Dk Mpango akiondoka bungeni baada ya kuthibitishwa kuwa Makamu wa Rais

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Fuatilia Matangazo ya moja kwa moja ya Bunge la 12, Kikao cha kwanza cha mkutano wa tatu jijini Dodoma.

Комментарии • 15

  • @EsterPaul-uc7ny
    @EsterPaul-uc7ny 3 месяца назад

    Mheshimiwaa naombaa unisaidiee helaa yamtaji baba angu maishaaa nimangumu sanaaa

  • @hermankifyasi8073
    @hermankifyasi8073 3 года назад +1

    Hongera mpango

  • @EsterPaul-uc7ny
    @EsterPaul-uc7ny 3 месяца назад

    Ccm ndo kilaa kitu hakika tunaimani nanyiee viongozi, tunawaombeaa kilaa kukichaa

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 3 года назад +3

    USIICHUKIE CCM
    BALI WACHUKIE WATOKANAO NA CCM
    HATA CHADEMA SIYO KIBAYA
    ILA WANAOISIMAMIA CHADEMA NDIYO WAKULAUMIWA KWASABABU WAWOOO WAMESIMAMA KWA UOVU TU

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 3 года назад +3

    Hivi hili ni bunge LA jamhuli au LA ccm mbona wabunge wengine wapuuuz sana

  • @beatricehenry1914
    @beatricehenry1914 3 года назад

    Mungu amsimamie kwenye uongozi wake

  • @jafferabdullah1651
    @jafferabdullah1651 3 года назад +1

    Mpango uwe mpango wa kweli

  • @mohamedkigwehe3561
    @mohamedkigwehe3561 3 года назад +2

    At ccm ccm kwani huyo mpango ni mwana ccm? Acheni kujichora

  • @eliasjillanga3158
    @eliasjillanga3158 3 года назад +1

    Ccm inatoka wap hapo

  • @heppykimila4445
    @heppykimila4445 3 года назад

    Akjaaaala

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 3 года назад +2

    Ccm ccm nini

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 3 года назад

    Mama yetu Ana akili sana

  • @shukurumwalukopetro6757
    @shukurumwalukopetro6757 3 года назад

    Wakati mwingine wabunge muwe mnajtambua hapolipo ni jamhur au massem

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 3 года назад

    Jee nani sasa atakua Mbunge wa huko alikokuweko yeye kama Mbunge?