- Видео 29
- Просмотров 44 466
OFISI YA RAIS IKULU PEMBA
Танзания
Добавлен 16 июн 2022
Huu ni ukurasa rasmi wa habari zote zinazohusika na Ofisi ya Rais Ikulu Pemba.
# DK.MWINYI ANAENDELEA KUINUA VIPAJI KWA VIJANA
#wasafitv #ikuluzanzibar #global #juu #automobile #ayo #ayo
Просмотров: 116
Видео
DK.MWINYI MUARUBAINI WA MICHEZO ZANZIBAR
Просмотров 279День назад
#global #juu #jifunze #automobile #ikuluzanzibar #wasafitv
DK: MWINYI AWAPONGEZA WANAFUNZI WALIYOFANYAVIZURI
Просмотров 132Месяц назад
#wasafitv #ikuluzanzibar #ayo #jifunze #automobile #alhaji #zuchu #mpekuzionlinetv #mpenjatv
#DK.MWINYI ANAENDELEA KUIPAISHA SEKTA YA ELIMU ZANZIBAR
Просмотров 317Месяц назад
#wasafitv #global #juu #ayo #jifunze #automobile #alhaji #ikuluzanzibar
MAENDELEO YA DK.MWINYI YA WAVUTIA VYAMA VYA UPINZANI
Просмотров 911Месяц назад
#ikuluzanzibar #global #juu #jifunze #ayo #zuchu #wasafitv
DK.MWINYI ANGURUMAA KISIWA PANZA
Просмотров 1,5 тыс.Месяц назад
#wasafitv #global #ikuluzanzibar #ayo #jifunze #automobile #juu
KANGANI WAMUUNGA MKONO DK. MWINYI
Просмотров 1,2 тыс.Месяц назад
#wasafitv #global #ikuluzanzibar #ayo #jifunze #alhaji #miladrazaqadri #miladrazaqadri #juu #zuchu #ktv #jiti tv#mkaim #azam tv
AFISA MDHAMINI IKULU PEMBA AHIMIZA WATENDAJI KUFANYA KAZI
Просмотров 300Месяц назад
#wasafitv #global #ikuluzanzibar #juu #zuchu #alhaji #ayo
AFISA MDHAMINI IKULU PEMBA AMEWATAKA WASTAAFU KUWA MABALOZI WA KUTANGAZA MAENDELEO YA ZANZIBAR
Просмотров 2,3 тыс.Месяц назад
#global #gaming #ikuluzanzibar #jifunze #juu #wasafitv #wasafitv #alfatah #alhaji #automobile #automobile #elimubilamipaka
MAKABIDHIANO YA OFISI MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (eGAZ) PEMBA
Просмотров 872Месяц назад
#ayo #global #ikuluzanzibar #jifunze #wasafitv #juu #alfatah #alhaji #automobile #army
DK MWINYI AMALIZA TATIZO LA MAKAAZI KWA WAFANYAKAZI WA HOSPITAL YA ABDULLA MZEE PEMBA
Просмотров 5 тыс.2 месяца назад
#ikuluzanzibar #global #jifunze #wasafitv #juu #automobile #ayo #ktnnews
#ALHAJI DK. MWINYI NA MAMA MARYAM MWINYI WAFURAHIA IDDI MICHEWENI PEMBA
Просмотров 5823 месяца назад
#global #ikuluzanzibar #jifunze #juu #wasafitv #alfatah #miladrazaqadri #ayezakhan #ayo
#MAMA MARYAM MWINYI ATOA TAULO ZA KIKE KASKAZINI PEMBA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA 16/06
Просмотров 2483 месяца назад
#global #ikuluzanzibar #jifunze #juu #wasafitv #alfatah #miladrazaqadri #micheweni_digital_tv #ayo
DK. MWINYI MUARUBAINI WA ELIMU YA JUU KISIWANI PEMBA
Просмотров 1,8 тыс.3 месяца назад
#ikuluzanzibar #jifunze #global #miladrazaqadri #global #juu #wasafitv #global
MAMA MARYAM MWINYI MKOMBOZI WAJASIRIAMALI WA MWANI MICHEWENI
Просмотров 1,3 тыс.4 месяца назад
#ikuluzanzibar #alfatah #juu #wasafitv #jifunze #global #ayezakhan #miladrazaqadri
DR. MWINYI ANAENDELEA KUIMARISHA MASLAHI YA WAFANYA KAZI
Просмотров 2994 месяца назад
DR. MWINYI ANAENDELEA KUIMARISHA MASLAHI YA WAFANYA KAZI
Ziara ya Dr. Mwinyi yaibua aina mpya ya Mwani - Oliver, wakulima wapata manufaa mengi.
Просмотров 2842 года назад
Ziara ya Dr. Mwinyi yaibua aina mpya ya Mwani - Oliver, wakulima wapata manufaa mengi.
Rais wa Zanzibar akutana na Mwenyekiti wa Mamlaka ya Nyaraka ya Oman nakuongea mengi kwa Zanzibar
Просмотров 902 года назад
Rais wa Zanzibar akutana na Mwenyekiti wa Mamlaka ya Nyaraka ya Oman nakuongea mengi kwa Zanzibar
Mdhamin Shuwekha aendelea kuwaasa watu wajitokeze kuhesabiwa.
Просмотров 1002 года назад
Mdhamin Shuwekha aendelea kuwaasa watu wajitokeze kuhesabiwa.
Mdhamini Ikulu Bi Shuwekha akemea vikali suala la udhalilishaji Pemba
Просмотров 3302 года назад
Mdhamini Ikulu Bi Shuwekha akemea vikali suala la udhalilishaji Pemba
Haya ndo mahadhi ya mashairi ya Pemba yaliyomvutia sana Dr. Hussein Mwinyi.
Просмотров 3,7 тыс.2 года назад
Haya ndo mahadhi ya mashairi ya Pemba yaliyomvutia sana Dr. Hussein Mwinyi.
RAIS MWINYI ATOA MATUMAINI KWA VIJANA WALIOFAULU KIDATO CHA 6.
Просмотров 7712 года назад
RAIS MWINYI ATOA MATUMAINI KWA VIJANA WALIOFAULU KIDATO CHA 6.
Maneno ya Rais Magufuli yatimia kwa Rais Mwinyi.
Просмотров 3572 года назад
Maneno ya Rais Magufuli yatimia kwa Rais Mwinyi.
Rais Mwinyi azungumza na wafanyabiashara wa Tanzania waliopo Burundi
Просмотров 1492 года назад
Rais Mwinyi azungumza na wafanyabiashara wa Tanzania waliopo Burundi
IKULU YATOA FILAMU YA UTEKELEZAJI WA AHADI ZA RAIS MWINYI KISIWANI PEMBA
Просмотров 12 тыс.2 года назад
IKULU YATOA FILAMU YA UTEKELEZAJI WA AHADI ZA RAIS MWINYI KISIWANI PEMBA
IKULU YAGONGA MISUMARI KWA WAANDISHI WA HABARI PEMBA
Просмотров 7742 года назад
IKULU YAGONGA MISUMARI KWA WAANDISHI WA HABARI PEMBA
Rais Dr. Hussein Mwinyi ampokea Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kutokea Nchini Oman.
Просмотров 5 тыс.2 года назад
Rais Dr. Hussein Mwinyi ampokea Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kutokea Nchini Oman.
Mh. Rais wa Zanzibar akutana na Ujumbe kutoka timu ya mpira ya Southampton kutoka Uingereza
Просмотров 822 года назад
Mh. Rais wa Zanzibar akutana na Ujumbe kutoka timu ya mpira ya Southampton kutoka Uingereza
Njaa inakusumbua
Wapeni fursa vijana wa WETE kuogelea bandarini Wete,kukatazwa ni kuwanyima fursa ya kuonesha vipaji vyao
Mbali na usisiem wake ila anaihurumia japo kdg Pemba tofaut na walio mtangulia
Mimi siyo mfuasi wa chama bali nilikuwa mfuasi wa marehemu Maalim seif ALLAH amfanyie wepes nakusudia kusema Wapemba muungeni mkono mwinyi CZ anaihurumia Pemba km ilivyokuwa anataka iwe Maalim
Hongera mheshimiwa zuu
Sw wametoka wangapi mufanye muajiri wengine maana ao walikuwa wananafasi wapandishen wa kuwapandisha wajirin watakao bahatika
Hawaitwi ila hiyo kweli njaa tu na ndowalivyo cc zanziba wajingano wamekubali kupoteza kiti umoja wa kitaifa uraiya pasipoti kama si njaa kitu gani kupotezautu wako kwa tonge
Amiin
Hongereni Sana. Karibuni katika jumuiya ya wastaafu. Nyinyi ni jeshi la akiba linaloweza kuwasajihisha vijana kwenye maendeleo na mapambano. Hii ni firsa kubwa ambayo wengi hawakubahatika. Ni vizuri wizara na viongozi wengine wangeiga mfano huu. Mitawi
Ila chini liko vizur, ndo wananchi wanaomba kuwekewa daraja hasa, lililopa Sasa ni tuta chini yake ndo yanapita Maji ya chumvi
Sio baraja limejengwa kama tuta ivi
Ilo daraja VP na watt Bora lingeekewa mikingo pembe au chini hakuna shida
Hiyoelimu unojisifu watoto wmepasi wengi sababu samia subiri andoke uwone watapasi wengi na sio kama wazanzibari vilaza yote haya tumetawaliwa natanganyika jina la sasa tanzania wanajita wazanzibari tulikua tunanchi yenye uraiya tumepindua tukapiduliwa kifikira na mawazo ona sasa mpaka mitihani ya wanafunzi yanasainiwa tanganyika vipi tutapasi nchi Wameichukua sasa wanatwita wakaazi si raiya tena ss ichokitambulisho cha wakaazi hata cm husajiliwi sababu ss tumepokonywa uraiya tumekua wakaazi wazanzibari tuamke I
Watoto wanataka kula ww unasema Watoto wangu nimejenga ss tunanjaa
Half nyie waoinzani mna ttz gani kwani mtu akitoka ktk chama chenu mnaumuambia ni njaaa kwani wanaitwa au wanaamua wenyewe
Njaaaa. Ikitoka. Tumboni. Inahamia. Kichwani
Njaaaa iyo
Kisiwa panza maendeleo safi mitano tena baba mwinyi
Maendeleo hadi ktk visiwa vidogo wataisoma no 2025 allah atufikishe bk mwinyi oyeeee.
Hongereni sana chapeni kz vijana
Pemba ni nimezaliwa.
Hapendwi wwe hiluijui kangan
Huna akili wewe subiri udanganywe mana hayo yaliyofanyika huna macho wala masikio au unaishi porini
@@hajiabdalla5772kwenda weee hatumpendi hatutaki kuongozwa na watanganyikaa znz bas usitushoshe
Ngojeeni bakora 2025 ndio mtajua
@@MussaMussa-v4x hapigwi mtu hapa mguu supuu km kawaaa
Dk mwinyi pemba oyeeee
De Hussein 5 tenaa
nice
❤❤❤
Jamaa zako zote wanapinga hizo.wamekaa kama wanga mana mwanga hapendi maendeleo japo kidogo.nafsi imejaa choyo na hao hao ndio wa mwanzo kutumia na kuharibu
Bandari au kibandari
Hapo lazima wajuwe namna ya kutumia hizo machines kuwe na ma professional wa kazi hizo siyo kila nurse anaweza kutumia.
Bora mmevaa rangi nyengine. 😂😂😂😂 nafkiri Mazroui havai hata siku moja shati la CCM.
Mwinyi oyeee
Hongera Dr Mwinyi yajayo yametima
Safi sana ,,Ila tunaombwa na sisi ofisi za tawla za mikoa tuboreshewe
Tumekufaham Mhe...unajenga ingawa pia unabomoa vizima jambo ambalo ni hasara kubwa kwa Nchi maskini. Wewe unafanya hayo. Wenzio wanasema Ufisadi umekithiri. Huo si ubishi. Wanasema wanataka Mamlaka kamili ya Zanzibar huo ni Uhuru kamili. Wanasema watapunguza Kodi hiyo ndio nafuu ya maisha. Wanataka Haki itendeke huo ndio msingi wa Amani. Wanataka mazingira ya Uchaguzi yawe ya Amani na Haki bila kufanya ulalamishi vitisho na ghilba hiyo ndio Haki. Kujenga yoyote yule atakaekaa madarakani atajenga. Hatutaki Ufisadi. Tunataka uchumi imara na sio madeni ya kutisha.Tunataka Zanzibar yenye hadhi ya Mamlaka kamili kiuchumi na Kisiasa. Uchaguzi uwe Huru na wa Haki. Nadhani wao wanasema hayo na mengineyo. Nawewe ujibu hoja Mhe Rais
Hongera Sana Dr Mwinyi
Mmmmmmmmm njaaa nayo umesema nae vipi kwanza watu wanatakiwa wale milo mitatu na sio milo t bali milo iliyokamlika sasa hizo nyumba hazitokuwa na thamani km njaa itaongezeka pemba pemba pemba tunakufa kwa njaa hali zetu sio rafiki hili sisi pia ndio janga kubwa linalotutesa
Si kazi ya Rais kugawa sahani za wali Kwa watu, muhimu watu wajitume, Kuna ardhi watu walime, Kuna bahari Kila Kona watu wavue serikali iboreshe mazingira ya maendeleo na ustawi wa watu kama haya.
Zikawe nyumba za Madaktar wala zisiwe za kila taasisi ya kiserikali kwa sababu anakaa mbali kupewa nyumba za madaktar na taasisi nyengine wajengewe zao kwa upande wao. Kusiwe na muingiliano wa taasisi.
Mweheshimiwa Rais na nyumba za walimu hususan katika skuli zenye daghalia hazitoshelezi tunaomba kwa heshima zote umeanza na madaktari Sasa tuje kwenye nyumba za walimu
Nilikuwa sijui hatua ambayo Zanzibar imepiga ila kwa hakika kazi imefanyika kongole Dkt Mwinyi👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Alhamdulillah Allah azidishe neema ndani ya kijiji chetu🤲
Alipora ushindi wa Maalim Seif Sharif Hamad. Mwinyi hakushinda uchaguzi kihalali na ndio sababu anatuondosha njiani tuuu ktk miradi ya maendeleo tazama Bandari za Pemba. Bara bara za Pemba. Airport ya chake Pemba, hadi leo ni hadisi za Albunuwasi na comedian za kachara. Tukutane oktoba 2025 ndio mtajuwa kilicho mfanya mgema tembo kulitia maji.
Sisi hatuli majengo punguza bei ubwabwa
Fanya kazi acha uvivu
Mashallah michewen Eid Mubarak Dr Mwinyi mitano Tena
Ni bandari aw tuta😄?
Wewe ulikuwa mwanga kwa roho mbaya ya kwa nini
Eneo la micheweni ndio eneo la mpango mkakati kwa pemba katika kila nyanja
Dr Mwinyi oyeeee
Kazi nzur Sanaa mmeuchapa mwingi
Dr Mwinyi mitano Tena hakuna km Dr Mwinyi Mungu amlipe kher Rais wangu
Dr Mwinyi mitano Tena hakuna km Dr Mwinyi Mungu amlipe kher Rais wangu
Kazi mzur