Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Wale tumeletwa na tiktok let's gather here
Walai tiktok imetuleta😂😂
Wimbo mzuri sana sema watu mmejaa roho mbaya tu
Siyo unafiki huu wimbo ni mzuri saana na unamashail mazur na merody Nzur sema bongo wanafik saana hamtoag support mpaka mtu afanikiwe zaid 😊
NATOKEA 254 NIMEMUKUBALI❤❤
Huu wimbo mkari sana!!
Dada video vixen Mungu Akubariki Sanaa una pepo yakoo
Nakubali sana akili mbili bonge la song mashairi mazuli sana nyimbo kama hii uumpe mbosso na tuzo atabeba ila kwa sisi wa kitaa tunakupa tuzo mdogo etu nyimbo kali sana
Yaani unajua kuimba kwelikwelu keep it up 👏👏👏
Akili mbili hebu tupe goma lingine bhn hatuna muda wa kusibiri tunataka tufike mbali mapema sana 🎉
❤❤❤wimbo mzuri saaana wale tumeletwa toka tiktok mpoo .
All the way from tiktok this guy is super talented Ana and andika mziki mzuri kushinda willy Paul and Bahati combined.much love from KE 🇰🇪🇰🇪
Nakipenda kipaji chako bro....wimbo mtamu sana ❤❤🇰🇪🇰🇪
Syo pw kabsa kamdomo kumbe huku nako syo mnyonge 👏👏👏👏🎉🎉🎉🎉
Wow bro,umeweza next superstar ❤❤
Tumeo rudia nyimbo mara mbili mbili tujuane 🎉🎉
ALI SIMBAA hapa naongea
Aisee unaweza❤❤❤❤
Dogo anajua sana🔥🔥🔥🔥
Mwanzo Mzuri 🎉🎉🎉, Piga goma lingine
We mnyama sana Kenya nyuma Yako keep it up
GOD bless you bro that is what I can say...unani inspire
Good song brother ypu welcome to Kampala city one day ypu
Nliskia kama,,, nsafirishee,, Fanya nyimbo Moja na hiyo
Wimbo mzuri sanaaaaaa big up
big up bro💪💪...Cool music 🎉🎉
Nakubali sana kaka Pambana achana nahao masnichi tyu1💯👊
Moto sana braza from Kenya we support you
Daah nimesikiliza zaid ya mara 1o kijana unajua san tukiacha unafiki kaka unajua mzee 🔥
Jay melody wa Kesho ❤
Jamani wimbo ungeimbwa na platform au jay balaa
Nakukubali sana homeboy
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🎉🙌🙌zamisha,on top keep up akilimbili
Wow nyimbo 💯💯 kali sana kaka
Wabongo msapotini huyu jamaa ana talentinsan
Moh fire wow amazing song
Big up boyz🎉.... wekesa from Kenya here
wimbo mzuri nimeupenda san sauti pia nzuri san ongera kaka 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Bigup good song Kamdomo 🎉🎉
Show kali bro storm swaxtz kaza vibe limo hadi wakubali
Pamban mwanang uskate tamaaa
Oaaaaaa bro pambana sna kiukweli ukiendelea hivi tuzo nyingi zinakuja sema tupe ngoma ka mbili kabla mwaka huu kuisha
Kaka wewe ni mdedli mpaka kolabo na mbosso na unisupport Kenya ❤❤
Good job broh you are our next EA STAR BIG LOVE FROM KENYA🎉🎉🎉🎉
Nakukubali broo
Ipo cku mtamkubaliii km mond tu.. kujitafuta na kuaminisha watu ni kazi kubwa sanaa
Kutoka Kenya,twasema hongera kaka,bidiii kila wakati,nyakati na jitihadha.
daaaaah mungu huyu jamaa sikuamini kama likuwa anaweza kuimba ngoma kali walai😂😂😂😂❤🎉😅
Waoohhh,,,nice song 🎉
Mwanagu hii Kali 🔥🔥
Ngoma imeenda shule. Big up. Ume gain a new follower wa Kenya. 🇰🇪. Wacha ni subscribe mara hiyo hiyo. 🎉🎉🎉🎉
Kamdomoooooooooooo safi sanaaaaa
🥰🥰nice song already saved it as a ringtone
Moto kam pass bro big up
Nina furaha hadi natamani kulia ninapo ona swax inazidi kupaa Big song mdogo wangu By Sizo
Hivi Salvy boy Saizi haimbi!!
Congratulations 🎉,,, indeed it's a nice song
Big up bro unajua sana sema w2u wkona roo baya nko Kenya unyma ni mwingi ❤❤
Jamaa kamdomo kametumika vzur zaid 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Moto Kama pasi🔥
Akilimbili umetisha wimbo mzur video nzuri hongera sana kikubwa ongeza juhudi kwenye kazi yako
Ngoma kali cnaa 🔥🔥🔥🔥🔥
Nyimbo kal sana sema wabongo mnapenda kumvunja moyo mtu
Kazi ni kubwa Sanawamba kazaa! Sema. Ila kamudomo!
Nimefwata mpaka huku toka TikTok mbna Kali Sana 🫡
Hongera kaka mziki unaoimba ni mkubwa sana, kwa mwenyewe sikio la mziki atamuelewa jamaa 💪.
Big up sana Mungu alinyoosha mkono kwenye kazi yako
Kazi nzuri sana, natarajia makubwa zaid Toka kwako
Aaah Tuliaa!!🎉🎉
Morio uwa nakucheki live tiktok uko fty kwnza io song Iko fty sana 🎉🎉🎉from Kenya ❤🎉
Oyaaaaa weee ngoma kali sana pambana mwanangu unaweza
kaka pambn at mond alichekwa hvohvo sahv anachagua akalale wapiiibmy,💚💚💚💚
Moto Sana...bonga la hit🔥🔥🔥.... kipaji sio bahati....#NIZAMISHE HIT SONG 🔥✨✨
kaka hivo kila mtu anaweza njo tulime kaka
Ww unaweza ushoga tu
Nakukubari sana kaka from mwanza ❤❤❤100%
Video queen hayupo sawa yani kama anaogopa ugopa ivi ila ngoma kaliiiiiii💯💯💯💯💯
Swaxcity tz artist tupo 🔥 fire
Bonge la wimbo kaka❤🔥
Kazi nzuri familiar 👊Hapo ni kukaza tu 💪🏿.
i salute you bro,hii song inaingia mbaka kwa bornmarrow,i love this song💓💗
ebana swax umetisha fanya kutuwakilisha zaidi mzee
Kaimba vzr sana Mungu hakunyimi vyote saut nzur kwangu mm ni best song
Kweli umejitahid sana ngoma kali kina
Mungu akutie nguvu familia frm ruvu jkt
Jamaa anajua bn tuache tu utani 🎉🎉
Goma la kwenda mjini storm🔥 pita na kwangu kacheki
Noma sana mwana pamban uskate tamaaa
Kaka umeua naitaji fanya remix na wewe💯💯💯💯💯
Apa Kenya uhondo unatufikia vizuri big up🤜🥰🥰
Ngoma kali beat kali sa kiitikio Yan Kolasi umeimba vby kidogo
Mzee wa kamdomooo 👏 Keep pushing 💪
Big up....uko vizuri bloody🎉🎉🎉🎉
Bonge la ngoma wallai,,,🔥🔥🔥unafki kando
Kiukweli bila wivu hii ngoma nikali sana
Good talent ntakupea collaboration
Hiii nyimbo ni nzuri una sauti nzuri sana hata @diamond @jeymerod hawaingii kwako ila tafuta na shamba uwe unalima
Unyam sanaaa brother 👍👍👍👍
This is real talent . This song is 👌
Noma sana
Unakipaji sana kk god bless u lazima utoboe
Nizuli sana hongera sana
Jamaaa anajuaaaa ❤❤❤ kinyama endelea kaka one day yes❤❤🎉🎉
Wewe ni dawa yao kazana mwangu Mungu anona kazi ya mikono yako na atazidi kukubatiki.🎉
Kali sana brother keep it up!!
Wale tumeletwa na tiktok let's gather here
Walai tiktok imetuleta😂😂
Wimbo mzuri sana sema watu mmejaa roho mbaya tu
Siyo unafiki huu wimbo ni mzuri saana na unamashail mazur na merody Nzur sema bongo wanafik saana hamtoag support mpaka mtu afanikiwe zaid 😊
NATOKEA 254 NIMEMUKUBALI❤❤
Huu wimbo mkari sana!!
Dada video vixen Mungu Akubariki Sanaa una pepo yakoo
Nakubali sana akili mbili bonge la song mashairi mazuli sana nyimbo kama hii uumpe mbosso na tuzo atabeba ila kwa sisi wa kitaa tunakupa tuzo mdogo etu nyimbo kali sana
Yaani unajua kuimba kwelikwelu keep it up 👏👏👏
Akili mbili hebu tupe goma lingine bhn hatuna muda wa kusibiri tunataka tufike mbali mapema sana 🎉
❤❤❤wimbo mzuri saaana wale tumeletwa toka tiktok mpoo .
All the way from tiktok this guy is super talented Ana and andika mziki mzuri kushinda willy Paul and Bahati combined.much love from KE 🇰🇪🇰🇪
Nakipenda kipaji chako bro....wimbo mtamu sana ❤❤🇰🇪🇰🇪
Syo pw kabsa kamdomo kumbe huku nako syo mnyonge 👏👏👏👏🎉🎉🎉🎉
Wow bro,umeweza next superstar ❤❤
Tumeo rudia nyimbo mara mbili mbili tujuane 🎉🎉
ALI SIMBAA hapa naongea
Aisee unaweza❤❤❤❤
Dogo anajua sana🔥🔥🔥🔥
Mwanzo Mzuri 🎉🎉🎉, Piga goma lingine
We mnyama sana Kenya nyuma Yako keep it up
GOD bless you bro that is what I can say...unani inspire
Good song brother ypu welcome to Kampala city one day ypu
Nliskia kama,,, nsafirishee,, Fanya nyimbo Moja na hiyo
Wimbo mzuri sanaaaaaa big up
big up bro💪💪...Cool music 🎉🎉
Nakubali sana kaka Pambana achana nahao masnichi tyu1💯👊
Moto sana braza from Kenya we support you
Daah nimesikiliza zaid ya mara 1o kijana unajua san tukiacha unafiki kaka unajua mzee 🔥
Jay melody wa Kesho ❤
Jamani wimbo ungeimbwa na platform au jay balaa
Nakukubali sana homeboy
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🎉🙌🙌zamisha,on top keep up akilimbili
Wow nyimbo 💯💯 kali sana kaka
Wabongo msapotini huyu jamaa ana talentinsan
Moh fire wow amazing song
Big up boyz🎉.... wekesa from Kenya here
wimbo mzuri nimeupenda san sauti pia nzuri san ongera kaka 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Bigup good song Kamdomo 🎉🎉
Show kali bro storm swaxtz kaza vibe limo hadi wakubali
Pamban mwanang uskate tamaaa
Oaaaaaa bro pambana sna kiukweli ukiendelea hivi tuzo nyingi zinakuja sema tupe ngoma ka mbili kabla mwaka huu kuisha
Kaka wewe ni mdedli mpaka kolabo na mbosso na unisupport Kenya ❤❤
Good job broh you are our next EA STAR BIG LOVE FROM KENYA🎉🎉🎉🎉
Nakukubali broo
Ipo cku mtamkubaliii km mond tu.. kujitafuta na kuaminisha watu ni kazi kubwa sanaa
Kutoka Kenya,twasema hongera kaka,bidiii kila wakati,nyakati na jitihadha.
daaaaah mungu huyu jamaa sikuamini kama likuwa anaweza kuimba ngoma kali walai😂😂😂😂❤🎉😅
Waoohhh,,,nice song 🎉
Mwanagu hii Kali 🔥🔥
Ngoma imeenda shule. Big up. Ume gain a new follower wa Kenya. 🇰🇪. Wacha ni subscribe mara hiyo hiyo. 🎉🎉🎉🎉
Kamdomoooooooooooo safi sanaaaaa
🥰🥰nice song already saved it as a ringtone
Moto kam pass bro big up
Nina furaha hadi natamani kulia ninapo ona swax inazidi kupaa Big song mdogo wangu By Sizo
Hivi Salvy boy Saizi haimbi!!
Congratulations 🎉,,, indeed it's a nice song
Big up bro unajua sana sema w2u wkona roo baya nko Kenya unyma ni mwingi ❤❤
Jamaa kamdomo kametumika vzur zaid 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Moto Kama pasi🔥
Akilimbili umetisha wimbo mzur video nzuri hongera sana kikubwa ongeza juhudi kwenye kazi yako
Ngoma kali cnaa 🔥🔥🔥🔥🔥
Nyimbo kal sana sema wabongo mnapenda kumvunja moyo mtu
Kazi ni kubwa Sanawamba kazaa! Sema. Ila kamudomo!
Nimefwata mpaka huku toka TikTok mbna Kali Sana 🫡
Hongera kaka mziki unaoimba ni mkubwa sana, kwa mwenyewe sikio la mziki atamuelewa jamaa 💪.
Big up sana Mungu alinyoosha mkono kwenye kazi yako
Kazi nzuri sana, natarajia makubwa zaid Toka kwako
Aaah Tuliaa!!🎉🎉
Morio uwa nakucheki live tiktok uko fty kwnza io song Iko fty sana 🎉🎉🎉from Kenya ❤🎉
Oyaaaaa weee ngoma kali sana pambana mwanangu unaweza
kaka pambn at mond alichekwa hvohvo sahv anachagua akalale wapiiibmy,💚💚💚💚
Moto Sana...bonga la hit🔥🔥🔥.... kipaji sio bahati....#NIZAMISHE HIT SONG 🔥✨✨
kaka hivo kila mtu anaweza njo tulime kaka
Ww unaweza ushoga tu
Nakukubari sana kaka from mwanza ❤❤❤100%
Video queen hayupo sawa yani kama anaogopa ugopa ivi ila ngoma kaliiiiiii💯💯💯💯💯
Swaxcity tz artist tupo 🔥 fire
Bonge la wimbo kaka❤🔥
Kazi nzuri familiar 👊
Hapo ni kukaza tu 💪🏿.
i salute you bro,hii song inaingia mbaka kwa bornmarrow,i love this song💓💗
ebana swax umetisha fanya kutuwakilisha zaidi mzee
Kaimba vzr sana Mungu hakunyimi vyote saut nzur kwangu mm ni best song
Kweli umejitahid sana ngoma kali kina
Mungu akutie nguvu familia frm ruvu jkt
Jamaa anajua bn tuache tu utani 🎉🎉
Goma la kwenda mjini storm🔥 pita na kwangu kacheki
Noma sana mwana pamban uskate tamaaa
Kaka umeua naitaji fanya remix na wewe💯💯💯💯💯
Apa Kenya uhondo unatufikia vizuri big up🤜🥰🥰
Ngoma kali beat kali sa kiitikio Yan Kolasi umeimba vby kidogo
Mzee wa kamdomooo 👏
Keep pushing 💪
Big up....uko vizuri bloody🎉🎉🎉🎉
Bonge la ngoma wallai,,,🔥🔥🔥unafki kando
Kiukweli bila wivu hii ngoma nikali sana
Good talent ntakupea collaboration
Hiii nyimbo ni nzuri una sauti nzuri sana hata @diamond @jeymerod hawaingii kwako ila tafuta na shamba uwe unalima
Unyam sanaaa brother 👍👍👍👍
This is real talent . This song is 👌
Noma sana
Unakipaji sana kk god bless u lazima utoboe
Nizuli sana hongera sana
Jamaaa anajuaaaa ❤❤❤ kinyama endelea kaka one day yes❤❤🎉🎉
Wewe ni dawa yao kazana mwangu Mungu anona kazi ya mikono yako na atazidi kukubatiki.🎉
Kali sana brother keep it up!!