Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Naomba kwa vile wanaocheza mchez m wazanzibr na niwaislam safi bas wajitahidi kujistir kizanzbr yan maeneo km shingo yasiwe yanaonekana au kutokufunika kifua kwa kanga ama mtandio kwasbb huo ndio utadini wetu
asante kwa ushari
Kazi nzuri sem angekuwep na kachar kaz ingekua nzur zaidi
NIKWELI NAKUBALIANA NALO HILO
Oyaa mwanangu kitatange umeupiga mwingiii😂😂😂
Jamani iinyimbo yani gusa sana taipataje
zimebaki siku chache mutaipata hiyo nyimbo musijali
Mm nimeupenda mchezo lakini sehemu nyengine hazina sauti na bora uendelee tena kwa ulipofikia sehemu ya 32 sijatosheka naitwa samira said
Kitatange jasir sana wafuata mtu mke peku peku kanzu pia fundi kasahau😂
Mie huu mziki mtamu jamani naupenda kweli ile ile kiasilia home sweet home from uk 🇬🇧
SHUKRAN KWAKUWA PAMOJA
Nimedhani nausikia mm pekeangu mtamu mtamu😂
Kweli asili ndo kila kitu tusiige umaharib jamanii
sawa tunapokea ushauri wenu wadau wetu
Mashallah ❤❤
Marehem Mzee wetu Ahmed tahir...😢
mungu amlaze mahali pema peponi aamin
Mzee Ahmed Tahir ndo Nani hpo
@@Nahdiya-nr3de uyo mwenye mvii nyingi
Wa kwanza mm
USIKOSE KUFUATILIA MUENDELEZO WA FILAMU HII ASANTE
Saf sana❤❤
Kazi nzuri sana ❤❤
shukran
Kazi nzuri Zmux🔥🔥🔥
shukran nawe kwakuwa nasi
Kitatange😂
Kitatange huishi vituko weye😂😂😂🤣🤣
Kitatange huko kutembea km ndo waanza xx tata 😂😂😂😂😂
Good name good day
Nimependa sana hongeren
hongera nawe pia kwakuwa nasi
Mashaallah❤❤❤❤❤❤
Dongo jaman yuko wapii 😂😂😂
Kitatange unavichekesho ww😂😂😂😂😂😂
Mwendo wa kitatange 😂😂😂
Huu mchezo mzur kwa kweli
ASANTE USIKOSE SEHEMU ZIJAZO
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kitatange ameokota dodo kwnye mlimau 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
DUUUH MLIMAU TENA!!!!!
Allihamdhulilah nimeipata
hongera sana kwakuwa nasi
❤
🔥🔥
Pamoja saanaaa
🎉🎉🎉
Hongeraa kitatangeee
asante kwa niaba yake
Lakini utamaduni wetu wazanzibari haupo Tena maana mpaka mabusu Sasa dah
tunaomba radhi kwahili
sio tu mabusu Hadi nywele ila tumuombe Allah atunze heshima yetu n utamaduni wetu
Mnasheria ngumu kwani hamjui nini maana ya maigizo
Najua nimimi pekeyangu komenti hii
comment ipi hiyo?
Wapili
@@zmuxzanzibar4583ahsante mnooo kwa kutuletea mchezo bora wenye mafunzo mema na tamaduni zetu waislam na wa Africa kwa ujumla 😂😂😂
Bi maryam kipini kipenz changu
Vip
Naomba kwa vile wanaocheza mchez m wazanzibr na niwaislam safi bas wajitahidi kujistir kizanzbr yan maeneo km shingo yasiwe yanaonekana au kutokufunika kifua kwa kanga ama mtandio kwasbb huo ndio utadini wetu
asante kwa ushari
Kazi nzuri sem angekuwep na kachar kaz ingekua nzur zaidi
NIKWELI NAKUBALIANA NALO HILO
Oyaa mwanangu kitatange umeupiga mwingiii😂😂😂
Jamani iinyimbo yani gusa sana taipataje
zimebaki siku chache mutaipata hiyo nyimbo musijali
Mm nimeupenda mchezo lakini sehemu nyengine hazina sauti na bora uendelee tena kwa ulipofikia sehemu ya 32 sijatosheka naitwa samira said
Kitatange jasir sana wafuata mtu mke peku peku kanzu pia fundi kasahau😂
Mie huu mziki mtamu jamani naupenda kweli ile ile kiasilia home sweet home from uk 🇬🇧
SHUKRAN KWAKUWA PAMOJA
Nimedhani nausikia mm pekeangu mtamu mtamu😂
Kweli asili ndo kila kitu tusiige umaharib jamanii
sawa tunapokea ushauri wenu wadau wetu
Mashallah ❤❤
Marehem Mzee wetu Ahmed tahir...😢
mungu amlaze mahali pema peponi aamin
Mzee Ahmed Tahir ndo Nani hpo
@@Nahdiya-nr3de uyo mwenye mvii nyingi
Wa kwanza mm
USIKOSE KUFUATILIA MUENDELEZO WA FILAMU HII ASANTE
Saf sana❤❤
Kazi nzuri sana ❤❤
shukran
Kazi nzuri Zmux🔥🔥🔥
shukran nawe kwakuwa nasi
Kitatange😂
Kitatange huishi vituko weye😂😂😂🤣🤣
Kitatange huko kutembea km ndo waanza xx tata 😂😂😂😂😂
Good name good day
Nimependa sana hongeren
hongera nawe pia kwakuwa nasi
Mashaallah❤❤❤❤❤❤
Dongo jaman yuko wapii 😂😂😂
Kitatange unavichekesho ww😂😂😂😂😂😂
Mwendo wa kitatange 😂😂😂
Huu mchezo mzur kwa kweli
ASANTE USIKOSE SEHEMU ZIJAZO
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kitatange ameokota dodo kwnye mlimau 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
DUUUH MLIMAU TENA!!!!!
Allihamdhulilah nimeipata
hongera sana kwakuwa nasi
❤
🔥🔥
Pamoja saanaaa
USIKOSE KUFUATILIA MUENDELEZO WA FILAMU HII ASANTE
🎉🎉🎉
Hongeraa kitatangeee
asante kwa niaba yake
Lakini utamaduni wetu wazanzibari haupo Tena maana mpaka mabusu Sasa dah
tunaomba radhi kwahili
sio tu mabusu Hadi nywele ila tumuombe Allah atunze heshima yetu n utamaduni wetu
Mnasheria ngumu kwani hamjui nini maana ya maigizo
Najua nimimi pekeyangu komenti hii
comment ipi hiyo?
Wapili
USIKOSE KUFUATILIA MUENDELEZO WA FILAMU HII ASANTE
@@zmuxzanzibar4583ahsante mnooo kwa kutuletea mchezo bora wenye mafunzo mema na tamaduni zetu waislam na wa Africa kwa ujumla 😂😂😂
Bi maryam kipini kipenz changu
Vip