LIVE MKUTANO WA INJILI - ARUSHA IJUMAA TAR 31 JAN 2025 NA MCH ABIUD

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • KARIBU KATIKA MKUTANO WA INJILI SINON-ARUSHA

Комментарии • 32

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 4 дня назад

    Wimbo huu tunauweka na mme wangu tukiwa tunaenda kwenye Injili n mtamu sanaa tunaupiga mtaani una nguvu ya Mungu

  • @DavidIsaya-zn1gp
    @DavidIsaya-zn1gp 5 дней назад

    Mungu Awabariki Sanaaa, kwa kuvaa mavazi ya heshima mueendelee hivo

  • @LeahMaximillian
    @LeahMaximillian 7 дней назад +1

    Barikiwa sana pastor niombee kaka yangu aache pombe mwaka huu afanye makubwa ya kushangaza

  • @deborakalipeni
    @deborakalipeni 6 дней назад

    Mungu akurinde mtumishi

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 8 дней назад +1

    Bwana asifiwe Bwana awabriki sana kwa kazi dada mko vizuri sana mavazi yenu yanamtukuza Bwana ila nawaomba kwa unyenyekevu mkichona tena mjarubu kuchona zinazofunika kifua Bwana awabariki sana

  • @TediSadoki
    @TediSadoki 8 дней назад

    Ngala mutoni mungu awabaliki ninajiungamanisha nahapo madhabahuni nguvu iliyofufua yesu iniponye kwelikweli naamina sana🙌🙌🙌🙌

  • @ElizabethSimon-g8n
    @ElizabethSimon-g8n 8 дней назад

    Amen injili isiyochakachuliwa ndio hii na wengine waige barikiwa sana mtumishi wa Mungu,Mungu aendelee kukutumia useme ukweli,hakika una taji.

  • @TediSadoki
    @TediSadoki 8 дней назад

    Amina Mungu awabariki wana sifa mnabaliki kwanzia mavazi

  • @Robert-v8f5e
    @Robert-v8f5e 8 дней назад

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana kwa Neno la Mungu lisilogoshiwa na lenye uzima wa milele,asanta kwa somo la ubatizo

  • @bahatishitindi
    @bahatishitindi 8 дней назад

    Napenda unavyo hubiri injili ya kweli bila kumuogopa Mtu

  • @TediSadoki
    @TediSadoki 8 дней назад

    Amina amina asante yesu

  • @TediSadoki
    @TediSadoki 8 дней назад

    Ameni hakika babadada
    Hakika sadaka inanena👏👏👏

  • @EsterMwakikuti
    @EsterMwakikuti 8 дней назад

    Amina mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @deborakalipeni
    @deborakalipeni 8 дней назад

    Mungu awa bariki sana

  • @EuniceShane
    @EuniceShane 8 дней назад +1

    Amen amen

  • @JESUSISLO891
    @JESUSISLO891 8 дней назад

    Kwani hii sadaka maalum ndio gani ama imetiwa nini mbona mchungaji unajali tumbo lako kuliko neno la mungu sijapenda huo wizi acha watoe kwa hiari

  • @FlolianIlomo
    @FlolianIlomo 8 дней назад +1

    Lazima injili ihubiriwe

  • @emmanuelimwakalinga7921
    @emmanuelimwakalinga7921 8 дней назад

    MBALIKIWE SANA NABWANA

  • @LinahEbeneza
    @LinahEbeneza 8 дней назад

    God is good ♥️🥰❤️

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 8 дней назад +1

    Ameeeen

  • @NsengiyumvaEmile-xu3ir
    @NsengiyumvaEmile-xu3ir 8 дней назад

    Niko Burundi nawapenda sana munanibaki

  • @GabrielKabuje
    @GabrielKabuje 8 дней назад

    Amen

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala 6 дней назад

    Glory to God
    🙏🧎

  • @stephano_petro
    @stephano_petro 8 дней назад

    Amina

  • @Antonypscal439
    @Antonypscal439 8 дней назад

    Amina kubwa

  • @LizikiMwashambwa
    @LizikiMwashambwa 8 дней назад +1

    Jin la Bwana libarikiwe Sana.

  • @hebronijaluomahuvi1025
    @hebronijaluomahuvi1025 8 дней назад

    ❤❤❤

  • @EdwinMbwilo-fj6bf
    @EdwinMbwilo-fj6bf 8 дней назад +3

    Moto umewaka moto umewaka haya ndiyo mahubiri yanayoliponya kanisa kwa aliyetayari.

    • @PearKisetu
      @PearKisetu 8 дней назад

      Asanteni kwa mlioandaa mkutano tunamuhitaji Mungu Arusha yetuuuuu

    • @GodfreyMushi-m3i
      @GodfreyMushi-m3i 8 дней назад

      Huwezi kumshangaza mungu mchungaji kwa hapo tuombe toba na suleman hakumshangaza pia MUNGU ila MUNGU alitakabari sadaka zake kwa kua pia alikua mnyoofu wa moyo sadaka ya wenye dhambi ata iwe kubwa vipi haimpendezi MUNGU bali kabla ya sadaka watu wabadilike wawe watakatifu kwanza kama kanisa la abiudi wamenyooka sana nimeshuhudia sadaka baada ya somo na kusafishwa

  • @GodfreyMushi-m3i
    @GodfreyMushi-m3i 8 дней назад +3

    Mchungaji huwezi kumshangaza MUNGU ata sulemani MUNGU alitakabari sadaka yake si kumshangaza na kabla ya sadaka utakaso kwanza kwani sadaka kubwa ya mwenye dhambi MUNGU awi radhi nayo UTII NI BORA KULIKO DHABIHU mch. Abiud waumin hutoa sadaka baada ya neno na utakaso mtu atoe akiwa ameoshwa na kumuelewa MUNGU tuombe toba kwa ili YESU atusadie

    • @ThomasKipara
      @ThomasKipara 4 дня назад

      Eeeh Kwa kweli hii ni zauti ya bwana ubarikiwe sana abiudi