Kassim Mganga - ODO UMMY (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2020
- #KassimMganga #OddoUmmy #OfficialVideo @SlideDigital
(C) Slide Digital
SMS [Skiza 8091879] to 811
Kassim Mganga Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/kassimmganga
Written & Performed by Kassim Mganga
Follow Kassim Mganga on:
Instagram; / kassimmganga
Twitter: / kassimmgangaa
Facebook: / kassim.mganga.3
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz Видеоклипы
Odo ummy mwalimu umpe zawadi kwakweli Kassim mganga kafanya kazi kubwa sana tena sana
Wimbo namba moja kwa nyimbo zote za kampeni
Hapana chezea Odo Tanga raha sana. Kasimu Mungu akubariki sana wimbo unaladha tamu.
Keki plus hiyo ndiyo tanga yetu mambo bulibuli 👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️🔥🔥🔥
Hatareee sana Mzee Baba
Swahiba mganga nimekuelewa hunaga shoo mbovu piga kelele watoto kumi na nane
Like zote kwa cassim mganga ✔️✔️Sasa kwa hii nyimbo ya odo ummy 🎶🤔dislike zinatoka wapi au ndio mna roho za kichawi.
@meddystarter
Hii ndo nyimbo nzur kuliko zote ya chama
Huyu Kassim mganga huwa anaimba vizuri kweli yaani unausikiliza mziki mpaka unauelewa hongera sana Kassim kwa wimbo mzuri.
Wooooow odo ummy kama namuona huko👏👏👏👏👏👏👏atakuwa na raha huyo,raha ya uongozi wananchi wako wakuelewe...mashaAllah umy mwalimu Allah aendelee kukuongoza na kuimarisha uongozi wako.🙏🙏🙏🙏
Kasim unaweza kaka mzee wa manza bay uko juu
Am from kenya but all the songs for campaigns in tz....if you agree with me hit the like
Mdumange bila ya wale wadada wa Dar wanaojiita vyura wakutikisa makalio, fundi Kassim respect.
Oyee ooyee oyee jamani kati ya nyimbo zote za kampeni hii nimeipenda zaidi...ngoma pambe sana👏👏👏👏👏👏👏👏hongera kassim
wallah hii ni kiboko
Wimbo Moto wakuotea mbali dogo kassim mganga hoyeee na odo ummy hoyee
Watu watanga tujuane jamani
Umefunika nyimbo zote katika nyimbo za vyama wee mkaliwao bhana mduara flani hivi
Kassim wewe hatari sana j'adore
Kassim hunaga papara wallah saut imetulia maashallah yani tulivu daaaah
Kama mm
Kiswahili cha tanga kitamu km vile cha Zanzibar na mombasa💕😊
Pwani raha
Umeonae
Kiswahili ndio kilipo zaliwa huko
Wao wimbo mzuri sana
Kali sanaa taratibuuu
Wow wimbo mzuri like it
Kasimu nakukubali sana najivunia wanamusic wazuri wa mkoa wangu. #kasimumganga #romazimbabwe#matonya#wagosiwakaya nawengine mpaka #boshooninja
Walahi ndio mara ya kwanza kuona mashalah kasim ngoma bila ya mauno sijui chura baikoko hiii lazima upate medali daah umetulia hamna hashuo la mutako
Odo ummy donyoa Tanga ni yako much Love all the way from mombasa kenya
Malindi
Kiswahili kimezaliwa pwani, raha za pwani duh 😍
Ummy anatosha 🔥🔥🔥
Babaako mdogo mimi 🇹🇿 😁
Weuweeeeeeee👌👌 Tanga yetu oyeeeeeee makorora twadeka Na ummy wetu 😘😘❤💕
Umeonae tanga kwetu rahaa bwana asikwambie mtu
Ummi umpe zawadi kassim
Motooooo odo ummy 💥💥💥👏👏
Yaaani. I love you that anything you sing is beautiful. Love from Bahrain ❤️
Really?
Bahrain side gani coz mm pia nko bahrain juffar
Weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mganga umenikuna mieeeee mambo ya odo hayoooooooooo👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️👯♂️
Mashairi ni mazuri sana sema temple imemuangusha sana beat ipo slow kuliko ilivyotakiwa
Wenye kazi wameludi kazini
Tanga Raha#kura kwa ODOUMMY#
Tam tam ccm juuu
Utaumwa sana na magufuli na ndiyo habari ya mjini
Bro. Safi sana
MGANGA😍😍
Mimi mkenya lkn nakupenda sanaa tanga mashaallah tabarak Allah mazingira yao masafi sanaa
Mkenya wapi wewe jaman😁
@@kalebumkandi6439 umeona alivyo na sifa za kijinga
Mkenya wawapi?rabai au mazera au jimba au kisauni au mshomoroni au kongoea au fria taun tuambiazane mana mimi nia watanga lakini kenya mombasa naifaham vizuri au wewe nairobi moja
@@user-un3df1sl2h wamezoea kutumia Jina la Kenya ndo wapate like kwn ujawajua achana nae askusumbue akili
Kumbee nilikuwa sijui
Am tz but stay in dubai am following u broo
Naam🔥🔥🔥🔥 Oddo atosha kabisa
Safi sana
Km ulikuwa unasubiri kwa hamu videoclip gonga like 👌🏽 Asante Kassim nakukubali 💯%
Nakubaliiii
Ya habiib Tanga iweza
Kama umeiona 15 shuka like yako hapa #Tanga_raha sana homesweethome
We nae kassim umeshindwa sas
ODO UMMY...👌💃🤗
Sawa Patna nimekusoma
Hakuna wa kukufikia uwezo wako kassim najuwa hata wasanii wenzako wanajuwa hilo💯💯
Unajua nyimbo zote magufuri magufuri mpaka zinaboa kabsa ila wewe hapa umeonesha uodari wako sio kama wakina mondi wafata upepo
Kali sanaaaa.
we jamaa nalazimika ku download pamoja na kutoipenda fisiem,dah tamu sana!
Mnashindwa na kipande kidogo tuu cha kutokea Muheza mpaka Pangani pia duu ccm naivulia kofia, hiki chama ipo siku Mungu atakisambaratisha kama sifi, kama alivyosema Mwenyezi Mungu katika quruan atayafanya majabali kuwa sifi basi na ccm itakuwa ivyo hivyo
Kweli kabisa
We umeona hapo tu
Mashaallah Kasim Safi wimbo mzuri
Oii najikuta akili yangu iko TNG nikija kung'aza macho vzr najiona niko +971 UAE hii daaaaah noma kweli mzee bb
Wap wa jina❤😘
🔥🔥🔥
Hoyee ccm no 1.Tanga raha×2.
Saut nzuri wimbo mzuri tatzo n hilo jezi la kijanii
Nice song
Video nzuri sana INA maadili ya home tanga safi kaka kasim
cool💞💞👊
Bonge la ngoma kama umeikibali gonga like
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤝
Hakuna kama Kasimu Mganga
Hamna anaecheza uchi haya ndio maadili halisi ya tz yetu
Hapana sema ya tanga
Hakika maadaili ya tanga
I love your song kassim, kweli vipaji vipo, please toka mkuu
Umeua katika nyimbo zote za kampeni🔥🔥🔥it lit
🔥🔥🔥👍🏻
Mgangaaaa nakubaliii
Always on top
kassim nakukubali..ccm no one
Mndee Ummy.
Tangu ulipoacha mziki ungekuambali sana umepoteza
Ujawai kosea🔥🔥🔥🔥🔥
Ummy deserve this song
Love u so much ummy.
Hakika ni Malikia wa wanguvu
Cool
Natokea kusini mwa Tanzania ingawa sielewi vizuri kiswahili cha Tanga lakin nimeenjoy na ngoma Kali.
fundiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Odo ummy
Tajiri wa mahabaaa❤❤❤
Mpiga ngoma yuko sawa mpk kisigino kina kazi hapo ya kutengeneza sound😃😂😁
Hongela bro mic you 😘
nice one
I remember this Sister CCM
Hahahaaaa mm huwa najiulizaga tu hivi wasanii huwa wanapoteleaga wp au huwa wanashiba fedhwa jmn sasa kama huyu mbona anauwezo mkubwa kabisa lkn ndo kimyaaaa
Odo ummy upo juuu,
mkimaliza hapa muanze kutulalamikia et wasanii mnadhulumiwa hamna haki miliki akati mnaside na wanao wakandamiza PUMBAV KABISA
Bwana we😄
Am from kenya from al campaign songs this is my number one
❤
NZURI SANA
Wow Mashaallah ☝️👍👍👍❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mimi sio Ccm ila hii nimeikubali sana
👌👌👌👌👌
DADA mpe kofia
tartiiibuuuu