsuleiman3675
    @ayoubsuleiman3675 3 года назад +6

    Hahahaaaa mm huwa najiulizaga tu hivi wasanii huwa wanapoteleaga wp au huwa wanashiba fedhwa jmn sasa kama huyu mbona anauwezo mkubwa kabisa lkn ndo kimyaaaa

  • @abdallahchande730
    @abdallahchande730 3 года назад +1

    Odo ummy upo juuu,

  • @innocentvalerian8205
    @innocentvalerian8205 3 года назад +5

    mkimaliza hapa muanze kutulalamikia et wasanii mnadhulumiwa hamna haki miliki akati mnaside na wanao wakandamiza PUMBAV KABISA

  • @OmarOmar-ri9eg
    @OmarOmar-ri9eg 3 года назад

    Am from kenya from al campaign songs this is my number one

  • @fatnahsaleh860
    @fatnahsaleh860 3 года назад +2

  • @abdillahkaguro1694
    @abdillahkaguro1694 3 года назад +1

    NZURI SANA

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 3 года назад +1

    Wow Mashaallah ☝️👍👍👍❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @kapesamjenga5168
    @kapesamjenga5168 3 года назад

    Mimi sio Ccm ila hii nimeikubali sana

  • @fey_tz615
    @fey_tz615 3 года назад +2

    👌👌👌👌👌

  • @massoudsultan3926
    @massoudsultan3926 3 года назад +1

    DADA mpe kofia

  • @pierreh255
    @pierreh255 3 года назад

    tartiiibuuuu