Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
MZEE YUSUF ARUDI MJINI
- Добавить в
- Мой плейлист
- Посмотреть позже
- Поделиться
Поделиться
HTML-код
Размер видео:
- Опубликовано: 11 авг 2020
- Ni funzo Gani Twapata kupitia kisa cha Mzee Yusuf kurudia Kuimba Taarab 🍎 Habari za Wiki “AUGUST 2020”
Комментарии • 167
Следующие
Автовоспроизведение
Mzee Yusuph: Zamani nilikuwa napata Milioni 2 kwa Wiki, Siku Hizi Mimi Najiunga Bando la BukuTimesFMTZ
Просмотров 401 тыс.
Mzee Yusufu Kaenda Makka Kumtapeli Mungu / Mungu Kapiga Laana/Dua Yake Haikuswii Makka Pro . MazingeDARSA TV
Просмотров 52 тыс.
Super CS Kithure Kindiki Clears 900k Hospital Bill of Raila Point man Nuru Okanga's Child!!Mutembei TV
Просмотров 19 тыс.
The Really Good Podcast | Peso Pluma: "Tio Peso"Bobbi Althoff
Просмотров 262 тыс.
lime disease & opensauceLilyPichu
Просмотров 388 тыс.
triplets blind date for each other (ft. the kalogeras sisters)nectar
Просмотров 2,2 млн
Insane Things You CAN'T UNSEE in MinecraftPrestonPlayz
Просмотров 1,4 млн
DRAMA IN COURT AS JIMMY WANJIGI'S LAWYER SHOCKED EVERYONE WITH THIS REVELATION OVER VICTIMS ARRESTEDJalango TV
Просмотров 47 тыс.
NASAHAA MUHIMU BADAA YA EIDD AL-ADHAIQRA TV 📺KIOO CHA JAMII
Просмотров 80
MKE wa MZEE YUSUF afunguka:Tunapitia tabu, Madeni, SHILOLE amekosea, Tunafanya muziki ni SHIDA tuSimulizi Na Sauti
Просмотров 294 тыс.
FITNA ZA DAJJAL s2 episode 21USTADH OMAR
Просмотров 487
JAHAZI -TIMS FMjphamber
Просмотров 528 тыс.
'WACHENI KUSUMBUA RUTO KUMBAFU NYINYI!' Angry Raila Odinga warns Azimio leaders and Gen Z!🔥🔥Balindiway Media
Просмотров 33 тыс.
MZEE YUSUF ANALAANA// Pro MAZINGEarkas online tv
Просмотров 1,7 тыс.
𝐒𝐇𝐄𝐊𝐇: 𝐀𝐋𝐋𝐘 𝐍𝐃𝐄𝐋𝐀--- 𝐉𝐄 𝐍𝐀𝐖𝐄 𝐔𝐍𝐀 𝐒𝐈𝐅𝐀 𝐙𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐔 𝐖𝐀 𝐏𝐄𝐏𝐎𝐍𝐈 ?Munawwarah Online TV
Просмотров 18
masihi dajjal s2 e29USTADH OMAR
Просмотров 473
Причёска меняет жизнь! 🤍 Телеграм @sashaspilberg. #сашаспилбергSasha Spilberg
Просмотров 226 тыс.
Переехал на танке дом 😱 #shorts #start #кино #фильм #сериал #противвсех #танкиSTART
Просмотров 14 тыс.
Необычный способ сохранить овощи до весны! #овощи #дом #дача #хранение #огород #урожай #лайфхакМарина Жукова
Просмотров 78 тыс.
ROLLING DOWNNatan por Aí
Просмотров 7 млн
❗⚡Вторжение Украины. Итоги 6-го дня: Путин в ярости, жители Курской области радостно встречают ВСУВОТ ТАК
Просмотров 1,2 млн
İrlanda'da Filistin bayrağını indirmek isteyen kişi böyle durduruldu #shorts #filistin #keşfetUlusal Kanal
Просмотров 971 тыс.
Inside Out 2: Does Alexia Treat Joy Kindly? #shorts #animationAnythingAlexia
Просмотров 11 млн
Sad To Announce I Did Not Qualify For Mens 2024 Olympic Gymnastics TeamThe Rock
Просмотров 21 млн
Hatujui mwisho wetu Mungu atupe mwisho mwema.anavyo Fanya Mzee yusuf ni unafki na kudhalilisha uislamu
Bado hamuelewi Hakuna anayejuwa mwisho wake
Brother Huwezi kuudhalilisha uislam tunajidhalillusha uislam ni perfect waislam sio
yani swadakta nikweli kaka
shukran Nakupenda kwajili Allah mungu akupe afya njema 💙💙💙
MashAllah TabarakaAllah naswaha nzuri kabisa Allah atujaalie mwisho mwema na akuongezee katika mizani yako ya khasanat Ustadh Omar Allah ibarik fik
Kabisa shekh Alla atupe mwisho mwema, inshallah
Upo sahihi sheikh na ktk hii dunia mkosa kwa Allah sio Mzee yussf tu kilamtu ajichunguze na zahama zake hongera sana sheikh kwa nasaha zuri Allah akujalie uongofu popote ulipo Allah akuzidishie hekma sheikh popote ulipo
Amiin
@@abubakarmpole4000 Ahumma amin
Aminii
Mombasa hasa kuna mashekhe
Natamani ningekuwa huko mombasa maana nakumbuka mashekhe wale
Jazakallah khayran
Jadhaakallahu kheri
masha Allah niukueli kabisa Allah hatusamehe
Allah atujaalie mwisho mwema hapa duniani na kesho akhera,Aameen
Amiin 🙏🏽
MashaAllah... Allah twamuoba Atuongoze
MAshaallaah ustadh napenda darsa zako maana huwa zimetuliaaaa
Umma
Swadakta mwanadam anakosea ALLAH na haki ya ku hukum ni ya ALLAH
Mansha Allah tumuombeyeni Insha Allah
Amiin yarrab
MashaAllah Tabarakallah...mawaidha mazuri.
Rabbana la tuzigh quloobana ba’da idh hadaitana wa hab lana milladunka rahmah innaka antal Wahhab
Allahumma ya Muqallibal-qulūb thabbit qalbi 'alaah deenik.
mashallah dua nzuli m.mwezi mungu akufanyie wepesi inshallah
Amin
Amin
Amin
Naaam mashallah jazakallah kher Akhy
Walekm musalmu walatuhi wabarakatu sheikho wangu
jazakallah kheri mungu skulipe mfanoweake umeeleza vizuri
Allh atuongeze yeye na sisi naatusameh makosa yetu. gadar. zetu. na khatima zetu Ajuwae ni Allh☝️
Ami Swadakta
Amiin
Huyu sheikh nimemuelewa vizuri sana.
Wengine wanaongea kinafiki na kishabiki tu na kujifanya wao ni wasafi sana
Mashaallah ustadh omari
Ust una hikma mashaalah nakupata safi nikiwa bahrein
Huyu sheikh mashaallah ana hekima sana sana Allah amjalie khatma njema Sababu binadamu haifai kujiona ww upo sawa
Kikubwa kuombeana kheri na kunasihiana ila sio kukashifu dini . Na kuifanaya ni kijijini . Why
Baraka Llahu Fik ya Akhi Fil Islaaam
Subhanallah is very true
Ma.sha.Allah
Maneno mazuri
Allah atuongoze
Mashaallah mashaallah
Masha Allah Allah akueke Shk.Omar vizazi vyetu vijao wakuwahi na kupata darsa zenye ufafanuzi wa haki na ilmu.
Maahallah
Wala hajamuhadaa M/Mungu amejihadaa yeye mwenyewe ..M/Mungu alimjuwa tangu ameenda kuhiji ya kwamba hija yake si kwa ajiri ya Allah ..kwani M/Mungu anayajuwa ya miaka 1000 ijayo na ..M/Mungu ameahidi kwamba hata muacha mja yeyote anayejinasibisha ya kuwa ameamini na yuhali hajaamini ...nakisha akasema lazima ampe mitihani ..
Maashaallah
Allah humuongoa amtakae na kumpotosha amtakae hujafa binadamu hujaumbika Allah atuongoe amuongoze ktk njia ya kheri yy na ss hatujijui kesho yake. Swadakta sheikh upo sahihi kwa nasaha zako Sababu ibilisi hashindi kumpotosha mja ila kwa idhini yake Allah na Allah akitaka kumuongoza huyo Mzee yussf hashindwi.
Zayyat kweli mungu humuongoa amtakae lakini mungu hampotezi mja Bali mja hujipoteza mwenyewe kufata njia anayoitaka kwani alla katpa fursa kwa mja kufata njia aitakayo
@@alanami2846 nimekuelewa Sababu kajiumba ndiomana akajipotosha mwenyewe ila ww huwezi potoka upo ok
@@zayyatiyussuf9566 zayyat tuliache tu hili suala lkn dah ibilisi na nafsi ni viumbe hatari sana dunia yetu yetu hii zayyt wewe acha tu ina mambo
@@alanami2846 sahi sisi ndio tuna mshawishi IBLIS
Allah alimuongoza ila ibrisi ana jeshi sasa karud kwa njia ya ibrisi ukitubia sharti usirudi tena
Asante Sana shekh
Shukran ustadh
Umeongea ukweli sheikh upo juu ya mstari tusimlaumu wala tusimkejeli mm kuna siku niliwaambia watu haina haja ya kumkejeli huyu mtu hatujui kipi kimempata ila tumuite tumuweke chini tuongee nae atatufahamu tu wallah nilitukanwa mpaka nikajuta nikaambiwa na mtetea mzanzibar mwenzangu lkn mm nasema hujafa hujaumbika bado
Usimtetee
Innalillah waina illahi rajiun
Sheikhe ni ahmed iman na aboud rogo wengine wote wasanii tuu
Unakosea sana sanaaa
Brother soma na ufuatilie dini ndio uonge haina haja ya kubishana.
Allah ndio anajua ila dini ikisimama yote yasingekuwepo na
@@sidratybinkhamis2837
HAKIKATAN ..
MENGINE RAHISI SANA IKIWA BENDERA ZINAPEPEA ZA RAYYA TAWHEED
Safi
Sheikh neno safi si katika mafundisho ya Mtume Muhammad (S. A.W). Mtume Muhammad (S. A.W) alitufundisha kua unapo sikia au kuona jambo linalo pendeza kwa ajili ya Allah unatakiwa useme MASHA ALLAH
Allah atuongoze ktk njia iliyonyooka.
Hapo wasema ni mtego wa shetani kisha hapo hapo wasema mzee yusuf amehadaa, hapo wasema tusimseme mwenzetu kisha wewe wamsema..
Hataki duwa mzee .mana hata iyo nafs yake bado inapenda raha raha na matumiz na rafiki zake wote watu wapenda raha na mazambi na mkewe pia sie .
Uislam ungekuwa unaendeshwa kwa kuteteana hivyo tusingeukuta tuache unafikii
Dawa yetu islam isimame hukumu llah
Hapo umesema tusimseme mzee yusuf sababu hatujui mwisho wetu. Kisha hapo hapo umemtia kwenye unafik. Tushike lipi tuache lipi? Na una hakika gani yeye ni MNAFIK?? Je Mungu amekwambia?
Nimesoma comments na kusikiliza mashehe wakimlaani sana mzee yusuph sasa mimi naona mzee yusuph wewe uahamie kwenye ukristo utapata love and we will support you
Njoo kwenye ukatoliki na pia ukiimba gospal na kuhubiri utapata pesa sana na utaachana na hawa wanao kuombea laana
Tumsifu yesu kristo
Huo ndio uislam kukumbushana, na huko unako muita ndio hata akiomba msamaha hawezi kusamehewa, na kuimba na kuamia dini ni mambo mawili tofauti, yeye anataka kuimba taarabu hataki hizo gospel sijui gosip zenu,kwa hiyo kwenye huo u Catholic wenu hata mwanaume akiolewa na mwaume mwenzio bado mnampongeza? Alafu mkiona waislam wanaelekezana kulengana na imani ya kiislamu nyinyi mnaingilia??
Fatuma Mwalimu
Ukisema comment utaona jinsi gani waislam na mashehe walivyo mtukana na kumuombea laana, tena wamemtukana hata mke wake kuwa ndie ibilisi, imeniuma sana kwani nampenda sana mzee yusuph na mke wake, sisi wakristo hatujaji mtu tunamuachie mola mwenyewe, nyie mnamlaani na wengine kumtisha kuwa hataiona pepo na kaburini atakipata cha moto sasa sijui inawauma nini wakati yeye mwenyewe aliyajua hayo na yupo tayari kwa lolote, kama huo moto atachomwa yeye sasa nyie mapovu ya nini? Nyie wengine mnafanya kazi bar na kwenye makasino, na mna tv na mpo hapa youtube wakati mnajua hamruhusiwi hata kusikiliza musiki.
Ndio maana tunamkaribisha katika dini inayoenda na wakati.
Mzee yusuph anacho hitaji sasa hivi sio shutuma kwani ukiangalia alikua kweli na nia ya kuacha mziki lakini amesema matatizo ndiyo yaliyo mfanya arudi tena, pia according to him alie mtia kwenye matatizo haya ni muislam mwenye sigda usoni na sio mkristo, sasa anatakiwa apewe good support sio laana kutoka kwa mashehe wenu
Mzee yusuph njoo kwa yesu uone utamu wa maisha, tena njoo uimbe utamu wa yesu uone mamilion yakijaa katika account yako
@@ambrosiamlinga8402 ,wewe acha uongo, ukisoma comment zote hapo hakuna mtu aliesema yussufu ataingia motoni, alafu ikiwa unasoma hiyo bibilia yenu pia vinanda na nyimbo zilikua zimeamrishiwa wana wa Israel kwa muandamo wa mwezi, je nyinyi mnafatilia miezi na miaka kupitia mwezi? Mafundisho ya uislam wachana nayo na muislam akikosea lazima aonywe kulingana na vitabu, pili mke wake ndie aliemshawishi na hata alipoacha kuimba mkewe hakua radhi, lazima ukweli usemwe, na ndio wa Catholic ufungisha ndoa za jinsia moja alafu mnasema MUNGU ndie anajua!!,wala humpendi basi! Yesu mwenyewe alisema alikuja kufitinisha mtu na baba yake wewe vipi unasema unampenda? Makosa aliyoyafanya yussufu lazima waislam wapaze sauti, na nyinyi mnajua ya kanisani na sisi tunajua ya uislam kwa hiyo nyamaza, yeye anataka kuimba taarabu hataki hizo gospel sijui zenu nilisha kwambia, waislam tumeambiwa tukumbushane na ikipitiliza tukemee, ikiwa mtasema kila kitu tukifumbie macho wanaume wote wawe wakataviuno ni jamii gani tunajenga? ata hiyo bibilia yenu imesema 👉shetani ni miongoni mwa majini na binadamu 👈na ikiwa mmoja wetu kadhihirisha ushetani basi tunahaki yakumkanya, mbona kabla haja acha kuimba taarabu waislam hawakumsakama bali walikua wanamuombea? Eti aje kwenye Catholic!!bado ni upotovu tena upotovu mkubwa, kwani unahisi jahanamu imeumbiwa wadudu?hapana imeumbiwa watu wanaofanya mahaswi, kwani wangapi wako na shida lakini wanaisubiri nusra ya MUNGU? Kuna watu wako na kipato kidogo lakini wameridhika, tuacheni tukumbushane kama uislam unavyotaka,yesu hajui huo mnaouta ukiristo bali huo ni upagani, mtu akikosea tunatakiwa tumwambie, na hao unao sema kua wanafanya kazi pab pia muislam akimuona anapaswa kumwambia, na usidanganye ukasema aliungwa mkono na SHEKH ,huo ni uongo na hata huyo SHEKH unaesema wewe alilikanusha hilo tena adharani, muache kudandia, kwani nyinyi mbona uwa naona mapovu yenu kwenye mitandao kisa tu mtu labda ameacha imani yenu ameingia kwenye uislam uwa mnashupaza shingo kama amehaswi, lakini mtu anae fanya kufru na kupotosha ummah akiambiwa kwenu ni tatizo!!
Ukristo sio dini ila ni upotofu na ukafiri mkubwa...ww potea kivyako maanake wakristo wote hasa wakatoliki ni illuminatti nyie ni wajumbe wa ibilisi...agents of Lucifer...mungu wenu yuko Rome sasa usijisifu kwa dini ya kishetani!
Adijah Munyasia
Sasa kama sisi ni makafiri mbona vitu wanavyovitengeza makafiri unavipenda, hiyo simu, internet, you tube dawa unazokunywa nguo uliyovaa tv yako vimetoka kwa makafiri sasa vitupe kwani ni haramu kwako. Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Wenzako wanakufa mabaharini kuvuka kuingia ulaya na si kwenda arabuni nafikiri na wewe ni mmoja wao
Unamuabudu vipi mtume ambae amelala na mtoto wa miaka 6, kaoa zainabu mtoto wa mwanae wa kufikia.
Mtume kaamuru kupigwa kwa wanawake mpaka wanyenyekee quran 4:34
Mtume alikua na anafuga watumwa tena watu weusi kama wewe kutoka africa?
Mtume alioa wanawake 11 na kuna usiku mmoja aliwalala wote 11 bila kuoga in between them
Hivi wewe unaweza kumtoa mtoto wako wa miaka 6 kuolewa na babu yake mtume mwenye umri wa miaka 54, hembu fumba macho mfikirie aisha wakati anaingiliwa kimwili na mtume aliogopa kiasi gani, pia aliumia kimwili na kisaikologia,
Mtume aliwaua wanaume na kuwateka wanawake zao na kisha kuwafanya sex slavery, aibu!
Hayo yote yapo kwenye hicho kitabu chenu unachosema ni dini ya kweli
Nyie mnamtukaka mzee yusuph wakati wengine mnafanya kazi kwenye mabaa na kusikiliza redio all the time wakati kuna muziki humo
Namuombea ili aje huku kwenye ukristo dini inayokwenda na wakati, dini ya wasomi wanayoingoza hii dunia hata saud arabia imefyata mkia
Akija tualipa madeni yake yote na tutampa love na kumfariji sio nyinyi na mashehe wenu mnamlaani na kumtisha kuhusu ahera wakati nyie wenyewe ni wahalifu wakubwa mnao tumia na kupenda vitu vya makafiri
!h
Shekhe unamlealea MTU ukweli ukopalepale amethubutu kuhangaisha iman yake ni motoni2
Una hekma umemshinda sayyidna omar au vp mtu kama kakosea aambiwe tu hakuna kuremba remba
Unamjuwa sayydna Omar wewe ? Pole sana
Omar ni mtu mtukufu sana Alie bashiriwa pepo
Hujaifaham coment yangu
Sayydina umar r.a . Alikuwa shujaa alikuwa ammaliza allah atuongoze
Ok
Kwani mzee yusufu bila yeye uslimu huendi kwa yeye mtume
Sio hivyo,mtu akipotea ni lazima aambiwe ukweli hata kama sio mzee yusuf tu. Uislamu maanake ni kukumbushana na kuhimizana mema na kukatazana maovu. Huo ndio uislamu kakangu.
Coz yy alitoka live kwa media nakujitangaza
SHEHE SHEHE HII UMEIPITIA
ruclips.net/video/_yXshYnxdRk/видео.html
Baba yule ushetani umemvaa analolote kama dua watu wamemuombea sana kauuchafua uislam
Lielewe na lizingatie sana neno "Tuombe Mwisho Mwema."
Tuepuke sana kuhukumiana,yeye anaimba taarab mimi na wewe tunafanya madhambi mangapi au kwasababu sio maarufu hivo jamii haiyatambui !!???
Kwa Mwenyezi Mungu hakuna maarufu ila tutahukumiwa kwa matendo yetu tuu
@@mussamsella5801 pia na wewe uelewe kwanini ibilisi alipoambiwa na mwenyezimungu kuwa makazi yake yatakuwa motoni milele nae akamwambia mwenyezimungu atoingia moto pekeake bali ataingia na wafuasi wake na mwenyezimungu akamwambia ibilisi atakaempata yeye kwenda nae moto ni fajaala uthaaa aniahawa yaani yule ambae thamani yake sawa na shuke
Kwakua ww bausa wa huyo ibilis hawezi kukupotosha na wala Allah hashindwi na nguvu za ibilisi kumpotosha mja Allah anaweza kumuongoza huyo Mzee yussf ktk njia ya kheri na kumuachia huyo ibilisi kwako ujikute unatembea barabarani bila nguo Allah ajalie nafsi zenye akili hakuna aliokamilika hakuna kiumbe mwenye tiketi ya kuambiwa ww upo good ktk uhai wako mmpaka mwisho wa uhai wako ibilisi hana Mzee yussf tu na ibilis hafanyi ufedhuri kwa mja ila Allah atake asikuhadae Allah hashwindwi na nguvu ya ibilisi ila mja ni dhaifu kwa nguvu za ibilisi ila kwa rehema za Allah kutaka ibilisi akupotoshe. Na Allah akiwa ana hasira kama za ss viumbe unazani nn kingebaki ktk hii aridhi kwamaovu na machafu yaliopo yanayofanyika na umma binadamu?na Allah kamstri kilamja kwa ukubwa wa Subra yake mwenyewe Allah, Allah akitaka kuleta mtihani ktk hii aridhi haumkuti Mzee yussf tu kwamadhambi tuyafanyayo yasiri na ya dhahiri ktk ss viumbe tuombeane kher nasio kuchochea shari baina yetu hakuna mkamilifu ila Allah pekeyake ss soteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wahukumiwa kilamoja ajipange kivyake na hiyo siku tuache 👉👅
@@zayyatiyussuf9566 naikumbukwe pale ibilis alipoambiwa na mungu baada ya kumlaani na kumwambia makazi yake yatakuwa motoni milele ibilis akamjibu mungu kuwa hatoingia pekeake motoni ataingia na wafuas wake miungoni mwa viumbe wake mungu mumgu akamwambia ataempata ibilis kuingia nae motoni thamani yake mbele ya mungu sawa na shuke fajaala uthaaa aniahawa
@@aboubackhrkassangullah3377 upo sahihi kutuelimisha ila swali langu kwako ww binafsi upo miongoni mwa waja wema peponi moja kwa moja?
Masha Allah
Maashaallah