Ibrah Nation - Wangapi? (Amapiano) [Official Music Video]
HTML-код
- Опубликовано: 7 май 2021
- Ibrah Nation - Wangapi? (Amapiano)
Produced by Dedrey
Video directed by Dir Florian
Wangapi? is a song about a lover with multiple partners. The persona of the song is confused why the partner can not settle down yet she is very much loved.
He is shocked that she is with other men yet he thought she was all his.
He goes on to inquire how many more partners she is looking for and if all the entanglement brings her satisfaction.
Stream & Download
Apple Music: apple.co/2SveHjv
Spotify: spoti.fi/3h9ESXj
RUclips: bit.ly/3utpCIx
Deezer: bit.ly/3eYNeys
Pandora: bit.ly/3nVCoNH
Wangapi? Lyrics
Nashindwa kuelewa adhabu
Naona ngekewa maajabu
Nimechelewa
Sijaelewa nahisi kudata
Nikilewa naishia kubwata aah ah
Nilidhani kwamba we ni wangu
Kumbe umetupanga kama fungu
Chagua moja unampenda nani
Hatuwez wote tukakuweka ndani
Chorus
Utapenda Wangapi?
Kaa na nani nani
Baki tuu na Mimi eeh
Na mii iii oohh
Wangapi ngapi
Utazaa na nani nani
Baki tu na Mimi babe
Na mii iiii
Ooh oh yeah
Mimi ndio yule akupendae
Na tena bure nilikupenda we
Sikujua una msululu
Mambo yako ni vululu
Mi mwenzako mi kunguru
Naogopa
Ukibaki na yule mi sitaki
Babe I wanna be your number one
Wasikugusee
Wasikuchezee
Mimi ntatulia
Uuooo ooh ooh ooh yeah
Nilidhani kwamba we ni wangu
Kumbe umetupanga kama fungu
Chagua moja unampenda nani
Hatuwez wote tukakuweka ndani
Chorus
Utapenda Wangapi
Kaa na nani nani
Baki tuu na Mimi eeh
Na mii iii oohh
Wangapi ngapi
Utazaa na nani nani
Baki tu na Mimi babe
Na mii iiii
Ooh oh yeah
#ibrahnation #wangapi #nationmusic - Видеоклипы
Tanzania wake up! Ibrah is a pure talent let’s support our own 🔥🔥🔥
talented
thanks bro🔥
Tuliotoka kwa salama sk tujuane kwa like tyu💣💣💣💣💣💣💥💥💥💥
nampenda demu halafu haeleweki.., hivyo naamua niende zangu kidimbwi den vitu vimeshanikolea kwa kichwa ghafra Dj ananigongea lisong hili walah ntarudi mtupu nyumbn
Ibra King Of R&B 👍 Like Nyingi Kwake💯
aaaaaaaah msije sema sikusema huyu jamaa mkali aisee huwa si comment mimi ila huyu jamaa ni dollar amini kwamba.
mzee kaza kama mbele
🔥🔥🔥
haha haha
Watu wanajua jaman ila hizi timu @alikiba @diamond @harmonize zinatuaharibia mziki mzuri kama huu.. hatuupati kwa wakati.🥰😍😍 play on cue.
Kabisa vipaji vinapotea tunaendekeza utimu tu
Wanaojua awapewi eshima yao🙌🔥📌
noma sana ngoma kar sound kar sanaaa iamdedrey🔥
baada ya stave rnb kuwa kimyaa mm huyu ndo nampa king of Rnb tz kama unaamini like ziwe nyingii
🙏🙏
piga kazi mzee baba wapenzwa music wako tupooo❤️❤️❤️
Uwiii the nation music balaaaaaaaaa kama umekubali kama mm weka malike kama uote
Hii ngoma ntaisikiliza mwaka mzima
inabidi🔥
It's nation 🔥
chagua moja unampenda nan?
Hatuwez wote tukakuweka ndan!
utapenda wangap?
Utakaaa na nan
Baki tu na Mimi
kinyonge sana mzee ila mzigo mkalii
We bro fundi Sana najubali Sana we mnyama Sana nafwatilia Sana kazi zako bro we mnyama Sana
Shukran sana
Kali sana keep it up
Thanks bro
Ibrah Nation to the world. Your number one fan here in zambia..
Yo welcome bro
Thanks for the reply. This means alot to me brother. I love your songs...
Kali sana kama kawaida yako,Mungu akutangulie kaka
Amen
Wauweee.... c kwa mavoko haya mwanangu...unatishaaa😈
Ngoma kali
Nzuri sana, ...
Ibra hupo vizuri hata mondi akuwezi wewe ni fundi
Nyimbo nzur video nzur kaka 🙏🙏🙏🙏
Kazi safi
Asante
Wee jamaa ni balaaaaaaaaa zito
yeaaaaa asante
Unique voice unique melodies unique sound unique artist...inshort everything unique 🔥🔥🔥🔥
Thank you
Daaaaaaah unajua knoma man
Iko poa sana mzee baba
Long time I have recognized that you are icon of Tanzania
Best amapiano song in east Africa 💝💯🇰🇪
Huyuu ndio msani.voice kali sana like instrument big up ibra 💥💥🔥🔥
Thank you
Daah
Amapiano pekee yenye maana hapa bongo ma east Africa.
Sio Zile zingine matusi na makelele mingi priiii priiiihhhh....
Big up broo bonge la ngoma
Ngoma inanikumbusha zamani ,, ila kwa njia ya kisasa umetisha broh
asante sana
Jamaa akaze tuuu ajua sana
nimekuskia
NI YEYEEEEEEEEEEEE MWENYE RNB YAKE
ikiwa anaetisha kwa bongo msanii mkubwa TZ nishabik yake we nan usimuelew uyu ni moto
Fundi wa music nakubali sanaaaaaaaaa
OMG !!! ibra
Kizazii sana ngoma, hiv ile ngoma uliyofanya kwa amba iringa ile ya kwanza kutoka kwa amba had iringa wakakuelewa sana inaitwaje ileee
Nahisi kuchanganyikiwa, ipo boomplay. na ngoma zake nyingine nyingi
nilipize
Ipo Audiomack na boomplay
the most underated artist huyu jamaa anajua sana
We jamaa unajuwa thana tatizo unasizi sanaa 🇿🇦
Not this time bro
@@NationMusic12 Kazi juu ya Kazi kaka
Haujawai kukosea unajua San bonge la song
Resecpect Kwako ngoma Kali Sana yani utapenda wangapi inshort big up
Huu wimbo nimeview mara 13 ila nilisahau ku comment ❤🔥 ni amapiano tam sana
Asante sana
Mkali wao
Nzuri
Unajua xana n bonge la song an
Dem wangu Aliupinga huu wimbo mpaka mda huu Yupo Single
HII KALII HATAREEEE
Shukran
Bro unajua sana basi tu tz atujuhi vitu vizuri ngomq kubwa sana hii 2022 let go guys 👦 🔥
Ibra nation wewe ni genius
Mkali sana we jamaa bfore uwezo haujapotea do something with ur talent, tafta game changing button upress mapema
Ngoma kaliii?🔥🔥🔥👍👍🇹🇿🇹🇿🇿🇲
nation kama nation fire fire
💥💥
Congrats brother
Nyimbo kubwa, needs more viewers wahalla👍
Baki tu na mm baby Dah bonge la jimbo
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
daah😒 nymbo inapigwaa sanaa nimeipenda knomaa💟
Shukran
Hapa ndo nnapoonaga mziki sio kazi wala sio kipaji tena hakika zaidi ya pesa mbele kuona msanii kama huyu nae pia bado hauonekani owezo wake duuuuuuuuu
Bang flan hv🔥🔥🔥
Fan all the way from Blantyre Malawi you are best Ibrah nation World Wide
Komaa tu mzee🙌🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri
He's really talented 💯💥💥
Ngoma kali bro,big up sana
Ngoma ni Kali sana
yeah man..tushare
KING OF RNB sijutii kuwa shabiki wako 🙌🙌🙌 Leta back 2 back kuhusu kujua ni unajua tena sana kikubwa kuleta ngoma kwa mashabiki zako kila wakati na uwekezaji kwenye video
Mwanae na mwanangu @texasprod oya unajua Sana🤜🤛
Unajua
Fundiiiiii WA muzikiiii 🔥
Ngoma yangpendwa Mzee hiii
Enjoy!
Awe awe nice amapiano🇿🇦iwiiiii
Thanks
Video Queen she is my wife u don't know
💥
Ngoma Kali San kijnaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
💪🏾💪🏾yan beat la amapiano ila katembea nalo ....ki rnb had raha siachi kuisikiza kila saa
🙏🏿
This man,why lakin awakupi attention ,mi hujawah niangushaa🙌🙌
muda.... asante🔥
Watanzania na mziki mzuri
Enjoy yourself
Nimetumwa uku baada ya kuona post ya bosi sallam pale insta
This is my favourite song Wabare Munogo....from Kampala....Wangapi...Wangapi???
most underrated artist in TZ. ...pokea my support and love from #254.,,,NICE music
I appreciate
n ❤ wt ds song
Hatari sana
Piga kazi
Utadhani utaniiii kumbe ni kweliiii
Kisanga na roboo mzeee baba...
Go go go Ibra
Melody flani ivi tamu Juice ya Miwa Baridiiii❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
😃
@@NationMusic12 UTAPENDA WAAANGAAAAPIIII
🔥🔥🔥
Ngoma Kali beat Kali video Kali Umetisha brooo
jamaa ni mnyama sanaaa vocal na uandishi umetulia knoma
Asante
Back again
Nice music
💣💣💣
Vitu vya kipekee mwanangu.unabalaa San ..mda utafika tu
wonderful melody respect my brother 🇹🇿
Ibraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nakuelewa saaaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAaaaaaaaaaaaaaa hivi kwanini media zinakubania sana wakati mm nasikiliza mziki wako tuu hapa tz
Hakuna Media inayonibania 💯
You kill it bro
Nakukubali sana boy King of RNB respect niqqar
Thank you
Underrated MVP , you still release hit intown #music for nation
Ibraaaa🎶🔥🔥
Wimbo mzuri sana huu jamani