DK MWINYI AMALIZA TATIZO LA MAKAAZI KWA WAFANYAKAZI WA HOSPITAL YA ABDULLA MZEE PEMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #ikuluzanzibar #global #jifunze #wasafitv #juu #automobile #ayo #ktnnews

Комментарии • 11

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 2 месяца назад

    Hongera Dr Mwinyi yajayo yametima

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 месяца назад

    Hapo lazima wajuwe namna ya kutumia hizo machines kuwe na ma professional wa kazi hizo siyo kila nurse anaweza kutumia.

  • @suleimanmsalum
    @suleimanmsalum 3 месяца назад

    Safi sana ,,Ila tunaombwa na sisi ofisi za tawla za mikoa tuboreshewe

  • @atifsaid2608
    @atifsaid2608 3 месяца назад

    Hongera Sana Dr Mwinyi

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 2 месяца назад

    Mwinyi oyeee

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 месяца назад

    Bora mmevaa rangi nyengine. 😂😂😂😂 nafkiri Mazroui havai hata siku moja shati la CCM.

  • @HussainAbdallaAli
    @HussainAbdallaAli 3 месяца назад +1

    Mmmmmmmmm njaaa nayo umesema nae vipi kwanza watu wanatakiwa wale milo mitatu na sio milo t bali milo iliyokamlika sasa hizo nyumba hazitokuwa na thamani km njaa itaongezeka pemba pemba pemba tunakufa kwa njaa hali zetu sio rafiki hili sisi pia ndio janga kubwa linalotutesa

    • @saidmuhd611
      @saidmuhd611 3 месяца назад +2

      Si kazi ya Rais kugawa sahani za wali Kwa watu, muhimu watu wajitume, Kuna ardhi watu walime, Kuna bahari Kila Kona watu wavue serikali iboreshe mazingira ya maendeleo na ustawi wa watu kama haya.

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman 3 месяца назад

    Zikawe nyumba za Madaktar wala zisiwe za kila taasisi ya kiserikali kwa sababu anakaa mbali kupewa nyumba za madaktar na taasisi nyengine wajengewe zao kwa upande wao. Kusiwe na muingiliano wa taasisi.

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 3 месяца назад

    Mweheshimiwa Rais na nyumba za walimu hususan katika skuli zenye daghalia hazitoshelezi tunaomba kwa heshima zote umeanza na madaktari Sasa tuje kwenye nyumba za walimu