STEP FATHER | 07 | Love Story ❤️

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 279

  • @NekesaPhilis-kk6dj
    @NekesaPhilis-kk6dj 3 месяца назад +35

    Kazi nzuri ila muongeze dakika tafadhali kama unakubaliana na mimi gonga like apa

  • @KhairuniSimba
    @KhairuniSimba 3 месяца назад +125

    Jitaidini kuwaisha muendelezo maan mbk tunasahau anaeungan na mm gonga like na comment

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад +24

    Naomben huo wimbo please wapendwa,,,nmeupenda sana

  • @FurahaChristine-g8w
    @FurahaChristine-g8w 3 месяца назад +15

    Kelvin asanti kwa kazi yako nzuri kwa huruma yako juu ya kusaid8a mtoto asiye kuwa wa kwako

    • @Arrowjayke254
      @Arrowjayke254 3 месяца назад

      Kelivin kwa movie zake hucheza,fiti sana good job bro

  • @JeanJacquesmotivation-hn6tn
    @JeanJacquesmotivation-hn6tn 3 месяца назад +12

    Kipindi hiki lovness hajakataa hela ambozo haja zitolea jasho yaani héla za mwanaume ajabu sana 😅😂😅 kipindi hiki umejiongeza😅😅😅

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr 3 месяца назад +11

    Kaz iko vema sana ❤❤❤ukiwa ww mfatiliaj wa Donta TV gonga like

  • @NeemaYusuph-h2d
    @NeemaYusuph-h2d 3 месяца назад +16

    Sema apo mmetudanganya sabra kabla ajapata matatizo alikuwa kabana nywel yupo hospital ety kasuka kwahy hospital kuna wasusi 😂😂😂😂 but kazi nzur

    • @anenalukosi6235
      @anenalukosi6235 3 месяца назад +1

      😂😂😂😂

    • @jalxs6745
      @jalxs6745 3 месяца назад

      Ujuwe iyo nimaingizo

    • @ZamzamMusa-ve5tc
      @ZamzamMusa-ve5tc 3 месяца назад +1

      Wanatuona kama matako yao😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @NaomiSanga-p5y
      @NaomiSanga-p5y 3 месяца назад

      Uko makini 😂😂😂

    • @OnorinaKiza
      @OnorinaKiza 3 месяца назад

      Afu tena sijapenda mtu unamkana mwanao uyo binti mjinga kweli 😂

  • @Arrowjayke254
    @Arrowjayke254 3 месяца назад +3

    Movie pia inabamba sana lkn....mwenye hio wimbo Ya movie...noma sana iko sawa ❤❤❤❤

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1 3 месяца назад +1

      🙏💪

    • @Arrowjayke254
      @Arrowjayke254 3 месяца назад

      ​​@@Malesa255..1Hio ngoma bana ata vnye tunaeza ipata ju mashabiki wenu wakubwa kutoka kenya ndo wanaiomba

  • @RozPeter-s5z
    @RozPeter-s5z 3 месяца назад +6

    Embu tuwapeni maua yao hwa donta famili maan wanatupa burudani sana 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-byHappyness20
    @user-byHappyness20 3 месяца назад +7

    Kazi yenu nzuri ❤❤❤much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @WataraTherence
    @WataraTherence 3 месяца назад +8

    Tunaomba huu wimbo Jamani naupenda sana

  • @MMlin-bd2mi
    @MMlin-bd2mi 3 месяца назад +5

    Woow leo mm wa kwanza naomba hatakama ni tano tuh

  • @JastFinancial02
    @JastFinancial02 3 месяца назад +42

    Nani anamkubar loveness tuwatambue wana @DONTA

  • @FaithMageto
    @FaithMageto 3 месяца назад +1

    Bongeze Kevin kwa kazi nzuri ❤❤❤❤❤❤❤

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 3 месяца назад +1

    Jmn wimbo naupenda mpka bas aisei❤❤❤ congratulations team donta

  • @KarimaKarima-u5c
    @KarimaKarima-u5c 3 месяца назад +4

    Nilikuw naisubilia kwahamu sn aisee nipewetu like ata kidog jmn❤❤😂😂

  • @dhahabudeche926
    @dhahabudeche926 3 месяца назад +1

    🎉🎉❤❤❤movie tamu sana ubaya mnachelewesha

  • @MECKSONSANGA-t7p
    @MECKSONSANGA-t7p 3 месяца назад +16

    Wakwanza ku view Leo nipeni like 200 kama mnaweza

  • @MiryamKiza
    @MiryamKiza 3 месяца назад +3

    Tunawapenda sana mujikaze kututumiya episode sinayo wata mbiyo ju tunawapenda sana n'a mujitaidi mbiyo

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 3 месяца назад +4

    Kisinje leo wewe mpole sana sio gaindi asante

  • @Vivian-s7s
    @Vivian-s7s 3 месяца назад +3

    Bona mkachelewesha jaman nakupenda sana loveness

  • @milkahmachana
    @milkahmachana 3 месяца назад +3

    Jina la wimbo jmn umeniingia sana....kazi nzuri sana

    • @RichardkihmRichardkihm
      @RichardkihmRichardkihm 3 месяца назад

      Hadi mm nadai kujuwa uyo wimbo Bana naupeda xan akh

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1 3 месяца назад

      Sijautoa

    • @NeyyVenture
      @NeyyVenture 3 месяца назад

      ​@@Malesa255..1jamanii duuh tunaitaji huu wimbo wana donto plz

  • @Tice_tz
    @Tice_tz 3 месяца назад +12

    Nilikuwa naisubili sana hii kazi nzuriiii❤❤❤like zangu

  • @emmanuelkemboi-q2l
    @emmanuelkemboi-q2l 3 месяца назад +2

    tafadhali mharakishe kutoa episode nyingine maana tunaisahau haraka sababa mnagawia sana kama mnaungana nami weka likes

  • @rahabundeje7206
    @rahabundeje7206 2 месяца назад +2

    Hivi episode ya 7 ishatoka tyr au bdo maana zinachanganya sanaa

  • @UnrulyHope-e9j
    @UnrulyHope-e9j 3 месяца назад +1

    Mm kelvin nakuomba tu muendelezo wa hii episode please please 🙏 ❤

  • @JeanmarieNiyogusenga
    @JeanmarieNiyogusenga 3 месяца назад +1

    Nawapenda sana❤❤❤❤

  • @marthesifa-5803
    @marthesifa-5803 3 месяца назад +2

    Nimeupenda sana huuwimbo jamani 😘

  • @MwanaidiHussein-c7t
    @MwanaidiHussein-c7t 3 месяца назад +2

    Kazi nzuri sana but mnachelewasha sana

  • @SamuelLemburis
    @SamuelLemburis 2 месяца назад +1

    Tuendele zee ii tumeimisi misi 8 ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MahaSaeed-hf3gs
    @MahaSaeed-hf3gs 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri lakini mwakawia sanaaaa

  • @FaithMusili-xx1ml
    @FaithMusili-xx1ml 2 месяца назад

    This is so magazine very interesting movie ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Arrowjayke254
    @Arrowjayke254 3 месяца назад +9

    Kama umependa hio Wimbo ya movie gonga like❤❤

  • @Bintabubakar-id2so
    @Bintabubakar-id2so 3 месяца назад +2

    Nani anakubar hakakawimbo pita na like ap🎉❤❤

  • @RedempterKith-y2g
    @RedempterKith-y2g 3 месяца назад

    Kazi zuri sana...lakini mnakawia kutoa episode..

  • @asdmom7335
    @asdmom7335 3 месяца назад +2

    Ndani ya dakika tatu🎉🎉🎉🎉pongez kwenu wana donta❤

  • @GladysKarembo
    @GladysKarembo 2 месяца назад

    Kazi nzuri congratulations 🎉👏

  • @OmanOman-y7z
    @OmanOman-y7z 3 месяца назад

    Hongeleni Sana kwa kazi nzur sanaa 🎉❤❤❤😂tulikuwa tunasubilia kwa amu

  • @AnithaNgonyani
    @AnithaNgonyani 3 месяца назад +2

    Mnaweka dakka chache haraf mnachelewesha

  • @LeahMbwilo
    @LeahMbwilo 3 месяца назад +3

    Ata mm leo nimewahiii sanaaa

  • @FatmaChirima
    @FatmaChirima 3 месяца назад +2

    Nimewahi Leo naomba japo like moja 2

  • @ChristineKesi-k9r
    @ChristineKesi-k9r 3 месяца назад +2

    Tina...usikuwe hivo,nurse huwa wapole na wakarimu sio rough,inaonekana umejisahau u act like tina wa kijana muuza maji nko kenya

  • @busimebiringanine5800
    @busimebiringanine5800 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri Sana ila munachelewesha

  • @GloriaMtana
    @GloriaMtana 3 месяца назад +1

    Kazi safi sana🎉🎉

  • @HELLENLUMASIA
    @HELLENLUMASIA 3 месяца назад

    Mnachelewesha sana Hadi tunasahau

  • @MichaelFundy
    @MichaelFundy 2 месяца назад

    Naombeni hii filamu mwaishe episode iliyo mbele twagoja sana jamani 😢anayeungana na mm goga like

  • @ValentinaLyakurwa
    @ValentinaLyakurwa 3 месяца назад

    Hongera kelvin kwa msaada wako kumsaidia mtoto

  • @PRINCE_NYAKUNDI
    @PRINCE_NYAKUNDI 3 месяца назад +2

    Hila mnachelewa mbaka tunasahau mahali tuliachia 😢😢😢

  • @AndjelaniJohn
    @AndjelaniJohn 2 месяца назад

    Mnajisahau sana jamni waishen basi

  • @GraceWilliam-qy5wn
    @GraceWilliam-qy5wn 3 месяца назад +1

    Mmetuongopea jmn hilo drip mmegeuza 😊😊

  • @NathKadima-bm4uc
    @NathKadima-bm4uc 3 месяца назад +1

    Wakwaza Léo nipe liker APA Kevine ❤❤❤🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @ChristineKesi-k9r
    @ChristineKesi-k9r 2 месяца назад

    Step father tuleteeni part 7 pls

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 3 месяца назад +1

    Leo uku imekua tofauti kiasi...Loveness kapokea pesa za kununua simu..!!? Maajabu hayo....amekubali Leo! Wakati Kelvin aliongea Mpka akachoka...akainunua akaileta na pia bado akarudi nayo...lovenes aliipindisha😅😅

  • @ChristineKesi-k9r
    @ChristineKesi-k9r 3 месяца назад +1

    Hivi hizi movies kwan tz mnatoa hela kirahisi rahisi tu ivo,naona ntakuja huko😂,ukisema huna cmu,tayari ushapewa hela,ukisema huna rent tayari wapewa majihela😢🎉

  • @MutoleMutwale
    @MutoleMutwale 2 месяца назад

    Kwa kweli inakawiya sanaa

  • @FestusWere-ni4rf
    @FestusWere-ni4rf 3 месяца назад

    Waah ht nyny mnazingua bn movie ht tumesahau

  • @Emilymama2boys
    @Emilymama2boys 3 месяца назад

    Katoto ka cute 🥰🥰

  • @HaznaLuhanjo
    @HaznaLuhanjo 2 месяца назад

    Huyu dokta duuu😮😊

  • @LoiceKatana-ci1tx
    @LoiceKatana-ci1tx 3 месяца назад

    Kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 3 месяца назад

    Mashallah ❤❤mungu abaliki sana kazi zenu mbona amtumi linki jamani 😢

  • @FATUMAPASKAL
    @FATUMAPASKAL 3 месяца назад +11

    Leo mm wa Kwanza aa nsombeni like ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @OmariJumaaWaziri
    @OmariJumaaWaziri 3 месяца назад +2

    Congratulations to them❤❤🎉

  • @mwanakombo8008
    @mwanakombo8008 3 месяца назад +2

    Safi sana ❤❤🎉🎉

  • @AminaAbdulkarim-z9u
    @AminaAbdulkarim-z9u 3 месяца назад +2

    🎉🎉🎉🎉 likes zenu wa kwanzaaa

  • @YusuphYuzoKhan
    @YusuphYuzoKhan 3 месяца назад +1

    Good talent🎉 @DONTA.

  • @arikibok4735
    @arikibok4735 3 месяца назад +1

    Courage ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @eunice1552
    @eunice1552 3 месяца назад

    Hongereni sana Wana Donta TV kwa kazi nzuri

  • @N.Euphrem
    @N.Euphrem 3 месяца назад +2

    Movie 🎥 nzuli sana naomba likes 🇧🇮

  • @lutfiasuleiman
    @lutfiasuleiman 3 месяца назад +1

    Aaah unatoajee damuu bila ya kupima kam ni muathirikaa jee

  • @MARYNAFULA-d6o
    @MARYNAFULA-d6o 2 месяца назад

    Hila benja uko handsome si tujuane❤❤❤❤

  • @rashidyally4336
    @rashidyally4336 3 месяца назад +1

    Honngereni wa dada mnaprndeza sana

  • @LazaroZabron
    @LazaroZabron 2 месяца назад

    Mbna kama mtoto anamkataa loveness 🎉🎉🎉

  • @AishaRamadhan-i3s
    @AishaRamadhan-i3s 2 месяца назад

    Amina Kila Sini mzeee wa maokoto 2

  • @RehemaMwambene-nf3yh
    @RehemaMwambene-nf3yh 3 месяца назад +1

    Kaz yenu n njema 🎉🎉🎉

  • @GabrielEmmanuely
    @GabrielEmmanuely 3 месяца назад

    nikajua huyo huyo dada alikufa kumbe bdo anapumua😅😅😅😅😅

  • @JACKLINEKAZUNGU-w3n
    @JACKLINEKAZUNGU-w3n 3 месяца назад

    Mnatufunza vizur Ila mnachelewesha jamen❤❤

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 3 месяца назад

    ❤❤❤❤ kazi zuri wapenzi 🎉🎉🎉 Kenya

  • @RespichMrema
    @RespichMrema 3 месяца назад

    Kazi nzr ila tatizo kucheleweshwa kwa kutoka kwa wakati pamoja na dkk chache sana

  • @AlfredNgonyani-l2x
    @AlfredNgonyani-l2x 3 месяца назад +1

    Mnakuwa na mambo mengi sana machelewesha sana

  • @JerasKomba
    @JerasKomba 3 месяца назад

    Muendelezo mnachelewaa sanaaa sanaaa

  • @kineric2769
    @kineric2769 2 месяца назад

    Hii mouvi ni nzur Sana SEMA tu wanacherewesha Sana Hadi tunaisahau

  • @majomasliman7856
    @majomasliman7856 3 месяца назад +1

    Leo wakwanza 😂😂😂😂❤❤❤❤❤ nipeni lik 😂

  • @FatmaHassan-y5n
    @FatmaHassan-y5n 3 месяца назад

    Wana Kaz nzur sana ila wawahi Sasa tusiwe tunakata tamaa

  • @rugambafuraha5033
    @rugambafuraha5033 3 месяца назад +2

    Jamani na omba iyo nyimbo pls

  • @gracebaya7007
    @gracebaya7007 Месяц назад

    Wow napenda sana movie zako Donta, ila huyo mtoto anakufanana benja😂😂

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o 3 месяца назад

    Had tumeshasahau Kam kulikuwa na mov zur Kam hii😮😮😮

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 3 месяца назад

    Naona nipo watatu mkenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kwa hii kipindi cha mme surwali kunambi daaah mtoto wakike hapo unamtiani mngumu sana😢😢😢😢

  • @AnithaNahimana
    @AnithaNahimana 3 месяца назад

    Asant sana hongera san 🎉

  • @HELLENLUMASIA
    @HELLENLUMASIA 2 месяца назад

    Donta family mm uliamua hamtaendeleza hii movie tuekeni wazi tuwache kuwa vichaa kila Saa tunachungulia na hamjaposti

  • @HarumukizaAllainchristian
    @HarumukizaAllainchristian Месяц назад

    Kelvin. Asante kwakazi. Umefany kusaidia Mtoto ubarikiw tunakupend

  • @adolfuKipunje
    @adolfuKipunje 3 месяца назад +1

    Nikweli msichelewe kitoa kazi jamani

  • @MutetiShadrack-m5c
    @MutetiShadrack-m5c 3 месяца назад

    Weeeee wapi next?

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 3 месяца назад

    Wa mwisho kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤🎉🎉🎉mkinipa ni sawa

  • @AbilahiBandu-i9g
    @AbilahiBandu-i9g 3 месяца назад

    Mashallah kazi mzuri san ❤❤

  • @DanielManuelMissa
    @DanielManuelMissa 3 месяца назад +1

    Aibu aibu utaweka wapi sura yako? aibu Kweli like Kwa Beni.

  • @RoseRugimbana
    @RoseRugimbana 3 месяца назад +1

    Kabisa wanakaa muda mrefu mpaka tunasahau na utamu wa hadithi unaisha

  • @Fah-pz8of
    @Fah-pz8of 3 месяца назад

    Habali zenu wazima kabisa step father part 8 inatoka lini mm fetty ktk dar asante

  • @Hilderkarema
    @Hilderkarema 3 месяца назад

    Kazi nzuri wana donta family lkn mnachelewesha mno

  • @ClaudeAdolphe-x7x
    @ClaudeAdolphe-x7x 3 месяца назад +1

    Ongereni sana🇨🇩

  • @SophiaPaulo-w4i
    @SophiaPaulo-w4i 3 месяца назад

    Kaz nzur sana kelv mungu akubariki abariki na Kaz yako