ALLAH awafanyie wepes wote waliofanya harakati na huyo aliyetoa kiwanja na kutoa elfu50 ya kenya na kuuza boti yake ALLAH amuingize katika pepo yake ya firdaus yeye na Ahli zake
Wallah kuna watu wanamapenzi sanaaaaa na dini hii naomba niulize elfu 50 za Kenya kwa Tanzania nisawa na beigani . wallah huku kwetu tuna doneshen ya kila swala huu nimwaka wa 5 masjid ikovilevile, wallah nimejiskiya vizuri sana mskiti unajengwa ndani yasiku moja hii ninguvu ya imani watu waliyokuwanayo Insha Allah Allah akuongozeni hilijambo liwejepesi mbele yenu 😭
@@NoorAli-vj4gn Allaahuakbar amakweli watu wapambaniya dini wapo M1 takriban unatuwa kwaajili ya Allah nivipi Allah atakulipa watu wanatengeneza Akhera yao masha Allah
Yani Allah awaongoze sheikh anapigania kheri unamwambia ana laana utamjibu nini Allah siku ya siku? Tubu kwa Mola wako.ukija kuijua haki utalia rohoni kama wewe ni mmoja ulochangia kuiridisha nyuma dini yetu.Allah akuongoze.Allah amplipe kheri sheikh wetu na wengne.
Changieni maneno ya kiislamu ambayo huwa ni mazuri hata kama una wazo tafauti.Matusi,kulaani,kuitana majina mabaya na mfano wa haya yote hayakubaliki kabisa.Ushabiki na jazba tuepukane nayo. na
ALLAhu mustaani wew unajitihada gani katika dini hiii ya uislam mpaka umpe laana mwenzako je unajua maana ya laana unajua wameongoka wangap kupitia yeye ALLAhu mustaani yaan tubia Sana tubia
Leo umeenzi sauti ya marehemu baba mashaallah allah akuhifadhi sheikh bachu na ampe shufaa na amfanye miongoni mwa watu wa peponi sheikh nassor bachu 🤲🤲🤲🙏
Wewe umefukuzwa kwenu zanzibari umefungiwa misikiti yote huko huna ruhusa kuzungumza kitu kwa sababu ya fitna yako kwa hivo kufungiwa msikiti bajunini siajabu na nihaki wakufukuze, wabajuni wasema kikuu hukuwa kwao lakini kweni huku kuwa sababu walikuona huna thamani huna maana zaidi ya kufitini ummah,
Acha upumbavu ww, huyo hajafukuzwa Zanzibar, amezuiliwa tu kwa muda kutoa daawa, na walio mzuia ni Watu wa Bidaa wasio taka kuambiwa ukweli, ila siku zote Haqi huwezi kuizuia , amezuiliwa huko lkn bado anaendeleza daawa, hata itokezee na huko Kenya wamzuie basi bado atapata sehemu nyengine iliyo bora zaidi na kuendeleza daawa kwa uwezo wake Allah
Twawapongeza wabajuni kumfukuza nakumfurusha huyu fattaan pamoja na makhawaarej wenzake msikitini kama alivo fukuzwa nakufurushwa huko kwao zanziba na tanzaniya kwa ujumla,
Dah yaan hapa shekhe bachu hajapigwa kabisa yaan anaongea kama baba yake Allah akulinde shekhe Muhammad bachu
Aliitwa simba wa mimbari
Mashallah Tabarakallaah Shekh Mohammad Allaah akuhifadh, namuomba Allaah amsameh na amrehem mwali wangu Shekh Nassour Bachu
Amen yaa rabbi 🤲🤲🤲
Kabisaa
❤
Allah atawalinda In Shaa Allah
Masha Allah
❤❤❤❤❤❤
Shehe nasoro bashu mwenyewe
Naaam
mashallah ALLAH atuongoze kazi nzuri na SAUTI KAMA MZEE WETU MASHALLAH
Kuzuiliwa kwenu misikiti ndo kumeleta kheri hiyo sasa tumepa msikiti wetu ......walozui ndo wa
ALLAH awafanyie wepes wote waliofanya harakati na huyo aliyetoa kiwanja na kutoa elfu50 ya kenya na kuuza boti yake ALLAH amuingize katika pepo yake ya firdaus yeye na Ahli zake
Ameen
Ameen
Ameen
Ameen
Allahumma Aamiin
Mwanaharakati sana Muhammad bacho MASHAALLAH ALLAH akuhifadhi sheikh
Wallah kuna watu wanamapenzi sanaaaaa na dini hii naomba niulize elfu 50 za Kenya kwa Tanzania nisawa na beigani . wallah huku kwetu tuna doneshen ya kila swala huu nimwaka wa 5 masjid ikovilevile, wallah nimejiskiya vizuri sana mskiti unajengwa ndani yasiku moja hii ninguvu ya imani watu waliyokuwanayo Insha Allah Allah akuongozeni hilijambo liwejepesi mbele yenu 😭
Ni takriban million moja
@@NoorAli-vj4gn Allaahuakbar amakweli watu wapambaniya dini wapo M1 takriban unatuwa kwaajili ya Allah nivipi Allah atakulipa watu wanatengeneza Akhera yao masha Allah
Ustadh ungeeka number ya mpesa ili pia anae waza hata na 100 achangie in Sha allah
Sheikh ameeka no apo kwa vedio @@sierabravo848
MaashaAllah
Daah Namuona nassor bachu kabisa. ALLAH AMREHEM MZEE WETU
kabisa ndugu yangu KWANZIA DAKIKA 5:21 ndio kabisaaaaaaaa MZEE WETU, SHEIKH WETU NASSOR BACHU KABISAAAAA ALLAH AMRAHAMU AMEEN
Aamiin
Yani Allah awaongoze sheikh anapigania kheri unamwambia ana laana utamjibu nini Allah siku ya siku? Tubu kwa Mola wako.ukija kuijua haki utalia rohoni kama wewe ni mmoja ulochangia kuiridisha nyuma dini yetu.Allah akuongoze.Allah amplipe kheri sheikh wetu na wengne.
Aamiin
Amemrudi baba kabisa mashallah sauty mle mle
Uhakika
Kabisa❤
MaashaAllah kweli kabisaa
Inshallah tutachangia kwa ajili ya allah
Dah mtihani unamwambia mwenzio Ana laaana jamani mbona koment sio lazima kuandika allwa akuhifadhi shekhe nasi wote atuhifadhi
Aamiin
Allah awalipe kher
Baaraka llahu fik
Cc tunataka miongozo ya dini mashekhe
Allahu akbar ❤❤❤
Inshallah
Namiimi shehe nijitileye?
Allah afanye wepesi
Aamiin
Ni bora uachiwe km ulivo kwa sababu wewe ni wahabi na mawahabi ni wakristo no 2
Astaghfirullah, na siku ya Qiyama uende ukathibitishe Ukiristo wao InshaaAllah
MaashaAllah
Maashallah, may Allah helps us in each corner. Ameen
Insha Allah tutachangia kwa kudra za Allah
Changieni maneno ya kiislamu ambayo huwa ni mazuri hata kama una wazo tafauti.Matusi,kulaani,kuitana majina mabaya na mfano wa haya yote hayakubaliki kabisa.Ushabiki na jazba tuepukane nayo.
na
Nambiya kakazangu nifanye aje?
ALLAhu mustaani wew unajitihada gani katika dini hiii ya uislam mpaka umpe laana mwenzako je unajua maana ya laana unajua wameongoka wangap kupitia yeye ALLAhu mustaani yaan tubia Sana tubia
Leo umeenzi sauti ya marehemu baba mashaallah allah akuhifadhi sheikh bachu na ampe shufaa na amfanye miongoni mwa watu wa peponi sheikh nassor bachu 🤲🤲🤲🙏
Mumeona eeeh 😂😂😂😂
In Sha Allah kwa Taufiq yake Allah msikiti utakamilika
Yes hiyo ndio kazi inatakiwa ufanye sio minakasha isiojenga
Ww Jabir wacha kukejeli viongozi wa dini kuwa na heshima
Ukituma pesa kwenye namba hizo linakuja jina gani?
Akhy muhammad bachu . mbona wamuita allah mwenyezimungu hili jina kimethibiti kwa dalili maana majina ya allah niyaletuu yaliyokuja kwa dalili
Fatilia kauli za ulamaa juu ya hilo
MASHAA ALLAH ALLAH awafanyie wepesi
Wewe umefukuzwa kwenu zanzibari umefungiwa misikiti yote huko huna ruhusa kuzungumza kitu kwa sababu ya fitna yako kwa hivo kufungiwa msikiti bajunini siajabu na nihaki wakufukuze, wabajuni wasema kikuu hukuwa kwao lakini kweni huku kuwa sababu walikuona huna thamani huna maana zaidi ya kufitini ummah,
Zizie
Acha upumbavu ww, huyo hajafukuzwa Zanzibar, amezuiliwa tu kwa muda kutoa daawa, na walio mzuia ni Watu wa Bidaa wasio taka kuambiwa ukweli, ila siku zote Haqi huwezi kuizuia , amezuiliwa huko lkn bado anaendeleza daawa, hata itokezee na huko Kenya wamzuie basi bado atapata sehemu nyengine iliyo bora zaidi na kuendeleza daawa kwa uwezo wake Allah
Hivi haqqi ndivyo ilivyo
حياك الله ورعاك يا غاليا
Twawapongeza wabajuni kumfukuza nakumfurusha huyu fattaan pamoja na makhawaarej wenzake msikitini kama alivo fukuzwa nakufurushwa huko kwao zanziba na tanzaniya kwa ujumla,
Chunga sana n ulimi wako mrefu huo ... Ivi ww unajiona una hekma n matusi hayo yanayokutoka kma jike lisilokuwa n maana
Fattan n ww , mnafiq mkubwa
Ww unae jiita AbubakarAli Allah akuongoze maana waongea tu kama mlevi
Agh bc mm mesem huyu ni mzee nassor bachu mashaallah
Allah awahifadhi vipenz vyetu
Aamiin
Na bado
Bado nin?
Furahia sasa lakini qiyama utajuta, hata usirudi nyuma, endelea kutetea bid'a na ushirikina na upotovu na utariiqa wako lakini majuto iko mbele yako
@@mohagurey2214 huyo JABIR Hana Akili Yani kama anazo ni mbili tu
Bacju piga kelele kisha ukalale
Qiyama ndio utajuwa upotovu wenu
Allah akutoe katika Bidaa kwa rehma zake
Ww bachu unalana huwezi kukubalika popote umeshajulikana ww umpotoshaji tu na huo nimwanzo tu mengi yanakuja
Hasad mbaya kakupotesha lini wacha chuki huyu ni Simba wa Allah
@@KhamisHaroub-uj5ciLETE ISTIQHFAAR kabla ya kifo chako.
Wewe unarohombaya au ni katika mashia au jitu la bidaah ndiomaana unachuki Na ustadh Muhammad bachu mche Allah na ukae kwenye njia ya sawa
Wallahi bilahi talahi maneno hayo utajuta siku ya qiyama, fanya haraka kutubu na kuomba msamaha huyo ustadh
Ww unamwambia sheikh analaana ww unajijua ila sheik al akhi sheikh muhmmad bachu si mjinga km ww ikipata hi huwenda akakusamehe maana ww hujijui