Ajira ya Polisi yaibua Makubwa Zanzibar, JKU Wakamata vyeti feki watuhumiwa waomba kusamehewa.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 33

  • @OthmanhajiMwalim
    @OthmanhajiMwalim 7 месяцев назад +2

    Huyu jamaa kama angeliajiriwa kwenye kubaini vyeti feki .angelisaidia sana hicho ni kichwa

  • @masoudallysalum974
    @masoudallysalum974 Год назад +1

    Kanal Daima hongera sana sana tu

  • @zenjibaikelife3659
    @zenjibaikelife3659 3 года назад +1

    Matatiz kama haya zanzibar ngumu sana kuisha ila hongera sana jku kazi nzuri sana iy

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 7 месяцев назад +1

    Sasa unasikitika nini mambo yakawaida tu madamu hajauwa…..sheha mwenyewe wanazingua

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 6 месяцев назад

    Serekali ya mapinduzi mumejaa watu wenye vyet feki musitubabaishe naamini wengine wanahusika tena ngaz za juu muwataje tuwajue

  • @maridhiaabdallah630
    @maridhiaabdallah630 3 месяца назад

    Tufumbeni macho vipofu Zanzibar bwana 😂😂😂

  • @lazarosironga-rw2hj
    @lazarosironga-rw2hj Год назад +1

    Mh, kweli Kuna wahuni

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 6 месяцев назад

    Serekali ya ccm ndio zeni hizo kuwajiri watu wasio na elimu wala vyeti halali mtu anamaliza sikuli darasa la kumi t anakuwa jku au kvz nk chunguzeni wamejaa

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 6 месяцев назад

    Mkuu wa mkoa sio mukigundua wamo wamejaa kweny vikosi vya smz chunguzeni kwakina sisi tuna vyeti vya halali hatuajiriwi sababu eti hatuipend ccm

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 6 месяцев назад

    Nashauri serekali ya smz huu jamaa hayuko peke ake ana wakubwa serekalini musimuhukum peke ake wako ngaz ya juu nawao muwahukum

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 6 месяцев назад

    Mkuu wa mkoa ukijulikana nawewe umo utakubali kweli kuhukumiwa au unasema t sababu wajijua huhusiki

  • @AliHahi-qs5it
    @AliHahi-qs5it 6 месяцев назад

    Swala inawapita kwa mambo ya kidunia

  • @k.bkassim1249
    @k.bkassim1249 3 года назад +1

    Kama yeye anafoji vyeti anataka kuwakosesha haki za msingi vijana waojitolea kujenga taifa.wao wamejitolea wanahangaika kwaajili ya nchi yao yeye anachakachua kuwakosesha baadhi ya watu haki zao.
    Naipa hongera sana jku.imefanya kaz mzr

  • @husseniomar4467
    @husseniomar4467 7 месяцев назад

    sisi letu jicho tu tuna subiria siku ya malipo

  • @masoudallysalum974
    @masoudallysalum974 Год назад

    Hongereni sana jeshi langu jkuz

  • @newmovie7897
    @newmovie7897 6 месяцев назад

    Huyu apewe ajira😢

  • @fikirinisaleh1413
    @fikirinisaleh1413 3 года назад +1

    HONGERENI SANA JKU IPO JUU SANA ... KAZI IENDELEE

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 8 месяцев назад

    RUDINI MAKWENU ISRAEL JUNIOR 😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 7 месяцев назад

    Matokeo kama haya inatokana na njaa tu…..hakuna kengine serikali ijipange kutoa ajira tu..suala la vyeti sioni kama issue kubwa shughulikieni na wizi mitaani

  • @charlesdotto7807
    @charlesdotto7807 Год назад

    Duh??? Jamaa anatisha ila huyo hayuko mwenyewe lazima Kuna mtu nyuma yake au mbele yake sirahisi kama tunavyoweza zani kuwa mtu wakawaida tu ok sojui ila serikari ipo naipo macho na itasimama katika kutendea haki Sheria

  • @billarttydibelly533
    @billarttydibelly533 3 года назад +1

    Jku wanaweza

  • @lazarosironga-rw2hj
    @lazarosironga-rw2hj Год назад

    Jamaniye sidhani Kama huyo anahitaji mahojiano mengi yeye aseme tu yuko na kiongozi gani wa serikali maana sidhani Kama yupo pekee yake hapana ebu ashikiliwe vzr aseme ukweli.

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Год назад

    Kapata wapi nyinyi wenyewe mnamgeuka mume mpa sasa akuretiyeni era anakura pekeyake

  • @masoudallysalum974
    @masoudallysalum974 Год назад

    Salut afande Daima

  • @MohdAli-cx7bc
    @MohdAli-cx7bc 3 года назад

    Boss waangalie makamanda wakamataji Wana was was Sana wote Wana vyeti feki hahaha unawaogopesha mzee

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Год назад

    mmetoa wenyewe bana msituhangaishe!!!

  • @lazarosironga-rw2hj
    @lazarosironga-rw2hj Год назад

    Huyo ni halali yake kupata adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine

  • @sirbussongo4490
    @sirbussongo4490 Год назад

    Dah

  • @andrewgeophrey655
    @andrewgeophrey655 3 года назад +2

    Again wakwanza

  • @marrowog8975
    @marrowog8975 3 года назад

    Wafanya kazi wenye vyeti feki wamejaaa makazini kwa hali hioo

  • @masoudallysalum974
    @masoudallysalum974 Год назад

    Huyo jamaa hafai ni muhujumu uchumi si mtu mzuri kabisa

  • @cctvroom2239
    @cctvroom2239 Год назад

    Swala inawapita huko

  • @confirmationparadise140
    @confirmationparadise140 Год назад

    Jamaa fundi