SHEIKH MUHAMMAD BACHU|HATIMAE NILIFAULU KUEKA JIWE LA MSINGI KIJIJINI SHANGA ISHAKANI LAMU VISIWANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #alhaajartvkenya #afyanajamii #livetv
    SHARE, COMMENT & SUBSCRIBE
    Instagram: Alhaajartvkenya
    Twitter: Alhaajartvkenya
    Facebook: Alhaajartvkenya
    RUclips: Alhaajartvkenya
    © Al Haajar TV Kenya 2024

Комментарии • 57

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 2 месяца назад +3

    Sunnah inasambaa ndani ya Lamu vyema, alhamdulillah.

  • @sierabravo848
    @sierabravo848 2 месяца назад

    Mashaalah

  • @zawiaissa8912
    @zawiaissa8912 2 месяца назад +1

    MashaAllah ❤

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku 2 месяца назад +1

    ماشاء الله تبارك الله السلام عليكم الله سبحانه وتعالى سهل وسنة رسول الله صلى الله عليه وسلم ادخل تلك المدينة إن شاء الله

  • @petsathome7091
    @petsathome7091 2 месяца назад +1

    Assalamu alyakum warahmatullaahi wabarakaatuh
    Masha’allaah Mashekhe wetu Allaah awalipe kila la kheri.
    Tunaomba no yenu tunajaribu sana kuwapigia lkn hatuwapati shukran.
    Wabillaahi taufiq.

  • @najmandetei
    @najmandetei 2 месяца назад +1

    Masha Allah,Tabaaraka Allah

  • @MahmoudMohamed-yc6fr
    @MahmoudMohamed-yc6fr 2 месяца назад +1

    Masha Allah

  • @AbdulhalimMohamed-o8x
    @AbdulhalimMohamed-o8x 2 месяца назад

    MASHAALLAH ALLAH IBARIK ❤

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 2 месяца назад +4

    Allah akulipeni kher na awaingize peponi

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 2 месяца назад +4

    Allah aubariki huo msikiti kama alivyoubariki msingi ulowekwa na nabii ibrahimu makkah ameeen

  • @Raissaabdoul
    @Raissaabdoul 2 месяца назад +1

    MashaAllah 🥰🥰🥰

  • @amanitoza
    @amanitoza 2 месяца назад +1

    Ma shaa Allah Tabarakallah

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 2 месяца назад +1

    MASHAA ALLAH tabarakallah

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp 2 месяца назад +1

    MashAllah Allah awalipe kheri

  • @shuaibalula9003
    @shuaibalula9003 2 месяца назад +2

    Mashaallah nafurahi kuona sunnah ikihuishwa ktk sehemu ya uzushi

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 2 месяца назад

      shuaibalula9003 Sunna ipi ambayo mwaifikisha sehemu ya wazushi? Kwanza Sunna ya Mtume S.A.W sio Sunna ya kutukana kulaani na kukufurisha watu لَمْ يَكُنِ النبيُّ صَلَّى اللهُ عليه وسلَّمَ سَبَّابًا، ولَا فَحَّاشًا، ولَا لَعَّانًا، كانَ يقولُ لأحَدِنَا عِنْدَ المَعْتِبَةِ: ما له تَرِبَ جَبِينُهُ.
      الراوي : أنس بن مالك | المحدث : البخارى | المصدر : صحيح البخاري | الصفحة أو الرقم : 6031 | خلاصة حكم المحدث : [صحيح] | التخريج : أخرجه البخاري (6031)Angalia Hadithi Swahihi Mtume S.A.W maisha yake yote hakuwai kutukana kulaani na kukufurisha watu,bachu kutukana kulaani na kukufurisha watu ndio silaha yake Mtume S.A.W maisha yake.Pili wasema Sunna kufikishwa sehemu ya wazushi nakuuliza hivi kwani huko kwenu kwa uwahabini hamuna Uzushi mbona mwajisahau sana nyinyi mawahabi عن ابن عباس رضي الله عنه،قال إذا أردتَ أن تَذْكُرَ عيوبَ صاحبِكَ فاذكرْ عيوبَ نفسِكالراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الألباني | المصدر : السلسلة الضعيفةالصفحة أو الرقم : 6975 | خلاصة حكم المحدث : منكر | أحاديث مشابهةالتخريج : أخرجه البخاري في ((الأدب المفرد)) (328)، والبيهقي في ((شعب الإيمان)) (6758)kabla hujasema aibu ya mwenzako mwanzo angalia aibu ya kwako tena Uzushi wenu ndio mibaya sana kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ktk Tauhid ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم kigawanyo Cha Tauhid ipo ktk Aya gani ya Quran au Hadithi ipi Swahihi ya Mtume S.A.W

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 2 месяца назад +5

    Tunawapenda kwajili ya Allah wenyevijicho wasiotaka miskitikujengwa mujikaze Allah ndiokayafanya

  • @soffiscarlett9702
    @soffiscarlett9702 2 месяца назад +1

    Taqbeer

  • @HalimaSwaleh-n6f
    @HalimaSwaleh-n6f 2 месяца назад +1

    Maa shaa Allah

  • @abdulazizshadau8082
    @abdulazizshadau8082 2 месяца назад +1

    Mashallah

  • @AnwarMohamed-ki6im
    @AnwarMohamed-ki6im 2 месяца назад

    لَمَسْجِدٌ أُسِّسَ عَلَى التَّقْوَى مِنْ أَوَّلِ يَوْمٍ أَحَقُّ أَنْ تَقُومَ فِيهِ فِيهِ رِجَالٌ يُحِبُّونَ أَنْ يَتَطَهَّرُوا وَاللَّهُ يُحِبُّ الْمُطَّهِّرِينَ

  • @rushu1232
    @rushu1232 2 месяца назад

    Ustadh sheikh Dumila umefanya kazi kubwa yakuswalisha na kusomesha miaka mingi Mwenyeezi Mngu akulipe kheri masikitiko mwisho wa umri twakuomba usishirikiane na watu wamizozo na fitna watu wengi wakuhishimu.

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 2 месяца назад

      We tulia dawa ikuingie mizozo ndo nini

    • @soffiscarlett9702
      @soffiscarlett9702 2 месяца назад

      Acha pang'ang'a nyingi

    • @rushu1232
      @rushu1232 2 месяца назад

      @@soffiscarlett9702 Acha pangnga sijui tulia dawa ikuingie maneno yakipuzi mimi namuhurumi sheikh Dumila ametusomeshea watoto wetu Quraan japo baada alibadika lakini hatuwezi sahau fadhla zake ikiwa bachu kwangu mimi ni mpuzi nafidhuli ndio akafukuzwa kwao na kiboko yake ustadh Said.

    • @rushu1232
      @rushu1232 2 месяца назад +1

      Haya munayo fanya ni mambo yakusikitisha siu kulikuwako na masheikh siu hakuna wajinga watu werevu kwa kila nyanja kizingitini Rasini kina Msallam Mohd Shariff Famau wamesomesha mpaka wametoa wanafuzi wengi Bahero pia nyinyi mwapenda mafidhuli sio aalim bachu ni fidhuli lakini kiboko yake yuko bado Sheikh Said.

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 2 месяца назад

      @@rushu1232 kwani umeamua kumchukia ww haitokusaidia kitu kwani lazima umpende ww akipendwa na allah na sisi tunaompenda haina shida wanamchikia kisa anafurumua bidaa zenu ndomana sasa hwezi kumlinganisha bachu kiilmu na miipga vinanda yule saidi bachu kitu kingine waulize hao masheh zako wanamjuwa vzr tuuh wanapinga kiushabiki lakini anawabuluza sana naona unalalamikaaa et kina shekhe bahero sijui mssalamu sasa bahero kwani mpiga mattwari umeona, au msoma maulid shekhe bahero mbona unalalamikia kitu kisicho na faida ww wafatilie mashekhe zako kina huzzudini bachu humuwezi bahri ingine kabisa so level zenu

  • @Rabbihdini
    @Rabbihdini Месяц назад

    Swala ya mtume mawahabi hawakuswaliya kwasababu hawakuzoweya angaliya katika dakika 5.21

  • @AliKhatib-vy1oj
    @AliKhatib-vy1oj 2 месяца назад +1

    Mm bado nahimiz ikhilaswi kwan naona mm kua shaitwan anakuchezeen cn

    • @soffiscarlett9702
      @soffiscarlett9702 2 месяца назад

      Audhubillah
      Sheitwan kakuvaa weye zaidi

    • @AliKhatib-vy1oj
      @AliKhatib-vy1oj 2 месяца назад

      @@soffiscarlett9702 sw khii ila jichuge ktk kufanya ibad usipende kufanya ili uoneke utakuja juta na wakat ushapotea Aslam alyikum

  • @swalehseifmuhammed8289
    @swalehseifmuhammed8289 2 месяца назад

    Didaa kupiga takbir kwenye ujenzi

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 2 месяца назад

      Unaju pahala ambapo panajuzu takbira?

    • @swalehseifmuhammed8289
      @swalehseifmuhammed8289 2 месяца назад

      @@Hamis-ks1sy je mtume alifanya hivo

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 2 месяца назад +1

      Ww takibir yako mpaka kwenye khitima na maulidi ndo unajuwa inajuzu sio

    • @soffiscarlett9702
      @soffiscarlett9702 2 месяца назад

      Soma wewe acha kuongea bila ujuzi😂

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 2 месяца назад

      ​@@AbdulIssa-o7eWallahi hawa mawahabi ni watu maajabu sana yaani jambo wakifanya wao ni sawa lkni wakifanya wengine sio sawa haya Taqbira ukiletwa kama unavyo sema kwenye khitma au Maulid sio sawa lkni kwa kuwa wao wameleta kwenye ujenzi ndio yafaa. Jifikirieni sana mara nyingi mwajisahau

  • @abdulhamidyahya5904
    @abdulhamidyahya5904 2 месяца назад

    Mahzbi huu mfumo wa kupiga takbira mumetoa wapi kama sio bid3aa ni nini

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 2 месяца назад +2

      Unatumia Sana ww utawaita hizbi watu wanasonga mbele tuh kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji dini so yako hii

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 2 месяца назад +1

      Arafu ww unangaliaje video wakati salafi uchwara mnakataa video haramu kwenu ku si kumuharifu kiongozi wako mafuta

    • @soffiscarlett9702
      @soffiscarlett9702 2 месяца назад

      Unajua maana ya Takbiir au unaongea tuh

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 2 месяца назад

      @@soffiscarlett9702 yani kuna mijituk kwenye hii dini inajfanya inajuwa kumbe hamna kitu sasa kukosoa takbir hapo inamana gani kwani yeye anadhani hawo wanajifanya hivyo hwajasoma wafaye kitu bila kuelewa uute mzunggumzaji wa hivyo mtupu tuuh kichwani hata msahafu hajaifadhi kichwwani

    • @abdulhamidyahya5904
      @abdulhamidyahya5904 2 месяца назад

      Maneno mengi jibuni swali huu mfumo mumetoa wapi

  • @rushu1232
    @rushu1232 2 месяца назад

    Hiyo lugha ya msikiti wa sunnah kwani Mohd shariff Famau na Msallam walikua sio watu wa sunnah mumeletewa sunnah na bachu.

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 2 месяца назад

      Walikuwa watu wa bid'a na maulidi, alhamdulillah sunnah inaingia, meza wembe

    • @rushu1232
      @rushu1232 2 месяца назад

      @@mohagurey2214 imechelewa sana kuingia dalili za kiyama nyingi zishadhihiri labda wewe hujui masheikh wahuko nikutajie Bahero Msallam Mohd Shariff Famau Abuu Hamza lakini mumezoea ufedhuli na mafidhuli.

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 2 месяца назад

      @@rushu1232 watu wa maulidi wote ni ahlul bid'a

    • @rushu1232
      @rushu1232 2 месяца назад

      ​@@mohagurey2214ubayo wako hujielewi hao masheikh wate niowataja hapo ni mawahabi hakuna wa maulidi mumozea ufedhuli tu.

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 2 месяца назад

      @@rushu1232 hakuna kitu inaitwa wahabi, labda ni wewe

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 2 месяца назад +1

    Mashallah