BINTI MREMBO NA HANDSOME WA KIJIJI 💞 Love Story | DONTA TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • #love

Комментарии • 169

  • @JastFinancial02
    @JastFinancial02 22 часа назад +67

    Wanaopenda uwepo wa loveness kwenye drama za @DONTA TV gonga like hapa tuwatambue

    • @IreneMganilwa
      @IreneMganilwa 18 часов назад

      Jaman Nelly tumekumithi ..ety...washabiki wa nely gonga like

    • @saumJuma-q3e
      @saumJuma-q3e 14 часов назад

      Loveness yupo pouw sanaaaa❤

    • @YunucKhalid
      @YunucKhalid 3 часа назад +1

      Loveness anapita mda mwengine

  • @pendochacha1326
    @pendochacha1326 19 часов назад +16

    Kila akiwepo loveness, kelvin kwenye tamthiliaa huwa ina kuwa supper🎉🎉🎉🎉🎉 mauwa yenuu

    • @butoyoSafiya
      @butoyoSafiya 4 часа назад

      Kweli wakiwa pamoja lazima nione nawapenda sana kelvin na loveness

  • @AsifiweImani
    @AsifiweImani 21 час назад +45

    WATAKAO SOMA IYI COMMENT MUNGU AWABARIKI SN

  • @JacintaMaloba
    @JacintaMaloba 22 часа назад +17

    Amina 🤣🤣 n mnafiki sana

  • @Siajoseph-s1g
    @Siajoseph-s1g 22 часа назад +62

    WALIO MISS NELLY❤ GONGA LIKE YAKO HAPAA

    • @KenethMwasenga-x2i
      @KenethMwasenga-x2i 22 часа назад +3

      Iv kwanza nery ameenda wap mbona simooni kwe tamusilia jameen

    • @SarahDastan-i2z
      @SarahDastan-i2z 22 часа назад +2

      Ivi kaenda wap nelly

    • @SuleimanSalim-q9j
      @SuleimanSalim-q9j 21 час назад +1

      Kwel Nelly maneno aliendapi n MDA xax hatumuon Kwa movie nying tu

    • @IreneMganilwa
      @IreneMganilwa 18 часов назад

      Kunambi simuoni kwenye movie ya mtoto wa boss

    • @ArshanaEsthy
      @ArshanaEsthy 16 часов назад +1

      na miss nelly na victoria

  • @ArshanaEsthy
    @ArshanaEsthy 16 часов назад +5

    we nimshumba wa mtu, na mtu anaekupenda anakujali kendi, daaaa napenda maneno ya hu broh🎉🎉❤❤❤

  • @FastaHeradi
    @FastaHeradi 22 часа назад +15

    Naomba like moja tu ya mwamba amina toka drc 🇨🇩 congo.

  • @JanepherBudodi
    @JanepherBudodi 21 час назад +14

    Tuliowamiss nelly na vick gonga like hapo

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 13 часов назад +4

    Ila ht Amina nae ni mzuri sana. Ila wanampa sehemu mbaya. Ndio mana anaonekana m’baya. Ila ni mzuri na ana umbo zuri saana.

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 21 час назад +9

    Nampenda sana Lavness❤❤

  • @BenedictoMlela
    @BenedictoMlela 22 часа назад +7

    Yan Movie za Donta TV akiwepo Loveness , Kelvin, Kunambi, Tina Kivuruge 😂, Nelly Mr wawenge huwa zinanoga😂😅

  • @Najima-r6r
    @Najima-r6r 21 час назад +8

    Kuna ndugu ake kelvin hapo wanafanana sana kama naww umegundua hilo like hapa😅😅

  • @MubayaSelemani
    @MubayaSelemani 18 часов назад +3

    Duh huyu jamaa handsome Kafanana na kelvin ao wandugu Aisee kelvin aje atupe ukweli.

  • @saumJuma-q3e
    @saumJuma-q3e 14 часов назад +3

    Team loveness tujuane❤🎉

  • @masteruvaofficial
    @masteruvaofficial 21 час назад +10

    From Congo kalemie 🇨🇩
    Tunakubali Donta Gang....
    Nipeni SUBSCRIBERS zangu 🙏

  • @PaulineNasoro
    @PaulineNasoro 20 часов назад +4

    Amina umbea tu kuoga aaaaa🙄🙄🙄🙄🙄🇰🇪

  • @GraceKenya-i4j
    @GraceKenya-i4j 18 часов назад +4

    Jamani kumbe kunamapya uku nimechelewa lkn nimefiki nipeni like ata 5 🎉🎉🎉❤❤🇰🇪

  • @JamimaZ
    @JamimaZ 18 часов назад +3

    Amina una roho mbaya bado wamwonea Loveness wivu Amina utaacha wivu lini

  • @AngelinaMihambo
    @AngelinaMihambo 21 час назад +3

    Loveness mzuri jmn Ila Amina anakitu😂unajua kuigiza🎉

    • @MaryMmole-en9qz
      @MaryMmole-en9qz 14 часов назад

      Anajua umbea sana kipande wanachompa kinamfaa

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th 17 часов назад +4

    Huyo anaepewa pombe na candy wamefanana na kelvin

  • @JuwayriyyahSaidy
    @JuwayriyyahSaidy 21 час назад +5

    Mbn simuoni Victoria kwenye move ya mtoto wa boss 😥😥😥😥

  • @JanneRiziki
    @JanneRiziki 20 часов назад +5

    Nampenda sana lavness na kelvin ❤❤❤❤❤

  • @JamimaZ
    @JamimaZ 18 часов назад +2

    Amina wacha unafiki huyo kaka wamekutana Loveness ksha kamwonyesha njia Loveness anapo kenda

  • @Julimwaigaga
    @Julimwaigaga 11 часов назад +1

    Yaan Amina tukiachan na kuigiza hata uhalisia wako ndivyo ulivo..upoage bas dada

  • @HhUhh-io8ix
    @HhUhh-io8ix 22 часа назад +3

    Mashaallah nawapenda bure weeeeee movie tamu msichelewe kuleta ingine plzzz

  • @dr.dishon2960
    @dr.dishon2960 23 часа назад +4

    Oooooh leo wa pilli nimewahi kweli naombeni like zangu

  • @KhadijahKinyuri
    @KhadijahKinyuri 17 часов назад +2

    Movie nzur sana

  • @LoiceKatana-ci1tx
    @LoiceKatana-ci1tx 14 часов назад +1

    Kazi nzuri wana donta🎉🎉❤

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe 11 часов назад +1

    Amina mumbeya sanaa😂😂😂🇸🇦🇧🇮👌🥰

  • @Maryam-e2x8p
    @Maryam-e2x8p 22 часа назад +3

    Amina Acha unafiki

  • @NIYOMAHIRWESumaya
    @NIYOMAHIRWESumaya 23 часа назад +2

    Wakwanza from Rwanda 🇷🇼 nawapenda saan team Kelvin

  • @AliceSindayihebura
    @AliceSindayihebura 12 часов назад +1

    Nelly na vick wakowpi jaman tumea miss

  • @MamuLiana
    @MamuLiana 10 часов назад +1

    Amina mgombanishi Sana ww

  • @FurahaChristine-g8w
    @FurahaChristine-g8w 22 часа назад +3

    Amina aca ombeya

  • @SharabilDepisky
    @SharabilDepisky 16 часов назад +2

    Lovnes is the best

  • @MwaJuma-x3t
    @MwaJuma-x3t 23 часа назад +2

    Mashallah kz nzur wapili na mm😂😂kutoka kenya🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JjwjjAljweej-s3y
    @JjwjjAljweej-s3y 3 часа назад +1

    Amina we n mnafiki sio rafiki mmbea we

  • @EliwanguPallangyo
    @EliwanguPallangyo 17 часов назад +2

    Nice story

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 21 час назад +2

    Love mama Kama kipaji kapewa ❤

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzo 14 часов назад +2

    Uyu Kendi mbona kafanana sana Shamsa Ford kwani ni ndugu?

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 19 часов назад +1

    Kazi nzuri ❤

  • @FahadNassor-j5o
    @FahadNassor-j5o 22 часа назад +3

    yan mm hivo mkivaa vijora mhhh ila sawa ❤❤

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe 10 часов назад

    Pole kaka Kendy ha ereweki kbx mupende loveness❤🇸🇦🇧🇮🥰

  • @Ester-vg2ev
    @Ester-vg2ev 20 часов назад +2

    Hapo kwenye kupigana nimepapenda saaana haki ya Mungu😂😂😂😂 nimesikia raha

  • @SaumuWanje
    @SaumuWanje 12 часов назад +1

    Good work ❤❤❤

  • @RedemptertheAngel
    @RedemptertheAngel 21 час назад +3

    Amina na umbea😂

  • @VirgilioFilipeGaili
    @VirgilioFilipeGaili 23 часа назад +4

    Mim wakwanza Leo kutanzama móve hii🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @lucianodrogba7951
    @lucianodrogba7951 13 часов назад +2

    Good hips❤❤❤❤❤

  • @Furaha-d4g
    @Furaha-d4g 16 часов назад +1

    Amina hajaacha tabia yake mbanya msichana mmbea

  • @BintiM-di1wm
    @BintiM-di1wm 10 минут назад

    Huyu candy nae kumbe ni moto kushinda Amina 😂😂😂😂❤❤kzi nzr nawapenda

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe 11 часов назад +1

    Kendy anakudanganya Amina😂😂😳🤣🤣🇸🇦🇧🇮

  • @AminaMohamed-y7p
    @AminaMohamed-y7p 10 часов назад +1

    Nili miss kuona wembe na sasa nelly hayuko

  • @DianaNelima-i5i
    @DianaNelima-i5i 23 часа назад +4

    Leo nimekuwa top ten lakini Victoria mbona siku hizi simwoni amepotea sana

  • @AlphankatanaKatana
    @AlphankatanaKatana 13 часов назад +2

    Unaongea sana c jui haupendwi umbea tu

  • @MwaJuma-x3t
    @MwaJuma-x3t 22 часа назад +6

    Jmn huyu amina mbona mmbeya hivi sikupendi hata bure😂😂🎉

    • @CharityMuthee
      @CharityMuthee 20 часов назад +1

      😂😂😂 🤣 umbea tu 🎉

    • @IreneMganilwa
      @IreneMganilwa 18 часов назад +1

      Amina ni mmbeyaa Jmnii.... Ambao tunamchukia amina Gonga like hapa👍

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 13 часов назад

      @@IreneMganilwamcmchukie jamani ni maigizo. Lkn lbd kiuhalisia hayupo hivyo.

    • @BintiM-di1wm
      @BintiM-di1wm 50 минут назад +1

      😂😂😂😂tena umbea wake wa moto moto haulali wala

    • @MwaJuma-x3t
      @MwaJuma-x3t 9 минут назад

      @@BintiM-di1wm sana 2😅😅😅

  • @HusnaSoko-x9b
    @HusnaSoko-x9b 6 часов назад +1

    Amin punguz roo mbya

  • @JjwjjAljweej-s3y
    @JjwjjAljweej-s3y 3 часа назад

    Ila dada loveness kwa chips hongera dada nkadzo from kenya nawapenda sana

  • @InukaUangaze-s3y
    @InukaUangaze-s3y 18 часов назад

    Mafunzo mazuri sana kwa maisha ya sasa ❤❤❤wana Donta

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 19 часов назад

    Noma sana caddy 🎉🎉pokea maua dadangu ❤❤❤ Kenya

  • @neemaJames-i7e
    @neemaJames-i7e 22 часа назад +2

    Amina mdaku jamani😂😂😂

    • @CharityMuthee
      @CharityMuthee 20 часов назад

      😅😅😅 anachoma akienda😅😅

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 17 часов назад

    Amina acha usutwaaa

  • @herieldauson5987
    @herieldauson5987 12 часов назад +1

    Huyu amina kama kitale tu

  • @thierryhenrytv
    @thierryhenrytv 16 часов назад

    J, loveness ni mpole ila na yeye akiamuwa ni mkolofi 😂😂

  • @JoynessMshaija
    @JoynessMshaija Час назад

    Kuna mtu anamfanana kev humu,amepewa pombe na kend 🎉🎉

  • @AminaSalumu-w3b
    @AminaSalumu-w3b 13 часов назад

    Mlipo nipo mpaka mtoboe nawapenda donta Family

  • @MonalisaNdimbo-f8m
    @MonalisaNdimbo-f8m 14 часов назад

    Candy mzur sana jmn uko gud😊

  • @hamisimwandu5675
    @hamisimwandu5675 17 часов назад

    Nzuri sana

  • @AngelinaMihambo
    @AngelinaMihambo 21 час назад

    Kaz nzur donta❤

  • @getrudaDavid-s1p
    @getrudaDavid-s1p 17 часов назад

    Amina acha uongo

  • @BarikLaurent
    @BarikLaurent 16 часов назад

  • @RukiaAbdallah-m7g
    @RukiaAbdallah-m7g 22 часа назад +1

    Im in love na daenjoo,❤❤

  • @NkorerimanaAugustin-vg8so
    @NkorerimanaAugustin-vg8so 23 часа назад +1

    ❤❤❤❤ love team

  • @AminaSaid-y4t
    @AminaSaid-y4t 16 часов назад

    Jaman Amina mbona sis atupo ivi

  • @Wardarajab
    @Wardarajab 19 часов назад

    Kazi nzul ila hvy vijora sasa😊😊nd mtihan🎉🎉❤

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 13 часов назад

      Hao c wanaishi nje ya mji? Ndio mavazi sio ya kimjini. Ndio mana wamevaa vijora.😂😂

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 21 час назад

    Amina na umbea mama unaweza❤❤❤

  • @RozPeter-s5z
    @RozPeter-s5z 21 час назад +1

    Dada enjo anafanana na Victoria et yaan kama wanaendana

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 22 часа назад +2

    Mnaoomba laiki jishikilie mtapididiwa mikuungu ya ndizi nyie

  • @NellyEpango-b5y
    @NellyEpango-b5y 14 часов назад

    🎉🎉❤❤❤❤

  • @NdayishimiyeAgnes-of2tn
    @NdayishimiyeAgnes-of2tn 19 часов назад

    Hmmm wanaume kama huyu wa kandy wapo kweli dunia hii,Mungu tu anipatie kama uyu wa kunipenda pamoja na mapungufu yangu aki kutoka moyoni

  • @FastaHeradi
    @FastaHeradi 22 часа назад +2

    Naku miss sana kendi, jamani kwanini ume konda ?

  • @BagumaJulienBagumaJulien-k8g
    @BagumaJulienBagumaJulien-k8g 22 часа назад

    Duuuuu amina amina amina mbeya sanaa ata uku unakuwa mbeya sana ao unamutakaa daa😂😂

  • @STANLEYKINYILI
    @STANLEYKINYILI 21 час назад

    Kenya Watching

  • @Saass-z9n
    @Saass-z9n 14 часов назад

    Uyu amina kila sku anaubaya n love😂😂😂😂😂😂

  • @FaizaKabibi-tb2dj
    @FaizaKabibi-tb2dj 21 час назад

    Amina mnafiki kwel

  • @HadijaVinyu
    @HadijaVinyu 15 часов назад

    Amina na unafki wako jmn daa

  • @NoorEesa
    @NoorEesa 21 час назад

    Next ❤❤❤

  • @khamiskhamis1205
    @khamiskhamis1205 14 часов назад +1

    Halafu wewe Amina wacha uzushi mbwa wewe

  • @franktodory
    @franktodory 23 часа назад +2

    ivi watu mnashindaga humu humu tu

  • @AminaMjeni-iz8uo
    @AminaMjeni-iz8uo 16 часов назад

    Amina unafiki utakuuuwa mama 🤣😂🤣

  • @MwanakomboAliKhamis
    @MwanakomboAliKhamis 16 часов назад

    Mukivaa vijora munapendeza sana maana mumejistir

  • @eddatumsime
    @eddatumsime 22 часа назад +2

    Mim wa 18😅😅😅😅😂

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 23 часа назад +2

    Wa saba kukumi lamwanzo nami nimewai kinoma yani😂

  • @CharityMuthee
    @CharityMuthee 20 часов назад

    Amina acha umbea mama utakufa vibaya dada ngai 🤭 ni kama umewekwa memory card ata mate umezi waa daa😂😂😂 🤣

  • @SarahMugisha-bh8yu
    @SarahMugisha-bh8yu 16 часов назад

    Nikiona love yuuuu najua kitu kikali

  • @DeboraIlomo
    @DeboraIlomo 21 час назад

    Amina wewe mbingu yako ulisha fungiwa khee.uwongo kila mv mpaka nakuchukia we mdada utakuwa ndo ulivyo ndo asili yako.

  • @SophiaPaulo-w4i
    @SophiaPaulo-w4i 22 часа назад

    Jaman Amina mbeya duuh!

  • @MwanakomboAliKhamis
    @MwanakomboAliKhamis 16 часов назад

    Nikweli kafanana nae sana Kev ila lovu nawe kuwa makini na mchanganiko wa watu

  • @chepchumbamelody2760
    @chepchumbamelody2760 18 часов назад

    Good work

  • @Mariam-u6z6f
    @Mariam-u6z6f 15 часов назад

    Mm nmemiss wembe na shaniza

  • @Ester-vg2ev
    @Ester-vg2ev 20 часов назад

    Sasa mbona @Donta tv mnakuja speed ivi maana mnatupeleka mbio 😂😂😂😂