KILICHOWAKUTA ASKARI JESHI(JKU) WALOMKAMATA POLISI KISHA KUMPELEKA KAMBINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    cc: Sadia Rashid
    cc: Masoud Maganga

Комментарии • 255

  • @mohdkoke6126
    @mohdkoke6126 5 лет назад +38

    Mungalipigana bunduki ingekuwa vizuri kwani nyinyi nyote ni wauwaji na maadui wakubwa zidi ya raiya.

    • @mwanaidiramadhan3919
      @mwanaidiramadhan3919 5 лет назад +1

      👍👍

    • @hawaali8107
      @hawaali8107 5 лет назад

      Bora mupigane wenyewe kwa wenyewe maana mung anawalaani kila siku munampiga raia bila sababu

  • @mekihalua9019
    @mekihalua9019 5 лет назад +1

    Shukran ktv hakika hii ni fahari yetu mulipo nipo

  • @2pacshakur912
    @2pacshakur912 5 лет назад +3

    Mmh zanzibar kila mmoja mbabe haswa akiwa na mamlaka serikalini

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 5 лет назад +46

    Bora muuwane nyie kwa nyie mtafanya la maana kwani kila cku mshazowea kuwapiga wananchi bila ya hatia yoyote ya msingi......

  • @HoodAnu
    @HoodAnu 6 месяцев назад +1

    No one is above the law

  • @mwitahassan7314
    @mwitahassan7314 5 лет назад +17

    Polisi ndo mabingwa was kuvnja sheria kwenye nchi hii

    • @elizamsisizio4502
      @elizamsisizio4502 5 лет назад +1

      Kwahiyo hili tukio ni sababu ya polisi kuvunja sheria au ni chuki uliyonayo Kwa polisi

    • @didakassim8666
      @didakassim8666 4 года назад

      @@elizamsisizio4502 👍👍

    • @dastanfussy4898
      @dastanfussy4898 3 года назад

      @@elizamsisizio4502 ha ha hhaaa

    • @akshaydavid159
      @akshaydavid159 3 года назад

      Mwita Hasan hujielewi

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Год назад +2

    Huyo askar jku hakuonesha respect anafaa awajibishwe kisheria…huwezi kuvunja sheria kisha ukaangaliwa,madereva wa kawaida wakiona watajifunza nini kupitia yeye na ikibidi askari police apewe cheo japo kidogo Ame playing good part

  • @chomwabonzo8811
    @chomwabonzo8811 5 лет назад +6

    🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🤣😂🤣😂🤣😂wahenga wanasema vita yapanzi neema kwa kunguru

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 5 лет назад +1

    Hapo sawa adi tujue nani zaidi

    • @mahersaid258
      @mahersaid258 3 года назад

      Wallah tusha chok kila siku munaowa watu wasiy kuwa na atia leo zamuyen lana izo zina washukuaaaa

  • @hashimrweabula9
    @hashimrweabula9 7 месяцев назад +1

    Daah eb tubadliken sasa tukileteana ubabe wenyewe kwa wenyewee na wananch ambao wanatakiwa kulindwa itakuaje sasaa mi ushaur wang kilamtu akiwa eneo lake lakaz amweshim mwenzake haijarish cheo husika au nafas husika au kikos husika ilii tudumishe haman ya ncheyetuu waziiiii💪💪💪

  • @muharamharoub8896
    @muharamharoub8896 5 лет назад +5

    Jku Bangi za Arusha zina wasumbuaaaa

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 5 лет назад +1

    SHUKRAN KTV TZ ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU

  • @fatmamohamed1099
    @fatmamohamed1099 5 лет назад +2

    Daah! so sad

  • @rahimlissu3982
    @rahimlissu3982 3 года назад +1

    Nimepitia comment nyingi kabla sijaamua kuandika maoni yangu ila nimegundua Watanzania wengi bado hawatambui umuhimu wa hivi vyombo na hii inatokana na kazi nzuri wanayoifanya hao askari ya kuzuia vitendo vya uvunjifu wa amani. ....Nenda Congo na nchi zenye machafuko ndo utajua unachoongea ni upuuzi mtupu
    2. Huyo askari wa JKU ana makosa kwani anapaswa kujua kuwa hakuna mtu yeyote aliye juu ya sheria hivyo kama gari yake imekamatwa kwa makosa ya barabarani alipaswa kufahamu kitu gani afanye bila kuvunja sheria .....kitendo cha kumchukua hugo askari mwenzie na kumpeleka kikosini anaashiria kitendo gani zaidi ni utovu wa nidhamu jeshini achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani ili iwe fundisho kwa askari wengine wenye mawazo na akili kama hizo
    Tanzania ni yetu sote tuache ushabiki maandazi.

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 3 года назад +1

    Haya ni ya zamani sana wanafiki wanawababaisha tu watu

  • @maulidhamad3659
    @maulidhamad3659 3 года назад +3

    Nime cheka kwa sauti mpka nime paliwa Mungu mkubwa kwakwel 😂😂😂🤣🤣🤣

  • @IsmailAli-xt2bj
    @IsmailAli-xt2bj 11 месяцев назад

    Unajuwa hao polic wanjifanya kuwa wao ndio kila kitu hapa zanzibar. Kwaio mmi nikitaka waoneshane ndio patapatika heshima

  • @bikomboali7342
    @bikomboali7342 5 лет назад +24

    wala bado piganeni tu nyie tupaate nchi yetu sie

    • @Neighborsjiran
      @Neighborsjiran 5 лет назад

      Wazanzibar wanashindwa nini kuchukua nchi yao.

    • @sigorijoseph4977
      @sigorijoseph4977 5 лет назад +1

      Bikombo Ali acha ushamba nchi yenu kwani ww mtumwa hapo ulipo haupo huru mjinga tu ww huma akili

    • @chapahaji2732
      @chapahaji2732 4 года назад

      @@sigorijoseph4977 kafirwe na mapaka uko

    • @mahersaid258
      @mahersaid258 3 года назад

      Nabado mungu atawaondosh wot

  • @muradiseifhumoud7880
    @muradiseifhumoud7880 3 года назад

    Halal badr ya m bayana

  • @hadrashkassim6667
    @hadrashkassim6667 3 года назад

    Boraa mungeuwana

  • @suleimanmmingange2983
    @suleimanmmingange2983 3 года назад +1

    Sheria na taratibu zizingatiwe bila kujali cheo.

  • @aishaaisha4695
    @aishaaisha4695 3 года назад +2

    Wa2 mlio wadhulumu damu zao zinawahukumu Allah hajawahi lala ,wala kusinzia

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 года назад

    Hii habar si yaleo mnazingua KTV

  • @yahyamustapha887
    @yahyamustapha887 3 года назад

    Pambaneni wenyewe Kwa wenyewe vizuri

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 5 лет назад +2

    Hii ndio faida ya kuwapa majukumu wasio na elimu..mmh mungu ibariki zanzibar na watu wake.

  • @hamadnassor1676
    @hamadnassor1676 5 лет назад +3

    uwaneni wenyewe kwa wenyewe

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 Год назад

    Safi sana

  • @nouratjunior5616
    @nouratjunior5616 5 лет назад +1

    ukiambiwa ujiambie uyo jku ana ewezo gani wa kumteka polisi. kwani apo alipoingia alikuwa hajui anapopelkwa . mm nahis kajiteka mwenyewe hlf waabzishe fujo. au kamanda ametumwa uyo

  • @madafajulius3257
    @madafajulius3257 3 года назад +2

    Hilo ndio tatizo la kuwa namajeshi mengimengi yasiokuwa na maana nchin, hao kvzd niwann, hizozote zingefanywa na jesh la polis, ikawa ni sehem ya majukumu na mgawanyo wa kaz, sasa huwo ndio ujinga wa kupimana nguvu

    • @SuleMondi-jx8zf
      @SuleMondi-jx8zf 7 месяцев назад

      Kvz kaingiaje apo ndugu au ndo chuki zako tu

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 5 лет назад +2

    Uko uko😲

  • @SaimonMatika
    @SaimonMatika 3 месяца назад

    Tatizo mazoezi bila mechi ni tatzo kubwa sana,

  • @aishaseif7127
    @aishaseif7127 3 года назад

    Nyooo wala n a wao kwa wao atabado nimwazo tuhuo

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Год назад

    Kwanza hawa siyo wazanbar msheki hata uwongeaji wake siyo watanzania bara wanatuletea fujo tu hawa watanzania bara

  • @suleiboy5230
    @suleiboy5230 5 лет назад +7

    jku hopo ndio hom wache wajidai polis nyinyi ................. jaza mwenyewe

  • @khamisjuma4691
    @khamisjuma4691 5 лет назад

    Nex.Sudan freedom

  • @Shaban-y5f
    @Shaban-y5f 5 месяцев назад

    Wasigombane Pali wao nikitu kimoja ila Gali la askali mwenzako sio poa wawe Wana lipana kwakuongea wakubwa kwa wakubwa kama galilinakosa basi wao kama traffic washitaki mkuu watasisi husika ata akalioie maakamani ili kusiwe naubabehuu! Ila sio kuzalilishana maana inaeleweka kabisa apo mkubwa ninani!? Basi mdogo awe mpole basi statue kwakisheria .

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад

    Hahahaaa nilitaka pawake moto

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 4 месяца назад

    Ndo wanavyotak hawa police wazoea kula rushwa kwa haw hohe hahe

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 3 года назад +1

    Laana tullah Alayh

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 7 месяцев назад

    Mavuno Shelia Atua Zichukuliwe Zidi Yake Na Hao Asikari Waliokwenda Apo Wawajibishwe Kabisa Awafai Hao Kuwa Asikar

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 3 года назад

    Ah ya zaman Sana iyoo

  • @AllySully
    @AllySully 6 месяцев назад

    Katika kikos ninacho kichukia Zanzibar ni jku na kmkm hao jamaa ni shida sana wamesha zoea sana kuua nafsi za watu na kuwabaka raia wasio na hatia .

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi 11 месяцев назад

    Muweee munasemaa vzr na kuandikaa uandike jku so jesh jesh ni jwtz😅😅😅😅😅😅😅

  • @ayubupapi2649
    @ayubupapi2649 5 лет назад

    Hii ndiyo zanzibad Tobiasi weeee

  • @mohdissa8973
    @mohdissa8973 5 лет назад +1

    Ya ngoswe muachie mazoweaa 😀😀😀😀

  • @utaani1
    @utaani1 5 лет назад +1

    Nyie mbona munapiga watu na kuuwa raia ambao hawana silaha vile vile

  • @umiy1971
    @umiy1971 5 лет назад +1

    tumbili akimaliza miti huingia mwilini ....hahhahaahahahahahaaaaa.....

  • @barakajonathan7838
    @barakajonathan7838 3 года назад

    Fanyeni yote ila mtajutia badae waazibun t ila mtajuta

  • @BON357
    @BON357 Год назад

    Atafufua siku ambayo mbingu zitafunguliwa kuwa milango na milima itaondolewa kuwa Kama mchanga

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 5 лет назад

    Duh .

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 5 лет назад +1

    Wate makhanisi kwanini hawakupigana risasi ?
    Wahuni hawa ma JKU

  • @emmanuelmosha2278
    @emmanuelmosha2278 3 года назад

    Mngemgonga kabisa wanaonea sana raia hao

  • @akshaydavid159
    @akshaydavid159 3 года назад

    Wanajeshi wanapenda vurugu ila wengi wao nguvu kisoda

  • @georgenorasco6595
    @georgenorasco6595 3 года назад

    Safii

  • @رياالزنجباري
    @رياالزنجباري 5 лет назад +1

    Jky hwan adabu wansjifanya wao ndo viumbe atakm na mpenzi wangu yomo

  • @Otmanhamad15Hamad
    @Otmanhamad15Hamad 9 месяцев назад

    Tatizo letu kila mtu ni mkubwa nchi hii na akifanya kosa hakubali kosa anakwambia nawahi kazini sababu yeye ni askari maana yeye karuhusiwa kuvunja sheria

  • @hashimabdalah3161
    @hashimabdalah3161 Год назад

    😁😁😁sisi tunafanya kazi kubwa kuliko wao kwenye hili taifa waache kujifanya wababe kisa wapo brban

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 лет назад +1

    Mwanasheria ehh! Kavunja sheria, unatarajia nini? Utachukuliwa hatua za kisheria

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 6 месяцев назад

    Tatizo hawa wanaoitwa Vikosi nao hudhai ni askari wakati Katiba ya Tanzania HAIWATAMBUI, ni raia wanaotumia silaha inafaa washitakiwe vikosi vyote kwa kuvaa nguo za askari.

  • @ahmedkodama23
    @ahmedkodama23 6 месяцев назад

    Kwan jku sio ndio nn

  • @khadijasaid5069
    @khadijasaid5069 Год назад

    Duh

    • @IsmailAli-xt2bj
      @IsmailAli-xt2bj 11 месяцев назад

      Hao polc weni kazizao nikunyanyasa raia tu hawana Sheria hatamoja

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 6 месяцев назад

    Hao Jku watemeshwe unga

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 5 лет назад +6

    Why muzibe picha wakat ziko wazi kila konaaa!!

    • @mwajejasson6995
      @mwajejasson6995 5 лет назад

      Jku ni jkt kwa hiyo polisi msichulie poa

    • @malilolukensa8519
      @malilolukensa8519 3 года назад

      @@mwajejasson6995 Ila nashangaa sana kwa JKU& JKT ...Unadharau Polisi mwenzio anachukua mshahara kwa mwezi ...JKU & JKT unakula Posho ya 50000 afu bado unajikuta kamanda kushinda mwenzio .....Kikubwa kila mtu awe na mipaka yake ya kazi pia kuheshimiana ...NIDHAMU iwe mbele Hakuna askari asiyejua neno NIDHAMU

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 3 года назад

    Mungu anaanza kuwalaani nyinyi na bado huo ni mwanzo tu

  • @Neighborsjiran
    @Neighborsjiran 5 лет назад +2

    Aslm aleykum nauliza eti Magufuli ni rais wa Tanzania na Zanzibar pia ?

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 5 лет назад +1

    Eeeh jamani kumbe huko ZANZIBAR hata wakuu WA vituo vya Polisi kutoka BARA.
    tena WAGALATIA akina THOBIUS
    HEEE...HEE MUUNGANO KWELI MZURI...
    SIJUI HAPO NANI ANAEFAIDIKA.
    SIJUI NANI ANAEMUENDESHA MWENZAKE.
    SIJUI HAPO NANI ALIETAWALIWA.
    SIJUI HAPO NANI PUMBAVU.
    LAKINI KUBWA ZAIDI....akina THOBIUS watazidi kuwa wengi ZANZIBAR. ..itafikia kuanza kuwashugulikia wale waumini WA kiislaamu. ..hadi misikitini.
    Ninavyoona hata hao wadogo nao pia kutoka BARA.
    MUUNGANO HUO!!
    WAZANZIBAR WANABAKI KULA MIX...
    WANAZIDI KUVULIWA SURUALI

    • @khairathussein9278
      @khairathussein9278 5 лет назад

      Huyo ni kamanda wa police mkoa wa mjini magharib na tambua kuwa jeshi la police ni la muungano so huwa wamechanganyika sawa

    • @allymahmoud9951
      @allymahmoud9951 5 лет назад

      Na wa

    • @bakarimembe7465
      @bakarimembe7465 5 лет назад

      Kama umeendashule basi utajua kuwa kuna kitu kinaitwa union matters na non union matters

  • @salehmadawa7035
    @salehmadawa7035 5 лет назад

    Huyo jku hana nidhamu kwanza kajinjia heshima kwanini hatiisheria za barabarani halafu kamvunjia heshima huyo askari wa barabarani kwa hiyo achukuliwe hatua kali za kisheria pia afukuzwe kazi kalidhalilisha jeshi la polisi

  • @user-pf9cd6zj1g
    @user-pf9cd6zj1g 3 года назад

    Mbona kiswahili chake si cha kizanzibari

  • @IsmailAli-xt2bj
    @IsmailAli-xt2bj 11 месяцев назад

    Nyenye polic. Munajiona bora. Kulioko jku kwani nyoto niaskar. Lazma mujengeyane heshima

  • @adamukibuba3305
    @adamukibuba3305 5 лет назад

    Mm furah yang ulikua wapigan bunduk wenye kwa wenyw

  • @suleimanalisaid3178
    @suleimanalisaid3178 3 года назад

    Bora

  • @user-wr1iu5re2c
    @user-wr1iu5re2c 6 месяцев назад

    Wanachukuliana wake hao tunayajua

  • @cypmkutubi3109
    @cypmkutubi3109 Год назад

    Mwanakulitafuta , mwanakulipata !
    Ubabe umegeuka kuwa unyonge !
    Hakuna aliye juu ya sheria

  • @muhemijeyr4285
    @muhemijeyr4285 3 года назад +1

    Tanzania kuna Amanii hii amanii ya aina ganiii

    • @kihanda2554
      @kihanda2554 Год назад

      Hivyo ni vitu vidoogo sana. Wala havina ishara yeyote ya kuvunja Amani.

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 года назад

    Huyo kamanda msemaji sio mzanzibar

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 Год назад

    Wakivunja wengine ni mbaya lkn polisi Wana vunja zaidi

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 3 года назад

    Na Ccm wa bara wanajitangaza. Wenyewe nyinyi zanzibar mnangoja nini

  • @beatricendalama-nt5hv
    @beatricendalama-nt5hv Год назад

    Fadirama

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 5 лет назад +1

    Asakari police kufanyiwa hivyo sawasawa tena wangepata nakichapo

    • @akshaydavid159
      @akshaydavid159 3 года назад

      Wanajeshi wengi ni goigoi hawana uwezo waekumpiga polisi

  • @ruwailaomar6501
    @ruwailaomar6501 3 года назад

    Wamegeuka samaki walana wao kwa wao na bado

  • @allyjumaallyjuma692
    @allyjumaallyjuma692 3 года назад

    Maoni yangu muungu awajaalie kilasiku mupigane wala msipatane maisha 😄😄😄😄

    • @kayobyoadam5791
      @kayobyoadam5791 3 года назад

      Kamanda kasema yy kua us a lama barabarni akuwa na siraha kwa nn apelekwe kambini kwa yy atachukuliwa atua je polisi wanaopiga RAIA wasio na siraha apo inakuaje

  • @fahadsulaiman9996
    @fahadsulaiman9996 3 года назад

    Nasahangaa wanasubiri nini kama hawa uwani. Pijaneni na uwaneni kama vile munavo waua raia bila ya hatia yeyotee. ALLAH NI HAKIMU NA HAYO NI MIONGONI MWA MALIPO YA WANAFIK NA MADHALIM

  • @ethansapili5038
    @ethansapili5038 3 года назад

    Haaaa waapi mtamshuulikia waapi

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 5 лет назад +2

    aslimia 85 ya jku wameishia darasa la sita na la saba sasa mnategemea nini

  • @josephemmanuel388
    @josephemmanuel388 Год назад

    kama police wanapigana ivyo wanatoa heshima kwa wananchi

  • @mwajemwafula5777
    @mwajemwafula5777 Год назад

    JKT+jku ni watoto wa Jwtz polisi hapo kazi mnayo

  • @Soud_planhouse
    @Soud_planhouse 10 месяцев назад

    Piganeni haka muoneshane ubabe kama munavyo tuonesha sisi raia kama nyinyi niwababe

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 Год назад

    Kwani JKU Ndiyo kinanani. Tusaidieni sisi huku Bariadi Hatujui. 😂

  • @HassanAliWaziri
    @HassanAliWaziri 11 месяцев назад

    Patam

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Год назад

    Askar ananguvu katika hii kesi maana alichofanya yeye kutimiza majukumu yake na mtu anapokuwa kwenye kazi basi anapaswa aheshimiwe..sio kila sehemu panahitaji nguvu au ubabe !!!

  • @abkhamsalshamte429
    @abkhamsalshamte429 Год назад

    unadhani kesi ya nyani na nyani unapaswa kuamuliwa na nani?

  • @muhammadfadhil9442
    @muhammadfadhil9442 3 года назад

    Hukuvunja na kukiuka sheria ni sawa jamani?

  • @ayoayoo1222
    @ayoayoo1222 3 года назад

    Military police ni kikosi cha kupambana na askari ambao hawana nidhamu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад

    Wafukuzwe kazi

  • @Hassan-cc3rz
    @Hassan-cc3rz Год назад

    Na hapa ndio tumeonauzaifuwao kesi ndogo anakuja kamishna anakujanaarkopterkutokadarisalamu

  • @honkhamis1936
    @honkhamis1936 5 лет назад

    Je ushawahi sikia gar au chombo cha usafiri cha polisi kimekatwa sheria ni msumeno ikate huku na huku

  • @al-bsaidykhalef6897
    @al-bsaidykhalef6897 5 лет назад +1

    Mimi maoni yangu nataka wapigane Mabunduki ivi sasa. Kamanda anza kazi ukoo buuu tiii buuu na ilo bonu kubwa tuuu

  • @AnaniaMmari
    @AnaniaMmari 6 дней назад

    Sw ubabe muneshane

  • @manmacho6529
    @manmacho6529 5 лет назад

    kweli ni fahari yetu

  • @umaimaalharthy3581
    @umaimaalharthy3581 5 лет назад +2

    Yamsondo mpe ngurumo aya mengine hayafai🙄