Leo uku imekua tofauti kiasi...Loveness kapokea pesa za kununua simu..!!? Maajabu hayo....amekubali Leo! Wakati Kelvin aliongea Mpka akachoka...akainunua akaileta na pia bado akarudi nayo...lovenes aliipindisha😅😅
Hivi hizi movies kwan tz mnatoa hela kirahisi rahisi tu ivo,naona ntakuja huko😂,ukisema huna cmu,tayari ushapewa hela,ukisema huna rent tayari wapewa majihela😢🎉
Kazi nzuri ila muongeze dakika tafadhali kama unakubaliana na mimi gonga like apa
Kelvin 🤣🤣🤣
Jitaidini kuwaisha muendelezo maan mbk tunasahau anaeungan na mm gonga like na comment
Kweli wajitahidi maana hii tamu bana❤
Kwelii wanachelewa san
Ni kweli kabisa
na kwely jmn
Wanachelewa sna my aky
Naomben huo wimbo please wapendwa,,,nmeupenda sana
Kelvin asanti kwa kazi yako nzuri kwa huruma yako juu ya kusaid8a mtoto asiye kuwa wa kwako
Kelivin kwa movie zake hucheza,fiti sana good job bro
Kipindi hiki lovness hajakataa hela ambozo haja zitolea jasho yaani héla za mwanaume ajabu sana 😅😂😅 kipindi hiki umejiongeza😅😅😅
Kaz iko vema sana ❤❤❤ukiwa ww mfatiliaj wa Donta TV gonga like
Sema apo mmetudanganya sabra kabla ajapata matatizo alikuwa kabana nywel yupo hospital ety kasuka kwahy hospital kuna wasusi 😂😂😂😂 but kazi nzur
😂😂😂😂
Ujuwe iyo nimaingizo
Wanatuona kama matako yao😂😂😂😂😂😂😂😂
Uko makini 😂😂😂
Afu tena sijapenda mtu unamkana mwanao uyo binti mjinga kweli 😂
Movie pia inabamba sana lkn....mwenye hio wimbo Ya movie...noma sana iko sawa ❤❤❤❤
🙏💪
@@Malesa255..1Hio ngoma bana ata vnye tunaeza ipata ju mashabiki wenu wakubwa kutoka kenya ndo wanaiomba
Embu tuwapeni maua yao hwa donta famili maan wanatupa burudani sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi yenu nzuri ❤❤❤much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tunaomba huu wimbo Jamani naupenda sana
Woow leo mm wa kwanza naomba hatakama ni tano tuh
Nani anamkubar loveness tuwatambue wana @DONTA
Bongeze Kevin kwa kazi nzuri ❤❤❤❤❤❤❤
Jmn wimbo naupenda mpka bas aisei❤❤❤ congratulations team donta
Nilikuw naisubilia kwahamu sn aisee nipewetu like ata kidog jmn❤❤😂😂
🎉🎉❤❤❤movie tamu sana ubaya mnachelewesha
Wakwanza ku view Leo nipeni like 200 kama mnaweza
😂😂😂😂😂😂😂
wew nawew kwenda huko
Tunawapenda sana mujikaze kututumiya episode sinayo wata mbiyo ju tunawapenda sana n'a mujitaidi mbiyo
Kisinje leo wewe mpole sana sio gaindi asante
Bona mkachelewesha jaman nakupenda sana loveness
Jina la wimbo jmn umeniingia sana....kazi nzuri sana
Hadi mm nadai kujuwa uyo wimbo Bana naupeda xan akh
Sijautoa
@@Malesa255..1jamanii duuh tunaitaji huu wimbo wana donto plz
Nilikuwa naisubili sana hii kazi nzuriiii❤❤❤like zangu
tafadhali mharakishe kutoa episode nyingine maana tunaisahau haraka sababa mnagawia sana kama mnaungana nami weka likes
Hivi episode ya 7 ishatoka tyr au bdo maana zinachanganya sanaa
Mm kelvin nakuomba tu muendelezo wa hii episode please please 🙏 ❤
Nawapenda sana❤❤❤❤
Nimeupenda sana huuwimbo jamani 😘
Kazi nzuri sana but mnachelewasha sana
Tuendele zee ii tumeimisi misi 8 ❤❤❤🎉🎉🎉
Kazi nzuri lakini mwakawia sanaaaa
This is so magazine very interesting movie ❤❤❤❤❤❤❤❤
Kama umependa hio Wimbo ya movie gonga like❤❤
Kazi nzur jaman nawapendaa
Jina la wimbo tafadhali
@SalesiaMatinya 𝑢𝑘𝑤𝑒𝑙
Nani anakubar hakakawimbo pita na like ap🎉❤❤
Kazi zuri sana...lakini mnakawia kutoa episode..
Ndani ya dakika tatu🎉🎉🎉🎉pongez kwenu wana donta❤
Kazi nzuri congratulations 🎉👏
Hongeleni Sana kwa kazi nzur sanaa 🎉❤❤❤😂tulikuwa tunasubilia kwa amu
Mnaweka dakka chache haraf mnachelewesha
Ata mm leo nimewahiii sanaaa
Nimewahi Leo naomba japo like moja 2
Tina...usikuwe hivo,nurse huwa wapole na wakarimu sio rough,inaonekana umejisahau u act like tina wa kijana muuza maji nko kenya
Kazi nzuri Sana ila munachelewesha
Kazi safi sana🎉🎉
Mnachelewesha sana Hadi tunasahau
Naombeni hii filamu mwaishe episode iliyo mbele twagoja sana jamani 😢anayeungana na mm goga like
Hongera kelvin kwa msaada wako kumsaidia mtoto
Hila mnachelewa mbaka tunasahau mahali tuliachia 😢😢😢
Mnajisahau sana jamni waishen basi
Mmetuongopea jmn hilo drip mmegeuza 😊😊
But good job kelvin🎉🎉🎉
Wakwaza Léo nipe liker APA Kevine ❤❤❤🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Step father tuleteeni part 7 pls
Leo uku imekua tofauti kiasi...Loveness kapokea pesa za kununua simu..!!? Maajabu hayo....amekubali Leo! Wakati Kelvin aliongea Mpka akachoka...akainunua akaileta na pia bado akarudi nayo...lovenes aliipindisha😅😅
Hivi hizi movies kwan tz mnatoa hela kirahisi rahisi tu ivo,naona ntakuja huko😂,ukisema huna cmu,tayari ushapewa hela,ukisema huna rent tayari wapewa majihela😢🎉
Kwa kweli inakawiya sanaa
Waah ht nyny mnazingua bn movie ht tumesahau
Katoto ka cute 🥰🥰
Huyu dokta duuu😮😊
Kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Mashallah ❤❤mungu abaliki sana kazi zenu mbona amtumi linki jamani 😢
Leo mm wa Kwanza aa nsombeni like ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Congratulations to them❤❤🎉
Safi sana ❤❤🎉🎉
🎉🎉🎉🎉 likes zenu wa kwanzaaa
Good talent🎉 @DONTA.
Courage ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Hongereni sana Wana Donta TV kwa kazi nzuri
Movie 🎥 nzuli sana naomba likes 🇧🇮
Aaah unatoajee damuu bila ya kupima kam ni muathirikaa jee
Hila benja uko handsome si tujuane❤❤❤❤
Honngereni wa dada mnaprndeza sana
Mbna kama mtoto anamkataa loveness 🎉🎉🎉
Amina Kila Sini mzeee wa maokoto 2
Kaz yenu n njema 🎉🎉🎉
nikajua huyo huyo dada alikufa kumbe bdo anapumua😅😅😅😅😅
Mnatufunza vizur Ila mnachelewesha jamen❤❤
❤❤❤❤ kazi zuri wapenzi 🎉🎉🎉 Kenya
Kazi nzr ila tatizo kucheleweshwa kwa kutoka kwa wakati pamoja na dkk chache sana
Mnakuwa na mambo mengi sana machelewesha sana
Muendelezo mnachelewaa sanaaa sanaaa
Hii mouvi ni nzur Sana SEMA tu wanacherewesha Sana Hadi tunaisahau
Leo wakwanza 😂😂😂😂❤❤❤❤❤ nipeni lik 😂
Wana Kaz nzur sana ila wawahi Sasa tusiwe tunakata tamaa
Jamani na omba iyo nyimbo pls
Wow napenda sana movie zako Donta, ila huyo mtoto anakufanana benja😂😂
Had tumeshasahau Kam kulikuwa na mov zur Kam hii😮😮😮
Naona nipo watatu mkenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kwa hii kipindi cha mme surwali kunambi daaah mtoto wakike hapo unamtiani mngumu sana😢😢😢😢
Asant sana hongera san 🎉
Donta family mm uliamua hamtaendeleza hii movie tuekeni wazi tuwache kuwa vichaa kila Saa tunachungulia na hamjaposti
Kelvin. Asante kwakazi. Umefany kusaidia Mtoto ubarikiw tunakupend
Nikweli msichelewe kitoa kazi jamani
Weeeee wapi next?
Wa mwisho kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤🎉🎉🎉mkinipa ni sawa
Mashallah kazi mzuri san ❤❤
Aibu aibu utaweka wapi sura yako? aibu Kweli like Kwa Beni.
Kabisa wanakaa muda mrefu mpaka tunasahau na utamu wa hadithi unaisha
Habali zenu wazima kabisa step father part 8 inatoka lini mm fetty ktk dar asante
Kazi nzuri wana donta family lkn mnachelewesha mno
Ongereni sana🇨🇩
Kaz nzur sana kelv mungu akubariki abariki na Kaz yako