Bony Mwaitege -Wamefunga Ndoa (Official Music Video) SMS TO SKIZA 9840976 TO 811
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
Bony Mwaitege -Wamefunga Ndoa (Official Music Video)
Video Production: Director William Ndilla
Number: +255 673 734 630
Email: ndillawilliam@gmail.com
MUNGU AKUBARIKI SANA.
ASANTE SANA NDUGU ZANGU, MUNGU AWABARIKI MNAPOENDELEA KUTAZAMA WIMBO HUU
PIA NAOMBA MNISAIDIE KUSAMBAZA
UJUMBE HUU.....
ILI VIJANA AMBAO HAWAJAOA NA KUOLEWA WAHAMASIKE
KUFUNGA NDOA.
Kabisa mtumishi
Amina Mtumishi wa Mungu
Sawa kaka
Kabisa mtumishi
Hapo ndio tuko bonnie 🇰🇪
Yeey! My wedding song is here! 😊🎉❤
Kyala akosaje Mwaitege
Eeena nkamu
Nmepata wimbo wa kwenye ndoa ya ngu bado ndoa tu
ASANTE
Nimepata wimbo wa kuingilia kwenye ndoa yangu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Ni wimbo wa ushindi especially kama umepigwa vita usiowe au usiolewe. Wimbo huu una upako sana. Naipenda sana. Uzidi kuenda juu. Nyimbo zako zinaupako wa Roho Mtakatifu
Natamani kolabo yako
Ubarikiwe sana sana mtumishi wa mungu, napenda sana nyimbo zako, zimetulia na zinampa mungu utukufu, kama wimbo wako wa mwamini mungu ipo siku utafanikuwa linekuwa tumaini la watu wengi, imani zinaingezeka sana, dah roho wa mungu azidi kukufunulia 🙏🙏🙏
Barikiwa
Na umeanza kutumia bits Gani siku ixi,SI uendelee na Ile ya samani
Wale wakenya tunaompenda mwaitege nione malikes........
ASANTE
Watanzania mnajua kuimba hak mbarikiwe sana kwa kuhubiri injili kupitia kwa nyimbo
Wakwanza
Nitachezq hii kwa wedding
ameen ameen
ASANTE
Kaza mwendo ndugu
ombea yangu sasa. I am the next
Hatimae nimepata wimbo wa kuongilia wenye neema ya mungu❤❤❤❤🎉🎉
Ndoa eee takatifu ona leo, ona leo takatifu!
Upendo kutoka Uganda.Huyu ndiye Mtumishi naomba Mola aniunganishe naye kufanya Kolabo.
KARIBU
Karibu sana
KARIBU sana ndugu yangu
Vizuri sana
Amiina MUKAMA akikolere bro🙏🙏
This is will be My weeding song in the name of jesus 🙏🙏🙏2023
Amen
Kwenye hiyo ndoa nilikuwepo ila sijioni mbona jamani,,,, hongera sana Boni mwaitege nyimbo nzuri sana yaani ubarikiwe sana
Boni mwaitege ni moto
ASANTE
First to comment,,wap likes za mtumishi wa mungu@bony mwaitege🙏🙏
Barikiwa sana
@@papatomaso4874 Amina🙏🙏🙏
@@papatomaso4874 les
Amen barikiwa sana
@@gracemanyonge4449 amina🙏🙏🙏neema ikubebe na ivunje sheria pia🙏🙏🙏
Nyimbo nzuri sana kutoka kwa brother bony Asante San bro.wacha mungu atangulie kwenye huduma yako Anda be blessed,all the way watching and listening you from uwarabuni but 🇰🇪 Kenyan citizen all Kenyans we love you bony
Wimbo huu ni ushuhuda kwangu. Mungu tu anaelewa. Ubarikiwe sana.
Bonny huzeeki
ASANTE
Wow nyimbo zenye mafunzo mengi
Naomba huu wimbo uendeleee kuishi miaka mingiiii
Liz pitia kwangu
Wamefunga Ndoa
Wimbo Mzuri Sana Huu Mungu Ametupatia Tena Wimbo Mzuri Wa Ndoa Kupitia Baba yetu Bony Mwaitege Sasa Nimwendo Wakufunga Ndoa Tu
very good songs amen 💪💪💪 hallelujah Jesus Christ you are wonderful God 💓💓💓 amen 🙏🙏🙏 amen 🍀🍀🍀💐💐💐💐💐 hallelujah 👏🏽👏🏽👏🏽 nice one song amen 🙏🙏🙏 amen 💟💟💟💝💝💝💥💥💥 ooooh well done Bonny hahaha kweli
nice one song amen 💪💪💪 hallelujah Jesus Christ you are only my father in heaven 🙏🙏🙏 amen
Nimepata wimbo ya harusi yetu 🙏🙏🙏🙏
Wakwaz kuview
GOD bless you
May God enlarge your teritories
MUNGU akubariki mtumishi kwanyimbo nzuri
Asante saana mtumishi from 🇧🇮💚💛🧡
Wimbooo wa harusi yangu nime pataaa sasaaaa
Nakupenda hy bony congrats you song
Bonny i like the way you slide...🍷👈
Kazi nzuri bonny ubarikiwe sana naomba nami nikaweze kufunga ndoa ya ndoto yangu in Jesus name
Ameen na Ikawe sawa na uhitaji wako
@@BonyMwaitegeOfficial be blessed my dady
Amen
Mungu asifiwe
Mungu akusidishie neema mtumishi, nakufuatilia kutoka Kenya shàlom
ASANTESANA
ndoa, mungu nijaliye na mimi ni funge ndoa 🙏👉❤🌹🙏
Bonny mwaitege ❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️. Mungu akutunze
Ubarikiwe Baba
Napaona kigogo freshi
Wimbo WA harusi nimepata WA kufanya naye harusi ndio bado sijapata.Barikiwa Bonnie much love from Kenya 🙏🙏🙏🙏🙏
Yes ❤
Waaaaaaaaaawooooooooooo wimbo maalum kwajili ya ndoa
Mungu akubariki sana natamani sana nami nifanye kazi nawewe
KARIBU SANA NDUGU YANGU
Asante baba kazi yako njema mno nami natamani nifike mbali sana
Asante kazi yako no njema baba
Hakika mungu azidi kukuweka
Amen
Huna baya mtu wa Mungu hujawahi kuniangusha Baraka nyingi kwako ❤❤❤
Ume tisha kaka👏👏
God bless you man of God. Now i have a song that will be played in my wedding April 2023.
Asant sana ndugu zate mumewezi kuyimba❤❤❤❤
Baba ubarikiwe sana hii location nahisi kuleee niger
Hooo naipenda kolabo Toka Uganda rufuge
Baba kama Babaangu hongera sana kwakweli
ASANTE SANA MWANANGU KEFA
@@BonyMwaitegeOfficial ameen asanteee sana Babaangu Mungu akubariki zaidi na zaidi
Nice MUNGU Hakuongese masiku Mtumishi wa MUNGU 🙏
Mungu AKUTUNZE KIONGOZI MTUMISHI WA MUNGU UBALIKIWE SANAA
Amen mtumishi wa Mungu Mungu hazidi kukupea nguvu sana🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wimbo nzuri saanaaa
Kazi nzuri sana barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Umenibariki sana huu wimbo jaman wap makofi kwa mchungaji
I,m bless for this Music from Moçambique 🇲🇿
Baba Ubarikiwe mno Mungu ulie nae Usimuache 🤗🙏
Safi nimefurahi kuskia saut ya martha baracka
jamni Nzuriiì
Video for me ohh 😆,I love the way the Bride smiles, it's a nice song for sure ❤️💕
Hongera mkuu
ASANTE MKUU
New project New hit song yes let's take this to the world 🌍😅
Iko vizur sana kaka Hongera sana
Ubarikiwe babayangu bony mwaitege nakupenda saana
Pongezi...uimbaji uliotulia..MUNGU awatie nguvu
This minister Boni, aah!! Neema inakutosha
Barikiwa mtumishi
Hii wimbo nimeibada hadi mtoi akacheza
Woww ❤️🥰🥰🥰🙏🙏🙏
Nice 👍 song brother God bless you 🙏🙏
Safi sana kaka nakumbuka pale jacaranda kwa crusade ya apostle chris baraka tele.
Nimebarikiwa sana bro Bony,,,Mungu azidi kukupaka mafuta ufanye vizuri zaidi ndio kiu yangu,,,,,imenibariki sana
Nakubarisana pap natoka Burundi Big gafu sanaa
Great work 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nyimbo zako Mtumishi Bony zimefungua njia zangu zilizo fungwa na Shetani 😭😭😭Mungu akupe miaka mingi Ndugu
ASANTE SANA NDUGU YANGU
@@BonyMwaitegeOfficial Kila siku usiku saa sita nikiimba wimbo wako mmoja nilale! Naamka na baraka nimepata kazi kumbwa Sana kupitia nyimbo zako! Nitaimba hizo nyimbo Hadi siku ya kifo changu! Wewe ni baraka kwa jamii yangu
Tamu sana
Hakika mungu anazidi kukutumia mtumishi wake mungu azidi kukubariki
ASANTE SANA
Huu ni wimbo bora kwangu wa gospel kwa mwaka 2022 Hongera mtu wa Mungu kwa kutulisha wimbo mzuri sana
Huu wimbo mzur saana lakini mbona umechelewa sana mtumishi? Yaani natamani ndoa yangu irudiwe kwa ajili ya wimbo huu😊😊
Am definitely going to play this repeatedly on My wedding day next year.....Big love❤️❤️ from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mtumishi 🙏🙏
lOVE FROM BURUNDI ❤❤
Congratulations my mentor
Official wedding song
From Kenya, napenda nyimbo zake zote,,baraka teletele
ASANTE SANA NDUGU YANGU
Proud of you sir 🙏 🙏
To me just praying to God and believing that I will wed one day thanks for a wonderful song man of God
Mungu akubark mtumishi, wimbo wako una ujumbe mzuri na pia unatukumbusha kuoa na kuolewa, Asante sana.
ASANTE SANA NDUGU YANGU
Wow 👏hongera sana Bonny napenda nyimbo zako keep going
Kazi nzuri bro
Nakupenda baba unanibarik
God’s plan
Congratulations 👏 GOD BLESS YOU My BROTHER BONY MWAITEGE
Bonnie is a legend..nyimbo nzuri sana
Isaya nyamba
Isaya nyamba
Hongera pastor
Great love from Kenya,,, you have been my greatest fan for a very long time, and we love you and your good work. Keep on blessing us the servant of God, big up Bonny❤️❤️👍💪