ANGALIA WATU WA KIJIJI CHA SHANGA SHAKANI WALIVOCHANGIA MSKITI MPYA || Muhammad Bachu 24/6/2024.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 96

  • @mariamshaban4518
    @mariamshaban4518 3 месяца назад +12

    Dah yaan hapa shekhe bachu hajapigwa kabisa yaan anaongea kama baba yake Allah akulinde shekhe Muhammad bachu

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 3 месяца назад

    Allah atawalinda In Shaa Allah

  • @AbdillahSalum-mg3yp
    @AbdillahSalum-mg3yp 3 месяца назад

    Masha Allah

  • @ummu_uthaymeen
    @ummu_uthaymeen 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @shaamefaki5013
    @shaamefaki5013 3 месяца назад +2

    Shehe nasoro bashu mwenyewe

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 3 месяца назад +1

    Naaam

  • @abubakarwazir5572
    @abubakarwazir5572 3 месяца назад +5

    mashallah ALLAH atuongoze kazi nzuri na SAUTI KAMA MZEE WETU MASHALLAH

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 3 месяца назад +4

    Kuzuiliwa kwenu misikiti ndo kumeleta kheri hiyo sasa tumepa msikiti wetu ......walozui ndo wa

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 3 месяца назад +7

    ALLAH awafanyie wepes wote waliofanya harakati na huyo aliyetoa kiwanja na kutoa elfu50 ya kenya na kuuza boti yake ALLAH amuingize katika pepo yake ya firdaus yeye na Ahli zake

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 3 месяца назад +5

    Mwanaharakati sana Muhammad bacho MASHAALLAH ALLAH akuhifadhi sheikh

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 3 месяца назад +5

    Wallah kuna watu wanamapenzi sanaaaaa na dini hii naomba niulize elfu 50 za Kenya kwa Tanzania nisawa na beigani . wallah huku kwetu tuna doneshen ya kila swala huu nimwaka wa 5 masjid ikovilevile, wallah nimejiskiya vizuri sana mskiti unajengwa ndani yasiku moja hii ninguvu ya imani watu waliyokuwanayo Insha Allah Allah akuongozeni hilijambo liwejepesi mbele yenu 😭

    • @NoorAli-vj4gn
      @NoorAli-vj4gn 3 месяца назад +1

      Ni takriban million moja

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 3 месяца назад +1

      @@NoorAli-vj4gn Allaahuakbar amakweli watu wapambaniya dini wapo M1 takriban unatuwa kwaajili ya Allah nivipi Allah atakulipa watu wanatengeneza Akhera yao masha Allah

    • @sierabravo848
      @sierabravo848 3 месяца назад

      Ustadh ungeeka number ya mpesa ili pia anae waza hata na 100 achangie in Sha allah

    • @soffiscarlett9702
      @soffiscarlett9702 3 месяца назад

      Sheikh ameeka no apo kwa vedio ​@@sierabravo848

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 2 месяца назад

      MaashaAllah

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp 3 месяца назад +6

    Daah Namuona nassor bachu kabisa. ALLAH AMREHEM MZEE WETU

    • @allybobsaith
      @allybobsaith 3 месяца назад +1

      kabisa ndugu yangu KWANZIA DAKIKA 5:21 ndio kabisaaaaaaaa MZEE WETU, SHEIKH WETU NASSOR BACHU KABISAAAAA ALLAH AMRAHAMU AMEEN

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 2 месяца назад

      Aamiin

  • @SaidAbdalla-gl2dp
    @SaidAbdalla-gl2dp 3 месяца назад +3

    Yani Allah awaongoze sheikh anapigania kheri unamwambia ana laana utamjibu nini Allah siku ya siku? Tubu kwa Mola wako.ukija kuijua haki utalia rohoni kama wewe ni mmoja ulochangia kuiridisha nyuma dini yetu.Allah akuongoze.Allah amplipe kheri sheikh wetu na wengne.

  • @zahranahmed1391
    @zahranahmed1391 3 месяца назад +5

    Amemrudi baba kabisa mashallah sauty mle mle

  • @wamiujizacholo7413
    @wamiujizacholo7413 3 месяца назад +4

    Inshallah tutachangia kwa ajili ya allah

  • @NurdiniThabit
    @NurdiniThabit 3 месяца назад +2

    Dah mtihani unamwambia mwenzio Ana laaana jamani mbona koment sio lazima kuandika allwa akuhifadhi shekhe nasi wote atuhifadhi

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 3 месяца назад +2

    Allah awalipe kher

  • @Muharram-c5n
    @Muharram-c5n 3 месяца назад +2

    Baaraka llahu fik

  • @AllyAme-h9e
    @AllyAme-h9e 2 месяца назад

    Cc tunataka miongozo ya dini mashekhe

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 3 месяца назад

    Allahu akbar ❤❤❤

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 3 месяца назад +2

    Inshallah

  • @shabankabarisa8785
    @shabankabarisa8785 2 месяца назад

    Namiimi shehe nijitileye?

  • @GhazalIsmail-v7t
    @GhazalIsmail-v7t 3 месяца назад +2

    Allah afanye wepesi

  • @OmarShela-p2z
    @OmarShela-p2z 3 месяца назад

    Ni bora uachiwe km ulivo kwa sababu wewe ni wahabi na mawahabi ni wakristo no 2

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 2 месяца назад

      Astaghfirullah, na siku ya Qiyama uende ukathibitishe Ukiristo wao InshaaAllah

  • @شيخنيف
    @شيخنيف 2 месяца назад

    MaashaAllah

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 3 месяца назад +1

    Maashallah, may Allah helps us in each corner. Ameen

  • @HakimRamadan-kl1hx
    @HakimRamadan-kl1hx 3 месяца назад +1

    Insha Allah tutachangia kwa kudra za Allah

  • @mzeerajab9154
    @mzeerajab9154 3 месяца назад

    Changieni maneno ya kiislamu ambayo huwa ni mazuri hata kama una wazo tafauti.Matusi,kulaani,kuitana majina mabaya na mfano wa haya yote hayakubaliki kabisa.Ushabiki na jazba tuepukane nayo.
    na

  • @shabankabarisa8785
    @shabankabarisa8785 2 месяца назад

    Nambiya kakazangu nifanye aje?

  • @mahamoddales4443
    @mahamoddales4443 3 месяца назад

    ALLAhu mustaani wew unajitihada gani katika dini hiii ya uislam mpaka umpe laana mwenzako je unajua maana ya laana unajua wameongoka wangap kupitia yeye ALLAhu mustaani yaan tubia Sana tubia

  • @Bombwejr18
    @Bombwejr18 3 месяца назад

    Leo umeenzi sauti ya marehemu baba mashaallah allah akuhifadhi sheikh bachu na ampe shufaa na amfanye miongoni mwa watu wa peponi sheikh nassor bachu 🤲🤲🤲🙏

  • @soffiscarlett9702
    @soffiscarlett9702 3 месяца назад

    Mumeona eeeh 😂😂😂😂
    In Sha Allah kwa Taufiq yake Allah msikiti utakamilika

  • @NassorroButcher-cu3pg
    @NassorroButcher-cu3pg 3 месяца назад

    Yes hiyo ndio kazi inatakiwa ufanye sio minakasha isiojenga

  • @eddybazungu1612
    @eddybazungu1612 3 месяца назад

    Ww Jabir wacha kukejeli viongozi wa dini kuwa na heshima

  • @RAMADHANIJUMA-t8p
    @RAMADHANIJUMA-t8p 3 месяца назад

    Ukituma pesa kwenye namba hizo linakuja jina gani?

  • @Swalaha
    @Swalaha 3 месяца назад

    Akhy muhammad bachu . mbona wamuita allah mwenyezimungu hili jina kimethibiti kwa dalili maana majina ya allah niyaletuu yaliyokuja kwa dalili

    • @ABUUBAAZNYUNGU
      @ABUUBAAZNYUNGU 3 месяца назад +1

      Fatilia kauli za ulamaa juu ya hilo

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 3 месяца назад

    MASHAA ALLAH ALLAH awafanyie wepesi

  • @abubakarali9330
    @abubakarali9330 3 месяца назад

    Wewe umefukuzwa kwenu zanzibari umefungiwa misikiti yote huko huna ruhusa kuzungumza kitu kwa sababu ya fitna yako kwa hivo kufungiwa msikiti bajunini siajabu na nihaki wakufukuze, wabajuni wasema kikuu hukuwa kwao lakini kweni huku kuwa sababu walikuona huna thamani huna maana zaidi ya kufitini ummah,

    • @soffiscarlett9702
      @soffiscarlett9702 3 месяца назад

      Zizie

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 2 месяца назад +1

      Acha upumbavu ww, huyo hajafukuzwa Zanzibar, amezuiliwa tu kwa muda kutoa daawa, na walio mzuia ni Watu wa Bidaa wasio taka kuambiwa ukweli, ila siku zote Haqi huwezi kuizuia , amezuiliwa huko lkn bado anaendeleza daawa, hata itokezee na huko Kenya wamzuie basi bado atapata sehemu nyengine iliyo bora zaidi na kuendeleza daawa kwa uwezo wake Allah

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 3 месяца назад

    Hivi haqqi ndivyo ilivyo

  • @abdulrazaqsaidi556
    @abdulrazaqsaidi556 3 месяца назад +2

    حياك الله ورعاك يا غاليا

  • @abubakarali9330
    @abubakarali9330 3 месяца назад

    Twawapongeza wabajuni kumfukuza nakumfurusha huyu fattaan pamoja na makhawaarej wenzake msikitini kama alivo fukuzwa nakufurushwa huko kwao zanziba na tanzaniya kwa ujumla,

    • @soffiscarlett9702
      @soffiscarlett9702 3 месяца назад +1

      Chunga sana n ulimi wako mrefu huo ... Ivi ww unajiona una hekma n matusi hayo yanayokutoka kma jike lisilokuwa n maana

    • @soffiscarlett9702
      @soffiscarlett9702 3 месяца назад +1

      Fattan n ww , mnafiq mkubwa

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 2 месяца назад

      Ww unae jiita AbubakarAli Allah akuongoze maana waongea tu kama mlevi

  • @abdallahhamad8808
    @abdallahhamad8808 3 месяца назад +1

    Agh bc mm mesem huyu ni mzee nassor bachu mashaallah

  • @hassaniissa4085
    @hassaniissa4085 3 месяца назад

    Allah awahifadhi vipenz vyetu

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw 3 месяца назад

    Na bado

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 3 месяца назад

      Bado nin?

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 3 месяца назад +2

      Furahia sasa lakini qiyama utajuta, hata usirudi nyuma, endelea kutetea bid'a na ushirikina na upotovu na utariiqa wako lakini majuto iko mbele yako

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 3 месяца назад +2

      @@mohagurey2214 huyo JABIR Hana Akili Yani kama anazo ni mbili tu

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw 3 месяца назад

    Bacju piga kelele kisha ukalale

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 3 месяца назад +2

      Qiyama ndio utajuwa upotovu wenu

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 2 месяца назад +1

      Allah akutoe katika Bidaa kwa rehma zake

  • @MaalimKhatib
    @MaalimKhatib 3 месяца назад

    Ww bachu unalana huwezi kukubalika popote umeshajulikana ww umpotoshaji tu na huo nimwanzo tu mengi yanakuja

    • @KhamisHaroub-uj5ci
      @KhamisHaroub-uj5ci 3 месяца назад +6

      Hasad mbaya kakupotesha lini wacha chuki huyu ni Simba wa Allah

    • @DR.SAIFILLAH.5363
      @DR.SAIFILLAH.5363 3 месяца назад +3

      ​@@KhamisHaroub-uj5ciLETE ISTIQHFAAR kabla ya kifo chako.

    • @AbubakarAlly-th6op
      @AbubakarAlly-th6op 3 месяца назад +7

      Wewe unarohombaya au ni katika mashia au jitu la bidaah ndiomaana unachuki Na ustadh Muhammad bachu mche Allah na ukae kwenye njia ya sawa

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 3 месяца назад +5

      Wallahi bilahi talahi maneno hayo utajuta siku ya qiyama, fanya haraka kutubu na kuomba msamaha huyo ustadh

    • @allyjuma9669
      @allyjuma9669 3 месяца назад +5

      Ww unamwambia sheikh analaana ww unajijua ila sheik al akhi sheikh muhmmad bachu si mjinga km ww ikipata hi huwenda akakusamehe maana ww hujijui