Binafsy nafarijika nnapo sijkia lahaja za ndani zakipemba naomba wasanii muwakilishe nakuwasilisha asili zetu ilikutunza thamani ya Nchi yetu Hongereni sana wasanii nyote jitahidini na fanyeni bidii zaidi.
Wanawake wote wenye upendo kama mkewangu Alla awajaalie JannatFirdausi inshalla, kiukweli mm ni mbongo ila wapemba wana mapenzi ya dhati sana, kama binaadam hakuna asie na kasoro ila kwenye upendo maashallah, nawapenda sana wapemba ❤
Binafsy nafarijika nnapo sijkia lahaja za ndani zakipemba naomba wasanii muwakilishe nakuwasilisha asili zetu ilikutunza thamani ya Nchi yetu
Hongereni sana wasanii nyote jitahidini na fanyeni bidii zaidi.
Unajuwa lafidhi yakwetu inaburudisha kabisa Mie nikiisikia hujiona Niko pemba
Kitatange mtu mbaya sanaaa Balekhe weye
Much love from my Home, angalau tunapata cha kuangalia huku tulipo 🇲🇼 🇲🇼
ASANTE NAAMINI MUTAFURAHI SANA MAANA FILAMU ZIPO ZA KUTOSHA SANA ITAKUWA BANDIKA BANDUWA
Jamani nauliza huu wimbo nani kaimba nanaupataje
sisi pia tunaweza sana
Wanawake wote wenye upendo kama mkewangu Alla awajaalie JannatFirdausi inshalla, kiukweli mm ni mbongo ila wapemba wana mapenzi ya dhati sana, kama binaadam hakuna asie na kasoro ila kwenye upendo maashallah, nawapenda sana wapemba ❤
mashaa allah
Umerogwa
😂
@@user-ii2dp3es9hpole yako sie haturogi wala hatufati mali ni mapenz tu😂😂😂😂😂
@@user-ii2dp3es9hhatuna tamaa mpenz
Wewe dada mulhat pendaa sanaaa❤❤❤❤❤
Great job
Yes twende kazi kitatange nipo from doha qatar
USIKOSE KUFUATILIA MUENDELEZO WA FILAMU HII ASANTE
kitatangee alikimbia sanaa ila kwenye epsode hiii anaonekanaaa
Shukuran sana kazi mzur sana mungu awabariki🙏😘😘😘
ASANTE SANA
Good job broo
Fungate❤❤❤❤❤ hatri sanaaaaaaaaaaaaa nimeiyelewa sanaa
Pamoja sana wapendwa
oya kitatange ww unajuwa sio siri yaan
Much Love you from 🇴🇲🇴🇲
Mimi km mpemba OG naenjoy😅
MashaAllah
vya kwetu nivizuri mmejitahidi sana
asante
Kitatange balekhe
Kazi nzuri sana hiii
asante
Tunaomba mujitahidi kuangalia vizur munapo ekti muzingatie maadili huyo dada anakunywa kwa kushoto
sawa
Mbona sasa Ati Ati Fungate no furaha ila kwangu tafarani
Mashallah ❤❤❤❤❤❤
Betty tn kwa kulia mashallah mung amuek
aamin
Kzi nzuri sana ❤❤❤❤
SHUKRAN
Wanilazimisha kupenda jitu nishalichoka .natamani icho kipande nikipata.
I like zanzibar how it's look
Kazi safi😊
shukran
Weee kitatange
Niliwamith sana
ASANTE KWA KUTU MISS
🇰🇪 Nimem miss bi kidecha piya yeye anqekuwa hapa lkn kazi ya munqu haina makosa munqu amrehemu mmetu
😂😂😂sasa wew hujui kutofautisha g na q 😂😂😂😂niutani tu
AAMIN
Mko vzr sana
ASANTE SANA
Kaka iyo nyimbo nitaipataje
Kanzi nzùri .pia nimependezwa kuwepo kwenye RUclips
SHUKRAN
Kazi nzur
SHUKRAN
Jitahidini mutafika ishaallah
AAMIN
Kitatange nakupata nikiwa Oman ❤❤
Tuko pamoja ndugu 🇴🇲
SHUKRAN
Kitatange
شكرا جزيلا
❤❤❤
Ww balehe kitatange
Hiiii qaswida unaitwajeee mbon Kali movie ikiwainaanza tunapata qaswida mjalabu 😅😅😅😅😅
inaitwa hivyo ivyo fungate lakini bado haipo kwenye mitandao
@@zmuxzanzibar4583 naitak hiii kwaswida mjitahid kutoa EP kwahalak San 😃😃😃😃😃
Maa shaa Allah nimeipendaa sana
Huu mchezo mbaya
asante kwa maoni yako @NoufelSalim
huuu mchezo nzuru hatar iasee umegalia nusu tu we
katika Epsode hiii sija waona watu muhimu sana Kiswabi na Naombaaaa moja kati ya nguzo kwa Filam za Pembaaaa
Kiswabi bin Arabic
🤔🤔🤔🤔
Waoo Na iwe inakuja kila siku ❤❤❤
HAKIKA KILA SAA 10 ITAKUA HEWANI
❤❤❤❤🎉
Kaka oyo nyimbo kaimba nani
Kitatange asira za MWANAMKE wako wampelekea kla mtu
NISHIDA SANA
Natak qaswida ya hiiii movie 😊😊😊😊
ok saw nitakupatia utaratibu
Yani hii movie mzuri sana na alopnga hii anastahiki pongezi ila mumetukatisha utamu tunatka iendlee
usijal
شكرا جزيلا