MUHAMMAD BACHU APEWA SOMO KUBWA NA SHEIKH IZZUDIN ALWY JUU YA UFAHAMU WA FIQHI NA IBARA ZAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 июн 2024
  • SHEIKH IZZUDIN ALWY/ USIACHE KU SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YETU ALWIY MUHANNA KU LIKE, KU SHARE, NA KU COMMENT
    ALWY TV UKUMBUSHO KWA WOTE

Комментарии • 41

  • @Hafisa-ws8mw
    @Hafisa-ws8mw 10 дней назад +1

    Allah amuhifadhi sheikh Muhammad bachu

  • @M.Hassan-7
    @M.Hassan-7 16 дней назад +2

    أهلا وسهلا ومرحبا ❤❤❤

  • @user-lo1uk8dp5f
    @user-lo1uk8dp5f 9 дней назад +1

    Bacho mh majanga umaaarufu ausaka

  • @commandokhalidi5284
    @commandokhalidi5284 14 дней назад +1

    Allah akupe umri mrefu sheikh

  • @HamadZito
    @HamadZito 13 дней назад

    Shekhe wangu Allah ukuhifadhi

  • @zuberhamza7852
    @zuberhamza7852 14 дней назад

    Shukran sana Allah akubaariki shekh

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 15 дней назад

    Shuqran sheikh 💚

  • @SaidiMohamed-bj2wg
    @SaidiMohamed-bj2wg 14 дней назад +1

    Kama anahitaji kufaham engekua na adabu

  • @AlhajiMswaki-de3kb
    @AlhajiMswaki-de3kb 11 дней назад

    Muhammad bachu kichwa mtihan

  • @user-ze8rk9ye6r
    @user-ze8rk9ye6r 10 дней назад +1

    masufi ni mbwembwe tu zenu hamna chochte mjuacho,na ndio maana mkiwa katika munakasha mkijua hapa tutabanwa mwaanza usumbufu ili mradi tu msifikie kwenye kibano mshajulikana kitambo masufi

  • @IssaRashidi-zo6tg
    @IssaRashidi-zo6tg 13 дней назад

    HUYU NI SHEIKH SIO MTOA MAWAIDHA WENGINE NI WATOA MAWAIDHA KUNA TOFAUTI KATI YA KUZUNGUMZA NA KUWA SHEIKH

  • @mahadhikawia3610
    @mahadhikawia3610 14 дней назад

    Huu ni mtihani kweli,ananikumbusha maneno ya mchungaji 'mzee wa upako ' Anthony Lusekelo ,ambaye siku hizi amekiri na anatangaza waziwazi kwamba Mungu yuko mmoja tu ! Wala Hana mtoto,na Yesu sio Mungu ! na akaendelea kusema ' wale wachungaji wanaotangaza Uungu wa Yesu Huwa wanapata Taabu Sana kukinaisha watu juu ya hoja zao ,Inawachukua muda mrefu kuelezea watu uelewa huo,kama safari ya Dar to Dom. Ndivyo nilivyomuona Sheikh Izzuddin .na Mbaraka Awesu wanapata taabu sana kutenganisha Arafa Swaumu na Arafa Hajji.. mimi nakushauri sheikh wangu Usiende kwenye mjadala na Bachu juu ya Jambo Hilo .

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 13 дней назад

      Ww wacha ujinga hawa wanao dalili ww na bachu munao dalili na mashekhe wenu wa kiwahabi wanakataa kufuata saudia alafu unaleta mambo ya paster ww Huna akili sasa kama kweli bachu ajee akae kwenye meza afundishwe fikii hadithi munkar tu hajui wanazuoni wasemaje kuhusu hadithi munkar akashindwa kujibu ww wahabi tu kazi yenu kumzushia mtume s a w

    • @mahadhikawia3610
      @mahadhikawia3610 12 дней назад

      @@saba-gv3mj kama kisha Cha Nabii Musa na wanawaIsrael , waliambiwa kwa kifupi tu , mchinjeni ng'ombe, Lakini wakaleta mashauzi kibao kama nyie , mwishoe wakaibukia kutakiwa wamchinje ng'ombe wa Njano, umeshawahi kumuona ng'ombe wa manjano wewe, we Huogopi ?. Sheikh Mselem anakuulizeni , kwa mfano mtume saw angekua yupo hai huko makka au Madina hivi sasa . na anatamka Hijja ni Arafa na akaifanyia kazi. Nyie mngebakia na tarehe 9 zenu au mngemfuata yeye ?. Hivi sasa masufi mmegawanyika wapo wanaoelewa na wale mukallid a'amaa- wale ' tuwaache masheikh zetu? Haiwezekani ' matusi sio Hoja, Muflis.

  • @NMJAsaid
    @NMJAsaid 14 дней назад

    Hamna hoja

  • @NassorHassan-no1cr
    @NassorHassan-no1cr 14 дней назад +3

    Bachu nyie humumuwezi

  • @SolomomAdams-pf5zy
    @SolomomAdams-pf5zy 12 дней назад

    Bachu anakurupuka saana na atazidi kugongwa saaana yaani huwa anaonyesha yeye ndiyo kipimo karibu Manyema usome

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 День назад

    Sasa mm nlivyomfaham sheikh cjui km yy kajifahammm🤔 kasema miez itofautiane masiku yote sawa lkn ikifika hijjah uzingatiwe mwez mahala hapo sasa kwa hivyo sote tunatakiwa kufuat huko au vp??‽?

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja 11 дней назад

    Tuweni na hishimaa tusitukanea mashehea tuateni ushapikii msomaji maulidi akisoma hawi kafiri na ambao hasomi maulidi pia hawi kafiri shahada yetu ni moja Shia ndio kafiri watu kana maswahaba na ummuil muminina

  • @shadhilfaki1457
    @shadhilfaki1457 14 дней назад +3

    Basi hiyo fiqhi unayo ww tuu kesha kijibuni kupitia vitabu vya maulamaa wengine maana mnapenda ubishani mkikosolewa jambo, watu wanataka kujua hakhi ilipo wafuate ww washabihisha watu kila Mtu Awe na misimamo wake

    • @salehothman6144
      @salehothman6144 14 дней назад

      Tujaribu kuwa na nidham kwa wanazuoni wetu,tusijibu km tunawajibu marafiki zetu

    • @user-fy4op1sw2f
      @user-fy4op1sw2f 12 дней назад

      Huyo ni shabiki wa bachu

    • @chancelorharubu2731
      @chancelorharubu2731 10 дней назад

      Elimu si ndio hiyo inatolewa,na vitabu ndio ivoivo vya akina ibn thymin,akina imam hambar,na wao wanasema kua kila watu wafunge kulingana na muandamo wakwao,sasa wao ndio wtuambie huo mwez wa kimataifa ni hadith gani au qur an gani ilioelekezaa

    • @JumaHUssi
      @JumaHUssi 9 часов назад

      Kwenye masuali ya dini acha ushabiki, kwanza tafuta elimu kwanza. Sio tu kwa sababu kasema fulani, wewe unaridhika nayo.

  • @genius0045
    @genius0045 13 дней назад

    This Sheikh KASUKU doesn't know anything about Islam, but he knows everything about Sufism.

    • @AbdallaMwagora-sm1rj
      @AbdallaMwagora-sm1rj 13 дней назад

      Ww umechanganyikiwa uwahabi umekuvaa.mnakataa hata fatawa za sheikh wenu uthaymain.mnae mtegemea mpotevu mwenzenu.

    • @SolomomAdams-pf5zy
      @SolomomAdams-pf5zy 12 дней назад

      Kaka unajiumiza kichwaa waache tuu hao wanaelewa ukweli but fuluus

  • @salehthesword
    @salehthesword 13 дней назад +1

    Wapi aliposema Ibn Taimiyah "Haifai kabisa kufuata Saudi kama wewe haupo Saudi" wapi aliposema kauli hiyo shee kidevu chachandu?

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 13 дней назад +2

    Ww hizudini mtu wa bidaa😂😂 umuwezi bachu utasumbuka bure yule kijana simba wa khurafi

    • @KomoraMohamed
      @KomoraMohamed 10 дней назад

      Ashaonekna bachu ni zuzu kiilmu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 10 дней назад

      @@KomoraMohamed zuzu kweli zianawanduwa makhurafi na ushirikina mnaofanya na uzushi alompandisha Allah huwezi mshusha kaka Allah anamuinua amtakae na humshusha umtakae

    • @KomoraMohamed
      @KomoraMohamed 10 дней назад

      @@user-yj5on8cz3e bachu ni kikojozi tu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 10 дней назад +1

      @@KomoraMohamed utakwenda kuulizwa uthibitishe hilo roho zinawauma kwavile anapinga uzushi na ushirikina munaofanya wa kuabudia makabuli hamumuwezi kamwe Allah anazidi mbariki na kukomesha makhurafi wa kisufi

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 10 дней назад

      @@KomoraMohamed towa hoja za msingi so matusi kama matusi ashatukanwa sana na hata mtume wakati analingania alikutana na mitihani ya kutukanwa ndo ilivyo watu wakiwa wapotevu ukija wabainishia kweli utasemwa vibaya utatukanwa utafanyiwa njama mbali mbali kila aina ya majina mabaya utapewa akuna kipya so wakwanza yeye kutukanwa