Serekali ya ccm ndio zeni hizo kuwajiri watu wasio na elimu wala vyeti halali mtu anamaliza sikuli darasa la kumi t anakuwa jku au kvz nk chunguzeni wamejaa
Kama yeye anafoji vyeti anataka kuwakosesha haki za msingi vijana waojitolea kujenga taifa.wao wamejitolea wanahangaika kwaajili ya nchi yao yeye anachakachua kuwakosesha baadhi ya watu haki zao. Naipa hongera sana jku.imefanya kaz mzr
Matokeo kama haya inatokana na njaa tu…..hakuna kengine serikali ijipange kutoa ajira tu..suala la vyeti sioni kama issue kubwa shughulikieni na wizi mitaani
Duh??? Jamaa anatisha ila huyo hayuko mwenyewe lazima Kuna mtu nyuma yake au mbele yake sirahisi kama tunavyoweza zani kuwa mtu wakawaida tu ok sojui ila serikari ipo naipo macho na itasimama katika kutendea haki Sheria
Jamaniye sidhani Kama huyo anahitaji mahojiano mengi yeye aseme tu yuko na kiongozi gani wa serikali maana sidhani Kama yupo pekee yake hapana ebu ashikiliwe vzr aseme ukweli.
Huyu jamaa kama angeliajiriwa kwenye kubaini vyeti feki .angelisaidia sana hicho ni kichwa
Kanal Daima hongera sana sana tu
Matatiz kama haya zanzibar ngumu sana kuisha ila hongera sana jku kazi nzuri sana iy
Sasa unasikitika nini mambo yakawaida tu madamu hajauwa…..sheha mwenyewe wanazingua
Serekali ya mapinduzi mumejaa watu wenye vyet feki musitubabaishe naamini wengine wanahusika tena ngaz za juu muwataje tuwajue
Tufumbeni macho vipofu Zanzibar bwana 😂😂😂
Mh, kweli Kuna wahuni
Serekali ya ccm ndio zeni hizo kuwajiri watu wasio na elimu wala vyeti halali mtu anamaliza sikuli darasa la kumi t anakuwa jku au kvz nk chunguzeni wamejaa
Mkuu wa mkoa sio mukigundua wamo wamejaa kweny vikosi vya smz chunguzeni kwakina sisi tuna vyeti vya halali hatuajiriwi sababu eti hatuipend ccm
Nashauri serekali ya smz huu jamaa hayuko peke ake ana wakubwa serekalini musimuhukum peke ake wako ngaz ya juu nawao muwahukum
Mkuu wa mkoa ukijulikana nawewe umo utakubali kweli kuhukumiwa au unasema t sababu wajijua huhusiki
Swala inawapita kwa mambo ya kidunia
Kama yeye anafoji vyeti anataka kuwakosesha haki za msingi vijana waojitolea kujenga taifa.wao wamejitolea wanahangaika kwaajili ya nchi yao yeye anachakachua kuwakosesha baadhi ya watu haki zao.
Naipa hongera sana jku.imefanya kaz mzr
sisi letu jicho tu tuna subiria siku ya malipo
Hongereni sana jeshi langu jkuz
Huyu apewe ajira😢
HONGERENI SANA JKU IPO JUU SANA ... KAZI IENDELEE
RUDINI MAKWENU ISRAEL JUNIOR 😮😮😮😮😮😮😮😮
Matokeo kama haya inatokana na njaa tu…..hakuna kengine serikali ijipange kutoa ajira tu..suala la vyeti sioni kama issue kubwa shughulikieni na wizi mitaani
Duh??? Jamaa anatisha ila huyo hayuko mwenyewe lazima Kuna mtu nyuma yake au mbele yake sirahisi kama tunavyoweza zani kuwa mtu wakawaida tu ok sojui ila serikari ipo naipo macho na itasimama katika kutendea haki Sheria
Jku wanaweza
Jamaniye sidhani Kama huyo anahitaji mahojiano mengi yeye aseme tu yuko na kiongozi gani wa serikali maana sidhani Kama yupo pekee yake hapana ebu ashikiliwe vzr aseme ukweli.
Kapata wapi nyinyi wenyewe mnamgeuka mume mpa sasa akuretiyeni era anakura pekeyake
Salut afande Daima
Boss waangalie makamanda wakamataji Wana was was Sana wote Wana vyeti feki hahaha unawaogopesha mzee
mmetoa wenyewe bana msituhangaishe!!!
Huyo ni halali yake kupata adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine
Dah
Again wakwanza
Wafanya kazi wenye vyeti feki wamejaaa makazini kwa hali hioo
Huyo jamaa hafai ni muhujumu uchumi si mtu mzuri kabisa
Swala inawapita huko
Jamaa fundi