Bony Mwaitege -Wamefunga Ndoa (Official Music Video) SMS TO SKIZA 9840976 TO 811
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
Bony Mwaitege -Wamefunga Ndoa (Official Music Video)
Video Production: Director William Ndilla
Number: +255 673 734 630
Email: ndillawilliam@gmail.com
MUNGU AKUBARIKI SANA. - Видеоклипы
ASANTE SANA NDUGU ZANGU, MUNGU AWABARIKI MNAPOENDELEA KUTAZAMA WIMBO HUU
PIA NAOMBA MNISAIDIE KUSAMBAZA
UJUMBE HUU.....
ILI VIJANA AMBAO HAWAJAOA NA KUOLEWA WAHAMASIKE
KUFUNGA NDOA.
Kabisa mtumishi
Amina Mtumishi wa Mungu
Sawa kaka
Kabisa mtumishi
Hapo ndio tuko bonnie 🇰🇪
Pongezi...uimbaji uliotulia..MUNGU awatie nguvu
Ni wimbo wa ushindi especially kama umepigwa vita usiowe au usiolewe. Wimbo huu una upako sana. Naipenda sana. Uzidi kuenda juu. Nyimbo zako zinaupako wa Roho Mtakatifu
Watanzania mnajua kuimba hak mbarikiwe sana kwa kuhubiri injili kupitia kwa nyimbo
Nmepata wimbo wa kwenye ndoa ya ngu bado ndoa tu
ASANTE
Nakupenda hy bony congrats you song
Wimbo huu ni ushuhuda kwangu. Mungu tu anaelewa. Ubarikiwe sana.
Wale wakenya tunaompenda mwaitege nione malikes........
ASANTE
First to comment,,wap likes za mtumishi wa mungu@bony mwaitege🙏🙏
Barikiwa sana
@@papatomaso4874 Amina🙏🙏🙏
@@papatomaso4874 les
Amen barikiwa sana
@@gracemanyonge4449 amina🙏🙏🙏neema ikubebe na ivunje sheria pia🙏🙏🙏
This is will be My weeding song in the name of jesus 🙏🙏🙏2023
Amen
Napaona kigogo freshi
Kazi nzuri kaka mungu akubaliki
Nice Big up
Congratulations my mentor
Bonny i like the way you slide...🍷👈
Yeey! My wedding song is here! 😊🎉❤
Na umeanza kutumia bits Gani siku ixi,SI uendelee na Ile ya samani
Kyala akosaje Mwaitege
Eeena nkamu
Wow nyimbo zenye mafunzo mengi
Kaza mwendo ndugu
Barikiwa
Naomba huu wimbo uendeleee kuishi miaka mingiiii
Liz pitia kwangu
Wimbooo wa harusi yangu nime pataaa sasaaaa
Ubarikiwe sana sana mtumishi wa mungu, napenda sana nyimbo zako, zimetulia na zinampa mungu utukufu, kama wimbo wako wa mwamini mungu ipo siku utafanikuwa linekuwa tumaini la watu wengi, imani zinaingezeka sana, dah roho wa mungu azidi kukufunulia 🙏🙏🙏
Boni mwaitege ni moto
ASANTE
Hongera pastor
Natamani kolabo yako
Barikiwa mtumishi
very good songs amen 💪💪💪 hallelujah Jesus Christ you are wonderful God 💓💓💓 amen 🙏🙏🙏 amen 🍀🍀🍀💐💐💐💐💐 hallelujah 👏🏽👏🏽👏🏽 nice one song amen 🙏🙏🙏 amen 💟💟💟💝💝💝💥💥💥 ooooh well done Bonny hahaha kweli
Kwenye hiyo ndoa nilikuwepo ila sijioni mbona jamani,,,, hongera sana Boni mwaitege nyimbo nzuri sana yaani ubarikiwe sana
Ume tisha kaka👏👏
Hooo naipenda kolabo Toka Uganda rufuge
Kazi nzuri sana barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Wimbo WA harusi nimepata WA kufanya naye harusi ndio bado sijapata.Barikiwa Bonnie much love from Kenya 🙏🙏🙏🙏🙏
Wamefunga Ndoa
Wimbo Mzuri Sana Huu Mungu Ametupatia Tena Wimbo Mzuri Wa Ndoa Kupitia Baba yetu Bony Mwaitege Sasa Nimwendo Wakufunga Ndoa Tu
Tamu sana
Great work 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Baba kama Babaangu hongera sana kwakweli
ASANTE SANA MWANANGU KEFA
@@BonyMwaitegeOfficial ameen asanteee sana Babaangu Mungu akubariki zaidi na zaidi
Waaaaaaaaaawooooooooooo wimbo maalum kwajili ya ndoa
jamni Nzuriiì
Nakubarisana pap natoka Burundi Big gafu sanaa
Ubarikiwe Baba
ombea yangu sasa. I am the next
Nice MUNGU Hakuongese masiku Mtumishi wa MUNGU 🙏
Bonny mwaitege ❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️. Mungu akutunze
Mungu AKUTUNZE KIONGOZI MTUMISHI WA MUNGU UBALIKIWE SANAA
Baba ubarikiwe sana hii location nahisi kuleee niger
Asant sana ndugu zate mumewezi kuyimba❤❤❤❤
Nyimbo nzuri sana kutoka kwa brother bony Asante San bro.wacha mungu atangulie kwenye huduma yako Anda be blessed,all the way watching and listening you from uwarabuni but 🇰🇪 Kenyan citizen all Kenyans we love you bony
nice one song amen 💪💪💪 hallelujah Jesus Christ you are only my father in heaven 🙏🙏🙏 amen
Hii wimbo nimeibada hadi mtoi akacheza
Baba Ubarikiwe mno Mungu ulie nae Usimuache 🤗🙏
Mungu asifiwe
Upendo kutoka Uganda.Huyu ndiye Mtumishi naomba Mola aniunganishe naye kufanya Kolabo.
KARIBU
Karibu sana
KARIBU sana ndugu yangu
Vizuri sana
Amiina MUKAMA akikolere bro🙏🙏
Ubarikiwe babayangu bony mwaitege nakupenda saana
God bless you man of God. Now i have a song that will be played in my wedding April 2023.
Nice 👍 song brother God bless you 🙏🙏
Safi nimefurahi kuskia saut ya martha baracka
Huna baya mtu wa Mungu hujawahi kuniangusha Baraka nyingi kwako ❤❤❤
Hongera mkuu
ASANTE MKUU
So nice
ndoa, mungu nijaliye na mimi ni funge ndoa 🙏👉❤🌹🙏
Video for me ohh 😆,I love the way the Bride smiles, it's a nice song for sure ❤️💕
Nimepata wimbo ya harusi yetu 🙏🙏🙏🙏
Amen mtumishi wa Mungu Mungu hazidi kukupea nguvu sana🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
lOVE FROM BURUNDI ❤❤
Wimbo nzuri saanaaa
Woww ❤️🥰🥰🥰🙏🙏🙏
Proud of you sir 🙏 🙏
This minister Boni, aah!! Neema inakutosha
Hakika mungu azidi kukuweka
Amen
Bwana yesu afiwe
Mtumishi please send me your phone number
Wakwanza
Official wedding song
Blessed one brother
Good song.
Yes ❤
Ndoa eee takatifu ona leo, ona leo takatifu!
New project New hit song yes let's take this to the world 🌍😅
Ameen Kali sana
Safi sana kaka nakumbuka pale jacaranda kwa crusade ya apostle chris baraka tele.
Nimebarikiwa sana bro Bony,,,Mungu azidi kukupaka mafuta ufanye vizuri zaidi ndio kiu yangu,,,,,imenibariki sana
Nakupenda baba unanibarik
Umenibariki sana huu wimbo jaman wap makofi kwa mchungaji
I,m bless for this Music from Moçambique 🇲🇿
Congratulations 👏 GOD BLESS YOU My BROTHER BONY MWAITEGE
Kazi nzuri bro
Really appreciate
Nitachezq hii kwa wedding
ameen ameen
ASANTE
Am a Zambian 🇿🇲🇿🇲and I have an opportunity to hear Swahili through your songs way back 2010, together with Rose muhando and bahati you people you are the asset of gospel industry in Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 God bless you. I promise this song will be on my wedding👩💍👨🎩👑💏
Kazi nzuri bonny ubarikiwe sana naomba nami nikaweze kufunga ndoa ya ndoto yangu in Jesus name
Ameen na Ikawe sawa na uhitaji wako
@@BonyMwaitegeOfficial be blessed my dady
Amen
Wimbo nzuri wandoa
Barikiwa sana baba yangu wa Kiroho.
Mungu akutunze mtumishi, Amen
Mungu akubariki sana natamani sana nami nifanye kazi nawewe
KARIBU SANA NDUGU YANGU
Asante baba kazi yako njema mno nami natamani nifike mbali sana
Asante kazi yako no njema baba
Baraka telee ❤
Depuis la RDC 🇨🇩 ,et je vous suis depuis 2009 c'est formidable
Much love Mr Bonnie from Zambia
Keep up minister bonny
Huu wimbo mzur saana lakini mbona umechelewa sana mtumishi? Yaani natamani ndoa yangu irudiwe kwa ajili ya wimbo huu😊😊
God’s plan