SHEIKH MUHAMMAD BACHU|HATIMAE NILIFAULU KUEKA JIWE LA MSINGI KIJIJINI SHANGA ISHAKANI LAMU VISIWANI
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- #alhaajartvkenya #afyanajamii #livetv
SHARE, COMMENT & SUBSCRIBE
Instagram: Alhaajartvkenya
Twitter: Alhaajartvkenya
Facebook: Alhaajartvkenya
RUclips: Alhaajartvkenya
© Al Haajar TV Kenya 2024
Sunnah inasambaa ndani ya Lamu vyema, alhamdulillah.
Mashaalah
MashaAllah ❤
ماشاء الله تبارك الله السلام عليكم الله سبحانه وتعالى سهل وسنة رسول الله صلى الله عليه وسلم ادخل تلك المدينة إن شاء الله
Assalamu alyakum warahmatullaahi wabarakaatuh
Masha’allaah Mashekhe wetu Allaah awalipe kila la kheri.
Tunaomba no yenu tunajaribu sana kuwapigia lkn hatuwapati shukran.
Wabillaahi taufiq.
Masha Allah,Tabaaraka Allah
Masha Allah
MASHAALLAH ALLAH IBARIK ❤
Allah akulipeni kher na awaingize peponi
Allah aubariki huo msikiti kama alivyoubariki msingi ulowekwa na nabii ibrahimu makkah ameeen
MashaAllah 🥰🥰🥰
Ma shaa Allah Tabarakallah
MASHAA ALLAH tabarakallah
MashAllah Allah awalipe kheri
Mashaallah nafurahi kuona sunnah ikihuishwa ktk sehemu ya uzushi
shuaibalula9003 Sunna ipi ambayo mwaifikisha sehemu ya wazushi? Kwanza Sunna ya Mtume S.A.W sio Sunna ya kutukana kulaani na kukufurisha watu لَمْ يَكُنِ النبيُّ صَلَّى اللهُ عليه وسلَّمَ سَبَّابًا، ولَا فَحَّاشًا، ولَا لَعَّانًا، كانَ يقولُ لأحَدِنَا عِنْدَ المَعْتِبَةِ: ما له تَرِبَ جَبِينُهُ.
الراوي : أنس بن مالك | المحدث : البخارى | المصدر : صحيح البخاري | الصفحة أو الرقم : 6031 | خلاصة حكم المحدث : [صحيح] | التخريج : أخرجه البخاري (6031)Angalia Hadithi Swahihi Mtume S.A.W maisha yake yote hakuwai kutukana kulaani na kukufurisha watu,bachu kutukana kulaani na kukufurisha watu ndio silaha yake Mtume S.A.W maisha yake.Pili wasema Sunna kufikishwa sehemu ya wazushi nakuuliza hivi kwani huko kwenu kwa uwahabini hamuna Uzushi mbona mwajisahau sana nyinyi mawahabi عن ابن عباس رضي الله عنه،قال إذا أردتَ أن تَذْكُرَ عيوبَ صاحبِكَ فاذكرْ عيوبَ نفسِكالراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الألباني | المصدر : السلسلة الضعيفةالصفحة أو الرقم : 6975 | خلاصة حكم المحدث : منكر | أحاديث مشابهةالتخريج : أخرجه البخاري في ((الأدب المفرد)) (328)، والبيهقي في ((شعب الإيمان)) (6758)kabla hujasema aibu ya mwenzako mwanzo angalia aibu ya kwako tena Uzushi wenu ndio mibaya sana kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ktk Tauhid ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم kigawanyo Cha Tauhid ipo ktk Aya gani ya Quran au Hadithi ipi Swahihi ya Mtume S.A.W
Tunawapenda kwajili ya Allah wenyevijicho wasiotaka miskitikujengwa mujikaze Allah ndiokayafanya
Taqbeer
Maa shaa Allah
Mashallah
لَمَسْجِدٌ أُسِّسَ عَلَى التَّقْوَى مِنْ أَوَّلِ يَوْمٍ أَحَقُّ أَنْ تَقُومَ فِيهِ فِيهِ رِجَالٌ يُحِبُّونَ أَنْ يَتَطَهَّرُوا وَاللَّهُ يُحِبُّ الْمُطَّهِّرِينَ
Ustadh sheikh Dumila umefanya kazi kubwa yakuswalisha na kusomesha miaka mingi Mwenyeezi Mngu akulipe kheri masikitiko mwisho wa umri twakuomba usishirikiane na watu wamizozo na fitna watu wengi wakuhishimu.
We tulia dawa ikuingie mizozo ndo nini
Acha pang'ang'a nyingi
@@soffiscarlett9702 Acha pangnga sijui tulia dawa ikuingie maneno yakipuzi mimi namuhurumi sheikh Dumila ametusomeshea watoto wetu Quraan japo baada alibadika lakini hatuwezi sahau fadhla zake ikiwa bachu kwangu mimi ni mpuzi nafidhuli ndio akafukuzwa kwao na kiboko yake ustadh Said.
Haya munayo fanya ni mambo yakusikitisha siu kulikuwako na masheikh siu hakuna wajinga watu werevu kwa kila nyanja kizingitini Rasini kina Msallam Mohd Shariff Famau wamesomesha mpaka wametoa wanafuzi wengi Bahero pia nyinyi mwapenda mafidhuli sio aalim bachu ni fidhuli lakini kiboko yake yuko bado Sheikh Said.
@@rushu1232 kwani umeamua kumchukia ww haitokusaidia kitu kwani lazima umpende ww akipendwa na allah na sisi tunaompenda haina shida wanamchikia kisa anafurumua bidaa zenu ndomana sasa hwezi kumlinganisha bachu kiilmu na miipga vinanda yule saidi bachu kitu kingine waulize hao masheh zako wanamjuwa vzr tuuh wanapinga kiushabiki lakini anawabuluza sana naona unalalamikaaa et kina shekhe bahero sijui mssalamu sasa bahero kwani mpiga mattwari umeona, au msoma maulid shekhe bahero mbona unalalamikia kitu kisicho na faida ww wafatilie mashekhe zako kina huzzudini bachu humuwezi bahri ingine kabisa so level zenu
Swala ya mtume mawahabi hawakuswaliya kwasababu hawakuzoweya angaliya katika dakika 5.21
Mm bado nahimiz ikhilaswi kwan naona mm kua shaitwan anakuchezeen cn
Audhubillah
Sheitwan kakuvaa weye zaidi
@@soffiscarlett9702 sw khii ila jichuge ktk kufanya ibad usipende kufanya ili uoneke utakuja juta na wakat ushapotea Aslam alyikum
Didaa kupiga takbir kwenye ujenzi
Unaju pahala ambapo panajuzu takbira?
@@Hamis-ks1sy je mtume alifanya hivo
Ww takibir yako mpaka kwenye khitima na maulidi ndo unajuwa inajuzu sio
Soma wewe acha kuongea bila ujuzi😂
@@AbdulIssa-o7eWallahi hawa mawahabi ni watu maajabu sana yaani jambo wakifanya wao ni sawa lkni wakifanya wengine sio sawa haya Taqbira ukiletwa kama unavyo sema kwenye khitma au Maulid sio sawa lkni kwa kuwa wao wameleta kwenye ujenzi ndio yafaa. Jifikirieni sana mara nyingi mwajisahau
Mahzbi huu mfumo wa kupiga takbira mumetoa wapi kama sio bid3aa ni nini
Unatumia Sana ww utawaita hizbi watu wanasonga mbele tuh kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji dini so yako hii
Arafu ww unangaliaje video wakati salafi uchwara mnakataa video haramu kwenu ku si kumuharifu kiongozi wako mafuta
Unajua maana ya Takbiir au unaongea tuh
@@soffiscarlett9702 yani kuna mijituk kwenye hii dini inajfanya inajuwa kumbe hamna kitu sasa kukosoa takbir hapo inamana gani kwani yeye anadhani hawo wanajifanya hivyo hwajasoma wafaye kitu bila kuelewa uute mzunggumzaji wa hivyo mtupu tuuh kichwani hata msahafu hajaifadhi kichwwani
Maneno mengi jibuni swali huu mfumo mumetoa wapi
Hiyo lugha ya msikiti wa sunnah kwani Mohd shariff Famau na Msallam walikua sio watu wa sunnah mumeletewa sunnah na bachu.
Walikuwa watu wa bid'a na maulidi, alhamdulillah sunnah inaingia, meza wembe
@@mohagurey2214 imechelewa sana kuingia dalili za kiyama nyingi zishadhihiri labda wewe hujui masheikh wahuko nikutajie Bahero Msallam Mohd Shariff Famau Abuu Hamza lakini mumezoea ufedhuli na mafidhuli.
@@rushu1232 watu wa maulidi wote ni ahlul bid'a
@@mohagurey2214ubayo wako hujielewi hao masheikh wate niowataja hapo ni mawahabi hakuna wa maulidi mumozea ufedhuli tu.
@@rushu1232 hakuna kitu inaitwa wahabi, labda ni wewe
Mashallah