Kassim Mganga Ft Nguza Viking - Harusi Yangu (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 6 янв 2021
- #KassimMganga #NguzaViking #HarusiYangu #OfficialVideo @SlideDigital
(C) Slide Digital
SMS [Skiza 8091879] to 811
Kassim Mganga Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/kassimmganga
Written & Performed by Kassim Mganga
Follow Kassim Mganga on:
Instagram; / kassimmganga
Twitter: / kassimmgangaa
Facebook: / kassim.mganga.3
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Видеоклипы
Masha Allah c kwa jinyimbo hili duuuh raha sana💃💃💃💃🙅
Nataman sana collabo cku moja itokee Kassim ft Mbosso itanoga sanaaaaaaaa!!!!!.
❤❤ mziki unaishi milele
Maashallah mganga kitu safii
Hii ilikuwa ni Harusi kweli maana bibi ni bibiake kweli wajomba zake nawaona kweli na hata shangazi umi yupo ndo kabsaa hii ni kweli, Ubarikiwe bro udumu kwenye ndoa na kifo kikutenfanishe.
Kweli? Jmn hongera yake
nimekubali kassim mganga saluti mzee wa kazi nguza viki kipaji ulicho nacho saluti na umekuwa mfano kwa vijana kuimba nyimbo zenye mguso na maadili mwenyezi mungu akubariki na kukuongeza siku za kuishi
Naipenda huo wimbo kimeshindwa kudanilod
mmetisha
Yan nashindwa kuelewa kwnn nyimbo nzur hv inakosa support ila wakitoa kina flan nyimbo za matusi wanapata support inamana sisi watz tunapenda matusi sio ujumbe mzuri
Sana aisee
Ndo ujue sisi Wabongo ni washenzi Na hatujielewi nyimbo Na mambo yasiyoeleweka ndo tunashabikia kwa nguvu zote.
Inapelekea wengi kuhamia huko kwenye nyimbo za matusi kwasababu imeonekana ndo tunazozitaka. Hata Lady Jaydee kaongelea kuwa wanaoimba matusi ndo wanaosapotiwa.
Umeona ee, angeomba fulan hapo ushapaishwa kitambo
Saana sanimo classic matuc ndio yaongoza dunia ila usisahau ni nguvu za ushetani
Mzee mziki ni biashara... biashara inaendeshwa na demand na supply..ukishalijua hilo basi unatoboa kweny mziki
Nguza vikinggg legendary respectt
Kweli matus yanapewa sapota
ngoma kali sana aisee
Nikiwa na akili timamu bila ya kulazimishwa na mtu huuu wimbo nimeurudia kuusikiliza mara 35.kutokana na utam wake congratulations kwa utunzi mzuri kasim vs nguza viking
Hahaha nice
Tuko pamoja
Kassim weeeeee, hivi kwa nini msijitafute wote wa zamani mkaurudisha muziki wa bongo?
muzikiiiiiiiiiiii 🔥🔥🔥🔥 big talent 💪
Hongera sanaaa kaka mungu endelea kunipigania mwezi12 huuu wimboooo ntaingiliaaaa ukumbini na mme wangu umeonijaliaaaaaaaa 💃💃💃💃💃💃
Huyu jamaa ni mwanamziki ambae nyimbo zake kwa sisi waimba bafuni tumeshindwa kuimba imba kabisaaa ....
Kaswida si kaswida ...
Taarabu si taarabu ...
Respect Jombaaa
Nyimbo ya nguza viking sio mtanzania mcongo
Yuko vizuri sana
Yani harusi yangu ishapata nyimbo
Nyimbo inabembeleza balaa
Kali zetu za adabu
Brother kassim, angalau hata mbili kwa MWAKA bac, cyo kwa kutupa uku, wimbo mzuri sana 👌😘
Napenda sana hichi kiumbe hajawahi kuniangusha kwenye kazi zake wallah
Moja ya nembo za mkoa wangu
Watu wangu wakenya mpo
Tupoo
Mashallah mabrouk dear mola akupe kheri na BARAKA love from mama TRIPLE r &Z
Full heshima .hongera kila alieshiriki kuukamilisha huu wimbo.
Cjawah kuckia wimbo wa kassim mnganga uliokuwa mmbaya cjawahi na hitotokea kwa mfalme wa nyimbo za mahaba big up sana bro✌✌
Shida yako unasahau bongo bila plomo bado aisee, casim msanii mzuri sana ila mziki kama si hob vile
Tunakula solo naminyama nyama..
Kassim hii ilikuwa ndoa kweli nini😀 Hongera wimbo mzuri sema toa walau tatu nyingine kwa mwaka huu tukijaaliwa uzima!
Kwakweli 😀😀😀
Umeonaaa eeeeh mm mwenyew nmehic hv
Unajua ndugu, nyimbo Haina matusi.
Nic kassim
Hizi nyimbo jamani ndio za kusikiliza hata ukiwa na watoto hongera kiukweli wewe fundi
Kama tumeangalia zaidi ya Mara mbili like
Nyimbo nzuri Sana.. kassim hukoseagi
Hawa ndio walikuwa wanaimba bongo na ilikuwa ngoma za juu, i will always love u kassim, anyway kwa harusi yako wasipocheza huu ngoma sitaoa
Kassim hii umeua sana. Umekosea kumshirikisha Nguza katika uimbaji. Ingependeza ungemshirikisha Hassan Mapenzi au Q Chief then Nguza angebaki na gitaa
Anajua adi kero
Jaman mwaka wa kuwa msanii hat uzeen nitamuomba kak angu nimshirikishe napendaga uimbaje wake
Vyombo, mashairi, ujumbe umetulia... 🔥🔥🔥
Dah! Chief umemaliza kazi. Hii nyimbo naenda kuombea mkopo!
Hahaha
👊👊👊❤❤❤👍
Top sanaa ankal... 👌🔥InshaAllah longlasting marriage and endless blessings... 🙏
Tangaaaa
So classic sounds big up kwa babu Nguza
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Heburudi tena ufanye kazina abydady
♥️♥️♥️
checheee
Kama umemuona DjRogieKiss GongaLike Hapa
Ivi weee kwanini unajua kuimba ba kuandika nyimbo nzuri IV kasmu, nimbo nzuri , video nzuri
Cassim mganga ,,, voice yako tamu Sana katika kusikiliza ,,,,wewe fundi Sana ,,,,,napenda Sana nyimbo zako kaka
Ngoma kali imendana na video kazi nzuli bro
Kubwa sana hii Ndugu yangu..
Bonge la Ngoa, na Video ya Uchumi wa Kati Broo.... Big up sana 🔥🔥🔥🙌
Jamani nilikua siijui hii nyimbo, ila boy friend wangu alinitumia hii jamani mpaka nimeitafuta video
Kassim thanks
Good
Nice song
I am waiting for collabo ya kassim and mbosso jamani, itanoga sana kwa maneno yao ya mahaba🥰🥰
The one and only, the undisputed Cassim "Tajiri" mwenye mziki wake
💖💕💕💖😍
Bonge ya ngoma 🔥🔥💯💯
Umetisha Sana fundiiiiiii now usipunzike bhana back to back ndio mpango💪💪💪💪
Kaka habahatishi huyu ! Nyimbo imetulia
Hujawahi kukosea brother big up
Mashallah mm nakupenda wewe Kaka toka Enzi za awena
Dah nyimbo ya kiutu uzima sana mpaka raha nakuelewa sana bro kassim
Mkono Wa mzee Nguza. Ni Hatari .
😍😍😍😍wmbo mzuri sn pia location,hata video imekaa lazma iwakalishee
Kwakweli
Kassim napenda sn nyimbo zk tokea niko shule
Tajiri wa mahaba umetisha sana mzee baba
i like it YOU HAVE NEVER MADE MISTAKES you deserve the CROWN
Kassim fundi wa hizi nyimbo..
Jmn wimbo mzr kuliko Wa baba Levo nawashusha
💃💃💃💃💃💃💃🥀💃💃💃🥀🌷🌺🌺🌷Nakupenda sana
Keep the good music alive! Hakika jamaa ni fundi sana na nyimbo ni tamu sana! Sijui tunakwama wapi watanzania, tunapenda nyimbo za hovyo kuliko nyimbo nzuri na zenye maadili ya kiafrika.
Nyimbo nzuri mno
🔥🔥🔥 Chereko cherekoo...🔊 🎵🎶
Asante Sana mwenye mziki wake Fundi mganga wa bongo frover
Nice
Legendary
Best rumba bro fire 🔥
Mzee kassim umetisha sana
Safiii sana kaka kasimu ni msumali aisee
Best melodies indeed
🔥🔥🔥👌👌👌👌
Wasanii wengi vipaji lkn tatizo nyota
Aki this video is dope I wish other artists can copy from you kassim cz you can watch the video with your family and their Riz no miss behaving on it #254
We ni fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Brother kassimu punga ipsi izo mazoezi muhimu mzee wangu katiza hapa mwakinyo cmp kitambo kisepe icho
Song kali sana nimerudia mara 3
Daaaa namuonaa brazaa rojakiss
Ndo Bongo Flava sasa
Aiseh hamnag nyimb tam mpak zinamtukuza mung kam izi daaaah mung akubariki san
Ummy mwalimu nimemuonaaaa
Hongera sana bro hujawahi kosea
Muziki mzuri sana dah. Eko mganga
Daaah kasim weee 😇
This is amazing goodness me , a beautiful wedding song , you're blessed Kassim ,your voice is angelic ,keep it up brother .
😍😍😍😍💃💃🤪👏👏💥💥💥
Muruaaaaaa mzee wa manza bay
Sauti 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 tamuuu
Aliemuona Odo Ummy 4:05 👆👆👆👆
Daah nyimbo ni👌👌
Ehhhhh Allah my afrika musique 🇧🇯🇧🇯🇧🇯❤❤❤💘💘❤❤❤❤❤