🟥DAMIAN NDIMBO AMJIBU USTADHI SULE UKWELI KUHUSU NAMBA 666 INAMUHUSU NANI?...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Leo tunajifunza mada inayosema NAMBA 666 INAMAANA GANI. Karibuni sana tuweze kujifunza kuhusu Neno la Mungu kupitia channel hii ya HARADALI TV. Hapa ndiyo sehemu sahihi ya kuchota hekima ya Mungu. #mwakasege #damianndimbo #simbaulanga #mchungajikimaro #askofugwajima #nenolamungu #mafunzoyaukristo #kanisakatoliki #kanisaanglikani #kkkt #askofupengo #askofuruwaichi #jimbokatolikidsm #tvupendo #tvtumaini #biblianijibu #yesunimungu #mafunzoyandoa #haradalimedia #jugomedia #kazinjemamtuwamungu #mzeewaupako #suguye #gamanywa #wapomission #mwamposalive #mwamposa #maombiyausiku #maombi #maombiyasiku #alexmalasusa #christianmotivation #christianity #christianmessages #christians #dr.sulepeteyamajini #mazinge

Комментарии • 21

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 28 дней назад +1

    Damian Ndimbo kiboko ya waislamu huwa namkubali sana

    • @AMINGULAMRASUL
      @AMINGULAMRASUL 10 дней назад

      @@ramadhanmahongole9293 UYO NI O HANA LOLOTE

  • @steamtvtz
    @steamtvtz 2 месяца назад +3

    somo zuri sana

  • @ligangamedia
    @ligangamedia 2 месяца назад +2

    Mungu akubariki sana mtumish wa MUNGU

  • @saidalhabsi6485
    @saidalhabsi6485 10 дней назад

    Ndugu huwezi kazi ya uchambuzi,

  • @user-pe9nq3wu4p
    @user-pe9nq3wu4p 6 дней назад +1

    Hujuwi Jambo

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel 7 дней назад +1

    666 ya Papa ni uhalalishaji wa ndoa ya jinsia moja.

    • @haradalimedia
      @haradalimedia  7 дней назад

      Hakuna kanisa la Mungu linaloruhusu ushetani Kama huo

  • @flova7022
    @flova7022 Месяц назад +2

    Hili jembe lilifika parokiani hapa mkata Tanga ..huyu mtu ni nondo sijaonna

  • @nelsonzebedayo8281
    @nelsonzebedayo8281 10 дней назад +1

    Mjomba tunakuomba urudi kwenye mihazara(Ila kwa hapa umechemka)

  • @ligangamedia
    @ligangamedia 2 месяца назад +2

    NIMEPATA 666

  • @majidmadiwa8094
    @majidmadiwa8094 9 дней назад +1

    Unavozungumza na tatu za talaka ya kiislamu sio hivo kama 666 waislamu wanavoacha wanatumia.hivi 123 lakini huzo namber 666 hizo ni.kweli nambe za primason

    • @haradalimedia
      @haradalimedia  9 дней назад

      Wakati mwingine hutumika kujifunza kwa mifano ili makafiri waelewe

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 3 дня назад

    Dr sule ni mganga wa kienyeji anayetumia kitabu cha shetani

  • @richardmjema8321
    @richardmjema8321 11 дней назад

    Kaka unakuja kama kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu unatafuta kondoo uwameze

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 28 дней назад +1

    33+570+40+23 =666 nimesha elewa kumbe hii namba ya freemason 666 inamhusu mhammad na uislamu wake

    • @haradalimedia
      @haradalimedia  28 дней назад

      Asante kwa kuchagua haradali Media katika kujifunza kweli Mungu arika na wengine kwa kushea Link ili waje kupata maarifa.

    • @AMINGULAMRASUL
      @AMINGULAMRASUL 23 дня назад

      ACHA KUUCHUKIA UWISLAM WAPI MAANDIKO 666 KWENYE KITABU CHA KIISLAM KAMA HUJUI NYAMAZA

    • @nelsonzebedayo8281
      @nelsonzebedayo8281 10 дней назад

      Tunakukubali katika midaharo ila hapa umefeli mwlimu.Rudi ktk kitabu cha Daniel ili upate dira ya kitabu cha ufunuo

    • @AMINGULAMRASUL
      @AMINGULAMRASUL 10 дней назад

      WAPI MAANDIKO INASEMA 666 MUISLAMU AU CHUKI YAKO ACHA KUZUNGUMZA BILA USHAHIDI