JIFUNZE KUSOMA KIARABU SEHEMU (19) ALAMA ZA MAJINA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 62

  • @SalimBakari-wu9js
    @SalimBakari-wu9js 4 месяца назад

    Mashallah baraka llahufikum

  • @mzammirchanneltv7390
    @mzammirchanneltv7390 3 года назад

    Allah akulipen kheli nying wallah

  • @zuu__95
    @zuu__95 5 лет назад

    Shukran

  • @harerimananajati4589
    @harerimananajati4589 5 лет назад +5

    Allah akuzidishiye ilmu ustadh wetu uzidi kutuelimisha inshaaAllah

  • @kombobakar9057
    @kombobakar9057 5 лет назад +2

    Ma shaa Allah! May Allah rewards you all, ameen!

  • @ummyshabani7997
    @ummyshabani7997 2 года назад +1

    Asalam alykum naomba kuulza unapatikan wapi

  • @hamzafakur6365
    @hamzafakur6365 2 года назад +1

    مشاء الله بارك الله فيك

  • @jumajabu6438
    @jumajabu6438 2 года назад +1

    Maashaallah

  • @khadijaally-fv7bh
    @khadijaally-fv7bh Год назад

    Assalamu Alleykumu warahmatullah wabarakaatuh darsa nzuri mashaallah ALLAH Akuhifadhi

  • @SaidiHassan-cy2wk
    @SaidiHassan-cy2wk 5 месяцев назад

    Mashallah mungu akuhifadhi wanielemisha nimepata kujua angalao

  • @abouayman3770
    @abouayman3770 6 лет назад +2

    maaashaa Allah

  • @habibumdetele6530
    @habibumdetele6530 6 лет назад +1

    Jazakalahu kheir!nimekuwa najifunza kiarabu kwa mwalimu wa kiingereza,sasa hapa ndio nyumbani nitaelewa zaidi,shukrani.

  • @umeme5599
    @umeme5599 2 года назад

    She mm nko der nataka unierekeze hilabu km ba be bi bo bu ili nifam vizur shee wang

  • @nahodamomade8671
    @nahodamomade8671 5 лет назад +1

    Djazaakumu Llahu khair

  • @bakaribakari6444
    @bakaribakari6444 3 года назад

    Allah akujalie uwe miongoni mwa wakazi Wa jannatul Firdausi

  • @yasinhashim2983
    @yasinhashim2983 2 года назад

    Aallah awaongozee na awajaliee umri mrefuuu ostadh.

  • @ummuluqmaan7009
    @ummuluqmaan7009 2 года назад

    Salaam alaikum mm ni Ammaar naomba no. Ustadh . Natoka Kenya

  • @swalehhabibu5201
    @swalehhabibu5201 4 года назад

    Naomba namba zako nataka nije nikae darasani kabisa nisome insha Allah

  • @raheemaraheema1974
    @raheemaraheema1974 2 года назад

    Masha Allha Allha atawrioa

  • @mohamedibrahim7732
    @mohamedibrahim7732 2 года назад

    jazakallahu khairan sheikh

  • @lukaimafaraji6847
    @lukaimafaraji6847 5 лет назад +1

    jazaaka allah khayra

  • @bintmuhammed..7941
    @bintmuhammed..7941 5 лет назад +1

    Jazzaqallah kher ustadh soud luheta

  • @maryamalhabsi4599
    @maryamalhabsi4599 3 года назад

    Shukran sana kwa somo allh akupe kila la kheri

  • @aishaj4472
    @aishaj4472 4 года назад +1

    Camera man please tuoneshe ubao wote ili tuhisi tupo darsa kabisa.kila lakheri Amiiin

  • @aishamasai6769
    @aishamasai6769 3 года назад

    Masha Allah nitajiunga shekh

  • @abdiboru3259
    @abdiboru3259 3 года назад

    Ameen ustad

  • @fatimashillah9341
    @fatimashillah9341 3 года назад

    Shukran

  • @siafuonlinetv
    @siafuonlinetv 6 лет назад

    Sudi luheta nataka namba yako ya simu maana nataka kujifunza qur-an

  • @malususiri4889
    @malususiri4889 4 года назад

    Mashaalaah ila hapa pangumu

  • @mariamahmed6859
    @mariamahmed6859 7 лет назад +1

    Alhamdulillah

  • @ناديهترتوب
    @ناديهترتوب 5 лет назад +1

    Shukran sana shekhe

  • @hamisasalma6334
    @hamisasalma6334 4 года назад

    Shuqrani sana

  • @mohammedqalatana6960
    @mohammedqalatana6960 2 года назад

    Shukuran

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 5 лет назад +1

    Uko.vizur.allhah.akubariki

  • @rayyaanali2521
    @rayyaanali2521 3 года назад +1

    TabarakaAllah MashaaAllah. Allah atawapa kila la kheri kwa kutuilimisha. Kwa hakika unafunza vyema.

  • @azizally3129
    @azizally3129 6 лет назад +3

    Allah akuongoze na utuendelee kutuelimisha

  • @mahadimatsawily5809
    @mahadimatsawily5809 5 лет назад

    Ni tutorial nzuri kwa ajili ya kujifunza lugha ya kiarabu

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 лет назад

    Ustadh Juluusa kwani si kitendo? au sijaelewa

  • @alimwinyi3161
    @alimwinyi3161 6 лет назад

    Haya shukran nimepata faida coz bado n mwanafunzi mm

  • @alimwinyi3161
    @alimwinyi3161 6 лет назад

    Shukran ustadh ila rekebisha kwa tanween sababu umeeleza vizuri ila mfano umeweka kwa vitendo badala ya majina mfno:بيت، قلم na kadhalika ndio tanween huingia kwa majina hayo c vitendo.

  • @waleedsuleiman8427
    @waleedsuleiman8427 6 лет назад

    Ustadh je umesema sawa hapo ulipo toa mfano wa tanween جلوس na ukasistiza kuwa tanween ina ashiria jina wala si kitendo. Naomba uniweke sawa.
    Waleed, Leicetser, UK

    • @luheta
      @luheta  6 лет назад +1

      Waleed Suleiman niko sawa kwakuwa جلوس maana yake kukaa na hii ni maana ya jina kwakuwa haijaambatana na muda
      Ama kitendo ni جلس maana yake alikaa au يجلس maana yake anakaa

    • @ameirameir7428
      @ameirameir7428 3 года назад

      @@luheta sehemu ya 20

  • @fatmaa5363
    @fatmaa5363 4 года назад

    Shukuran ustaz Allah akuekewepec ameen

  • @sheikhaalamoudi3390
    @sheikhaalamoudi3390 4 года назад

    Mashaallah twafaidifika sana

  • @alimwinyi3161
    @alimwinyi3161 6 лет назад

    جلس

  • @hassenmusaa2782
    @hassenmusaa2782 4 года назад

    masha Allah undugu

  • @alimwinyi3161
    @alimwinyi3161 6 лет назад

    Tazama hio darasa utaona

  • @fadhilijohn7655
    @fadhilijohn7655 5 лет назад

    Assalaam aleykum nitapataje epsod zote sheikh

    • @luheta
      @luheta  5 лет назад

      ruclips.net/video/oAxFi1lYcKA/видео.html

  • @maryamahmed422
    @maryamahmed422 5 лет назад

    Shukran mwalimu

  • @abdullahalmarzouqi8794
    @abdullahalmarzouqi8794 5 лет назад

    Shukrani

  • @alimwinyi3161
    @alimwinyi3161 6 лет назад

    Kukaa n kitendo c jina

    • @luheta
      @luheta  6 лет назад +1

      ali mwinyi kukaa si kitendo ni jina alikaa au anakaa au kuamrisha kaa ndio vitendo hiyo kukaa ni masdar ya neno jalasa na masdari ni jina
      Pia neno kukaa unaona linaambatana na wait?

    • @khamikhan5091
      @khamikhan5091 4 года назад

      kaa ni jina