Tunataka kujua huo ufuo wa huyo mama unathamani gan?na yeye alikua nani mpaka mukataka ufuo wake?na ufuo huo unakauka baada siku kadhaa tu ila huo haukauki 😂😂kwan kapela vip?emu tudokolee kidogo mana sjawah kukuona kuwa mchawi ndio mara kwanza kuona mambo hayo kwenu🎉🎉🎉🎉ila mnaweza muko sirias na uchawi wenu kwakwel hongeren sana,ila musjekuupenda kweli uchawi hauna mana❤❤❤
Ile ilikuwa ni ndoto yule mtoto wa kike wa yule baba anaota so uyo binti anamaono Kila akiota yanatokea baada ya apo siku zinazofuata baba yake akajakumtambulisha kweli mama mpya
UFUO NI SEHEMU AMBAYO HUCHIMBWA NDANI YA CHUMBA NA JUU YAKE HUWEKWA KITANDA CHA KAMBA NA HUOSHEWA MAITI YALE MAJI HUINGIA KWRNYE HILO SHIMO BAADA YA HAPO HUFUKIWA NA HTANDIKWA MKEKA JUU NA WAFIWA HULALA PALE HUO NDO UFUO ILA SIKU HIZI WACHACHE HUFANYA HIVYO MAITI NYINGI HUISHWA HOSPITALI AU MSIKITINI KWENYE ENEO MAALUM LA KUOSHEA MAITI.
Mke wa mwanzo na wa pili tofauti macho yangu au vp jaman
Nilichoelewa ni kwamba yule mke wa kwanza ni ndoto tu ya sauda
Kaka chiebway... tunasubiri mzigo mpya
🎉🎉🎉 Hongereni saana
Kazi safi sana nmekuwa wa saba naombeni likes kutoka kenya 🇰🇪
Tunasubiria SEASON TWO bhana 🎉❤
Ila butua ni mlevi kweli😂
good work
Wa 3 leo ❤❤
Kazi nzuri alafu ndefu hadi raha 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Muko vizuri keep it up
congratulations
💚 🔥 nice like me
Tunataka kujua huo ufuo wa huyo mama unathamani gan?na yeye alikua nani mpaka mukataka ufuo wake?na ufuo huo unakauka baada siku kadhaa tu ila huo haukauki 😂😂kwan kapela vip?emu tudokolee kidogo mana sjawah kukuona kuwa mchawi ndio mara kwanza kuona mambo hayo kwenu🎉🎉🎉🎉ila mnaweza muko sirias na uchawi wenu kwakwel hongeren sana,ila musjekuupenda kweli uchawi hauna mana❤❤❤
Kaz kazi
maadili wamekosea mtu mzuma anaishije na kibint kama hcho bla ndoaa
Sema auuweehhh 😂😂
Mchawi ho hohoho😂😂😂
Iv yule aliyekutwa anaoga ni nani na yupo wapi maana nae alitambulishwa kama mama
Ile ilikuwa ni ndoto yule mtoto wa kike wa yule baba anaota so uyo binti anamaono Kila akiota yanatokea baada ya apo siku zinazofuata baba yake akajakumtambulisha kweli mama mpya
😢
Kipala wanaman
Iv hizo like huwa mnazifanyia nne kila sku naombeni like like mnakazi gan nazo
Nawashanga
Ufuo ndo nini jamani
UFUO NI SEHEMU AMBAYO HUCHIMBWA NDANI YA CHUMBA NA JUU YAKE HUWEKWA KITANDA CHA KAMBA NA HUOSHEWA MAITI YALE MAJI HUINGIA KWRNYE HILO SHIMO BAADA YA HAPO HUFUKIWA NA HTANDIKWA MKEKA JUU NA WAFIWA HULALA PALE HUO NDO UFUO ILA SIKU HIZI WACHACHE HUFANYA HIVYO MAITI NYINGI HUISHWA HOSPITALI AU MSIKITINI KWENYE ENEO MAALUM LA KUOSHEA MAITI.
Ni sehemu aliokoshwa. Maiti. Pale. Kwenye shimo la maji machafu yanayo Ingia. Ndo. Ufuo