BIASHARA YA UKAHABA MBEYA, VIGOGO WATAJWA KUWANUNUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • #Baharia TV #Mbeya
    Exclusive tazama biashara haramu ya ukahaba inavyofanyika Mbeya mjini, Mamlaka za serikali zinashughulikia hili suala lkn imekuwa shida kwao kudhibiti!

Комментарии • 126

  • @karibubongo-tv636
    @karibubongo-tv636 Год назад +1

    Acheni hawa MALAYA WANATOBOAGA KONDOM UKIENDA NAE UNAPATA UKIMWI...

  • @hamisisteven2018
    @hamisisteven2018 2 года назад +7

    Wanatusaidia Sana Tena nipic Kali baraka mwandishi kidogo anase nandio maa kesi zakubaka hazipo saizi makaman zimebaki tu za migogolo ya ndoa

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 2 года назад +10

    Wapo kwa sababu mnawapa pesa msinge wanunua wasinge jiuza wanamme pia muwanase

  • @nurungole3961
    @nurungole3961 Год назад +4

    Mungu uturehemu ardhi yako tumeiharibu kwa matendo mabaya. Tusaidie tupate kuyashinda mambo mabaya huku tukiwaombea wenzetu waziache hizo tabia mbaya

  • @babygirllove6442
    @babygirllove6442 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Yani kujiuza nibiashara kubwa duniani hakuna hajira so watu wafanyenini

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 2 года назад +4

    Hiyo ni sodoma na gomora.

  • @sumawellngton1305
    @sumawellngton1305 2 года назад +4

    Hiii kitaalam tunaiita shetani yupo kazini.inaskitisha sana

  • @ShalulaWazili
    @ShalulaWazili 11 месяцев назад

    Mbona apo ndio tunapo chukua madem msi wavuluge ao wana tusaidia kam wakezetu wKo kwene skuzao au wafyele

  • @lilianmwandenuka168
    @lilianmwandenuka168 2 года назад +5

    Hili jua linalozidi kutuchoma n dalili Tosha hata shetan kasalenda🙌

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 года назад +8

    Watumishi wa Mungu wamegeukia siasa, wamemuacha shetani akiwanyakua kondoo wa bwana akiwaangusha dhambini! Shame on them!

  • @NkindaNzobe
    @NkindaNzobe Месяц назад

    Naitwa dr, nyangaki nikiwa safarini kampala uganda jamani kwa hali tanzania tumeshwa

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 Год назад +1

    Haya mambo mengine nataka niyaine tu mitandaoni Au niyasikie kwa wengu namuomba mungu Yasinifike🙏

  • @kasanzu-te8cq
    @kasanzu-te8cq 2 месяца назад

    Nendeni na iringa makambako huko ndiyo balaa

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Год назад +2

    Innahlillah wainnah illah rajiun...Allah atuepushe na ibilisi huyo.

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 2 года назад +4

    Hili chimbo ndio nimelijua leo aisee natimba

  • @migoboy569
    @migoboy569 Год назад +1

    Unyamaaa mwingiii,tatizo pesaa????

  • @lucynatasha2742
    @lucynatasha2742 2 года назад +3

    Nimependa unavyotangaza

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 2 года назад +3

    Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 2 года назад +1

    Sasaivi ukahaba umesha shamili sana Kila kona mwa dunia mambo ni hayo hayo na huwezi kuwadhibiti maana wamejificha kwenye jamii ambayo tuna ishi Kila siku 😄😄🙆🙆

  • @ahazminga5723
    @ahazminga5723 2 года назад +5

    Big up huu ndio ubaharia wenyewe

  • @ephraimmwandemange5083
    @ephraimmwandemange5083 2 года назад +4

    Mungu atusaidie mpaka hapa mkoa umefika pabaya

  • @joshuamchiwa861
    @joshuamchiwa861 2 года назад +4

    Ha ha haaaaaaaaaa!!!!

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Год назад

    Hiyo ni biashara ya shetan ni mafreemason mwanaume wa kawaida.hawezi kuwanunua hao.wadada ni misukule tuombe sana watanzania

  • @lusajokasyupasr3996
    @lusajokasyupasr3996 2 года назад +7

    Excellent reporting Mr. BARAKA and Mr. FADHILI…yyoouu guys are PROS!!!!!!

    • @Bahariatv
      @Bahariatv  2 года назад

      🙏🙏🙏🙏💪💪

  • @BusokeloTV
    @BusokeloTV 2 года назад +4

    Excellent job! Saafi sana

    • @Bahariatv
      @Bahariatv  2 года назад

      🙏🙏🙏💪💪

  • @elizabethaniseth4560
    @elizabethaniseth4560 2 года назад +3

    Dah inasikitisha sana

  • @ramadhanchambela9648
    @ramadhanchambela9648 Год назад

    Niunge

  • @kushcultureralph568
    @kushcultureralph568 Год назад

    Ndugu uchi unauzwa dar,fika kitambaa!fika kidimbwi af malizia kona bar!vip mbona dar huendi na hadi mashoga wapo

  • @kushcultureralph568
    @kushcultureralph568 Год назад

    Wakiuza Mahindi mnataka ushuru!bora Wauze uchi tuone mtawatoza nini!af ni kihelele tu kwani uch mali yenu?watu wanauza Madawa na tunaona mateja na mashoga dar huko hamsemi!acheni unafki uch mali yao wache wauze Hawali kwa mama zenu hao na mnajua ajira hakuna

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Год назад

    Mnaonesha picha kificho mnamficha Nani,acheni watu waone pengine ndugu zao watapata kuwatambua

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Год назад

    Acheni kutoa maneno ya ovyo juu ya nchi yetu huwezi unasema Tanzania inanuka ngono nikulitukana taifa bila sababu

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Год назад

    Duh..!? SALUTE to you Reporter

  • @mashakambugi6730
    @mashakambugi6730 Год назад

    Naamini hii ni Bonge la advertise kwa biashara

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini347 Год назад

    Apo ni noooma saaana njooon na tunduma valentine na unyiha hoooo Zaid ya mbeya mbeya Hadi Gest ya hapo nyuma Chamtoto

  • @mussakiyondomagoga5051
    @mussakiyondomagoga5051 Год назад

    Ulikuwa unakaziyakufanya sasa umetanini kutowa aibuzawatu wapeajilaa

  • @sharifahamisi3477
    @sharifahamisi3477 2 года назад +3

    Baraka toka kyl mpaka mby Safi Sana,

  • @banlincoln5646
    @banlincoln5646 Год назад

    Punguza maneno ya intro take us to show

  • @salomevenance9555
    @salomevenance9555 2 года назад +1

    Hahahah why usitoke jmn kaka?

  • @stephanocornely130
    @stephanocornely130 Год назад

    Nlipanga geto hapo jiran aisee... Dah kila mtu alikua anahisi nanunua hao dadazetu hadi nikaamua nihame. Ila Mbeya kwa sasa ukahaba umezidi sana hyo mitaa ya mafyati

  • @SessyKweka
    @SessyKweka Год назад

    Wanaume wanatekeleza sana ndoa maana iyo hali inakuwepo

  • @thezanzest96
    @thezanzest96 2 года назад +1

    Waendelee tu kufanya maana wanatuokoa Sana aseee wapambanaji

  • @SubiranTimo
    @SubiranTimo 8 месяцев назад

    Jiuzen sana moto unakuja watakuja kujuta

  • @Abelmandac
    @Abelmandac Год назад

    So painful😝😝😝😝😝

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Год назад

    Hapo hakuna wa kulaumiwa , upande wote wanahitaji muuzaji na mnunuzi.

  • @stanleymwaluseke6463
    @stanleymwaluseke6463 2 года назад +3

    Inasikitisha mbeya kwa kweli

  • @pendobaharia7227
    @pendobaharia7227 2 года назад +3

    Baharia tv Tena au we ndug ang 🤣🤣new subscriber blood

  • @hilalmlemeta7990
    @hilalmlemeta7990 2 года назад +2

    Yauweni hayo mashetani

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +2

    Subuhanallah

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 Год назад

    Endeleeni kuwafichua waache

  • @happymacha9053
    @happymacha9053 2 года назад +1

    Duh...

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 Год назад

    Yaani wanaume hawana kinyaa humo yanayoka mavi ndio unaingiza huko.

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu Год назад

      Weeh Elizabeth nawe!!! Hiyo si ndio utamu wa chocolate? Wee vipiii???

  • @mchinaammy
    @mchinaammy Месяц назад

    😂

  • @snipershort6988
    @snipershort6988 2 года назад

    Haina tofauti na mchezo wa ngumi mbona yote inafanyika usiku

  • @denographics
    @denographics Год назад

    Biz n biz

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 Год назад +1

    Mungu Baba wa Mbinguni,nyoosha mkono wako.Hawa nao ni wana wa Ibrahim ,shetani anawatesa ndugu zetu.

  • @thezanzest96
    @thezanzest96 2 года назад +2

    Mungu awasamehe tu maana hawafanyi hivyo makusudi ni maisha tu mbali na hivyo wanaokoa watu WENGI Sana DUAAA

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 Год назад

      Hakuna cha biashara hao ni shetan anawatumikisha ni misukule hao

  • @silajulius3467
    @silajulius3467 Год назад

    Ni jambo la hatari Sana na ni la kusikitisha mnooooooooo kwa mwanadamu na kwa Mungu ni kosa kubwa mnoo. Mungu atusaidie na kuokoa kizazi hiki na Cha badae

  • @IbrahimAmsi-z6t
    @IbrahimAmsi-z6t Год назад

    Mungu airehemu ardhi yetu

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 2 года назад +4

    Mwandishi unajua sanaaaa

  • @dalfinombore2898
    @dalfinombore2898 Год назад

    I no

  • @rajabumussa8867
    @rajabumussa8867 Год назад

    V

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад

    Malaya wa Trisha wazuriii

  • @PAULOWILLIAMWILLIAM-bs2fv
    @PAULOWILLIAMWILLIAM-bs2fv Год назад

    Duu

  • @prosper5427
    @prosper5427 Год назад

    Picha...nyingine

  • @kasanzukasanzu3073
    @kasanzukasanzu3073 2 года назад +1

    Baharia oniraini

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 года назад

      Mmh🤔njoeni kwa warabu muoshe vyoo uku mjipatie lizki zenu za harari mrèe famiria zenu

  • @thomaselias7343
    @thomaselias7343 Год назад

    Vp

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Год назад

    Maimwi wa usiku

  • @batmedia6199
    @batmedia6199 2 года назад +1

    Bahariaaaaa nilewa kabisa

    • @yasinterleonad9926
      @yasinterleonad9926 Год назад

      Ongera san unaweza kaz yako na unaipenda san ongera san ten san

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Год назад

    Tatizo serikali

  • @rechokidi7874
    @rechokidi7874 Год назад

    Champaa mojaa uyo

  • @mremymtatiro6618
    @mremymtatiro6618 2 года назад

    Jaman kweli duia imeisha

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 2 года назад

    Ao niwahuni awanajipya

  • @AsAs-ng9rb
    @AsAs-ng9rb Год назад

    Wanajiuza ak

  • @emmanuelbura3033
    @emmanuelbura3033 Год назад

    Poleni

  • @candylegend6629
    @candylegend6629 Год назад

    Daaah mungu tusaidie

  • @silajulius3467
    @silajulius3467 Год назад

    Ngoja niwe Raisi hili la Kwanza kulishughulikia

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 года назад

    Mmmh!!!

  • @isayamabena7827
    @isayamabena7827 2 года назад

    Mhhhh

  • @sareheallymgaya3084
    @sareheallymgaya3084 Год назад

    Bahariya

  • @barakaemmanuel2634
    @barakaemmanuel2634 2 года назад +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @alispeya1778
    @alispeya1778 2 года назад +1

    Bahaliaa

  • @jairusezekiel5237
    @jairusezekiel5237 2 года назад

    Fiti

  • @sautimoja8832
    @sautimoja8832 2 года назад

    Mzm

  • @kipatamaestro
    @kipatamaestro 2 года назад +3

    Daaaah

  • @danielmichael1791
    @danielmichael1791 2 года назад

    Vp

  • @jestinakanji8168
    @jestinakanji8168 2 года назад

    🤔🤔🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 2 года назад

    Unaongea sana

  • @arnoldlyimo4291
    @arnoldlyimo4291 2 года назад

    Mbey bado sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Mungu wangu wanatumia kweli silaha

  • @kagwilengaiza2050
    @kagwilengaiza2050 2 года назад

    Mj

  • @shabanramadhan
    @shabanramadhan Год назад

    Tanzania inanuka ngono da mungu saidia Tanzania ina zamakw.angono.

  • @williamkakule9334
    @williamkakule9334 2 года назад +1

    Ni meisha eleza hili sikuzote,
    Bunge limefungia macho jambo la ukahaba, kwamba mila na desturi ya Tanzania hai ruhusu,
    Jambo hili lina fanyika kabisa Serekali itakiwa kufanya utaratibu wa Jambo hilo, kukusanya yake maeneo na wahusika, wateja wao pia wapate uhuru kuingia eneo husika, na kodi ipangiwe taratibu zake.