Ufunuo Choir - Malaika (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 14 май 2024
- Stream And Download Ufunuo Choir Audios on all Platforms
Boomplay:www.boomplay.com/albums/80176...
Audiomack:audiomack.com/ufunuo-choir/al...
Sportify:open.spotify.com/album/4MLJ2e...
Deezer:deezer.page.link/zfpqMWGgsVrf...
Amazon Music:amazon.com/music/player/album...
For Booking Contact Ufunuo Choir
Phone:+255684479638
Email: ufunuoc@gmail.com
Video by :Amigo
Composer:Emmanuel Deus
Producer: Ferick Masanja
Catch up with Ufunuo Choir on Social Media
Instagram: / ufunuo_gospel_choir
Tiktok:www.tiktok.com/@ufunuo_gospel...
Ufunuo Choir is Live Chat With Me Now🎉
We need shauri song video
Keep tune soon it will be available
Mimi sio mkirsto lakini hii kwaya naipenda sana mnaimba vizur sana nyimbo zenye ujumbe Mungu azidi kuwainua
Karibu sasa- rasmi uwe mkristo🙄🙄
Amen @suleimanjuma3011 nakuombea neema ya kristo ikufikie hapo ilipo ili siku Moja upate wokovu
Amen
Karibu kwa Yesu kuna makuu kuzidi uimbaji
Kama kuna mtu anasikiliza huu wimbo na vinyweleo vinasimama tujuane hapa jamani.! waaaaaaaa.! Amazing....!
Oya wakuu mwenye anaamini Kama mm hili songi lita be performed siku ya parapanda gonga like apa🙏🏽❤️🤗💪🏽
Da! Huu wimbo unanifanya vinyweleo vinasimama. Uuuuuuwiiiii! Sijui kama kuna mtu anasikia kama mimi.! Amazing!
Tunaomba video wimbo Nimekukimbilia Bwana tunabarikiwa Sanaaa Maisha yangu ni Mungu anatenda.❤
Inspirational songs of another level,God bless ufunuo choir,that they kip spreading gospel
Aiseee hii choir ni noma sanaaa.wanaimba had unasisimka moyo
Mungu awabariki kwa huduma! Nzuri.
I feel the song deep down my heart flowing in my blood. Thank you God , bless them for me 🎉❤
Nawapenda mm na familia yangu
God bless you sana Tena sana.am blessed!
Safi sana wimbo mzuri
The best choir in Town
Iam in Kenya lakini kwa kweli nyie ni wa baraka kwa kizazi hiki,nyimbo zenu zinaupako na Roho Mtakatifu anadhihirika ndani ya nyimbo
Napenda sana nyimbo zenu MUNGU Awabariki
Wema da
Amazing song ,Mambo ni 🔥ufunuo choir
Shalom shalom. ❤❤❤❤
Barikiweni sana sana mtunzwe kwaajili yangu na familia yangu mmekuwa Baraka sanaaaaaaaa 🙏🙏🙏
Hakika nawapenda sana uimbaji wenu una uwepo wa Mungu. Mzidi kusonga katika Yesu
Amen Endelea kushare nakufurahia Wimbo Huu
Mungu azidi kujitwalia utukufu kupitia ninyi, kunyenyekea ni Jambo muhimu kumbukeni hilo 🙏
You're blessed dearest
Wow wow wow hizo vocals! Simply out of this world. Mungu azidi kuwabariki Leo kesho na mtondogooo.
Mna sauti nzuri na maneno ya kubariki kwa kweli.Mungu awabariki.Upendo nyingi mno toka 🇦🇺 na 🇰🇪
The choir always delivering it greatly.
The Keyboardist.... kudos..
Doing it with much passion.❤️🔥🔥🔥
Amen
Ningekuwa na uwezo nijeniwaone tu anakwama maana namwona munguakitenda makubwa kupitia nyimbo zenu mbarikiwe sana ila ipo siku
Nyimbo nzuri zinanibariki sana moyo wangu unakuwa na amani . Mungu awabariki sana
Wau these ladies! God bless you. Amazing vocals
Waooooooo combination nzuri kwa hao wa Mama MUNGU awabariki mno
Amen
My goodness! You all need an AC unit in the sanctuary!
God is good
Hallelujah hakika Yesu ni mfalme mkuu❤❤
Hallelujah Hallelujah hallelujah 🔥🔥 Asanteni ufunuo Kwa zawadi hii ya Baraka❤Nimebarikiwa
AMINI TU. ndio mbengu ya mwokovu,
Nawabariki sana. Juu juu juu zaidi
Hadi mwili unasisimka kwa ukuu wa mungu walionao wapendwa wabwana mungu awalinde kwa ajili yangu na yetu sis sote😘😘
Hongereni Wapendwa Mnaimba Vizuri sana, MUNGU Azidi kuwainua juu tena juu zaidi❤
Kweli sauti ninzuri maneno yanatoka katika kitabu cha mungu mmenibariki na mubarikiwe na uimbaji wenu umetukuka
Wanasauti znafanana solorist i love it vibonge saut zmekaaa❤💪 Mungu aendeelee kuwainuaa🙏
🌹🌹 yenuu
Niliwamiss sana baada ya mwanamke rada, maisha yangu hakika mmerejea na malaika Mungu awabariki kwa kazi nzuri
Ufunuo choir, nyinyi ni wa baraka sana.
Amen
AMINI TU. ndio mbengu ya mwokovu. Nawabariki sana. Juu juuu juuu zaidi
❤❤❤❤❤❤❤kila ninapokuwa na wakati mbaya nafarijika sana na hii huduma
Mungu awabariki sana
Je vous aime énormement famille depuis Congo kinshasa 🇨🇩. Much love ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
Msusu
Mbarikiwe sana
How I love yuh ❤ sisemi.. keep on doing the work of God na ujira wenu mtalipwa na yeye
Nyimbo nzur kwel mungu awabariki
Ameen Ameen MUNGU azidi kuwainua kwaya ufunuo kutoka Kwa asikofu mkuu wa kanisa la ufunuo kimara bonyokwa
wimbo mzuri kwa kwel
Kilamkija mnakuja kwakishindo nakwanamna tofaut hakikamnajua naubunifu mnajua pia mungu awabariki
Tunashukuru sanaa
Wimbo wa maisha yangu kwa kweli hujaniachia kila wakati naimba moyoni mwangu
Hivi karibuni.kaa tayari
Mungu azidi kuwainua,,, mnatupatia Radha ya gosper yenyewe n
Mungu azidi kuwabariki. Kazi yenu ni njema sana.
Masororisti na wapenda sana
Aminaaa Kubwa
Amen
❤❤❤❤❤from🇰🇪.
Ur blessed&a blessing to us
Wimbo mzuri wenye sauti kuu🔥🔥🔥
Amen
❤❤❤❤
Amenaa
Amen
❤❤❤❤❤❤
Show me your choir,then I will show you mine❤.. ufunuo blessed and annointed vocalist choir
Amen Endelea kushare nakufurahia Wimbo Huu
🙏🙏🙏🙏
Baraka kubwa sana muna nijenga kiroho sana hapa Congo
Wow.....
You sing so well..
Much love from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
My All Time Choir ❤. Wow, Good voices. God Bless You All.
Keep listening and enjoying our songs
Mungu awabalik
My favorite song , Mungu awabariki sana
Amen
Bwana Yesu asifiwe kazi ni nzuri
Asante
Mungu azidi kuwabariki
Ameen Ameen
Team, you never disappoint, more grace🙌🙌🙌 ❤❤❤
Mwalimu Emmanuel Deus pamoja na timu nzima ya ufunuo nawapenda sana Mungu awatunze kwa kazikubwa mnayoifanya awakumbuke Mungu kwenyeufalme wake
Ahsante sanaaa
Asante
❤❤Kenyans let's show love
Mungu awabariki sn
jamani muweke feni za kutosha auu AC
watumishi wa Bwana jasho linawatesa…
Na hawana vile vitambaa vya kufutia majasho ambavyo wengine ni zugatu kumbe ni uchawi.
Kwakweli nawapenda sana❤❤
MUNGU wetu mkuu juu ya yote
Tunaisubilia Kwa ham nyimbo hiyo malaika
Endelea kushare nakufurahia Wimbo Huu
Mungu awabariki sana Kwa kazi nzuri
Amen
Step zenu nazipenda sanaa
Good
Thank-you
Nawapenda saan Mungu aendelee kuwatumia vyema
Endelea kushare nakufurahia Wimbo Huu Tunakupenda pia
Amen, Jesus reigns
Mungu awabariki sana sana
Amen
Glory to God🙌🙌🙏
tupo ndani
Yan m nimedanlod album nzimaa akii mnaweza❤❤
Mko Kanisa gani na liko wapi?
Haraka sana
Nime barikiwa sana
Jambo zuri na endelea kushare na wengine wabarikiwe zaidi
Utukufu kwa Mungu
Amen
Hivi mnafanya audition before mtu hajajiunga na kwaya yenu?Maana ukisikiliza kila mwimbaji hapo ana kipaji kilichopitiliza...!!Mungu aendelee kuwaweka hai tuendelee kufurahia vipaji alivyowapa
Amina Mungu akubariki
Mambo ya Kiroho huanzia Rohoni ndio yaje mwilini. Mungu ni Roho. Yohana 4:24
Glory to god🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amen
Now waiting for shauri video.
Hahahaaaaa
Mungu awabariki
Amina
Endelea kushare nakufurahia Wimbo Huu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Amen
🔥🔥
More bleasing....
Amen kk
❤