Mwinyi Mpeku_MUME WA MWANANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • "...Kuolewa si kuvaa,kula wala kunywa.Kuolewa ni stara...."Fuatilia filam hii yenye mafunzo na burudani pia USISAHAU Ku SUBSCRIBE,SHARE kwa marafiki na COMMENT

Комментарии • 386

  • @khadijaabdulqadir1662
    @khadijaabdulqadir1662 4 года назад +10

    Napongeza wasanii wotee na nafurahia filamu zenu. Vile hamukuacha asili zenu. Pongezi sanaaa kwa kutukumbusha zamaa za nyanya na babu zetuu. From Mombasa kenya 👍🏼

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 5 лет назад +22

    Mie si mkojani , wala mpemba lakini napenda sana kujifunza maneno mapya , lahaja mpya , lafudhi mpya , Hongereni sana kwa Management nzima iliyofanikisha kuwaweka pamoja mtufunze , tumechoka huku bara na Blogs na Online TV zimejaa udaku wa Diamond , Zari , Hamisa , Lulu , Irene Uwoya , taabani roho yangu .
    Hongereni sana kwa kutupa vya asili yetu .

  • @idarousomar1
    @idarousomar1 5 лет назад +39

    Wallahi nafarijika mno kusikia lafudhi na lahaja ya kikwetu Kojani big up sana Mwinyi Mpeku na wote mnao tuwakilisha.

    • @idarousomar1
      @idarousomar1 5 лет назад +1

      @Rukaiya Rukaiya Naam dada angu

    • @abbassalim2426
      @abbassalim2426 5 лет назад +2

      Tunawakilisha pemba nzima sik kojani tu

    • @idarousomar1
      @idarousomar1 5 лет назад +2

      @@abbassalim2426 naelewa sana labda hujaielewa comment yangu

    • @JufeFilmCompany
      @JufeFilmCompany  5 лет назад +1

      Shukran

    • @idarousomar1
      @idarousomar1 5 лет назад +2

      @@JufeFilmCompany Tupo pamoja sana

  • @suleimanmohammed5090
    @suleimanmohammed5090 5 лет назад +22

    Mashallah kazi nzuri sana mungu azidi kuwazidishia vipaji wana kwetu

  • @jkizondoswahilibites434
    @jkizondoswahilibites434 3 года назад +2

    Best actors mwinyi mkuu, kitatange, kachara they need be awarded wallahi MashaAllah great jobs you are doing MashaAllah

  • @josephinemakungu8447
    @josephinemakungu8447 5 лет назад +3

    bona tuzo upati wana kuonea ila pambana tu haya maisha sote tuna pita move zako nzuri sana zakuelemisha
    na kuburudisha.

  • @luckyman5084
    @luckyman5084 5 лет назад +10

    Mwinyi mpeku nakukubali sana ww ni fundi

  • @hawaomary96
    @hawaomary96 2 года назад +2

    Nataman kumuona mzee mwinyi na kachala Jaman nitafurah Sana hyo siku

  • @TheDididadi
    @TheDididadi 5 лет назад +9

    Hongereni sana filamu nzuri, Sisi wengine tunafurahi tukiona mnapiga hatua

  • @ajeyfandhealthy8842
    @ajeyfandhealthy8842 5 лет назад +11

    film iko poa 100%
    love to watch your films,natumai mutakuja na mfumo wa series soon inshallah all
    love jufe film production.

  • @karafuunanazi1701
    @karafuunanazi1701 5 лет назад +5

    Niwape rai Jufe, nashukuru kutuwekea kazi kama hii bali pia naelewa kazi hizi zimechukua gharama za kifedha na wakati kukamilisa. Basi mungeweka namba ya tigo/easy pesa kwa anaetaka kutabaruku chochote, sio kwa lazima bali hiyari kwa anaetaka kufanya hivyo

    • @Chombezaflava
      @Chombezaflava 5 лет назад +1

      Kweli kizuri chajiuza

    • @JufeFilmCompany
      @JufeFilmCompany  5 лет назад +3

      Asante kwa ushauri mzuri ,wazo hili ni zuri na tutalifanyia kazi tunajua mnatupenda sana na muko tayari kutupa sapot ili tuendelee kufanya vitu vizuri zaidi...shukran

  • @youngtwite7580
    @youngtwite7580 5 лет назад +19

    kama tunajikubali wapemba kama tunajua gongen like hapa

  • @husnakhamishamad509
    @husnakhamishamad509 5 лет назад +3

    Hongera Mwinyi kwa msimamo wako kama mzazi na wazazi wafuate msimamo huo huo ili kweza kurjesha mila na tamaduni zetu za kipemba na kizanzibari kwa ujumla

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 5 лет назад +8

    Filam nzuri huyu mama yupo sawa kweli kweli ina mafunzo mazuri kiukweli BIG UP

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot 4 года назад +1

    Mbona pemba kuna watoto wazur namna hii
    Mhhh noma
    #NAJIVUNIA KUWA MPEMBA2020

  • @abdallasalim7865
    @abdallasalim7865 5 лет назад +6

    Hahaaa aaahh aaa mm sie ntaekae olewa atakae olewa ni mwanangu # mwinyi

  • @ramlamohammed1661
    @ramlamohammed1661 3 года назад +3

    Tamaha mbaya Sana wallah

  • @ameenaoman7416
    @ameenaoman7416 4 года назад +9

    mambo haya yameshatokea sana kwa watu wengi kwa tamaa ya mali daah.

  • @ayshaalsahafi5714
    @ayshaalsahafi5714 3 года назад +1

    Mashallah Allah barik nyote lkn Mwinyi na kachara Mungu awape maisha marefu na wapenda sana.

  • @thaurataliy4536
    @thaurataliy4536 4 года назад

    Munanifurahisha jufe kazi nzuriiiiiiiii wapemba twajuaaaa abaa pemba nkwetuuuu

  • @rayashaib1852
    @rayashaib1852 5 лет назад +4

    kumpata mwanamke mwenye msimamo wa kumjua mungu ni raha ktk nyumba

  • @ernestbupamba9844
    @ernestbupamba9844 4 года назад +1

    Mwinyi, Kachara, hongereni sana kwa kazi nzuri. Nawapendaga sana. Pigeni kazi.

  • @HadhirNAli-hy4ni
    @HadhirNAli-hy4ni 5 лет назад +5

    Mwinyi mpeku aka chotara wa kojan😂 hongereni sana kw kazi nzr...kiukweli nawakubali sanaa. Allah awafungulie zaid

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot 4 года назад

    Mnyamaa kiswabi nakubali kazi kazi sema
    Bahati haina kwao
    hupendi mpaka mke wa watu
    #NAJIVUNIA KUWAMPEMBA

  • @sumesume7928
    @sumesume7928 5 лет назад +2

    Shukrani kwa movie nzuri yenye mafunzo teletele yatakikana uwe na subra kila jambo mungu alilipanga kwa wakati wake ona sasa umekosa mwana na maji ya moto penda sana kazi zako mzee mwinyi

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 лет назад +3

    Shukran sana kwa Movie nzuri yenye Mafunzo tele,Hongereni sana kwa Kazi nzuri.

  • @adhkaar3250
    @adhkaar3250 5 лет назад +7

    Mbona hukokoti bero.hihiiiiiiiiii.panga safi sanaaaaaa pemba nkwetuuuu

  • @hassanmchwakachangama888
    @hassanmchwakachangama888 4 года назад +1

    Iko safi sana hii tutajifunza mengi tu inaeleweka hii safi sana wasanii

  • @user-tx3bq7fo5j
    @user-tx3bq7fo5j 4 года назад +3

    Bonge la movie, mzuri sana inamafunzo ya kutosha

  • @hassanimussa5776
    @hassanimussa5776 5 лет назад +4

    Mke wa kiswabi maaashallah nimempenda buree

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 лет назад +3

    Alhamdulilah InshAllah heri subra ndio muhimu

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 лет назад +7

    MaashAllah,maneno yako mazuri Sheikh,kijana wacha zako mwinyi kuwa Allah

  • @zuwenanassor9076
    @zuwenanassor9076 2 года назад

    Mashallah mwinyi na kitatange na kachara hakika mnatukonga nyoyo

  • @ashuryothman7921
    @ashuryothman7921 3 года назад

    Big up muko vzr ktk mafunzo na ucheshi hadi mbavu znauma

  • @yussuphhamad8530
    @yussuphhamad8530 5 месяцев назад

    Ndoivo lakini huyu bibi kijecha nasikia kasha kufa inalilah wainnalilah rajun mungu amjalie mapunzko mema

  • @hafsahanif38
    @hafsahanif38 5 лет назад +4

    Mwinyi uko juu.. kachara weeeeee😂😂😂😂

  • @mpembermpember8099
    @mpembermpember8099 4 года назад +1

    Kazi mzur mashallah ilove u pemb ,pemb my home.

  • @rahmaomar9646
    @rahmaomar9646 4 года назад +1

    Hongereni nyote mulioshiriki

  • @omarsalum8104
    @omarsalum8104 5 лет назад +3

    Hii noma duuh nmependa jaman

    • @omarsalum8104
      @omarsalum8104 5 лет назад +1

      Majan ya mgomba ndy chakula cha Leo

  • @djfeeda3022
    @djfeeda3022 2 года назад

    Mkee wake Kiswabi mzuri masha Allah nataka nimuone siku moja

  • @floridawillybatmrsngengena682
    @floridawillybatmrsngengena682 4 года назад +2

    Mko vizuri sana

  • @alymohd6713
    @alymohd6713 4 года назад +2

    Nakupenda mwakombo100

  • @seifalkhan5398
    @seifalkhan5398 5 лет назад +2

    Mbn mukosawa nyinyi tena vibaya sana

  • @eddimalon6051
    @eddimalon6051 4 года назад +6

    Congratulation Jufe. Good work, a lots to learn from this movie.

    • @rithamabdulrahman2648
      @rithamabdulrahman2648 2 года назад

      Yeah, this is so real, it's amazing I am a huge fan too . I love Pemba's accent

  • @rashidseif7240
    @rashidseif7240 4 года назад +5

    Ni movie ila kma ni kweli hyu dada ana hizi tabia bc natangaza ndoa ,mana wanawake kma hawa walikufa tangia vita vya pili vya dunia hukooo

  • @kassimaliyy5490
    @kassimaliyy5490 3 года назад +1

    Jamani Pemba kuna watoto wazuri ntk nje nioe

  • @farazdaqsalum1270
    @farazdaqsalum1270 5 лет назад +9

    hahaha we nenda zako kalale maana komba waomboleza uko...respect,, u Pemba nkwetuuuuuuuuuu

  • @josephinemakungu8447
    @josephinemakungu8447 5 лет назад +2

    tunapenda sana kazi zako mwinyi.

  • @omarhamad8415
    @omarhamad8415 5 лет назад +2

    Dah hongera kiswabi

  • @abdullamohd6361
    @abdullamohd6361 5 лет назад +7

    Masha Allah nimefurahi kuangalia Pemba Movie 🎥 kutoka hapa Münich Germany 🇩🇪

    • @khamismkubwa5395
      @khamismkubwa5395 5 лет назад +1

      Muko sw mungu aswazidshie kipaji

    • @khamismkubwa5395
      @khamismkubwa5395 5 лет назад +1

      Like xn move zetu za pba munajua asa site za kuect bana 100 mia

  • @fatimaalhabsii1728
    @fatimaalhabsii1728 Год назад

    Tamaa mbaya

  • @halimatajiri2993
    @halimatajiri2993 4 года назад +2

    Masha'Allah film nzuri sana.

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 5 лет назад +6

    Huu mchezo mzuri... Mashallah

  • @munaajuma530
    @munaajuma530 4 года назад +4

    😂😂😂 ukitaka kupunguz stress tizama hizi film kucheka km kote

  • @ramlamohammed1661
    @ramlamohammed1661 3 года назад +2

    Ma Sha Allah,

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 5 лет назад +5

    Mmh leo nimefurahi tuliisubiri zamani

  • @upendoseries545
    @upendoseries545 2 года назад +1

    Najivunia kuwa nanyi wapemba wenzangu

  • @issamohammed7374
    @issamohammed7374 5 лет назад +2

    Hahaha...Kachara noma sana.

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 5 лет назад +1

    Wallh kachara anawapiga Kiswahili Wallah ww ni nomaa sanaa

  • @leikhaomar6243
    @leikhaomar6243 5 лет назад +8

    Proud of my tribe😍😍

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 года назад

    Hongereni juffe Muko VIZUR ila naomba movie zenu ziwe ndefu

  • @rahimmjawir7909
    @rahimmjawir7909 5 лет назад +12

    Mwakombo umecheza ukiwa na madili mema na anayopaswa kua nayo mmke. Jitengeze hivyo kitabia utadumu ktk ndoa yako ya kweli

    • @pp1153
      @pp1153 4 года назад

      Masha allah semu mwakombo

  • @nasorahmed4986
    @nasorahmed4986 4 года назад +3

    I love my island Pemba and their people

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot 4 года назад

    Mwakombo weeee mtoto wa kipemba sema baba samahani hayo ndo maadili ya kwetu pemba
    #NAJIVUNIA KUWA MPEMBA

  • @nassorhamad5872
    @nassorhamad5872 5 лет назад +2

    huadui ela na stering sie mwinyi achekesha

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +2

    sharti baya . kuwa wa mwanzo awe huyo huyo mara waletewa mwanga . Tobaaa kumbe mganga wenyewe mwizi 🤣🤣🤣🤣

  • @hamidyakoub6865
    @hamidyakoub6865 5 лет назад +9

    Naomba like za kachara

  • @azharmamyummyazhar4715
    @azharmamyummyazhar4715 5 лет назад +5

    maa shaa Allah nzur nlikuwa naisubiria kwa hamu......

  • @ibrahimshehuna527
    @ibrahimshehuna527 5 лет назад +7

    😀😀😀😀 kiswabi umevunja mbavu Kaz yako naikubali 💯 kwa💯

  • @kassimaliyy5490
    @kassimaliyy5490 3 года назад +1

    Dah uyo aziza namtaka mm jamani nimuoe aje akae unguja

  • @alidingongo443
    @alidingongo443 5 лет назад +2

    Kazi nzuri

  • @tababdulla2877
    @tababdulla2877 4 года назад +2

    Kiswabi

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 5 лет назад +3

    Move kali sanaa

  • @abdulmarhaba3918
    @abdulmarhaba3918 5 лет назад +2

    Njoo mm nitakuoa

  • @selinaselin8928
    @selinaselin8928 4 года назад

    Jufe nyie mahodali mashallah😍

  • @jumakilindi6732
    @jumakilindi6732 5 лет назад +2

    Hawa jamaa nawakubali sanaaaa

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot 4 года назад

    Hayo ndo maadili ya kwetu watoto wa kipemba
    #NAJIVUNIA KUWA MPEMBA

  • @kassimaliyy5490
    @kassimaliyy5490 3 года назад +1

    Jamani namtka uyo aziza mimi

  • @nasrakhamisi9525
    @nasrakhamisi9525 5 лет назад +1

    Hongereni washiriki wote, ila tamaa mbaya

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 5 лет назад +3

    Kweli ina mafunzo makubwa sana, kweli Majuto mjuukuu.

  • @ummunaaleicester4337
    @ummunaaleicester4337 5 лет назад +4

    Nzur sana nimeipendaa hongereni nyote washiriki Allah awape ujuz zaid

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 5 лет назад +4

    Mchezo nzuri sana, nautazama taratibu lakini kila kipande ninachoangalia kinamzidi mwenzake kwa uzuri

  • @a.856
    @a.856 5 лет назад +3

    Mtu ataona kanaowa nzungu kumbe...kanaowa chungu🤩

  • @dullerally2015
    @dullerally2015 5 лет назад +1

    Nakubali kazi yenu

  • @aishafeysal9630
    @aishafeysal9630 4 года назад +1

    Duuuuh😨zongo la vumba kali

  • @a.856
    @a.856 5 лет назад +2

    Asanteni nyote jufe 👍

  • @talibali6982
    @talibali6982 5 лет назад +3

    Aaa baba hapa hapataki ulinz pana mijibwa chungu nzima

  • @omarijumaa8786
    @omarijumaa8786 5 лет назад +5

    Masha Allah

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 года назад +1

    Jitahidini muwe mnatoa filam ndefu kama hii sio mnatoa vipande vipande tunakuwa hatuinjoi

  • @omarijumaa8786
    @omarijumaa8786 5 лет назад +3

    Dah Kama Kuna watu wanawatoa kafara watoto wao kw ajili ya utajiri Wataenda kujibu kwa Allah

  • @tatuthabit9291
    @tatuthabit9291 5 лет назад +2

    Nawapenda sana haya watu

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +2

    hili ndio tatizo mwanamke atadoda hakuna amuulizaye , lakini siku ajayoolewa tu wale wale watamuona mzuri na kumtamani .

  • @princenyakurungwi6925
    @princenyakurungwi6925 4 года назад +1

    Hawa jamaa nawakubali sana maana unaweza kuangali hii video ukiwa umekaa na wazee bila ya shida yyote

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +2

    Siku zote tukitafutia watoto wetu wake hutafuta wenye maadili mazuri , jee wewe mwenye mtoto wa kiume na wako ana maadili pia ?

  • @salumsaid4858
    @salumsaid4858 5 лет назад +1

    Tamaa mbaya saana

  • @criticalthinker1179
    @criticalthinker1179 5 лет назад +12

    First to comment from Pemba

  • @ladyfatush2943
    @ladyfatush2943 5 лет назад +6

    Kitatange mwenzio waniacha hoi na hilo recode la kihindi

  • @immaneuldotto8218
    @immaneuldotto8218 2 года назад

    Nawakubar sana mk vzl sana

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha215 4 года назад +1

    Amini kwamba ikopowa sana

  • @khamikhan5091
    @khamikhan5091 4 года назад +1

    macho kama dudu vuli huyu mwinyi hachekeshi akata mbavu hasaa