UFUO | EP 01 - 06 |.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024

Комментарии • 27

  • @ummialey6391
    @ummialey6391 5 месяцев назад +6

    Mke wa mwanzo na wa pili tofauti macho yangu au vp jaman

    • @lizyjustin5153
      @lizyjustin5153 3 месяца назад

      Nilichoelewa ni kwamba yule mke wa kwanza ni ndoto tu ya sauda

  • @scarfacethesocialist9552
    @scarfacethesocialist9552 5 месяцев назад +5

    Kaka chiebway... tunasubiri mzigo mpya

  • @fpssatanzania2782
    @fpssatanzania2782 5 месяцев назад +10

    🎉🎉🎉 Hongereni saana

  • @daina8464
    @daina8464 5 месяцев назад +6

    Kazi safi sana nmekuwa wa saba naombeni likes kutoka kenya 🇰🇪

  • @MariamOmary-tt3fo
    @MariamOmary-tt3fo 5 месяцев назад +10

    Tunasubiria SEASON TWO bhana 🎉❤

  • @NicholausMziray
    @NicholausMziray Месяц назад +1

    Ila butua ni mlevi kweli😂

  • @Masterstevemedia-kb5oc
    @Masterstevemedia-kb5oc 5 месяцев назад +8

    good work

  • @Thetrendy0505
    @Thetrendy0505 5 месяцев назад +6

    Wa 3 leo ❤❤

  • @PingaBombwe
    @PingaBombwe 4 месяца назад

    Kazi nzuri alafu ndefu hadi raha 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @NassoroKhamisi-gt4yw
    @NassoroKhamisi-gt4yw 2 месяца назад

    Muko vizuri keep it up

  • @nyamburimakoye-ox1vl
    @nyamburimakoye-ox1vl 5 месяцев назад +5

    congratulations

  • @Mwandola1
    @Mwandola1 5 месяцев назад +6

    💚 🔥 nice like me

  • @RaimamomedSaidi-wz1yu
    @RaimamomedSaidi-wz1yu 2 месяца назад

    Tunataka kujua huo ufuo wa huyo mama unathamani gan?na yeye alikua nani mpaka mukataka ufuo wake?na ufuo huo unakauka baada siku kadhaa tu ila huo haukauki 😂😂kwan kapela vip?emu tudokolee kidogo mana sjawah kukuona kuwa mchawi ndio mara kwanza kuona mambo hayo kwenu🎉🎉🎉🎉ila mnaweza muko sirias na uchawi wenu kwakwel hongeren sana,ila musjekuupenda kweli uchawi hauna mana❤❤❤

  • @NassaraNassor
    @NassaraNassor 4 месяца назад +1

    Kaz kazi

  • @subbyraibrahimu250
    @subbyraibrahimu250 4 месяца назад +1

    maadili wamekosea mtu mzuma anaishije na kibint kama hcho bla ndoaa

  • @ImmaculateMkhambe
    @ImmaculateMkhambe 3 месяца назад

    Sema auuweehhh 😂😂

  • @HalimaNziku-tg4tv
    @HalimaNziku-tg4tv 3 месяца назад

    Mchawi ho hohoho😂😂😂

  • @eagleculturetv4692
    @eagleculturetv4692 3 месяца назад +1

    Iv yule aliyekutwa anaoga ni nani na yupo wapi maana nae alitambulishwa kama mama

    • @RahmaWazir
      @RahmaWazir 3 месяца назад

      Ile ilikuwa ni ndoto yule mtoto wa kike wa yule baba anaota so uyo binti anamaono Kila akiota yanatokea baada ya apo siku zinazofuata baba yake akajakumtambulisha kweli mama mpya

  • @zaiboris9696
    @zaiboris9696 3 месяца назад

    😢

  • @MusaEnock-kx6vt
    @MusaEnock-kx6vt 4 месяца назад

    Kipala wanaman

  • @RendinaaEliabi
    @RendinaaEliabi 4 месяца назад

    Iv hizo like huwa mnazifanyia nne kila sku naombeni like like mnakazi gan nazo

  • @MarthaMkasi
    @MarthaMkasi 5 месяцев назад +3

    Ufuo ndo nini jamani

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 4 месяца назад

      UFUO NI SEHEMU AMBAYO HUCHIMBWA NDANI YA CHUMBA NA JUU YAKE HUWEKWA KITANDA CHA KAMBA NA HUOSHEWA MAITI YALE MAJI HUINGIA KWRNYE HILO SHIMO BAADA YA HAPO HUFUKIWA NA HTANDIKWA MKEKA JUU NA WAFIWA HULALA PALE HUO NDO UFUO ILA SIKU HIZI WACHACHE HUFANYA HIVYO MAITI NYINGI HUISHWA HOSPITALI AU MSIKITINI KWENYE ENEO MAALUM LA KUOSHEA MAITI.

    • @mememe5689
      @mememe5689 4 месяца назад

      Ni sehemu aliokoshwa. Maiti. Pale. Kwenye shimo la maji machafu yanayo Ingia. Ndo. Ufuo