Stewart Mwakasege Ft Christopher Mwahangila - Mbele Yangu Naona Ushindi (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 22 окт 2021
- #ChristopherMwahangila
#Subscribe
#255654379537.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital - Видеоклипы
naipenda sana hii nyimbo leo paka kesho MUNGU akubariki mtumishi na akunulie mwingine tena najua sikwaakili yako bali yeye kakutumia utufikishie huu ujumbe
safii mbele yangu naona ushindi🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯
My favorite song Ever naona ushindi 🇰🇪🇰🇪
Mbele yangu Naona ushindi, Kwa anae amini mwaka huu 2024 anaona ushindi tujuane Kwa like hapa 🙏
Amen corrage
Ameen sana Na Iwe Hivyo
Ubarikiwe kwa nyimbo nzuri imenibariki sana huyu mama ametulia kweli kwl nampa hongera zake❤
Nyimbo zako zinanibariki sana hongera KWA ushindi.karibu na kanisan kwetu hata mara moja ututembelee
Ameni nimebalikiwa na nyimbo hii mungu awe pamoja nanyi
Nyimbo ninzuri nimependa Sana mungu akusaidie!
Wimbo wenye tumaini. Tia bidii ndugu katika njia ya injili
Mungu akuinue kwa viwango vingine, hakika naona ushindi mbele yangu.
Maombi yangu mungu anionekanie na anipanguze machozi
yaah, ni zaidi ya ushindi, for sure, 🙏🙏
Kabisa wimbo mzuri sana
Japo kwa sasa vita ni vingi ila mbele yangu naona ushindi.....nice song❤️
Mbele yangu naona ushindi....mbarikiwe mno
Kaka Steward be bless from COED USCF uko wap ule wimbo wa sambamba na Yesu
Upako upya na neema imeshuka kutoka wimbo huu ,Mungu akubariki
Amen naona ushindi mkubwa Haleluya.🙏
Amen,naona ushindi
Ameen Receive
Napokea kwa Jina laYesu namimi nitashinda
OH Hallelujah! Nimeonaaa Ushindi Mkubwaaa Yeriko Yangu Imeanguka!Maadui Chini.Nasimama na Neno LA Kutoka 14:13-14 naa Warumi 12:19.Glory to God!
Kijana May God Always Bless You Abundantly.
Nimepata matumaini tena nasimama na kusonga Mbele ushindi uko mbele yangu
Powerful song,nata skiza tune nitapaje
Kazi kubwa sana nami nitashinda umeweza sana
Kaka Putten Nashukuru Mno kaka
Naupenda huu wimbo 🥺
Mnele yangu naona ushindi.kwa mambo yalionishinda kuna ushindi.wimbo wenye matumaini
Wimbo huu ni wangu unanitia mwoyo
Amen kaka wimbo umenigusa sana
Mbele yangu naona ushindi na kuinuliwa, katika jina kuu la Yesu Kristo.
Huo Wimbo Ni Wangu.Wapendwa Nine Barikiwa Kweli Ni Kiwa Kenya Yetu.Ni Kwa Neema .
Ushindi na saidi ya ushindi ni sehemu...yangu kwa jina la Yesu.
Ameen sanaa
It's true usife mwoyo mbele yako naona ushindi, baraka palipo yesu baraka na ushindi hazikosi, I have a testimony
GOD BLESS YOU
Izinyimbo zinanifanya sawa vile Niko mbinguni
Amina. Ushindi ni lazima Stewart
AMEEN Sana.. Mtu wa MUNGU
Ooh haleluya ngome zimeanguka asante Yesu
Agano lake kwenu hakika lisimame.... Tutainuliwa wengi . Ushindi unaoneka.!!!!
AMEEEN SANA MUNGU Ni Mkuu
Japo Vita Ni kubwa Ila mbele yangu naona ushindi✅ kazi nzuri ✍️ Kaka
Daaaah Barikiwa Mno Felishem
Mungu aendelee kukuinua katika uimbaji wako mwanetu hakika mbele yetu kuna ushindi, wimbo mzuri sana
Ukafanikiwe kwa jina LA Yesu
AMEEN Sana Mr KIBALI
@@stewartmwakasege hallelujah hallelujah hallelujah, japo vita nikubwa ila naona USHINDI, vita si vyetu vita nivya bwana, hallelujah, pls man of God sinuwekw hii song mdundo plz Iko na uwepo wa MUNGU,,,,,,, nimeitafuta kwa Christopher mwahangila bt sikuipata na haiko mdundo, plz. Man of God weka mdundo,
Amen 🙏🙏🙏
Naona ushindi 💥💥💥💥💥💥💥
AMEEEN MTUMISHI IMEKUA
Erico imeanguka ,ma adui wameanguka, naona ushindi mimi ♥ hakika Mungu anawatumia watu wake kuponya miyoyo ya watu wake ,nice song 🎵...
Kazi nzuri sana Boss
À santé sana kwa wimbo wako ni Moïse from Congo d, r,c beni
re mercier's kakule
nyimbo nzuri hii 🔥🔥naisikiaga juu juu tu kumbe umeiimba wewe🔥🏆
Hongeren sana Watumishi wa Mungu Kwaka nzuri
AMEEN Pastor... Thanks Alot Man of God... be blessed
Mungu kweli ametupa ushind
Naona ushindi ktk maisha yangu
Kutoka group la gospel singers hongera sanaaa mtumishii
Wooow Mbarikiwe mno Watumishi... Natambua Uwepo Wenu
Mungu akubariki san huu wimboo umenivusha kutoka sehemu Moja na nimefka sehemu nyingne ubarikiwe Sanaa
Ameen Utavuka zaidi na Zaidi
My brother inuliwa Sana Sana huduma yako Ni kuuu💥💥💥💥
Asanteee Sana Ndugu Yangu Emmanuel hancy
Ubarikiwe sana kaka yangu
Mbele yangu naona ushindi, Yeriko imeanguka amen, barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Wooow keflen Barikiwa mnooo... Pia...Yeriko Imeanguka.. Ushindi Ushindi Ushindi Uko Nawe
Wimbo nzuri ya kutiya moto, God bless you
#kutia moyo
Ubarikiwe sana kaka nimekupata
Mungu azindi kuzindisa neema katika maishani mwenu
Ameen Mnoo James
Nyimbo zenu nzuri sana
Thanks bro, nabarikiwa nikiwa Nairobi, Kenya, Chochote unachoguza kibarikiwe unapohudimia Mungu pitia huduma yako.
Wooow kaka Joseph... Mkono Wa Mungu u Juu Yako Popote ULIPO MUNGU akuhudumiee...
Ameren. Naona ushindi mbarikiwe Wana na Mungu.
Wooow Bertha... Barikiwa Sana Mtumishi...ukawe MSHINDI
This is amazing may God lift you kwa viwango vingine
Mungu akupe nguvu my brother good song
Nami piah naona kushinda 🎤
Na Iwe Hivyo..
Amen. Mbele yangu naona ushindi..,, 🇰🇪🇰🇪
Wooow be Blessed..Janet... from Kenya MUNGU AKUTENDEE MAKUU
Wimbo mzuri Sana, Mungu akubariki mtumishi (Chombo) akuinue zaidi na ndugu yako mwahangila.
Isaya asanteee Mno kaka... Barikiwa Sana
Niko na tumaini pia, good song
Receive It In the name of Jesus... AMEEN... Asanteee Mno
Wimbo mzuri.mbarikiwe
Hongera san bonge la kaz
Ameen Sana Kaka
Barikiwa Mnoo
Waaooo mbele yang naona ushindi Amina kubwa
AMEEN Mpendwa Ushindi Ni Mkubwa Mno
Kazi nzuri. #NaonaUshidi
Director Menge Thanks Alot kaka salimia KENYA
Ni fire Wimbo mzur sana mbele yangu naona ushidii
Ameen Ezekiel.. Ushindi Uko Na Wewe
from 🇰🇪 naona ushindi mkuu Sana, wimbo umekubalika🔥🔥🔥
Kaka Tito Barikiwa Mnoo kaka... asanteee Sana
Ahsante, ubarikiwe sana
Amen
Asanteee Sana Tito Ni Support Yenu Tuu
Ameen Tito From Kenya
Nyimbo zuri ubalikiwe
Haleluya nyimbo nzuri Sana 🙏 Mungu azidi kuwa nanyi
HALELUYAAAAAA MUNGU akubariki kazi nzur sanaa
Rooney Thanks alot Man of God 🙏
Ushindi Lazima ...BWANA NI MWEMA
AMEEEN SANA MUNGU Ni Mkuu
Mbele yangu naona ushindi,,,
Nimebarikiwa sana na wimbo mzur wa kutia tumain
Hongera sana kaka Stewart Mungu azid kukuimarisha mtumishi wa bwana Yesu
Ni kweli ninapt kwenye magum lakn mbele yang naon ushind
Ameen sanaaa UTAFANIKIWA
Keep up the good work Star 🌠✨✨✨✨ 🎙️ ilove the song 🙏
Nilijuwa house girl nakaa nyumbn lakn nilijuwa na ndoto ya kusoma lakn wazazi hawan Hela nilijuwa naamin mungu ansem one day yes ushindi uko mbelee lakn sas me ni mwalimu
Ameen Sana Mungu ATATENDA Makubwa Zaidi..
Broo big up nice song ilipangwa na ikapangika
I appreciate...kaka Job...
Hakika naona ushindi mkubwa Sana mbele yangu. Barikiwa sana
This song is timely , mbele yangu naona ushindi. This is the year, mimi mwenyewe naoma ushind, promotion coming, God is raising me
Be blessed Servant of God
Namwona Mungu akikupa hatua, ubarikiwe sana mtumishi
Amin barikiwa kaka
Mbele yangu naona ushindi👏👏
🙏🙏🙏🙏Mungu asifiwe milele
Naona ushidi 💪💪💪
Amen nitashinda kwajina ra Yesu Christo.
AMEEN Imekua...AMINI Tuu
Napenda huu wimbo unanibariki sana
Ameen sanaa
Hatua zako ni nzuri Prom. Ninazifuatilia na kuridhishwa nazo. Ninathamini michango ya kila mmoja aliyefanikiwa kwa wewe kufika hapo.
PROMINENT Nashukuru Mno kaka, Support Yenu Naiona Tuzidi kuombeana..
Landed here from Upendo TV.Wimbo wanibariki sana huu.Watching from Kenya.
Nakubali kaz n ya motoooooooo
Ameen Sana Mtumishi Peter
Naipenda sana hii nyimbo hongera kaka
Mbele yangu naona ushindi. Asante Bwana 🙏🙏🙏🙏
Mubarikiwe kwa huduma nzuri...huu wimbo una ujumbe kweli,naona ushindi Mungu tufungulie kesho
Ameen Na iwe Hivyoo
Ameni Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
I see u man of GOD, hakika ushindi ni lazma kwa kila anaemwamini MUNGU halisi!
Presenter samwel Andrew Nashukuru Mnoooo kaka Support Yenu Ni kubwa
Merci beaucoup pour la traduction,cela nous permettra de comprendre pour aussi glorifié Dieu tout puissant avec vous, merci
Amen bado liko tumaini
AMEEN Sana MPENDWA Wewe Ni MSHINDI
Kazi Mtumishi WA mungu, me nami naeneza injili
Hakika barikiwa sana mkuu
Mr KIBALI Asanteee Mno... Barikiwa
Songambele Stewart, nimebarikiwa nikiwa IRAQ🇮🇶
Wooow asanteee Sana Josephine.. Barikiwa mnooo Wewe Ni MSHINDI
Amina sana
Wimbo huu umenitia moyo sana na kunivusha kwenda upande wa pili na nikaona ushindi,MUNGU azidi kukupa mafunuo ya jumbembe mtumishi.
Ameen