MSANII WANGU ANATAKA MSAFARA, BADO PIKI PIKI MBILI / PRIVATE JET IMEBAKI 80% / ACHA WAONGEE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 353

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 3 года назад +13

    DIAMOND 💎🔥 Anajua kutesa wapmbavu mwaka huu kuna watu watatembeza matako njee

  • @letshavealiltalk2313
    @letshavealiltalk2313 3 года назад +7

    I love lil ommy anauliza bila uoga tofaut na wengine wakihoj boss zao

  • @lovvy854
    @lovvy854 3 года назад +88

    Mashallah Diamond anahela na nusu ilicho bakia amnunue King Kiba na family yake yote🤣pamoja na Konde gang🙄👈🤣🔥

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 года назад +22

    Na kupendaga salam unawanyoshaga maneno ALLAH akuzidishiye umri na barka katika jobs zako from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦

    • @barkaaaalnahdii2109
      @barkaaaalnahdii2109 3 года назад

      Unaweka bendera sudia ww sio msudi usiweke bendera wakati ww mtnz acha nchi zawatu hawana ujinga kama ww

  • @cason4984
    @cason4984 3 года назад +33

    Show ni ya kizazi sanaa 🔥🔥
    Weka likes za wasafi

  • @nadedgirls7489
    @nadedgirls7489 3 года назад +65

    Mimi wa burundi nawafata vizuri sama, mimi wa 29 ku views nipe like

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 3 года назад +61

    Hapo uliposema gari ikiwa na kilomita 100.bado mpya uko sawa kabisa

  • @delickpesambili3732
    @delickpesambili3732 3 года назад +8

    Dah !! WCB for life ase 👏🏿👏🏿👏🏿team WCB Like kama zote

  • @sophieatieno5148
    @sophieatieno5148 3 года назад +8

    This is what brilliance looks like.. Eh he's really smart. Nmerudia hizi clips za interview zake mara nyingi kwa sababu I'm even learning in the process. Ukiwa na manager kama huyu lazima tu utaendelea kutajirika 🔥🔥

  • @janetsesay8928
    @janetsesay8928 3 года назад +20

    Wcb for life

  • @jerryjackson3464
    @jerryjackson3464 3 года назад +2

    Msifedheheke haya ndio maisha mazuri ambaya kila mwanadamu anapaswa aishi...tatizo ni kwamba mmoja akipata wengine matatizo yana wapata!! Natoa hongera kwa yoyote mwenye mafanikio!! Hayaa mi naenda zangu 🚶

  • @sirallantoiske6250
    @sirallantoiske6250 3 года назад +12

    Very genius person... One of my Role Models.. #SKSalam 🇰🇪🇰🇪🌅

  • @mghazas9858
    @mghazas9858 3 года назад +11

    SALLAM SK. NAKUFAGILIA Sanaa. BigupBRO

  • @Kevin_acee
    @Kevin_acee 3 года назад +3

    DIAMOND IS ON HIS OWN LEAGUE! PERIOD...!

  • @awadhjamal3430
    @awadhjamal3430 3 года назад +37

    Hii show ya moto sanaa

  • @ItsLeonel
    @ItsLeonel 3 года назад +3

    Management ya Diamond noma sana bro

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 3 года назад +2

    Simba anajuwa kuwakomeshaa wapinzani 👉💎💎💎🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌😀😀😀😀

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 3 года назад +8

    Nakukubali kwenye majibu huwa hapindi jamaa. Wakere tu bro salama

  • @hamidumuhammad5607
    @hamidumuhammad5607 3 года назад +18

    Wcb4life daimond platnam baba lao iyo wa iyona iyo

  • @kolokokoloko9276
    @kolokokoloko9276 3 года назад +5

    Sallam sk yuko vzr sana kwenye kuwanyoosha haters

  • @lexq-sm6lq
    @lexq-sm6lq 3 года назад +16

    Yani uki muangalia Sallam..
    Amekaa ki hela hela tu🔥🔥

  • @jamesdube8119
    @jamesdube8119 3 года назад +10

    Cool

  • @lucasmsangalawe4254
    @lucasmsangalawe4254 3 года назад +4

    2nakubaliii sana SIMBAAA

  • @smootkizy_jr
    @smootkizy_jr 3 года назад +42

    Aaha majibu ya #SalamSK ni ya kisomi zaidi mwenye akili atamwelewa tu #wcb for life.
    #garizimekuacm 😂

  • @adambabu687
    @adambabu687 3 года назад +11

    Nakubali

  • @subraissiaka6440
    @subraissiaka6440 3 года назад +16

    Kizazi sana lil ommy👌👌

  • @Ron_cita
    @Ron_cita 3 года назад +19

    Wabongo ni wivu unawasumbua tu hamna lingine,kama gari ni fake si lake kwani amekupa?mtakufa masikini juu ya wivu,mwafatilia maisha ya mtu kana kwamba mulimuongezea pesa ya kununuwa hilo gari

    • @yussufyrn1590
      @yussufyrn1590 3 года назад +1

      Kwanza in the world hakuna mjinga wakununua kitu fake cha billion mpk ju hakun

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 3 года назад +1

      Ujinga n kwamba walikuwa hawaamini kama mwamba anaweza kununuaa

    • @Ron_cita
      @Ron_cita 3 года назад

      @@yussufyrn1590 imagine and am even wondering mange anaishi ulaya ila she behave like illiterate gosh,wamemkwamilia diamond kana kwamba walimpa pesa awaletee Rolls Royce akawanunuliwa yenye hawakutaka

    • @Ron_cita
      @Ron_cita 3 года назад

      @@afterfull-time1348 yaani wanaboa kinoma kila siku nikufatilia maisha ya watu,umasikini ni ugonjwa mbaya sana

    • @delilahbutterwick9789
      @delilahbutterwick9789 3 года назад +1

      Sharon channel Hapo chacha

  • @nurdin.mndeme3447
    @nurdin.mndeme3447 3 года назад +4

    diamond platinum SIMBA wa Afrika

  • @fficiallymasue1903
    @fficiallymasue1903 3 года назад +22

    Only one chibu D platnumz diamond leteni mavituz 😂

  • @bensonjr4879
    @bensonjr4879 3 года назад +7

    Salim he so smart.....

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 3 года назад +15

    watajuwajeeee😘🥰😍😍

  • @agnesollie753
    @agnesollie753 3 года назад +1

    Diamond 💎 Kila siku kumbuka wimbo wako wa kimya kumbusha mdomo ukukome🇰🇪🙏❤️

  • @salimmtama9303
    @salimmtama9303 3 года назад +2

    Naeza mpa Hi Mondi alafu nisimpe Salam Sk..... acha wakabishane na TRA...

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 года назад +6

    Ndege ije jamani h mama atembeee unchi 🙊🙊

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 3 года назад +10

    From Lusaka zambia Daimond platnumz is the best

  • @makatym6151
    @makatym6151 3 года назад +5

    Salam is smart upstairs

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 года назад +20

    Hii show iko motooo sana

  • @magrethmallya7728
    @magrethmallya7728 3 года назад +3

    Simbaaaaaaaa.

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 3 года назад +1

    Nakuelewa sana salam wewe ndio unaejua mambo ya kishua

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 3 года назад +13

    WCB for life 🔥🔥🔥🔥

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 года назад +5

    Kushabikia wcb ni raha pongezi salaam wacha waongee maneno yao ni kelele tu .

  • @prosperkiller9679
    @prosperkiller9679 3 года назад +10

    Nouma sanaa 🤟🏽🤟🏽🤟🏽

  • @raisimseveni1955
    @raisimseveni1955 3 года назад +6

    #hbaba get read to walk nicked 😀😀😀😀 #mwanza to #daresalam,,,private jet is on right now

  • @wissobacarsabila1228
    @wissobacarsabila1228 3 года назад +18

    Lê grande Mendez

  • @mosessichone3628
    @mosessichone3628 3 года назад +1

    Diamond platnumz is the best from mpika zambia

  • @pinochio5465
    @pinochio5465 3 года назад +7

    Akina mwijaku mhaho unawahusu mwaka huu lazima waugue uchizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @johnmogope8520
    @johnmogope8520 3 года назад +15

    Wcb 4life

  • @nangehtz35
    @nangehtz35 3 года назад +15

    Uyuu jamaa anahakili konoma

  • @davidmwango9388
    @davidmwango9388 3 года назад +5

    show kali sana

  • @ashazaidi9068
    @ashazaidi9068 3 года назад +1

    Mm binafsi nakubali ximbaa mpaka kufa hakuna kama yeye

  • @lavidaloca_255
    @lavidaloca_255 3 года назад +6

    #Wasafimedia niwakosoe kidogo hajasema privet jet imebaki 80% kasema imekamilika 80%

  • @agustinonwaka2089
    @agustinonwaka2089 3 года назад +11

    Halafu kuna watu wanasema eti Akothee kamzidi Simba hela.. si vichekesho hivyo

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 3 года назад +3

      Kwahyo yeye kununua misafara ndo wengine hawana pesa wee jamaaa aiseeee...tunaweza kuwa wote showroom mm nikanunua vits nawewe ukanunua Range lakin mm nikawa nimekuzidi pesa.kwahyo kununua misafara kusikuchanganye mzee.

    • @leeldavid3712
      @leeldavid3712 3 года назад

      Uwezi linganisha value ya pesa za tz na value ya pesa za Kenya...most probably akothee anamshinda period

    • @agustinonwaka2089
      @agustinonwaka2089 3 года назад +1

      @@leeldavid3712 utajir wa mtu unapimwa in term of us dollar hamna cha ksh or tsh.. umenielewa

    • @godfreymbwambo4460
      @godfreymbwambo4460 3 года назад +2

      Everything is pegged at dollars, and not at Ksh. or Tsh.! Japanese yen is weaker than Ksh.! WHAT DOES IT MEAN? IT'S SIMPLE ARITHMETIC, CALCULATE AKOTHEE'S FORTUNES IN DOLLARS AGAINST DANGOTE!!

    • @agustinonwaka2089
      @agustinonwaka2089 3 года назад

      @@godfreymbwambo4460 waeleweshe waelewe hao

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 3 года назад +8

    Kuhusu msafala asijali kila binadamu ataupata msafala ni hakiyetu kupata msafala sote

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 3 года назад

      Kula sumu ufe mamae huyu ndo Mond kiboko wa kunyoosha wapumbavu

  • @letshavealiltalk2313
    @letshavealiltalk2313 3 года назад +3

    Salam mswahili khaaaa😂😂😂😂😂wangemuhoji kwenye mashamsham ndo angechamba vzr😂

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 3 года назад +3

    Mimi nashangaa sana.
    Mbona watu wengi wananunua magari na hamtaki uthibitisho.
    Why Diamond? Nawashangaa Wasafi nao kuna ulazima gani kutumia mda mwingi kuwathibitishia
    watu hao wakiwa kama wakina nani

  • @DAVID-wp4vc
    @DAVID-wp4vc 3 года назад +1

    Huyu salam sk namkubali sanaa

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 3 года назад +3

    Kizazi sana hii show

  • @officialjox_ninja9704
    @officialjox_ninja9704 3 года назад +13

    Salamu sk 🤔

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 3 года назад +7

    🛩 Mwijaku na H Baba wata 💩 💩 💩 hadi Burundi na Congo 😛😛😛

  • @paulmawirakinyu2688
    @paulmawirakinyu2688 3 года назад +12

    Sk we mkali

  • @athanacedward7803
    @athanacedward7803 3 года назад +3

    Maneger kama menager watajuajee sasaa bila kuwajuzaa

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 3 года назад +2

    Boss kama bosss anaanga umbea

  • @azizikassimu3676
    @azizikassimu3676 3 года назад +3

    Chibu niwakimataifa💪💪💪

  • @rinoxkatambi5541
    @rinoxkatambi5541 3 года назад +7

    sipendi vile @lil ommy anavyosemaga oyeaah

  • @austinesautisolnamipendasa3856
    @austinesautisolnamipendasa3856 3 года назад +1

    Best manager

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 3 года назад +1

    Korosho lazima atoe pesa maana ni mjeur na hn shukurani panya yule

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 3 года назад +15

    Kumbe Rolls Roys Toka Dubai?leta hizo mbili…daaah

    • @nancychuwa9629
      @nancychuwa9629 3 года назад +1

      Cjui mnamuelewa

    • @theoblesslesaf1285
      @theoblesslesaf1285 3 года назад +1

      Dubai ni wakala tu.ndomaana magari mengi yanauzwa dubai sio yanatengenezwa dubai kule yanaenda kuuzwa tu.

    • @camistechnology2091
      @camistechnology2091 3 года назад +1

      Napia Dubai hununua magari Sana Japan kuja kufanya modifikesheni nivyema wange nunua uingereza na japan

  • @chybuwagwantaz8054
    @chybuwagwantaz8054 3 года назад +17

    Ombeni nanyi mtapewaa😂😂😂😂

  • @willyclassic9263
    @willyclassic9263 3 года назад +2

    Kutafuta hela natumia ngv nying bado kuwaaminisha watu kwamba na hela nayo ntumie nguvu tena jamn duh

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 3 года назад +4

    Daimond ni kiboko yao watanyooka tu waliosema watatembea uchi wajitayalishe sasa 😊😀daimond ni jembe wakubali wakatae daimond ndiyo baba yao

  • @ibraimomomademomade5159
    @ibraimomomademomade5159 2 года назад

    Sisi wcb wasafi 4life oeeeeé

  • @ramadhanhamisi7405
    @ramadhanhamisi7405 Месяц назад

    Sawa mwanangu faida

  • @sebastianfesto8777
    @sebastianfesto8777 3 года назад +14

    Ndio mkuuu

  • @pedrorachidekalamaga9233
    @pedrorachidekalamaga9233 3 года назад +1

    Simba babalao

  • @jackstar508
    @jackstar508 3 года назад +12

    Kwanini asimnunue kiba awe chawa wake😹😹

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 3 года назад +2

    #MANGE KAMA #MangrKimambi 🙌🙌🙌🙌

  • @GsmMrsoft
    @GsmMrsoft 3 года назад +2

    Big show

  • @muzzoonlinetv7446
    @muzzoonlinetv7446 3 года назад +7

    💎💎💎

  • @rashidmashaka1264
    @rashidmashaka1264 3 года назад

    Omy upo vizuri sana

  • @jumbebakari1364
    @jumbebakari1364 3 года назад +1

    Biashara ya pweza inalipa usione aibu njoo ujifunze namna pweza anavyo andaliwa kachori ngisi dagaakamba samaki taa kaa na pilipili ndan ya siku 3 tu ushajua tufollow kwenye peg yetu au whatsap no 0688297307🦐🦞🦑🦀🐟🐠🐙🐳🐬🐡

  • @geespytv3758
    @geespytv3758 3 года назад +16

    1

  • @kudrahalfan5767
    @kudrahalfan5767 3 года назад +1

    Unique

  • @msodontexas3201
    @msodontexas3201 3 года назад +5

    #msodon Texas

  • @thevert9203
    @thevert9203 3 года назад +10

    Daimond kbx

  • @musason1680
    @musason1680 3 года назад +9

    Hivi uyo ray haongei

  • @abdallasuleiman6414
    @abdallasuleiman6414 3 года назад +1

    Don Mendez kiboko ya mabishoo 🔥🔥

    • @bensonmwakasanga9316
      @bensonmwakasanga9316 3 года назад

      Kwamipangohiyonilazima wenyewivumjinyonge au lasivompasuke jamaanyotaimewaka

  • @mohamedykassim2070
    @mohamedykassim2070 3 года назад +3

    Kichwa

  • @jumannerajabu5019
    @jumannerajabu5019 3 года назад +4

    kama ninyewe kweli bei ni dollas 350000 kwa kule kwa pesa ya tz kama sikosei mil 750 na chenchi kidogo kwaiyo mpaka ikifka tz itakua mzigo mnene

  • @coolzeddy_official9216
    @coolzeddy_official9216 3 года назад +5

    Burudan kwel2

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 3 года назад +10

    ⛽🔥🔥🔥

  • @franciswabukalaloveitkeepu9009
    @franciswabukalaloveitkeepu9009 3 года назад

    Busy listening to sorry ya Jeshii

  • @johnyagat973
    @johnyagat973 3 года назад +1

    Hichi ndio tuncho kitaka wasafi tujue kinachoendelea ili tuwe live na maisha msiwe mnatusahau coz manyan'gau yatatunyakua jamani ya yanaspidi. na wamesahau sisi n engine vya ndege tena sio ndege tu ila ni dege la jeshi la ulusi linaloganda hewani wasafi muendelee kuwepo.unajuwa amna kitu kizuri kama kuona maendeleo kwa kile unacho kisimamia jamani nimeisimamia kama fan n zaid ya miaka kumi tukiavha leo RUclips iko on air nikitambo amna ata tachi tuko na mondi sio leo acha wadie mjua diamond leo, hicho ni chuma

  • @msodontexas3201
    @msodontexas3201 3 года назад +5

    #forever

  • @mawazomdemu5169
    @mawazomdemu5169 3 года назад +4

    Kipindi kipo vzr sana

  • @Bonwyatt
    @Bonwyatt 3 года назад +9

    Anajielewa san huyu mwamba

  • @karengaoso2356
    @karengaoso2356 3 года назад

    BLUE HAKUNA 2021 ACA KUTU CUKURIA MAFARA SISI

    • @ndegejr4218
      @ndegejr4218 3 года назад

      We ndo fara kwelikweli Nani kakwambia Rolls Royce Cullinan Black Badge 2021 hakuna Ya Rangi ya Blue?,Muwe mnatembelea na official page ya Rolls Royce mnajionea na sio kumezeshwa ujinga nanyi mnaamini bila kufanya research

  • @yohanajuma7183
    @yohanajuma7183 3 года назад

    Mtangazaji mkubwa unamilikiwa bora milad we kele2

  • @chayoamaeda7955
    @chayoamaeda7955 3 года назад +1

    salami hao wanao ongea hawana jipia na ilivyo lazima waseme kuhusu diamondi ili waonekane hawana lakusema

  • @mohammedsema7837
    @mohammedsema7837 3 года назад +6

    Kilometers can be programmed bro only death is difficult to deal with

  • @nicianezekiel9144
    @nicianezekiel9144 3 года назад +9

    nITAFUTE NITAKUELEKEZA