FUNGATE EPISODE NO 2 | MWINYI MPEKU, KITATANGE, AMINA, BI SINA JAMBO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • #FUNGATE MCHEZO HUU UTARUSHWA KUPITIA ZMUX ONLINE TV KILA SIKU MAJIRA YA SAA KUMI KAMILI JIONI

Комментарии • 61

  • @jumaabrahman1169
    @jumaabrahman1169 7 месяцев назад +4

    Naomba kwa vile wanaocheza mchez m wazanzibr na niwaislam safi bas wajitahidi kujistir kizanzbr yan maeneo km shingo yasiwe yanaonekana au kutokufunika kifua kwa kanga ama mtandio kwasbb huo ndio utadini wetu

  • @leejems142
    @leejems142 7 месяцев назад +2

    Kazi nzuri sem angekuwep na kachar kaz ingekua nzur zaidi

  • @fakifaki2123
    @fakifaki2123 6 месяцев назад +2

    Oyaa mwanangu kitatange umeupiga mwingiii😂😂😂

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 7 месяцев назад +2

    Jamani iinyimbo yani gusa sana taipataje

    • @zmuxzanzibar4583
      @zmuxzanzibar4583  7 месяцев назад +1

      zimebaki siku chache mutaipata hiyo nyimbo musijali

  • @salimsuleiman5950
    @salimsuleiman5950 6 месяцев назад +1

    Mm nimeupenda mchezo lakini sehemu nyengine hazina sauti na bora uendelee tena kwa ulipofikia sehemu ya 32 sijatosheka naitwa samira said

  • @masoudsmasoudmasoud-8419
    @masoudsmasoudmasoud-8419 6 месяцев назад +1

    Kitatange jasir sana wafuata mtu mke peku peku kanzu pia fundi kasahau😂

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 7 месяцев назад +2

    Mie huu mziki mtamu jamani naupenda kweli ile ile kiasilia home sweet home from uk 🇬🇧

  • @MwanaYoyoyo-lo4dr
    @MwanaYoyoyo-lo4dr 7 месяцев назад +3

    Kweli asili ndo kila kitu tusiige umaharib jamanii

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 7 месяцев назад +1

    Mashallah ❤❤

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 7 месяцев назад +6

    Marehem Mzee wetu Ahmed tahir...😢

    • @zmuxzanzibar4583
      @zmuxzanzibar4583  7 месяцев назад +1

      mungu amlaze mahali pema peponi aamin

    • @Nahdiya-nr3de
      @Nahdiya-nr3de 7 месяцев назад +1

      Mzee Ahmed Tahir ndo Nani hpo

    • @liylahahmed829
      @liylahahmed829 7 месяцев назад

      @@Nahdiya-nr3de uyo mwenye mvii nyingi

  • @user-bj8dt5tm6v
    @user-bj8dt5tm6v 7 месяцев назад +3

    Wa kwanza mm

  • @salimasalim405
    @salimasalim405 7 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sana ❤❤

  • @ahmedrashid1923
    @ahmedrashid1923 7 месяцев назад +1

    Kazi nzuri Zmux🔥🔥🔥

  • @zuhuraramapete
    @zuhuraramapete 3 месяца назад

    Kitatange😂

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh 7 месяцев назад +1

    Kitatange huishi vituko weye😂😂😂🤣🤣

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de 7 месяцев назад +1

    Kitatange huko kutembea km ndo waanza xx tata 😂😂😂😂😂

  • @sameraakhf5605
    @sameraakhf5605 7 месяцев назад +2

    Good name good day

  • @MwanaYoyoyo-lo4dr
    @MwanaYoyoyo-lo4dr 7 месяцев назад +1

    Nimependa sana hongeren

  • @gsedpemba8556
    @gsedpemba8556 5 месяцев назад +1

    Mashaallah❤❤❤❤❤❤

  • @fakifaki2123
    @fakifaki2123 6 месяцев назад +1

    Dongo jaman yuko wapii 😂😂😂

  • @gsedpemba8556
    @gsedpemba8556 5 месяцев назад +1

    Kitatange unavichekesho ww😂😂😂😂😂😂

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 7 месяцев назад +1

    Mwendo wa kitatange 😂😂😂

  • @AwatifAly-gw9qo
    @AwatifAly-gw9qo 7 месяцев назад +1

    Huu mchezo mzur kwa kweli

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs Месяц назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de 7 месяцев назад +1

    Kitatange ameokota dodo kwnye mlimau 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-qs9ki3sm6n
    @user-qs9ki3sm6n 7 месяцев назад +1

    Allihamdhulilah nimeipata

  • @Abuukhudhaifa
    @Abuukhudhaifa 7 месяцев назад +1

  • @mwavivizboy4192
    @mwavivizboy4192 7 месяцев назад +1

    🔥🔥

  • @jumasaid2895
    @jumasaid2895 7 месяцев назад +1

    Pamoja saanaaa

    • @zmuxzanzibar4583
      @zmuxzanzibar4583  7 месяцев назад +1

      USIKOSE KUFUATILIA MUENDELEZO WA FILAMU HII ASANTE

  • @dikaboy801
    @dikaboy801 7 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉

  • @user-yo6mq6bd8i
    @user-yo6mq6bd8i 7 месяцев назад +1

    Hongeraa kitatangeee

  • @salumbinabed6906
    @salumbinabed6906 7 месяцев назад +1

    Lakini utamaduni wetu wazanzibari haupo Tena maana mpaka mabusu Sasa dah

    • @zmuxzanzibar4583
      @zmuxzanzibar4583  7 месяцев назад

      tunaomba radhi kwahili

    • @jumaabrahman1169
      @jumaabrahman1169 7 месяцев назад

      sio tu mabusu Hadi nywele ila tumuombe Allah atunze heshima yetu n utamaduni wetu

    • @wajanjagroup2838
      @wajanjagroup2838 5 месяцев назад

      Mnasheria ngumu kwani hamjui nini maana ya maigizo

  • @salumbinabed6906
    @salumbinabed6906 7 месяцев назад +1

    Najua nimimi pekeyangu komenti hii

  • @user-nm7yp3wm9t
    @user-nm7yp3wm9t 7 месяцев назад +1

    Wapili

    • @zmuxzanzibar4583
      @zmuxzanzibar4583  7 месяцев назад

      USIKOSE KUFUATILIA MUENDELEZO WA FILAMU HII ASANTE

    • @necramsonpate
      @necramsonpate 7 месяцев назад +1

      ​@@zmuxzanzibar4583ahsante mnooo kwa kutuletea mchezo bora wenye mafunzo mema na tamaduni zetu waislam na wa Africa kwa ujumla 😂😂😂

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 7 месяцев назад +1

    Bi maryam kipini kipenz changu