DUH.! KILICHOTOKEA MCHANA HUU BAADA YA JOHN MNYIKA KUITWA POLISI NI BALAA TUPU..!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • #tanzania #kifo #tanzia #chadema #mauaji #tanga #ccm #chamachamapinduzi #polisi #freemanmbowe #jeshilapolisi #daresalaam #daresalam

Комментарии • 52

  • @RajabuSeify
    @RajabuSeify День назад +8

    Mnyika Acha kudharau wito kwa kusingizia vikao je ungekua ndani ungetolewa kwanza uwende kwenye vikao.pia huyo wakili wako ni mjinga atakutafutia matatizo ya kutokutii amri halali hata huyo wakili anatakiwa kuwekwa ndani acheni ujinga . Nendeni.😅😅😊

    • @jacksonsilaa415
      @jacksonsilaa415 День назад +1

      We kama nani wa kuamuru watu

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 День назад +1

      Si anajua ashagundulika hehehe chadomo safari hii mtajua hamjui mezoea kufanya uchafu chini kwa chini ionekane ni polisi au serekali lakini hii mtakoma magaidi nye

    • @CostarbatoniMwaleleka
      @CostarbatoniMwaleleka 23 часа назад +1

      ​@@halimamasai2234Wembwa wewe unahushaidi kuwa nichadema siwawakamate

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 23 часа назад

      @@CostarbatoniMwaleleka Mbwa mama yako msenge wewe na ushidi wa kutosha kwani unataka nini kafirwe huko shoga wewe

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 22 часа назад

      ​@@halimamasai2234 mmmh. Ukweli hii sio ushabiki kama wa mpira. Tunajadili uhai wa kiamba chetu wote. Haya mambo bila kujali chama tunahitaji tafakuri. Mganga kule singinda nani kamtuma?.Raia anaweza kutofautisha vipi kua huyo ni police wa ukweli na huyu ni mtaka viungo vya binadamu?. Kama Raia wanaona wapendwa na ndugu wanapoteza maisha je CCM itapata kura?. Je huo ni upendo kwa Viongozi wetu?. Tunafanya tafakuri ya kina ya madhara yaliyopo mbele yetu?. Je hatujui kuwa ni hatari sana raia kuhishi ombwe la utawala wa sheria?. Kule kanda ya ziwa na Manyara hatujasikia matokeo mabaya ya raia kuhisi kuwepo ombwe la sheria?. Tz tumelogwa na nini?. Laiti tukubaliane kuondoa NJINI mla watu katikati yetu. Shida sio mahiti zinazo onekana kwa kutafunwa na Jini. Tatizo Jini mwenyewe njaa ya damu za watu. Jini mla watu anachafua CCM na watawala kuliko hiyo chadema. Mwenye masikio na asikie. Rejea Mzee Butiku, Nchimbi na Hotuba ya Mbowe. Wote wametuonya vizuri tu.Ila tz tumejenga uchawa na ukasuku tu. Tunataka kuvuruga nchi ili twende wapi?. Tujitafakari bila kujali vyama na uchawa wa chama gani?. Yesu alisema yule anayedhani kasimama angalie asianguke. Kuua watu hakujengi taifa tunajilisha upepo. Tz ya sasa inashangaza sana. Wauaji wa na watekaji wana lengo gani. Kwa wakubwa kisasi wanajua Tz ya leo haina upinzani wa mrema na Mzee Mkapa au Kikwete na Dr Slaa. Sasa hofu hii nini?. Jirani Zetu walianza hivi hivi, kwa mauaji reja reja. Huku wengine wakifanya ushabiki kupitia vyombo vya Habari. Kilchotokea ni historia. Hapa pia tuko hivyo wakati vyombo vikubwa vikiona aibu kua upande wa pili. Mitandao inatengeneza vichwa vya habari chochezi.

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 21 час назад +3

    Mimi natamani aitwe na kamati ya wale ambao wanafanya upelelezi chini ya waziri mkuu. Polisi wangejitoa maana wao ni watuhumiwa pia.

  • @neemamarisamarisa-rd7cq
    @neemamarisamarisa-rd7cq 21 час назад +3

    Jamani nyie watu muogopeni Mungu. Duniani huku tunapita.
    Tena Mungu anawaona.

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 22 часа назад +1

    Mwandishi acha unoko huo ni uchawa na uongo ofisi ya Chadema ipo kwa nini uongee peke yako acha ujinga mwogopeni Mungu.

  • @SaidMkambo
    @SaidMkambo 17 часов назад +1

    Mpaka hapo amesha onyesha ubaguzi kwasababu yalio watokea Kama hayo na yalio watokea hawa wote .ni watanzania

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l День назад +1

    Nenda kwenye point mjomba acha maneno

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg 20 часов назад

    Asante yesu mie ninapotaka ni hapo tu maana wamezidi kutuhumu serikali mungu simama ijulikane

  • @joshuaedward275
    @joshuaedward275 7 часов назад +1

    Kwanza hajakataa, pili imechukua muda mrefu sana toka mauji hadi upelelezi kuanza, hvyo jinsi wao wasivyo ona uharaka ndivyo wamuache nae Amalize kazi za Chama ndo awasikulize, tatu hao ndo wahusika wanawezaje kujipeleleza.....
    Mwisho wanachofanya ni kuweka watu muhimu busy ili maandamano yasifanyike 23th Sept,
    Hiyo Intalijensia iliyo makini na Hali ya juu sana(according to SSH) imeshindwaje kujua wauaji wenye silaha za kijeshi toka jeshini?? Mpaka mnyika aende kuelezea.....mbona wanajua vikao vya CDM vya siri bila hata mnyika kuwaambia???

  • @jubajewilson18
    @jubajewilson18 День назад +3

    Acha kusema uwongo. Mnyika kaeleza sababu ya kushindwa kufika polisi.

  • @SaidMkambo
    @SaidMkambo 17 часов назад +1

    Mangapi yametokea kabla ya mama Kama hayo au mfano wa hayo mbona hatua kumuona anasema

  • @BoniphaceManyama-y2s
    @BoniphaceManyama-y2s День назад +1

    Hakuna kitakachotokea ameelezavsabahu zenye mashiko kutofika kwake

  • @BenoSelapco
    @BenoSelapco День назад +1

    Acheni kutopotosha na bargain ya wito

  • @SaidMkambo
    @SaidMkambo 17 часов назад +1

    Huyo ana yake tu malehemu amekupa Kama sababu tu

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 19 часов назад +1

    Hakuna cha maana unachoongea unarudia rudia

  • @petsmore9955
    @petsmore9955 День назад +1

    Maarumu ,roo, kengere, nienderee! Lugha gani hiyo jamani?

  • @kennedyjohn8900
    @kennedyjohn8900 2 часа назад

    Wametumia utaratibu wa kisheria kumwita mnyika lakini pia mnyika amewajibu kisheria kwahiyo hajakataa kwenda wanaweza kumwita siku zingine pia

  • @DaviMaiko
    @DaviMaiko 6 часов назад +1

    Naninyiwandi munakuzamambotu

  • @rukiaismail
    @rukiaismail 20 часов назад

    Jaman nyinyi sikuhizi watu wamesoma chii inaenda vzri siowale walio binafisha chii nakwenda kujenga hoteli zauzi au mmesahau

  • @DaviMaiko
    @DaviMaiko 6 часов назад +1

    Muchwa umeshaingi utata funasana

  • @SaidMkambo
    @SaidMkambo 17 часов назад +1

    Tume shtuka anataka atufa Nye mbuzi wa kafala kwa maslhii yake

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 22 часа назад +2

    Lengo ni kudhoofisha upinzani mmeona uchaguzi umekaribia sasa mnaanza propaganda haiwezekani mnatuhumiwa ninyi halafu ninyi ninyi mpeleleze mnatufanya watanzania wajinga ninyi mapolisi mnaipeleka nchi hii pabaya

    • @PrishaHerry-t9i
      @PrishaHerry-t9i 22 часа назад

      Siku mkifunguka akili zenu na macho yenu na kugundua ukweli itakuwa tayar tunalia na kujuta km Libya wanavyomlilia Gadaf...kuwen makin na wana siasa 99%hawapo kwa ajil wananchi bali ni kwa maslah yao wenyewe..fatilia Central Africa, Congo,, Libya yalianzaje..jiulize kwa nn Chadema wamechagua wa kupeleleza km wanataka uhak kwa nn wasiombe tume ikae ichague nchi ya kupeleleza...,kwa nn mnyika amekataa kufika kuhojiwa kisa kikao wakati wanataka kuandamana kisa tukio hilo je kikao in nyeti kuliko mauwaji?

  • @SaidMkambo
    @SaidMkambo 17 часов назад

    Kwakukataa wito huyo tunaanza kuwa na mashaka nae anacho hofu Nini

  • @VickiMushi
    @VickiMushi 3 часа назад

    Jamani

  • @clementmgongolwa8316
    @clementmgongolwa8316 День назад +1

    Alikuwa na bunduki na pingu ?

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 День назад +1

    Tumeishawachoka nyie waandishi Kwa uongo wenu kwanini unaongea wewe

  • @jumannentimizi9000
    @jumannentimizi9000 19 часов назад

    Kuna watu wajinga sana hivi lini polisi wanafanya upelelezi wa aina hiyo harafu watu wanadai eti cdm ni watekaji hivi watanzania tumerogwa nani?

  • @Danielmathayo-hj8ek
    @Danielmathayo-hj8ek 20 часов назад

    Naona anajuwa kitu

  • @SaidMkambo
    @SaidMkambo 17 часов назад

    Hilo nikosa

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro День назад +1

    Chadema wanajua wao ndio wauwaji wa kibao asirimia moja kutaka kupata wafuasi kwa sababu Chadema kinaenda kufa nchi Tanzania

    • @norahfrank
      @norahfrank 23 часа назад +1

      Hayo ni mawazo ya 0

    • @maryammMaryamm-p4s
      @maryammMaryamm-p4s 9 часов назад

      Hata ingekuwa mm nisingeenda kwasababu hali ya utekaji Bado ipo je na yy akafanyuwa km awalivyofanyiwa wenzie na km akipenda aende na wanachadema wenzie

  • @sharifajosia879
    @sharifajosia879 20 часов назад

    Chadema hawana lengo zuri na nchi hii hatunaimani nao tena niwachichezi hawa wa vurugu Muogopeni Mungu nyie viongozi wa Chadema msiivuruge Amani ya Tanzania

  • @haruniaisha5905
    @haruniaisha5905 День назад +1

    Naneno mengi mbwa wewe

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 День назад

      Tena mbwa koko

    • @harunambeo6110
      @harunambeo6110 День назад

      😮😮 5:53 ​@@yassinnabwera4273

    • @jacksonsilaa415
      @jacksonsilaa415 День назад

      ​@@yassinnabwera4273Mbwa nao wanaongea siku hizi 😂😂😂😂😂

    • @ErastoSabuni-yi1fl
      @ErastoSabuni-yi1fl День назад +1

      @@jacksonsilaa415 tuweni wastaarabu jamani katika majibishano mtandaoni matusii ya nini?