Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Love na kelvin wanaedana jaman kama unanisaport goga like
Waooo japo nimechelewa lakini tuko pamoja donta tv na chea man wao Kelvin 🎉🎉🎉 nawapenda ❤❤❤❤
Nikajuwa mi wakwanza kumbe kunakwenye kutinga mambo ya Kelvin kha mwe basi tujuwane jamani wapenzi wa donta TV ❤
donta twaipenda kabisa kutoka kenya❤❤❤
Mbna mm naipenda sana tu wakenya mpo nyuma yng kwl🥰🇰🇪❤️❤️
Nikiona donta napata kiwewe ❤❤❤❤❤
@@hafsahmassemoh3598🎉
Uko which tuku
Wow japo inauma lakin nimependa urafiki wenu♥️♥️❤️❤️👌👌👌
Oya huyo loveness ni pisi kaka oya mze nipeni connection ❤
Tena kapolee.
❤mm uyo ni kiona DONTA tu mbio am happy for you guys ❤❤ from 🇰🇪 team gulf hope mmepunguza kaz njoon Uku kelvin anatuita tena😂😂❤❤❤❤❤
Kama mim
😂😂😂😂😂
Kam mm naondoka
Sw twaja ❤❤
❤❤❤😂😂
Jaman wanawake wenzangu punguzeni kuvaa nguo za uchi huo sio utamaduni wetu 😢 hasa ww loveness
Kabisa
Eh..... Jaman watu wapo kazin bhana acheni kujikuta watamaduni sana
Umetumw we sio
Mm nampenda ivo ivo loveness jmn
Wewe inakuhusu nini bado ufanye mamb yako unafatilia wa2
Uewwww wa pili Leo naomben likes zangu kwaajili ya @dontatv♥️😍😘
❤🎉
Congratulations kelvin mwamba kashasema tukue marafiki tu nakupenda Bure kelvin ♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Kenya 🇰🇪
Lovely ndiye anae ipamba hizi sinema bila ya yeye haiwe tamu
Kumbe na ww unaona
Moyo wangu ukafanya pa Tina weèeee😅😅😅😅😅😅😅😅 filam nzur sana hongereni sana washiliki wote❤❤❤
Oy love mkali san namukubali huyu dada
Daah hila lovenes apeweeee mauwa yakeee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kelvin and loveness mko level ingine,,,,❤❤keep on the good work
Jmn yan kelvin akiwa la loveness nafurahi sana wanapendezana mnooooo
Nime rudiya tana me kelvin eko na mapenda ya vizuri sana ❤❤
Kelvin ushauri wangu kwenu Hao wadada wawe wanavaa vizuri ' juwa nawatu wazima wanapenda mvi zenu 🎉
Wow wa kwanza kulike leo 🎉🎉🎉🎉 Mungu Awajalie mpate like nyingi
Oooh maskini Loveness😢😢 umekula tu na macho..... pole 😅
Yaan band Lang lote linaixha kwenu donta TV hakika munaweza❤
Kiukwel unayempenda anapenda mwengine😂😂😂😂mapenz bhana
Jamani ata ka nmechelewa,wapi likes za Tinah,kwa mapenzi hapendi ujinga, amecheza hiyo part yake vizuri sana
Huo wimbo jamani amazing sana
Aki Tina amenifanya hadi nikalia aki wapendwa wa donta tv plz naomba tu hiyo wimbo plz na nitaendelea kuwafata samahani
Kelvin ushauri wangu kwenu Hao wadada wawe wanavaa vizuri ' juwa nawatu wazima wanapenda mvi zenu
Nafurahi nikiwatch movie zenu nyie watu❤❤❤
Nko mtaa likes wapi tukisonga,kazi zuri kelvin 🇰🇪🇰🇪
❤nimpee like mkenya mwenzi
Waaaau ❤❤❤❤ vzr xna n kweli mungu hakpi unachotaka kweli hii n tamu xnaa kelvin 😅😅😅😅
Wooow Mimi sijui ni wangapi kwakweli kama vile nimechelewa japo mko vizuri kiukweli nawaombea
Donta tv ❤❤❤❤I love 💕 you guys so much God bless you all 🙏🙏❤
kevy bana ni mume wa love, i can see😂
Munaendana sana love ness and kelvin ila namulijuwa kitu usafiki ❤❤❤❤
Ila Kelvin and lovenes munaendana sana jaman nikiangalia ni Kama Mike and mume
Kbs wal c uongo
Mi naomba kama Kelvin hajaoa aoe loveness
Loveness ndo yupi hapa?
Kweli kabisa
Na wapenda nyote jamani❤❤❤🎉
Hi nyimbo inayoimba inaitwaje jmn 🥰
Ken okeo ayoro nyagem
Hata mimi ningekuchaguwa love nes unakisurq cha wizi ila hata Tina ni mrembo sana 🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤nikiona ty donta mbio kwenda kununua bando hongeren sana Kevin
Lakni kwann kelvin kila siku ni loveness tu hapo nawaza 😂
😂😂
Wimbo mzuri❤
inaitwaje iyo nyimbo
Jamani mmeweza mmeweza tena
kelvin minimepend kanz zakokiukwel kinginenimetaka kusahau inabid umuowe loveness uyom dada kiukwel nimzul❤❤❤
Good job Kelvin team much love
Lov nakupenda sana
Nawapend san vipenz vang vya dont tv❤❤❤
Oya wa kwanza Leo nipeni ata 5 basiii
Nakubali🎉😊😊😊😊
Hongera san kevn bali umetupa mafunso kupitia wewe ❤❤❤❤❤❤ 21:31
Nawapendaa ❤️❤️
Congrats napenda sana movies zenu maana daa mumeweza
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙈🙈🙈🙈🙈 napenda
Movie nzuri much love from Kenya❣️
Groupe Donta tv felicitation!!!🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hongera sana Kelvin kwa kazi nzuri sana kwa kweli Mimi nainjoi na muvi zenu napenda sana kufwatilia muvi zenu Wana Donta tv
Asante
Much love ❤ kelvin na team yako
Hahahah kwl mapenz upofu yaan unasema mm ndo mwanaume wa ndoto zako afu ata haujaniambi😂😂😂😂
Jamani hii ndio maana halisi ya urafiki wa kweli,❤❤❤❤😢😢😢
❤kitu safi natizama kutoka 🇰🇪 Hayo Macho ya kiumalaya lovenes unaniua
Wanaume tunakua wakweli kila time bt wanawake hawaelewi nampenda best yako
Kazi nzuri tunaomba na Mr handsome muendelezo sasaaa❤❤
Iliisha mbona
Kweli ❤ness na kelvin wanapendezana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii nyimbo inaitwa aje nimeipenda kweli
Ukipata uniambie
I naitwa deka deka
Napenda wote wana donta tv 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tina hapa ameweza kweli, lakini vile napenda Loveness na Kevin wakiwa wapenzi hawa wako sawa,huo wimbo mtamu sana 🎉🎉🎉 wenye kuamini True love still exist give me a thumb👍👍👍
Inauma!!! Lakini jipe moyo Tina utapata wko TU mzuri 😢Kuna wakati wa Kila kitu ata weee utakubaliwa
Loveness anajua kuvaa uhusika pia kelvin anajua anajua anajua tenaaaa
Asante 🙏
Nimekuwa nyuma yenu donta TV,tokea Congo DR jimboni Maniema mtaa wa Kindu. Nimewapenda kwa kazi zenu. Sasa part ya ne 04 ya chozi langu bado tayari ?
Sema kelvin unacho mfanyia huyo tina sio kizuli jmn mbn una penda kumtesa sana
Duu Kevi mko vizuri sana napenda sana kuzifwatilia muvi zenu sana kwani zinafundisha sana
Wote tunaoisaport donta tv naomba tu gonge like hapa za upendo
Lazima tuisapoti kbs❤❤❤
Mmb
Kweli naipenda sana
Sioleo2 naipenda sana
❤❤❤❤
Much love from kenya🎉
Kelvin thanks so much I like this a lot this is the third time I've watched this
Kelvin mungu akumbaliki kaka sana keep it up ❤❤❤❤
I'm happy because of u guys am in south Africa
Nimezipenda movie zenu nzuri Sana zinafurahisha Sana, nawapongeza Sana wanachama wote wa donta TV mungu awabariki Sana.😅❤
Nimekuwa wa mwisho lakin naombeni like 😂😂😂
Jamani nawapenda sana from Burundi
Wanawake tumetisha kwa kutongoza daaa🤣🤣🤣 jamn mnanifurahisha kwakweli😅😅😅
Mpende anayekupenda ❤from 🇰🇪
Lavmens mwanamuke muzuri sana nakupenda
Vp kaka Kevin hongera
Tina utaja niua siku moja😂unakatiaje kalvin😂😂😂
Ongera donta tv Kwa kazi nzuri
Moyo wa Calvin umefia kwa loveness. Hauna kipingamiz
Congrats guys alway you made my day ....nwafuatilia Sana ✊✊✊
😂😂😂😂😂tina huna aibu weweeee
Movie zenu tamu sana napenda sana nyinyi but yaumiza 😂❤
Nawapenda san movie ziko poa nikiangalia nabaki kucheka
Wapili nafika ❤❤❤❤
Tina hana ata mshipa wa aibu dadeki ajataka kufatwa kavunja ukimya mwenyewe kafunguka kelvin nakupenda maskini alf kamkosa kampenda shogile nyieeeee mapenzi kiboko
kelv ni kak mzury sn wanaendan na loveness
Love from GOGO LOVE OFFICIAL to BURUNDI
Kazi nzur sana wana donta❤
Kweli kisichoriziki hakilizi😢...filamu tamu
🎉chukuen maua yenu mnatufundisha namna ya ulafiki wa kweli
Much love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
❤❤❤❤❤o
Mwenye kujuwa jina la huu wimbo tafadhali,,ataje ,,mzurii sana
Nakubali wadad wa humu wot wazuri yn
Dahh asee kelvin 🎉❤❤
Good job Kelvin much love
Yeah yeah red ♥️♥️♥️🍒 jantro 😅😅❤ nice move
Nikajuwa mi wakwanz Love❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Love na kelvin wanaedana jaman kama unanisaport goga like
Waooo japo nimechelewa lakini tuko pamoja donta tv na chea man wao Kelvin 🎉🎉🎉 nawapenda ❤❤❤❤
Nikajuwa mi wakwanza kumbe kunakwenye kutinga mambo ya Kelvin kha mwe basi tujuwane jamani wapenzi wa donta TV ❤
donta twaipenda kabisa kutoka kenya❤❤❤
Mbna mm naipenda sana tu wakenya mpo nyuma yng kwl🥰🇰🇪❤️❤️
Nikiona donta napata kiwewe ❤❤❤❤❤
@@hafsahmassemoh3598🎉
Uko which tuku
Wow japo inauma lakin nimependa urafiki wenu♥️♥️❤️❤️👌👌👌
Oya huyo loveness ni pisi kaka oya mze nipeni connection ❤
Tena kapolee.
❤mm uyo ni kiona DONTA tu mbio am happy for you guys ❤❤ from 🇰🇪 team gulf hope mmepunguza kaz njoon Uku kelvin anatuita tena😂😂❤❤❤❤❤
Kama mim
😂😂😂😂😂
Kam mm naondoka
Sw twaja ❤❤
❤❤❤😂😂
Jaman wanawake wenzangu punguzeni kuvaa nguo za uchi huo sio utamaduni wetu 😢 hasa ww loveness
Kabisa
Eh..... Jaman watu wapo kazin bhana acheni kujikuta watamaduni sana
Umetumw we sio
Mm nampenda ivo ivo loveness jmn
Wewe inakuhusu nini bado ufanye mamb yako unafatilia wa2
Uewwww wa pili Leo naomben likes zangu kwaajili ya @dontatv♥️😍😘
❤🎉
Congratulations kelvin mwamba kashasema tukue marafiki tu nakupenda Bure kelvin ♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Kenya 🇰🇪
Lovely ndiye anae ipamba hizi sinema bila ya yeye haiwe tamu
Kumbe na ww unaona
Moyo wangu ukafanya pa Tina weèeee😅😅😅😅😅😅😅😅 filam nzur sana hongereni sana washiliki wote❤❤❤
Oy love mkali san namukubali huyu dada
Daah hila lovenes apeweeee mauwa yakeee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kelvin and loveness mko level ingine,,,,❤❤keep on the good work
Jmn yan kelvin akiwa la loveness nafurahi sana wanapendezana mnooooo
Nime rudiya tana me kelvin eko na mapenda ya vizuri sana ❤❤
Kelvin ushauri wangu kwenu Hao wadada wawe wanavaa vizuri ' juwa nawatu wazima wanapenda mvi zenu 🎉
Wow wa kwanza kulike leo 🎉🎉🎉🎉 Mungu Awajalie mpate like nyingi
Oooh maskini Loveness😢😢 umekula tu na macho..... pole 😅
Yaan band Lang lote linaixha kwenu donta TV hakika munaweza❤
Kiukwel unayempenda anapenda mwengine😂😂😂😂mapenz bhana
Jamani ata ka nmechelewa,wapi likes za Tinah,kwa mapenzi hapendi ujinga, amecheza hiyo part yake vizuri sana
Huo wimbo jamani amazing sana
Aki Tina amenifanya hadi nikalia aki wapendwa wa donta tv plz naomba tu hiyo wimbo plz na nitaendelea kuwafata samahani
Kelvin ushauri wangu kwenu Hao wadada wawe wanavaa vizuri ' juwa nawatu wazima wanapenda mvi zenu
Nafurahi nikiwatch movie zenu nyie watu❤❤❤
Nko mtaa likes wapi tukisonga,kazi zuri kelvin 🇰🇪🇰🇪
❤nimpee like mkenya mwenzi
Waaaau ❤❤❤❤ vzr xna n kweli mungu hakpi unachotaka kweli hii n tamu xnaa kelvin 😅😅😅😅
Wooow Mimi sijui ni wangapi kwakweli kama vile nimechelewa japo mko vizuri kiukweli nawaombea
Donta tv ❤❤❤❤I love 💕 you guys so much God bless you all 🙏🙏❤
kevy bana ni mume wa love, i can see😂
Munaendana sana love ness and kelvin ila namulijuwa kitu usafiki ❤❤❤❤
Ila Kelvin and lovenes munaendana sana jaman nikiangalia ni Kama Mike and mume
Kbs wal c uongo
Mi naomba kama Kelvin hajaoa aoe loveness
Loveness ndo yupi hapa?
Kweli kabisa
Na wapenda nyote jamani❤❤❤🎉
Hi nyimbo inayoimba inaitwaje jmn 🥰
Ken okeo ayoro nyagem
Hata mimi ningekuchaguwa love nes unakisurq cha wizi ila hata Tina ni mrembo sana 🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤nikiona ty donta mbio kwenda kununua bando hongeren sana Kevin
Lakni kwann kelvin kila siku ni loveness tu hapo nawaza 😂
😂😂
Wimbo mzuri❤
inaitwaje iyo nyimbo
Jamani mmeweza mmeweza tena
kelvin minimepend kanz zakokiukwel kinginenimetaka kusahau inabid umuowe loveness uyom dada kiukwel nimzul❤❤❤
Good job Kelvin team much love
Lov nakupenda sana
Nawapend san vipenz vang vya dont tv❤❤❤
Oya wa kwanza Leo nipeni ata 5 basiii
Nakubali🎉😊😊😊😊
Hongera san kevn bali umetupa mafunso kupitia wewe ❤❤❤❤❤❤ 21:31
Nawapendaa ❤️❤️
Congrats napenda sana movies zenu maana daa mumeweza
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙈🙈🙈🙈🙈 napenda
Movie nzuri much love from Kenya❣️
Groupe Donta tv felicitation!!!🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hongera sana Kelvin kwa kazi nzuri sana kwa kweli Mimi nainjoi na muvi zenu napenda sana kufwatilia muvi zenu Wana Donta tv
Asante
Much love ❤ kelvin na team yako
Hahahah kwl mapenz upofu yaan unasema mm ndo mwanaume wa ndoto zako afu ata haujaniambi😂😂😂😂
Jamani hii ndio maana halisi ya urafiki wa kweli,❤❤❤❤😢😢😢
❤kitu safi natizama kutoka 🇰🇪 Hayo Macho ya kiumalaya lovenes unaniua
Wanaume tunakua wakweli kila time bt wanawake hawaelewi nampenda best yako
Kazi nzuri tunaomba na Mr handsome muendelezo sasaaa❤❤
Iliisha mbona
Kweli ❤ness na kelvin wanapendezana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii nyimbo inaitwa aje nimeipenda kweli
Ukipata uniambie
I naitwa deka deka
Napenda wote wana donta tv 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tina hapa ameweza kweli, lakini vile napenda Loveness na Kevin wakiwa wapenzi hawa wako sawa,huo wimbo mtamu sana 🎉🎉🎉 wenye kuamini True love still exist give me a thumb👍👍👍
Inauma!!! Lakini jipe moyo Tina utapata wko TU mzuri 😢Kuna wakati wa Kila kitu ata weee utakubaliwa
Loveness anajua kuvaa uhusika pia kelvin anajua anajua anajua tenaaaa
Asante 🙏
Nimekuwa nyuma yenu donta TV,tokea Congo DR jimboni Maniema mtaa wa Kindu. Nimewapenda kwa kazi zenu. Sasa part ya ne 04 ya chozi langu bado tayari ?
Sema kelvin unacho mfanyia huyo tina sio kizuli jmn mbn una penda kumtesa sana
Duu Kevi mko vizuri sana napenda sana kuzifwatilia muvi zenu sana kwani zinafundisha sana
Wote tunaoisaport donta tv naomba tu gonge like hapa za upendo
Lazima tuisapoti kbs❤❤❤
Mmb
Kweli naipenda sana
Sioleo2 naipenda sana
❤❤❤❤
Much love from kenya🎉
Kelvin thanks so much I like this a lot this is the third time I've watched this
Kelvin mungu akumbaliki kaka sana keep it up ❤❤❤❤
I'm happy because of u guys am in south Africa
Nimezipenda movie zenu nzuri Sana zinafurahisha Sana, nawapongeza Sana wanachama wote wa donta TV mungu awabariki Sana.😅❤
Nimekuwa wa mwisho lakin naombeni like 😂😂😂
Jamani nawapenda sana from Burundi
Wanawake tumetisha kwa kutongoza daaa🤣🤣🤣 jamn mnanifurahisha kwakweli😅😅😅
Mpende anayekupenda ❤from 🇰🇪
Lavmens mwanamuke muzuri sana nakupenda
Vp kaka Kevin hongera
Tina utaja niua siku moja😂unakatiaje kalvin😂😂😂
Ongera donta tv Kwa kazi nzuri
Moyo wa Calvin umefia kwa loveness. Hauna kipingamiz
Congrats guys alway you made my day ....nwafuatilia Sana ✊✊✊
😂😂😂😂😂tina huna aibu weweeee
Movie zenu tamu sana napenda sana nyinyi but yaumiza 😂❤
Nawapenda san movie ziko poa nikiangalia nabaki kucheka
Wapili nafika ❤❤❤❤
Tina hana ata mshipa wa aibu dadeki ajataka kufatwa kavunja ukimya mwenyewe kafunguka kelvin nakupenda maskini alf kamkosa kampenda shogile nyieeeee mapenzi kiboko
kelv ni kak mzury sn wanaendan na loveness
Love from GOGO LOVE OFFICIAL to BURUNDI
Kazi nzur sana wana donta❤
Kweli kisichoriziki hakilizi😢...filamu tamu
🎉chukuen maua yenu mnatufundisha namna ya ulafiki wa kweli
Much love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
❤❤❤❤❤o
Mwenye kujuwa jina la huu wimbo tafadhali,,ataje ,,mzurii sana
Nakubali wadad wa humu wot wazuri yn
Dahh asee kelvin 🎉❤❤
Good job Kelvin much love
Yeah yeah red ♥️♥️♥️🍒 jantro 😅😅❤ nice move
Nikajuwa mi wakwanz Love❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤