Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Wanaopenda uwepo wa loveness kwenye drama za @DONTA TV gonga like hapa tuwatambue
Jaman Nelly tumekumithi ..ety...washabiki wa nely gonga like
Loveness yupo pouw sanaaaa❤
Loveness anapita mda mwengine
Kila akiwepo loveness, kelvin kwenye tamthiliaa huwa ina kuwa supper🎉🎉🎉🎉🎉 mauwa yenuu
Kweli wakiwa pamoja lazima nione nawapenda sana kelvin na loveness
WATAKAO SOMA IYI COMMENT MUNGU AWABARIKI SN
Ubarikiwe pia
Amina 🤣🤣 n mnafiki sana
WALIO MISS NELLY❤ GONGA LIKE YAKO HAPAA
Iv kwanza nery ameenda wap mbona simooni kwe tamusilia jameen
Ivi kaenda wap nelly
Kwel Nelly maneno aliendapi n MDA xax hatumuon Kwa movie nying tu
Kunambi simuoni kwenye movie ya mtoto wa boss
na miss nelly na victoria
we nimshumba wa mtu, na mtu anaekupenda anakujali kendi, daaaa napenda maneno ya hu broh🎉🎉❤❤❤
Naomba like moja tu ya mwamba amina toka drc 🇨🇩 congo.
Tumemiss vick
🇨🇩🇨🇩💪
Tuliowamiss nelly na vick gonga like hapo
Ila ht Amina nae ni mzuri sana. Ila wanampa sehemu mbaya. Ndio mana anaonekana m’baya. Ila ni mzuri na ana umbo zuri saana.
Nampenda sana Lavness❤❤
Yan Movie za Donta TV akiwepo Loveness , Kelvin, Kunambi, Tina Kivuruge 😂, Nelly Mr wawenge huwa zinanoga😂😅
Kuna ndugu ake kelvin hapo wanafanana sana kama naww umegundua hilo like hapa😅😅
Nimebaki namuangalia mara mbili mbili tu 😅
Duh huyu jamaa handsome Kafanana na kelvin ao wandugu Aisee kelvin aje atupe ukweli.
Team loveness tujuane❤🎉
From Congo kalemie 🇨🇩Tunakubali Donta Gang....Nipeni SUBSCRIBERS zangu 🙏
Amina umbea tu kuoga aaaaa🙄🙄🙄🙄🙄🇰🇪
Jamani kumbe kunamapya uku nimechelewa lkn nimefiki nipeni like ata 5 🎉🎉🎉❤❤🇰🇪
Amina una roho mbaya bado wamwonea Loveness wivu Amina utaacha wivu lini
Loveness mzuri jmn Ila Amina anakitu😂unajua kuigiza🎉
Anajua umbea sana kipande wanachompa kinamfaa
Huyo anaepewa pombe na candy wamefanana na kelvin
Mbn simuoni Victoria kwenye move ya mtoto wa boss 😥😥😥😥
Nampenda sana lavness na kelvin ❤❤❤❤❤
Amina wacha unafiki huyo kaka wamekutana Loveness ksha kamwonyesha njia Loveness anapo kenda
Yaan Amina tukiachan na kuigiza hata uhalisia wako ndivyo ulivo..upoage bas dada
Mashaallah nawapenda bure weeeeee movie tamu msichelewe kuleta ingine plzzz
Oooooh leo wa pilli nimewahi kweli naombeni like zangu
Movie nzur sana
Kazi nzuri wana donta🎉🎉❤
Amina mumbeya sanaa😂😂😂🇸🇦🇧🇮👌🥰
Amina Acha unafiki
Wakwanza from Rwanda 🇷🇼 nawapenda saan team Kelvin
Nelly na vick wakowpi jaman tumea miss
Amina mgombanishi Sana ww
Amina aca ombeya
Lovnes is the best
Mashallah kz nzur wapili na mm😂😂kutoka kenya🎉🎉🎉🎉🎉
Amina we n mnafiki sio rafiki mmbea we
ee n mnafki sana
Nice story
Love mama Kama kipaji kapewa ❤
Uyu Kendi mbona kafanana sana Shamsa Ford kwani ni ndugu?
Kazi nzuri ❤
yan mm hivo mkivaa vijora mhhh ila sawa ❤❤
Pole kaka Kendy ha ereweki kbx mupende loveness❤🇸🇦🇧🇮🥰
Hapo kwenye kupigana nimepapenda saaana haki ya Mungu😂😂😂😂 nimesikia raha
Good work ❤❤❤
Amina na umbea😂
Mim wakwanza Leo kutanzama móve hii🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Good hips❤❤❤❤❤
Amina hajaacha tabia yake mbanya msichana mmbea
Huyu candy nae kumbe ni moto kushinda Amina 😂😂😂😂❤❤kzi nzr nawapenda
Kendy anakudanganya Amina😂😂😳🤣🤣🇸🇦🇧🇮
Nili miss kuona wembe na sasa nelly hayuko
Leo nimekuwa top ten lakini Victoria mbona siku hizi simwoni amepotea sana
Hata mm nimemmiss san Vick 😂
Unaongea sana c jui haupendwi umbea tu
Jmn huyu amina mbona mmbeya hivi sikupendi hata bure😂😂🎉
😂😂😂 🤣 umbea tu 🎉
Amina ni mmbeyaa Jmnii.... Ambao tunamchukia amina Gonga like hapa👍
@@IreneMganilwamcmchukie jamani ni maigizo. Lkn lbd kiuhalisia hayupo hivyo.
😂😂😂😂tena umbea wake wa moto moto haulali wala
@@BintiM-di1wm sana 2😅😅😅
Amin punguz roo mbya
Ila dada loveness kwa chips hongera dada nkadzo from kenya nawapenda sana
Mafunzo mazuri sana kwa maisha ya sasa ❤❤❤wana Donta
Noma sana caddy 🎉🎉pokea maua dadangu ❤❤❤ Kenya
Amina mdaku jamani😂😂😂
😅😅😅 anachoma akienda😅😅
Amina acha usutwaaa
Huyu amina kama kitale tu
J, loveness ni mpole ila na yeye akiamuwa ni mkolofi 😂😂
😁😁
Kuna mtu anamfanana kev humu,amepewa pombe na kend 🎉🎉
Mlipo nipo mpaka mtoboe nawapenda donta Family
Candy mzur sana jmn uko gud😊
Nzuri sana
Kaz nzur donta❤
Amina acha uongo
❤
Im in love na daenjoo,❤❤
❤❤❤❤ love team
Jaman Amina mbona sis atupo ivi
Kazi nzul ila hvy vijora sasa😊😊nd mtihan🎉🎉❤
Hao c wanaishi nje ya mji? Ndio mavazi sio ya kimjini. Ndio mana wamevaa vijora.😂😂
Amina na umbea mama unaweza❤❤❤
Ako na moja😂😂
Dada enjo anafanana na Victoria et yaan kama wanaendana
Mnaoomba laiki jishikilie mtapididiwa mikuungu ya ndizi nyie
🎉🎉❤❤❤❤
Hmmm wanaume kama huyu wa kandy wapo kweli dunia hii,Mungu tu anipatie kama uyu wa kunipenda pamoja na mapungufu yangu aki kutoka moyoni
Naku miss sana kendi, jamani kwanini ume konda ?
Ananyonyesha....anamtot wa kiume
Duuuuu amina amina amina mbeya sanaa ata uku unakuwa mbeya sana ao unamutakaa daa😂😂
Kenya Watching
Uyu amina kila sku anaubaya n love😂😂😂😂😂😂
Amina mnafiki kwel
Amina na unafki wako jmn daa
Next ❤❤❤
Halafu wewe Amina wacha uzushi mbwa wewe
ivi watu mnashindaga humu humu tu
Amina unafiki utakuuuwa mama 🤣😂🤣
Mukivaa vijora munapendeza sana maana mumejistir
Mim wa 18😅😅😅😅😂
Wa saba kukumi lamwanzo nami nimewai kinoma yani😂
Amina acha umbea mama utakufa vibaya dada ngai 🤭 ni kama umewekwa memory card ata mate umezi waa daa😂😂😂 🤣
Nikiona love yuuuu najua kitu kikali
Amina wewe mbingu yako ulisha fungiwa khee.uwongo kila mv mpaka nakuchukia we mdada utakuwa ndo ulivyo ndo asili yako.
Jaman Amina mbeya duuh!
Nikweli kafanana nae sana Kev ila lovu nawe kuwa makini na mchanganiko wa watu
Good work
Mm nmemiss wembe na shaniza
Sasa mbona @Donta tv mnakuja speed ivi maana mnatupeleka mbio 😂😂😂😂
Wanaopenda uwepo wa loveness kwenye drama za @DONTA TV gonga like hapa tuwatambue
Jaman Nelly tumekumithi ..ety...washabiki wa nely gonga like
Loveness yupo pouw sanaaaa❤
Loveness anapita mda mwengine
Kila akiwepo loveness, kelvin kwenye tamthiliaa huwa ina kuwa supper🎉🎉🎉🎉🎉 mauwa yenuu
Kweli wakiwa pamoja lazima nione nawapenda sana kelvin na loveness
WATAKAO SOMA IYI COMMENT MUNGU AWABARIKI SN
Ubarikiwe pia
Amina 🤣🤣 n mnafiki sana
WALIO MISS NELLY❤ GONGA LIKE YAKO HAPAA
Iv kwanza nery ameenda wap mbona simooni kwe tamusilia jameen
Ivi kaenda wap nelly
Kwel Nelly maneno aliendapi n MDA xax hatumuon Kwa movie nying tu
Kunambi simuoni kwenye movie ya mtoto wa boss
na miss nelly na victoria
we nimshumba wa mtu, na mtu anaekupenda anakujali kendi, daaaa napenda maneno ya hu broh🎉🎉❤❤❤
Naomba like moja tu ya mwamba amina toka drc 🇨🇩 congo.
Tumemiss vick
🇨🇩🇨🇩💪
Tuliowamiss nelly na vick gonga like hapo
Ila ht Amina nae ni mzuri sana. Ila wanampa sehemu mbaya. Ndio mana anaonekana m’baya. Ila ni mzuri na ana umbo zuri saana.
Nampenda sana Lavness❤❤
Yan Movie za Donta TV akiwepo Loveness , Kelvin, Kunambi, Tina Kivuruge 😂, Nelly Mr wawenge huwa zinanoga😂😅
Kuna ndugu ake kelvin hapo wanafanana sana kama naww umegundua hilo like hapa😅😅
Nimebaki namuangalia mara mbili mbili tu 😅
Duh huyu jamaa handsome Kafanana na kelvin ao wandugu Aisee kelvin aje atupe ukweli.
Team loveness tujuane❤🎉
From Congo kalemie 🇨🇩
Tunakubali Donta Gang....
Nipeni SUBSCRIBERS zangu 🙏
Amina umbea tu kuoga aaaaa🙄🙄🙄🙄🙄🇰🇪
Jamani kumbe kunamapya uku nimechelewa lkn nimefiki nipeni like ata 5 🎉🎉🎉❤❤🇰🇪
Amina una roho mbaya bado wamwonea Loveness wivu Amina utaacha wivu lini
Loveness mzuri jmn Ila Amina anakitu😂unajua kuigiza🎉
Anajua umbea sana kipande wanachompa kinamfaa
Huyo anaepewa pombe na candy wamefanana na kelvin
Mbn simuoni Victoria kwenye move ya mtoto wa boss 😥😥😥😥
Nampenda sana lavness na kelvin ❤❤❤❤❤
Amina wacha unafiki huyo kaka wamekutana Loveness ksha kamwonyesha njia Loveness anapo kenda
Yaan Amina tukiachan na kuigiza hata uhalisia wako ndivyo ulivo..upoage bas dada
Mashaallah nawapenda bure weeeeee movie tamu msichelewe kuleta ingine plzzz
Oooooh leo wa pilli nimewahi kweli naombeni like zangu
Movie nzur sana
Kazi nzuri wana donta🎉🎉❤
Amina mumbeya sanaa😂😂😂🇸🇦🇧🇮👌🥰
Amina Acha unafiki
Wakwanza from Rwanda 🇷🇼 nawapenda saan team Kelvin
Nelly na vick wakowpi jaman tumea miss
Amina mgombanishi Sana ww
Amina aca ombeya
Lovnes is the best
Mashallah kz nzur wapili na mm😂😂kutoka kenya🎉🎉🎉🎉🎉
Amina we n mnafiki sio rafiki mmbea we
ee n mnafki sana
Nice story
Love mama Kama kipaji kapewa ❤
Uyu Kendi mbona kafanana sana Shamsa Ford kwani ni ndugu?
Kazi nzuri ❤
yan mm hivo mkivaa vijora mhhh ila sawa ❤❤
Pole kaka Kendy ha ereweki kbx mupende loveness❤🇸🇦🇧🇮🥰
Hapo kwenye kupigana nimepapenda saaana haki ya Mungu😂😂😂😂 nimesikia raha
Good work ❤❤❤
Amina na umbea😂
Mim wakwanza Leo kutanzama móve hii🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Good hips❤❤❤❤❤
Amina hajaacha tabia yake mbanya msichana mmbea
Huyu candy nae kumbe ni moto kushinda Amina 😂😂😂😂❤❤kzi nzr nawapenda
Kendy anakudanganya Amina😂😂😳🤣🤣🇸🇦🇧🇮
Nili miss kuona wembe na sasa nelly hayuko
Leo nimekuwa top ten lakini Victoria mbona siku hizi simwoni amepotea sana
Hata mm nimemmiss san Vick 😂
Unaongea sana c jui haupendwi umbea tu
Jmn huyu amina mbona mmbeya hivi sikupendi hata bure😂😂🎉
😂😂😂 🤣 umbea tu 🎉
Amina ni mmbeyaa Jmnii.... Ambao tunamchukia amina Gonga like hapa👍
@@IreneMganilwamcmchukie jamani ni maigizo. Lkn lbd kiuhalisia hayupo hivyo.
😂😂😂😂tena umbea wake wa moto moto haulali wala
@@BintiM-di1wm sana 2😅😅😅
Amin punguz roo mbya
Ila dada loveness kwa chips hongera dada nkadzo from kenya nawapenda sana
Mafunzo mazuri sana kwa maisha ya sasa ❤❤❤wana Donta
Noma sana caddy 🎉🎉pokea maua dadangu ❤❤❤ Kenya
Amina mdaku jamani😂😂😂
😅😅😅 anachoma akienda😅😅
Amina acha usutwaaa
Huyu amina kama kitale tu
J, loveness ni mpole ila na yeye akiamuwa ni mkolofi 😂😂
😁😁
Kuna mtu anamfanana kev humu,amepewa pombe na kend 🎉🎉
Mlipo nipo mpaka mtoboe nawapenda donta Family
Candy mzur sana jmn uko gud😊
Nzuri sana
Kaz nzur donta❤
Amina acha uongo
❤
Im in love na daenjoo,❤❤
❤❤❤❤ love team
Jaman Amina mbona sis atupo ivi
Kazi nzul ila hvy vijora sasa😊😊nd mtihan🎉🎉❤
Hao c wanaishi nje ya mji? Ndio mavazi sio ya kimjini. Ndio mana wamevaa vijora.😂😂
Amina na umbea mama unaweza❤❤❤
Ako na moja😂😂
Dada enjo anafanana na Victoria et yaan kama wanaendana
Mnaoomba laiki jishikilie mtapididiwa mikuungu ya ndizi nyie
🎉🎉❤❤❤❤
Hmmm wanaume kama huyu wa kandy wapo kweli dunia hii,Mungu tu anipatie kama uyu wa kunipenda pamoja na mapungufu yangu aki kutoka moyoni
Naku miss sana kendi, jamani kwanini ume konda ?
Ananyonyesha....anamtot wa kiume
Duuuuu amina amina amina mbeya sanaa ata uku unakuwa mbeya sana ao unamutakaa daa😂😂
Kenya Watching
Uyu amina kila sku anaubaya n love😂😂😂😂😂😂
Amina mnafiki kwel
Amina na unafki wako jmn daa
Next ❤❤❤
Halafu wewe Amina wacha uzushi mbwa wewe
ivi watu mnashindaga humu humu tu
Amina unafiki utakuuuwa mama 🤣😂🤣
Mukivaa vijora munapendeza sana maana mumejistir
Mim wa 18😅😅😅😅😂
Wa saba kukumi lamwanzo nami nimewai kinoma yani😂
Amina acha umbea mama utakufa vibaya dada ngai 🤭 ni kama umewekwa memory card ata mate umezi waa daa😂😂😂 🤣
Nikiona love yuuuu najua kitu kikali
Amina wewe mbingu yako ulisha fungiwa khee.uwongo kila mv mpaka nakuchukia we mdada utakuwa ndo ulivyo ndo asili yako.
Jaman Amina mbeya duuh!
Nikweli kafanana nae sana Kev ila lovu nawe kuwa makini na mchanganiko wa watu
Good work
Mm nmemiss wembe na shaniza
Sasa mbona @Donta tv mnakuja speed ivi maana mnatupeleka mbio 😂😂😂😂