BIASHARA YA UKAHABA MBEYA, VIGOGO WATAJWA KUWANUNUA
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- #Baharia TV #Mbeya
Exclusive tazama biashara haramu ya ukahaba inavyofanyika Mbeya mjini, Mamlaka za serikali zinashughulikia hili suala lkn imekuwa shida kwao kudhibiti!
Acheni hawa MALAYA WANATOBOAGA KONDOM UKIENDA NAE UNAPATA UKIMWI...
Wanatusaidia Sana Tena nipic Kali baraka mwandishi kidogo anase nandio maa kesi zakubaka hazipo saizi makaman zimebaki tu za migogolo ya ndoa
Wapo kwa sababu mnawapa pesa msinge wanunua wasinge jiuza wanamme pia muwanase
Mungu uturehemu ardhi yako tumeiharibu kwa matendo mabaya. Tusaidie tupate kuyashinda mambo mabaya huku tukiwaombea wenzetu waziache hizo tabia mbaya
Ninyati zamwisho tumwombe mungu
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Yani kujiuza nibiashara kubwa duniani hakuna hajira so watu wafanyenini
Hiyo ni sodoma na gomora.
Hiii kitaalam tunaiita shetani yupo kazini.inaskitisha sana
Mbona apo ndio tunapo chukua madem msi wavuluge ao wana tusaidia kam wakezetu wKo kwene skuzao au wafyele
Hili jua linalozidi kutuchoma n dalili Tosha hata shetan kasalenda🙌
Aiseee na kweri
Watumishi wa Mungu wamegeukia siasa, wamemuacha shetani akiwanyakua kondoo wa bwana akiwaangusha dhambini! Shame on them!
Kondoo wa bawana ndio nini?
@@gulionigulioni3234 utaelewa Tu!!
@@jumakapilima7295 nitakuelewaje wakati huna ufafanuzi?
@@gulionigulioni3234 utaelewa tu!
@@jumakapilima7295 siku zote wamatumbi kama mimi ndiyo wenye akili.
Naitwa dr, nyangaki nikiwa safarini kampala uganda jamani kwa hali tanzania tumeshwa
Haya mambo mengine nataka niyaine tu mitandaoni Au niyasikie kwa wengu namuomba mungu Yasinifike🙏
Nendeni na iringa makambako huko ndiyo balaa
Innahlillah wainnah illah rajiun...Allah atuepushe na ibilisi huyo.
Hili chimbo ndio nimelijua leo aisee natimba
😁😅🤣😂
Weee acha izo mzeee
Hahahahaha
Daah pa ukweli sana man fika ujionee
Tobaaaa
Unyamaaa mwingiii,tatizo pesaa????
Nimependa unavyotangaza
Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun
Sasaivi ukahaba umesha shamili sana Kila kona mwa dunia mambo ni hayo hayo na huwezi kuwadhibiti maana wamejificha kwenye jamii ambayo tuna ishi Kila siku 😄😄🙆🙆
Big up huu ndio ubaharia wenyewe
💪💪🙏🙏
Mungu atusaidie mpaka hapa mkoa umefika pabaya
Kawaida tu hamna kuingia pabaya
Ha ha haaaaaaaaaa!!!!
Hiyo ni biashara ya shetan ni mafreemason mwanaume wa kawaida.hawezi kuwanunua hao.wadada ni misukule tuombe sana watanzania
Excellent reporting Mr. BARAKA and Mr. FADHILI…yyoouu guys are PROS!!!!!!
🙏🙏🙏🙏💪💪
Excellent job! Saafi sana
🙏🙏🙏💪💪
Dah inasikitisha sana
Niunge
Ndugu uchi unauzwa dar,fika kitambaa!fika kidimbwi af malizia kona bar!vip mbona dar huendi na hadi mashoga wapo
Wakiuza Mahindi mnataka ushuru!bora Wauze uchi tuone mtawatoza nini!af ni kihelele tu kwani uch mali yenu?watu wanauza Madawa na tunaona mateja na mashoga dar huko hamsemi!acheni unafki uch mali yao wache wauze Hawali kwa mama zenu hao na mnajua ajira hakuna
Mnaonesha picha kificho mnamficha Nani,acheni watu waone pengine ndugu zao watapata kuwatambua
Acheni kutoa maneno ya ovyo juu ya nchi yetu huwezi unasema Tanzania inanuka ngono nikulitukana taifa bila sababu
Duh..!? SALUTE to you Reporter
Naamini hii ni Bonge la advertise kwa biashara
Apo ni noooma saaana njooon na tunduma valentine na unyiha hoooo Zaid ya mbeya mbeya Hadi Gest ya hapo nyuma Chamtoto
Ulikuwa unakaziyakufanya sasa umetanini kutowa aibuzawatu wapeajilaa
Baraka toka kyl mpaka mby Safi Sana,
Hi
Punguza maneno ya intro take us to show
Hahahah why usitoke jmn kaka?
Nlipanga geto hapo jiran aisee... Dah kila mtu alikua anahisi nanunua hao dadazetu hadi nikaamua nihame. Ila Mbeya kwa sasa ukahaba umezidi sana hyo mitaa ya mafyati
Wanaume wanatekeleza sana ndoa maana iyo hali inakuwepo
Waendelee tu kufanya maana wanatuokoa Sana aseee wapambanaji
Wew jitaidi
Jiuzen sana moto unakuja watakuja kujuta
So painful😝😝😝😝😝
Hapo hakuna wa kulaumiwa , upande wote wanahitaji muuzaji na mnunuzi.
Inasikitisha mbeya kwa kweli
Mikoa yote sio Mbeya tu na kitu cha kawaida mbona
Baharia tv Tena au we ndug ang 🤣🤣new subscriber blood
Yauweni hayo mashetani
We wauwawe tena hebu tulia
Manisipa kahama dokabi kubwa Tz
Subuhanallah
Endeleeni kuwafichua waache
Duh...
Yaani wanaume hawana kinyaa humo yanayoka mavi ndio unaingiza huko.
Weeh Elizabeth nawe!!! Hiyo si ndio utamu wa chocolate? Wee vipiii???
😂
Haina tofauti na mchezo wa ngumi mbona yote inafanyika usiku
Biz n biz
Mungu Baba wa Mbinguni,nyoosha mkono wako.Hawa nao ni wana wa Ibrahim ,shetani anawatesa ndugu zetu.
Mungu awasamehe tu maana hawafanyi hivyo makusudi ni maisha tu mbali na hivyo wanaokoa watu WENGI Sana DUAAA
Hakuna cha biashara hao ni shetan anawatumikisha ni misukule hao
Ni jambo la hatari Sana na ni la kusikitisha mnooooooooo kwa mwanadamu na kwa Mungu ni kosa kubwa mnoo. Mungu atusaidie na kuokoa kizazi hiki na Cha badae
Mungu airehemu ardhi yetu
Mwandishi unajua sanaaaa
I no
V
Malaya wa Trisha wazuriii
Duu
Picha...nyingine
Baharia oniraini
Mmh🤔njoeni kwa warabu muoshe vyoo uku mjipatie lizki zenu za harari mrèe famiria zenu
Vp
Maimwi wa usiku
Bahariaaaaa nilewa kabisa
Ongera san unaweza kaz yako na unaipenda san ongera san ten san
Tatizo serikali
Champaa mojaa uyo
Jaman kweli duia imeisha
Ao niwahuni awanajipya
Wanajiuza ak
Poleni
Daaah mungu tusaidie
Ngoja niwe Raisi hili la Kwanza kulishughulikia
Utakuwa rais mpumbavu
Mmmh!!!
Mhhhh
Bahariya
🔥🔥🔥🔥
Bahaliaa
Zambii
Fiti
Mzm
Daaaah
Vp
🤔🤔🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Unaongea sana
😀😆
Mbey bado sana
Kwani wapi haziuzwi kuma??
Mungu wangu wanatumia kweli silaha
Mj
Tanzania inanuka ngono da mungu saidia Tanzania ina zamakw.angono.
Ulimwengu mzima sio Tz pekeyake
Mbona ukuna kitu hap
Ni meisha eleza hili sikuzote,
Bunge limefungia macho jambo la ukahaba, kwamba mila na desturi ya Tanzania hai ruhusu,
Jambo hili lina fanyika kabisa Serekali itakiwa kufanya utaratibu wa Jambo hilo, kukusanya yake maeneo na wahusika, wateja wao pia wapate uhuru kuingia eneo husika, na kodi ipangiwe taratibu zake.