KILICHOWAKUTA ASKARI JESHI(JKU) WALOMKAMATA POLISI KISHA KUMPELEKA KAMBINI
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
Mungalipigana bunduki ingekuwa vizuri kwani nyinyi nyote ni wauwaji na maadui wakubwa zidi ya raiya.
👍👍
Bora mupigane wenyewe kwa wenyewe maana mung anawalaani kila siku munampiga raia bila sababu
Shukran ktv hakika hii ni fahari yetu mulipo nipo
mim nataka mupigane mpk mufe mbwa nyinyi
Mmh zanzibar kila mmoja mbabe haswa akiwa na mamlaka serikalini
Bora muuwane nyie kwa nyie mtafanya la maana kwani kila cku mshazowea kuwapiga wananchi bila ya hatia yoyote ya msingi......
Uwiii
Ninafsi lazima tuihurumie
No one is above the law
Polisi ndo mabingwa was kuvnja sheria kwenye nchi hii
Kwahiyo hili tukio ni sababu ya polisi kuvunja sheria au ni chuki uliyonayo Kwa polisi
@@elizamsisizio4502 👍👍
@@elizamsisizio4502 ha ha hhaaa
Mwita Hasan hujielewi
Huyo askar jku hakuonesha respect anafaa awajibishwe kisheria…huwezi kuvunja sheria kisha ukaangaliwa,madereva wa kawaida wakiona watajifunza nini kupitia yeye na ikibidi askari police apewe cheo japo kidogo Ame playing good part
🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️🤣😂🤣😂🤣😂wahenga wanasema vita yapanzi neema kwa kunguru
Hapo sawa adi tujue nani zaidi
Wallah tusha chok kila siku munaowa watu wasiy kuwa na atia leo zamuyen lana izo zina washukuaaaa
Daah eb tubadliken sasa tukileteana ubabe wenyewe kwa wenyewee na wananch ambao wanatakiwa kulindwa itakuaje sasaa mi ushaur wang kilamtu akiwa eneo lake lakaz amweshim mwenzake haijarish cheo husika au nafas husika au kikos husika ilii tudumishe haman ya ncheyetuu waziiiii💪💪💪
Jku Bangi za Arusha zina wasumbuaaaa
SHUKRAN KTV TZ ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU
Daah! so sad
Nimepitia comment nyingi kabla sijaamua kuandika maoni yangu ila nimegundua Watanzania wengi bado hawatambui umuhimu wa hivi vyombo na hii inatokana na kazi nzuri wanayoifanya hao askari ya kuzuia vitendo vya uvunjifu wa amani. ....Nenda Congo na nchi zenye machafuko ndo utajua unachoongea ni upuuzi mtupu
2. Huyo askari wa JKU ana makosa kwani anapaswa kujua kuwa hakuna mtu yeyote aliye juu ya sheria hivyo kama gari yake imekamatwa kwa makosa ya barabarani alipaswa kufahamu kitu gani afanye bila kuvunja sheria .....kitendo cha kumchukua hugo askari mwenzie na kumpeleka kikosini anaashiria kitendo gani zaidi ni utovu wa nidhamu jeshini achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani ili iwe fundisho kwa askari wengine wenye mawazo na akili kama hizo
Tanzania ni yetu sote tuache ushabiki maandazi.
Haya ni ya zamani sana wanafiki wanawababaisha tu watu
Nime cheka kwa sauti mpka nime paliwa Mungu mkubwa kwakwel 😂😂😂🤣🤣🤣
Unajuwa hao polic wanjifanya kuwa wao ndio kila kitu hapa zanzibar. Kwaio mmi nikitaka waoneshane ndio patapatika heshima
wala bado piganeni tu nyie tupaate nchi yetu sie
Wazanzibar wanashindwa nini kuchukua nchi yao.
Bikombo Ali acha ushamba nchi yenu kwani ww mtumwa hapo ulipo haupo huru mjinga tu ww huma akili
@@sigorijoseph4977 kafirwe na mapaka uko
Nabado mungu atawaondosh wot
Halal badr ya m bayana
Boraa mungeuwana
Sheria na taratibu zizingatiwe bila kujali cheo.
Wa2 mlio wadhulumu damu zao zinawahukumu Allah hajawahi lala ,wala kusinzia
Hii habar si yaleo mnazingua KTV
Pambaneni wenyewe Kwa wenyewe vizuri
Hii ndio faida ya kuwapa majukumu wasio na elimu..mmh mungu ibariki zanzibar na watu wake.
uwaneni wenyewe kwa wenyewe
Safi sana
ukiambiwa ujiambie uyo jku ana ewezo gani wa kumteka polisi. kwani apo alipoingia alikuwa hajui anapopelkwa . mm nahis kajiteka mwenyewe hlf waabzishe fujo. au kamanda ametumwa uyo
Hilo ndio tatizo la kuwa namajeshi mengimengi yasiokuwa na maana nchin, hao kvzd niwann, hizozote zingefanywa na jesh la polis, ikawa ni sehem ya majukumu na mgawanyo wa kaz, sasa huwo ndio ujinga wa kupimana nguvu
Kvz kaingiaje apo ndugu au ndo chuki zako tu
Uko uko😲
Tatizo mazoezi bila mechi ni tatzo kubwa sana,
Nyooo wala n a wao kwa wao atabado nimwazo tuhuo
Kwanza hawa siyo wazanbar msheki hata uwongeaji wake siyo watanzania bara wanatuletea fujo tu hawa watanzania bara
jku hopo ndio hom wache wajidai polis nyinyi ................. jaza mwenyewe
Nex.Sudan freedom
Wasigombane Pali wao nikitu kimoja ila Gali la askali mwenzako sio poa wawe Wana lipana kwakuongea wakubwa kwa wakubwa kama galilinakosa basi wao kama traffic washitaki mkuu watasisi husika ata akalioie maakamani ili kusiwe naubabehuu! Ila sio kuzalilishana maana inaeleweka kabisa apo mkubwa ninani!? Basi mdogo awe mpole basi statue kwakisheria .
Hahahaaa nilitaka pawake moto
Ndo wanavyotak hawa police wazoea kula rushwa kwa haw hohe hahe
Laana tullah Alayh
Mavuno Shelia Atua Zichukuliwe Zidi Yake Na Hao Asikari Waliokwenda Apo Wawajibishwe Kabisa Awafai Hao Kuwa Asikar
Ah ya zaman Sana iyoo
Katika kikos ninacho kichukia Zanzibar ni jku na kmkm hao jamaa ni shida sana wamesha zoea sana kuua nafsi za watu na kuwabaka raia wasio na hatia .
Muweee munasemaa vzr na kuandikaa uandike jku so jesh jesh ni jwtz😅😅😅😅😅😅😅
Hii ndiyo zanzibad Tobiasi weeee
Ya ngoswe muachie mazoweaa 😀😀😀😀
Mohd Issa KIDOTI khutuba
Nyie mbona munapiga watu na kuuwa raia ambao hawana silaha vile vile
tumbili akimaliza miti huingia mwilini ....hahhahaahahahahahaaaaa.....
😂😂
Fanyeni yote ila mtajutia badae waazibun t ila mtajuta
Atafufua siku ambayo mbingu zitafunguliwa kuwa milango na milima itaondolewa kuwa Kama mchanga
Duh .
Wate makhanisi kwanini hawakupigana risasi ?
Wahuni hawa ma JKU
Mngemgonga kabisa wanaonea sana raia hao
Wanajeshi wanapenda vurugu ila wengi wao nguvu kisoda
Safii
Jky hwan adabu wansjifanya wao ndo viumbe atakm na mpenzi wangu yomo
Tatizo letu kila mtu ni mkubwa nchi hii na akifanya kosa hakubali kosa anakwambia nawahi kazini sababu yeye ni askari maana yeye karuhusiwa kuvunja sheria
😁😁😁sisi tunafanya kazi kubwa kuliko wao kwenye hili taifa waache kujifanya wababe kisa wapo brban
Mwanasheria ehh! Kavunja sheria, unatarajia nini? Utachukuliwa hatua za kisheria
Tatizo hawa wanaoitwa Vikosi nao hudhai ni askari wakati Katiba ya Tanzania HAIWATAMBUI, ni raia wanaotumia silaha inafaa washitakiwe vikosi vyote kwa kuvaa nguo za askari.
Kwan jku sio ndio nn
Duh
Hao polc weni kazizao nikunyanyasa raia tu hawana Sheria hatamoja
Hao Jku watemeshwe unga
Why muzibe picha wakat ziko wazi kila konaaa!!
Jku ni jkt kwa hiyo polisi msichulie poa
@@mwajejasson6995 Ila nashangaa sana kwa JKU& JKT ...Unadharau Polisi mwenzio anachukua mshahara kwa mwezi ...JKU & JKT unakula Posho ya 50000 afu bado unajikuta kamanda kushinda mwenzio .....Kikubwa kila mtu awe na mipaka yake ya kazi pia kuheshimiana ...NIDHAMU iwe mbele Hakuna askari asiyejua neno NIDHAMU
Mungu anaanza kuwalaani nyinyi na bado huo ni mwanzo tu
Aslm aleykum nauliza eti Magufuli ni rais wa Tanzania na Zanzibar pia ?
Tanzania
Eeeh jamani kumbe huko ZANZIBAR hata wakuu WA vituo vya Polisi kutoka BARA.
tena WAGALATIA akina THOBIUS
HEEE...HEE MUUNGANO KWELI MZURI...
SIJUI HAPO NANI ANAEFAIDIKA.
SIJUI NANI ANAEMUENDESHA MWENZAKE.
SIJUI HAPO NANI ALIETAWALIWA.
SIJUI HAPO NANI PUMBAVU.
LAKINI KUBWA ZAIDI....akina THOBIUS watazidi kuwa wengi ZANZIBAR. ..itafikia kuanza kuwashugulikia wale waumini WA kiislaamu. ..hadi misikitini.
Ninavyoona hata hao wadogo nao pia kutoka BARA.
MUUNGANO HUO!!
WAZANZIBAR WANABAKI KULA MIX...
WANAZIDI KUVULIWA SURUALI
Huyo ni kamanda wa police mkoa wa mjini magharib na tambua kuwa jeshi la police ni la muungano so huwa wamechanganyika sawa
Na wa
Kama umeendashule basi utajua kuwa kuna kitu kinaitwa union matters na non union matters
Huyo jku hana nidhamu kwanza kajinjia heshima kwanini hatiisheria za barabarani halafu kamvunjia heshima huyo askari wa barabarani kwa hiyo achukuliwe hatua kali za kisheria pia afukuzwe kazi kalidhalilisha jeshi la polisi
Mbona kiswahili chake si cha kizanzibari
Nyenye polic. Munajiona bora. Kulioko jku kwani nyoto niaskar. Lazma mujengeyane heshima
Mm furah yang ulikua wapigan bunduk wenye kwa wenyw
Bora
Wanachukuliana wake hao tunayajua
Mwanakulitafuta , mwanakulipata !
Ubabe umegeuka kuwa unyonge !
Hakuna aliye juu ya sheria
Tanzania kuna Amanii hii amanii ya aina ganiii
Hivyo ni vitu vidoogo sana. Wala havina ishara yeyote ya kuvunja Amani.
Huyo kamanda msemaji sio mzanzibar
Nashangaa du
Wakivunja wengine ni mbaya lkn polisi Wana vunja zaidi
Na Ccm wa bara wanajitangaza. Wenyewe nyinyi zanzibar mnangoja nini
Fadirama
Asakari police kufanyiwa hivyo sawasawa tena wangepata nakichapo
Wanajeshi wengi ni goigoi hawana uwezo waekumpiga polisi
Wamegeuka samaki walana wao kwa wao na bado
Maoni yangu muungu awajaalie kilasiku mupigane wala msipatane maisha 😄😄😄😄
Kamanda kasema yy kua us a lama barabarni akuwa na siraha kwa nn apelekwe kambini kwa yy atachukuliwa atua je polisi wanaopiga RAIA wasio na siraha apo inakuaje
Nasahangaa wanasubiri nini kama hawa uwani. Pijaneni na uwaneni kama vile munavo waua raia bila ya hatia yeyotee. ALLAH NI HAKIMU NA HAYO NI MIONGONI MWA MALIPO YA WANAFIK NA MADHALIM
Haaaa waapi mtamshuulikia waapi
aslimia 85 ya jku wameishia darasa la sita na la saba sasa mnategemea nini
Kabisa
Elimu ndogo biti nyingi nguvu kidogo
Zarau
kama police wanapigana ivyo wanatoa heshima kwa wananchi
JKT+jku ni watoto wa Jwtz polisi hapo kazi mnayo
Piganeni haka muoneshane ubabe kama munavyo tuonesha sisi raia kama nyinyi niwababe
Kwani JKU Ndiyo kinanani. Tusaidieni sisi huku Bariadi Hatujui. 😂
Patam
Askar ananguvu katika hii kesi maana alichofanya yeye kutimiza majukumu yake na mtu anapokuwa kwenye kazi basi anapaswa aheshimiwe..sio kila sehemu panahitaji nguvu au ubabe !!!
unadhani kesi ya nyani na nyani unapaswa kuamuliwa na nani?
Hukuvunja na kukiuka sheria ni sawa jamani?
Military police ni kikosi cha kupambana na askari ambao hawana nidhamu
Wafukuzwe kazi
Exactly
Na hapa ndio tumeonauzaifuwao kesi ndogo anakuja kamishna anakujanaarkopterkutokadarisalamu
Je ushawahi sikia gar au chombo cha usafiri cha polisi kimekatwa sheria ni msumeno ikate huku na huku
Mimi maoni yangu nataka wapigane Mabunduki ivi sasa. Kamanda anza kazi ukoo buuu tiii buuu na ilo bonu kubwa tuuu
Sw ubabe muneshane
kweli ni fahari yetu
Yamsondo mpe ngurumo aya mengine hayafai🙄
unamafumbo saivi