SHEIKH FARID HADI AMALIZA UTATA MZOZO WA ARAFA | KHUTBA YA IJUMAA | MASJID JAMII ZINJIBAR
HTML-код
- Опубликовано: 13 июн 2024
- KARIBU KATIKA CHANAL YETU USISAHAU KUSUBCRIBE, LIKE, SHARE, COMMENT :
TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU ILI PATE FAIDA KTIKA BIASHARA YAKO
PIA CHANAL YETU INAOMBA MSAADA WAKO WA VIFAA ILI TUWEZE KUENDELEZA ZAID TV YET HII KUZIDI KUTOA ELIMU KATIKA JAMII AHSANTE
www.nouralmustafatz.org
Tel : +255 777 144 988 :
TUNAPOKEA USHAURI NA MAONI
unajua kuna watu wanashindwa kutofautisha baina elimu na msimamo!!😢 shegh farid allah akulipe gheri
Kweli
WALLAH ALLAH AKUHIFADHI SHEIKH, WATU WOOTE WENYE HEKIMA NA WAKWELI WASIOTUMIA HISIA KAMA WEWE KATIKA ARAFA WANASEMA KWELI NA KUUNGANISHA UMMA. ALLAH AKUHIFADHI.
Jela mbaya sana hata kama huna elimu huwezi sikiliza huu ………..
@@Foodgrower112Imekhusu nini Jela hapo??????
@@Foodgrower112lete wako yeye Kaleta kwa Dalili kama huu si malizia ww ambae hujaenda jela mbona huna hoja
Aamiin thumma aamiin
Sasa wewe unaempinga huyu sheikh Ni Nini?
Mbona anaongea Kwa ushahidi kabisa?
Au kwababu mlitaka ajiunge Na nyinyi miwahabi ili apotoshe watu sheikh faridi akajiongeza akaona huku Kwa mawahabi hapafai
Sasa wewe unaempinga lete ya kwako tukusikilize
Au kama VP wewe Fata unayoyajua wewe
Sisi Wala hatutokufuata wakazigani wewe ndomana pia mlianza kumsema sheikh kishki eti amemleta sheikh kutoka Saudia Kua Ni sheikh wa kiibadh
Nendeni mkasome
Tena sheikh faridi akiongea unamsikia stereo yake very clear kama Hothman maalim vile
Mashallahu Mqmeno Faswaha Kabisa Allah akujaze kheyr Sheikh
Aamiin thumma aamiin
Allah akulipe kheri shekhe na akujaalie mwisho mwema wewe na familia yako na waislamu wote wanafuata mwenendo wa mtume. Aaamin
Aamiin thumma aamiin
Mashallah maneno yameeleweka,allah akuzidishie elimu na ufaham ulio mzuri
Aamiin thumma aamiin
Anampinga sheikh faridi tuaacheni waendelee kumpi ga hao ni mashetani wa kiyahudi ndo maboss wao
ALLAH nakuomba unipe umri mrefu na pia umpe sheikh farid umri mrefu ili nikachume ilimu japo kidoogo kwake
Au kwa masheikh wengine wenye msimamo kama wa sheikh farid
INSHA ALLAH
mimi nilikuwa niikose hii faida Alhamdulillah ALLAH kanijaalia kuipata.Yaani Umeieleza kwa uzuri ALLAH Akuhifadhi sheikh Farid..
Mashaallah Sheikh wetu Sheikh Farid Allah akuhifadhi walikua tena habariiii ndo hawa sikia kwa ukaidi wao
Tatizo lenu ni kutowa kufahamu uchambuzi wa Masheikh Ibnu Baaz na wenzake ufahamu wenu mfupi na ukaidi tu kwasababu elimu za hao mnaowafuata mshatajiwa mpaka Mtume SAW bado tu mnakaidi Subhanallah Wazayuni wamekupateni na hao Masheikh wenu wanaokuwa hawataki kuona kwamba wamekosea
Kweli kabisa Allah akuzidishie eliimu. Hawo wanataka kupoteza watu wana lipwa kupoteza watu
Nakuunga mkono hao hawana elimu ya fiqhi wala sheria za chimbuko la ibada Allah akuweke Sheikh wetu Allah akuzidishie elimu
Nilivyomfaham shekh nikua Kuna mambo mawili tofauti,kunakisimamo Cha Arafa,na Fungal ya Arafa tufaham HIV nivitu viwili tofauti
Jazakallahulkheir Sheikh.
😢 Masha Allah! Allahuma barik alayhi, i am so blessed to day??
جزاك الله خيرًا جزيلًا وبارك الله لك
حفظك الله من حسد المفسدين
Mashallah ni kweli shekh farid
unajua tofauti ya waafrica na wazungu nyingi sana::: ila waafrica tatizo letu ni, kujikweza sana na wajinga huwa ndio wenye kutoa fatwa....... unakuta mtu anatoa fatwa ili hali umwambie aichambue bismillah haiwezi😂😂:: note tusiwadharau wenye elimu,,, allah awajaze heri mashegh wetu🙏🏿
Hayo maajabu yapo kwetu TU ila Dunia nzima inafahamu na Allah ni mkwasi msifiwa na humuongoza amtakae kwenye nuru yake
Swadaqtaaa
Jazakallah khayran
Maneno ya hakki maneno kuntu, anaetaka na afahamu na asietaka basi na aendelee na uwahabi wake 🎉
Maashallah
Sawa sheikh faridi...
Baraka Allah fik
Uzuri haki haizami battli ndo inazama Allah atailinda dini yake yahaki na itazid kuwajuu,mashekh wakisalafi Allah azidi kuwapa maarifa wazidi kuifahamisha haki
Mashaallah
nikikuangalia machiz Yananilenga leng chakufanya can ila nakuombea kwa Allah akuifadhi na akuondoshee matatizo yaduniani akuingize ktk pepoyake inshallah
Mashallah
Hakika umemaliza haki ndio hiyo anaetaka afate asietaka aaache uko mkweli kabisa
MashaAllah shekh
Waislam tuna tarehe mbili ndan ya Siku moja huu ni mtihan,
Ndugu zangu kama hutaki kumfuata ama kumsikiliza usimtukane.huo sio uislamu
JAZZAKA LLAHU KHAYRA
Shehe wangu Alla akuhifadhi hii fungeni tisa umetowa wapi usizongewatu
Ahsanta
Ivo kweli umoja katika dini nikwa sisi wazanzibar tu !! Uislamu hauko ivo na ndio mana Uislamu huwaunasimamia ulimwengu mzima (Khalifa)
Maneno ya kisawasawa
Hogera she wetu wasomo
Kila mtu Ana upeo wake wa elimu na hio yeye ndio ufahamu wake na dini si kwa akili ya mtu Allah amjalie kila la kheri
Kwa wasomjuwa sheikh farid huu ndo msimamo wake miaka na miaka. Kabla hajafungwa na hata asaiv.
Kwa hyo shiken adabu zenu kumtukana sheikh.
Wasitutukanie Sheikh wetu, watuache na miezi yao ya viganjani
Na siku Marekani akizuia mitandao ikawa hakuna mawasiliano wao watafuata nani
Ukute yeye mwenyewe siku ya Arafa ikifika ataamka na nia ya kuungana na mahujaji kwenye viwanja vya Arafa.
Ila tena jamii awe tofauti nayo, hajasahau kuleeee
Wote mko sahihi acheni ikhtilafu zitakazowasumbua waislamu.
Maneno yako kuntu
Sasa nyie izo zenu ni dhana na kumdhania mtu dhambi kubwa uwo shkh Farid ndo msimamo wake zaman c kwamba anogopa wat yeye azumza haki t acheni kasumba nyie mnaokoment muache taasubi zenu fuateni wanachuon mana wao wemepita Karne bora
Kuna watu wa maajabu lazima comments zao ziwe za dhabi ndio wanaona raha. Tuskilizeni MaSheikh wetu wa Dini mpate kuelimisha watoto wenu pia.
Tunaelewa hata angekuwapo Rasulullah akawatangazia pia mungelimuambia kuwa nyinyi mnafuata mwezi wenu hamutomfuata.
Siku nimojatu tofauti nimasaatu shawwali yamwaka huu mbona tuliswali wote nasaudia imekuwaje na tarehe zadunia nitofaut?naje nipo Tanzania ndani yamwezi wa ramadhani kwetu ni1 na saudia ni2 ndani yasiku1 nikaw nimesafiri kwenda saudia nilipofika wa29nashawwal ikaandama namimi nikaona kwamacho yangu namimi ni28 nitafanyaje?
Mm nashauriii toa maoni Yako tusiwe tunatukana, hiii haisaidii ila itaharibu na itabomoa
Faridi ni Msufi.
Sufi nyepesi unafahamu na safi.
@@latif15 USUFI ni Madhehebu ya watu wa bidaa ambapo wanadai Wao kuwa neno hilo Maanake ni ZUHUDI.
Lakin hakuna Maana hyo ktk Lugha ya Kiarabu kabisaa.bali ni neno walilolizua wao wenyewe baada ya zile Kuruni Bora kabisa.
Na amewasema vbaya sana Imaam Shafi.
Masufi ni watu wanafuata Falsafa Kwa kutumia Akili zao kuliko Maandiko kwa Ufaham wa wema waliotangulia.
wao ni Ni Asw-haabul Kalaaami,Mantwiqi,Na Ilmul Hisaab.
Nakuunga mkono hao hawana elimu ya fiqhi wala sheria za chimbuko la ibada
Amemalizaje utata
Shekhe Allah akuweke umetumia hekima sana, sasa waislam wengine walitaka usemaje hapo?
Maulamaa acheni ,uongo ,hadith inasema funga siku ya arafa ,haijasema mwezi tisa, hiyo tisa kasema nani,mtume au sheikh,tuleteeni hadithi iayosema funga ya mwezi tisa ya dhul hijaa kama ipo,msitubabaishe kwa kaulinyingi na kututoa ktk ,mstari wa kauliya mtume ,funga siku ya arafa,
Hiyo siku ya arafa inapatikana mwezi gani na tarehe ipi.
Huyo alie sema tuna tarehe mbili siku moja kakalishwa mbona Tanzania kila siku tuna swala moja ya alfajiri lakini muda wanaoswali dar sio wanaoswali shinyanga
Mwandishi unaposema Sheh Faridi amaliza utata mzozo wa Arafa kwaiyo watu sote tutakuwa wamoja kuhusu suala hilo au vipi?
Hebu fafanua hadidhi ya mtume inayosema hakika funga ni siku ya arafa fafanua vizur
maneno yote kamaliza shekh msellem bin Aliy
Yule mwehu kama wewe, hiyo elimu anayo?
Kipindi cha COVID hakukuwa nahija walakisimamo cha Arafa waislam walifunga mwezi 9 kwann tucache kwaxbabu hakukuwa naibada yhija
Wekawazi tukufaham
Jee shee Muhammad nassoro wa kadiria Jee si mwanachuon au kwa sababu si muarabu
Imekhusu nini sasa Sheikh Muhamed Nassor au kwasababu siyo MuArabu? Wacha fitna yako hapo. Sasa wewe fikra zako unafkiri Sheikh akiwa siyo MuArabu anakuwa siyo Sheikh.?? 😂😂huu ni ujinga mpya wa mwaka huu. Samahani kwa hili Suala….Wewe kwani Muslim hata unataka kubaguwa baina ya Sheikh na MaSheikh very sad.
@@awatifalghanim1106 kwa sababu futua yake mbona huisikii kutajwa kuhusu arafa kwa sababu yy msimamo wake kufuata nchi ya saudia
Acha uongo funga inaaza alfajir na kuisha magharibi Kila nchi inafunga zikifika nyakati mtume kasema siyamu yaumu aarafa kw io siku ni Moja hakuna nchi iliyo mbele au nyuma kwa masaa 24 basi hata mtume angekuwepo leo kwenye maisha yetu akawatangazia mngelimkataa
wewe unajisemea tu kabla ya Mwezi kuandama huko Suudia nchi ya KIRIBATI WANAKUWA WAKO SIKU NYENGINE KABISA
Nyie hamjui Jografia na tafauti za masaa baina ya Nchi ziko Nchi zinapishana siku na ziada ya masaa mawili
Shekhe Faridi Una mawazo 50% Rudi tena ukasome UPYA. Neno NI صيام يوم عرفة. Hapo hakuna habari ya masaa Bali pametajea يوم. SASA kiarabu inaonekana kinawatumbuwa wingi Sana.
Wewe unauejua hiyo يوم ni dharfu zamani au makani
Sasa tufunge kwa kufuata muda, Au kwa kufuata pahala?
Uwe na adabu kwa Masheikh
Naam na يوم na upande mwengine wa dunia unakua ليل na ndio pia tunapata ليلة القدر haijulikani siku gani katika usiku wa 21,23,25,27,29.
@@user-og5vd9qu7r makani arafa hakuna kufunga na zamani tunafunga na zamani kwa mujibu wa ahila moon 🎑.
Ata mimi sijasoma ila naelewa kuwa natakiwa kuishi kw kigezo cha mtume na kufata maelekezo ya qur-an na hadithi za mtume sasa iweje masheikh watubabaishe
Yan iwezekane father's kuwa siku moja dunia nzima ila inashindikana kwenye dini yakwel kukosekana Arafa moja 😂😂😂😂 huu ni mtihan afu tunajunasibu dini yetu imekamilika, nini anajifunza mtu aliye nje ya dini yetu atashika lipi wakat akitaka kuingia kwenye dini, nani mkweli kwenye hili?,
Shekh kweli umemaliza mgogoro. Kwa sababu kuna watu hawana vyombo vya habari harafu mawingu yametanda mvua inanyesha je, watu hawa ibada zao hazitakubalika?
Sheikh mungu akuhifadhi unaanza kushughilishwa na mambo ya kisiasa au ndo unamuogopa uyo raisi apo
Hukulazimishwa kumfuata aliyo yafundisha na kama amekosea dhambi ni zake Wala sio zako tuache mihemuko dini yetu haiko hivyo al Islam nadhufu fatanadhwafu sasa huonwako usafigani kumtuhumu kiongozi wa dini zaidi ya kuudhalilisha UIslam tujitahidi kuwaheshimu viongozi wetu wa Dini
Mawahabi hawako kwa ajili ya dini ndio maana wanakua wakali ukiwaukiza masuali kwa sababu hawana hoja
Mbona siku ya ukimwi Dunia I ni Moja a..arafa ndio ziwe mbili x3..ok tuachane na hao ambao wanapisha masaa na makka na SS hapa Tanzania tunapishana msaa na makka??
Samina wa ataana
Kwanni amiri faridi unafuata kauli za wanachuon wetu baadhi tu unazozitaka ww mbona nyengine hufuati.
Watu wa mirombo
Sheikh unalazimisha unavotaka wewe, elmu ni pana tatizo mnataka tufuate msimamo wenu wa kiibadhi wa omani, tuache na msimamo wetu wa ki sunnah
USILAZIMISHE !!!!!!!
Allah akuongoze na hakki itabaki kua hakki milele
Ahila hauna madhehebu, mwezi hauna madhehebu ni kuuona au kuto kuuona.
Unaekataa ukatae Kwa hoja,
Bora urudi jela tuu mnafiki unaye ficha ukweli
Kwa maana hiyo swaum ya araf inaanza saa 6mchana au siku nzima
We sheikh unazingua kama huku kwetu ni saa kumi marekani ni asubuhi sasa Kuna shida gani siku ni moja ileile acha kupotosha umma
Anachosema kama unafunga kisa watu kusimama mbona marekani itakuwa usiku
Inatakiwa ufunge siku ya 9 sio kisa watu wamesimama Makkah
Wewe muwahabi hata ukifahamishwa akili ina kizibo
Sheikh, soma sio utoe maneno ya kudharau.
@@rashidmasoud1111 huyu unayomtetea ndio kadhalau
Wisho hata hawa Wakristo watawacheka. Dunia nzima kukifanyika sherehe Zote hutangazwa tarehe moja na inajuilikana kuwa watu wamepishana ila sio 24 hours. Naona maarifa yenu yamefikia hapo mwamba utofauti lazima uwe 24 hours. Mpishano WA swala mnautaja lkn hampati mazingatio kwanini?
Hiii si sherehe kaa ukijuwa . Hii ni dini na ni Ibada aloiweka ALLAH. Respect plz
@@suuahmed71
ALLAH NDIO SIKU KASHAZIWEKA ALIVOTAKA MSIBADILISHE. FUNGA YA ARAFA HAINA KHITILAFU KTK VITABU MNAJICHANGANYA KIUJANJA NA KUKUZA UPINZANI PASIPO NA UPINZANI. HAMUMUOGOPI ALLAH MNAWAKOSESHA WATU NA FUNGA YA ARAFA
@@suuahmed71
Heshimuni Quran na Sunna na muacheni Bidaa. Dini ilishakamilishwa. Mkifuata mliyoletewa hamutaikosa pepo ya ALLAH tena bila kuzidisha maoza_maoza
Tatizo la watu wengi ni kushikilia misimamo ya wanao wapenda hata wakipewa dalili za kielemu bado hawataki huu ni ujinga jitu linasema sheikh farid amenunuliwa ndoninisasa na ushahidi wa hdithi na aya za quran bado huelewi wewe ndo umenunuliwa na sheitwani
Ukweli ni kwamba funga ya arafa unahusiana na siku ya arafa na siku ya arafa inahisiana na eneo la arafa, haihitaj PHD wala D mbili kuwa tunafunga arafa ili kujinasibisha wale walioko kwenye viwanja vya arafa, MUOGOPEN MWENYEZIMUNGU Mnawalisha watu matango pori kisa kuogopa wanaadamu, hivi kwa mfano mtume angekuepo hadi leo nyie wandengeleko wa bongo msingekuwa mnafunga na kufungua kwa tarehe ya Saudi 🇸🇦?
HUO NDIO UHAKIKA
Arafa nijumamosi
Ww muibadhi achakupotosha ww waulizen Tu munataka hamuutaki au ilemulokuwamukisemani haki mukatupigisha mabomu na vigongo bure Leo iyohakiyenu mumeinyamazia Leo munapotosha
Msalafi hakanyagi ardhi yoyote ila atainajisi kwa fitna yake
Qarne 14 watu walikuwa kitu kimoja kwenye jambo hilo kwa kufuata muandamo wao mpaka walipokuja mawabi ndio wakafaraqanisha waisilam
Mtume alisema fitna na Shetani atatokea Najd na huko ndio alipotokea Muhammad Abdulwahab na ndio Imam wa kiwahabi kwa hivyo kila anaefata uwahabi ni fitna na ushetani kuwakufurisha waislam.
Hakika
Na nyie mnaopiga ngoma nakukta viuno na dad zenu kwenye madufu sio mashetan
@@user-ee2wd3fv1s
Wafanyao hivyo ni waovu sana lakini uovu wa masalafi ni mkubwa zaidi kupita hao . Ingawaje mimi sijapata kuwaona watu kama hao ulio wataja wewe
Saladi hawajui isipokuwa matusi
Sheikh anafafanua jadok raha
Sasa ikiwa tumeambiwa fungeni siku ya arafa siku ya arafa zipo ngapi?
Umeambiwa tazama mwezi usitazame tokea la maujaji
Siku ya arafa ziko 2 kula asubuhi na kula mchana siku ya Eid
Kuna funga ya arafa na kisimamo cha arafa.
Funga ya arafa ni mwezi tisa dhulhija inafungwa na waislam wa duniani kote kwa anae
taka (sunna).
Kisimamo cha arafa ni kwa waliokwenda kuhiji makka ktk milima ya arafa na kwa wakati maalum na inafanyika mwezi tisa dhulhija
Hapo ulipo (nchini kwako) mwezi ngapi muandamo? Km j.mosi mwei tisa dhulhija ulipaswa ufunge na j.pili usifunge mana ni haram kufunga siku ya mwezi kumii itakua siku ya eid ya kuchinja (sio eid lhaj)
Na km j.mosi mwezi nane basi j.pili mwezi tisa ufunge funga ya arafa
Usituletee paukwa pakawa hapa nyinyi na Saudi mumepishana masaa mangapi. Nyamaza kimnya usipoteshe watu hapa shekhe utakuwa wewe
Hata mimi sijaelewa hebu simama wewe ktk mimbari utuelezee arafa ni lini ili tuelimike.
Mabaradhuli ndio wanatukana kama wewe
Tusomeni Kuna sheikh na ustadhi
We hasa punguani kwani hizo line za nyakati amezichora nani mtume au Allah mpaka useme tumepishana masaa mangapi?
Sheikh hapa ambae hajaelewa haelewi kamwe japo wajinga wako wengi na mtume s.a.w.amesema mjinga ameshakufa kabla ya kufa kwake tatizo wajamaa wabish kama pili
Farid unataka nafasi ya soraga nini naona sasa unatami kusema wapigwe kama zamani mshachelewa watu sasa waelewa
Watu wanaongea maneno wewe unaleta ushoga
Wambie bac waache kura ya mapema...ili upatikane huo umoja unaousema.Dini sio msikitini tu kila penye harakati ya maisha inatakiwa dini iwepo na uadilifu uwepo.wee sheikh vip?
Likuli makaam makaal
Sasa una maanisha dunia ina siku mbili kitarehe sio
Saum ya Arafa ni siku nzima ya siku arafa sio kiamu ya Arafa pekee.
Dunia inaenda kwa hisabu za siku wa mwezi sio kwa jua ambayo jua lina mwacheya tauti hata hapo kwenu watu wa mjini hawawezi swali nyakati za swala kwa moja.
Pia suudia akikupangia hajji na wewe kwa mji wako hukuona mwezi kamili basi usiende maana wasema hukuona mwezi
Wewe mwehu hata hili hujui kwamba kuna tarehe 29 au 30
Mwehu ni wewe usiejielewa
Nimeuliza hiyo tarehe kama ni 29 kwenu huko muliko na suudia ni tarehe moja utafuata suudia kuja kufanya haja au utanngoja ukamilishe yako 30 ndio uje huku ufanye amali yako ya hijja utaweza
Hayo machweo nyakati na saa kakuchorea nani ni allah au mtume?
Shida sio.masaa ila tarehe
iwe tarehe sisi t waislamu tunatofautiana
Mm nauliza huyu sheikh endapo yuwatoka kwao alikouona mwezi kisha akaenda hijja atasimama arafa nawatu wa makkah au atafuata hisabu yake yakwao.sheikh ufahamu wako ni sufuri bin ziro.
Akienda hijja hafungi maana swaum ni kwa wale ambao hawako ktk ibada ya hijja. Ndugu yangu pinga hoja bila kumuita majina mabaya mwenzako nahii ni nasaha kwangu na kwako. Mungu akulipe kheri nyingi
Kuna watu hawafundishwi na wazeeisipokuwa matusi
Usimfuate kwa wewe nani jina kubwa fahamu huna mtumwa wa Mazayuni ni wewe ulokuwa hujui kufafanuwa
Kwan siku ya ukimwi dunian huwa wanashelehekea siku mbili au moja
Kwn iyo imokwenye dini
Kamaliza utata au kajimaliza mwenyewe
Ana ilmu ya kumzidi mtume huyo ?
Ambae alishabainisha kua la hajju arafa ??
Nyie watu wa ubwabwa mna mzaha sana na dini yetu
Mkiskia mtu anaongea kiarabu tu mnajua shehe
Zidanae nae anaongea kiarabu
Wewe ndio mboga unakunwa
@@user-og5vd9qu7r kwa matusi mko vizuri sana
Ni laana tu hizo
@@user-og5vd9qu7r kwa matusi uko vizuri
Wazee wako walikufunza vyema matusi
Huko mimi sikifundishwa
Wajinga wa jiografia ndo wanasema tarehe ni moja duniani. Nendeni shule acheni ubishi wa kijinga. Watu wanaposimama arafa pale saudia, wakati wa dhuhuri, kule uchina wanasali magharibi !!! Kwahiyo arafa ya china iwe usiku !!?? Acheni ujinga.😅😅😅
Hapo sasa 😂😂
Na wewe uko china.
Haijalishi nani atafata nani hafati muhimu ukweli na sheria inavotaka. Hakuna sheria inayotaka ufunge kwaajili yanchi mashkh wenyewe mashekh mnaootumika na serekali. Jambo hili lipo waziii mnooo shekh sema halafu tafuta maji unywee.
Shekhe umeisha tayar wamekuteks
Jela jela tuu anaadabu ss Yuko waz kupoteza watu
Lahaula walakuwta illa billah laaliyun ahdqiim
ushapewa pesa na mashia ww
Tushakushtukia sheh kwnza unaogopa yasije yakakukuta ya kipndi cha nyuma unaogopa watu kuliko mola wako na ushakuwa kibaraka wa mayahudi wa tz hatukufati tena hakuna arafa mbili wa hijjah ya sehemu nyingine zaidi ya Makkah
Ndugu yangu muislam unamkosea sana huyu matatizo aliyopitia hata wewe yanaweza kukutokea kwaio usimuhukumu kwa mitihani aliyopitia mbona wapo masheikh wengi wamezungumzia hili suala la arafa wewe km una hoja za kielimu zitoke sio kumkashifu lengo ni kuelimishana ndugu yangu sio kumzungumzia mambo yasiyo na maana na hili la kuita watanzania mayahudi umekosea sana Kwan hata wewe ni mtanzania tofauti zipo na zitakuepo wewe Baki na msimamo wako Allah atuongoze ktk haki
Sasa hayo ndio maneno ganiulioandika hapa acha chuki zako
Wewe hauelewi kiswahili sasa chuki ziko wp hapo niukweli
Wasitupotoshe
Acha kutokana watu, kama wewe huyataki hayo anayosema kaa kimya tu. Kwani hayo kayatoa akilini mwake au kanukuu fataawa za mashekh? Acha chuki binafsi
Swali Ni Kwamba Mbali Na Hawa Wanao Zozana Kwa Hoja Za vitabu Na dalili...Wewe Una ushahidi Gani kwenye msimamo yako..ama umekua Bendera wafata upepo
Mashaallah
Mashallah