MBUNGE CONDESTER AINGIA NA POMBE BUNGENI, AMFOKEA MBUNGE MWENZAKE, SPIKA AINGILIA KATI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 май 2023

Комментарии • 130

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 Год назад +5

    Waliyo muona mzee mpumbavu ngonga like hapa tuzuiye upumbavu bungeni.

  • @laudencesimkonda9483
    @laudencesimkonda9483 Год назад +6

    Huyu Mbunge ana akili nyingi sana. Vijana kama hawa wanapaswa kuungwa mkono, maana ni hadhina ya Taifa ♥️ 🔥

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 Год назад +2

    Nimekupenda bure mdogo wangu!!. Condester, Hapo kwenye kutetea ubunifu. Itoshe tu kusema katika hili watanzania umetutendea haki mdogo wangu.

  • @kelvinedward1405
    @kelvinedward1405 Год назад +3

    Nimekupenda ww

  • @gsgsgsghshsgsgs6123
    @gsgsgsghshsgsgs6123 Год назад +2

    Ubarikiwe sana

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 2 месяца назад

    Dada mwenye akili sana ,hongera sana Mungu akubariki 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Год назад +2

    " ... Wala sio dhambi". Allahu Akbar, Allah atuongoze njia sahihi.

  • @priscamsuya-xd4tu
    @priscamsuya-xd4tu Год назад +4

    Huyu Dada ajengewe sanamu lake miji yote Tanzania ❤❤❤❤

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Год назад

      Kwa sbb katetea pombe!

    • @priscamsuya-xd4tu
      @priscamsuya-xd4tu Год назад

      @@miltonjohn9779 wewe ulivyoona ametetea pombe kwa mawzo yako msikilize MTU anaongea nn ndio ukurupuke

  • @mh9251
    @mh9251 Год назад +1

    Dada wangu kusikia hautumii pombe nimefurahi sana. Nakuheshimu sana. Naamini huko mbeleni utapata cheo zaidi ya kua mbunge. Akisema basi marufu pombe zote, mbona wengi kimya na wanaangaliana tu!

  • @mussayosia7752
    @mussayosia7752 Год назад +2

    Well said

  • @morganbrighton1552
    @morganbrighton1552 Год назад +1

    I like the way ameweza kujenga hoja

  • @ChongemarwaChongemarwa-qz4hy
    @ChongemarwaChongemarwa-qz4hy 9 месяцев назад

    Hongera Sana mbunge wa momba

  • @justinemaganga4139
    @justinemaganga4139 Год назад

    Hiii safi sana tena sana

  • @WinnifridaAmbross
    @WinnifridaAmbross Год назад

    Good madam

  • @alfreddismasndunguru2505
    @alfreddismasndunguru2505 Год назад +1

    Daa uko vizur madam

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena128 Год назад

    Good point

  • @faidhacute
    @faidhacute Год назад +6

    Condester ana akili sana huyu mama,anaongea madini sana

  • @amirikiponda3993
    @amirikiponda3993 Год назад

    Safi sana mrembo ...umeongea ukweli mtupu.

  • @kingmartinezy13
    @kingmartinezy13 Год назад +1

    Hatariii

  • @kawawamaige2973
    @kawawamaige2973 Год назад +3

    Ni kweli mama ubunifuj huazia chini kilichopo tunapenda kudharau cha kwetu

  • @esterfrenk4198
    @esterfrenk4198 Год назад

    Umeupiga mwingi sana nimekupenda sana

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 Год назад

    Wazo zuri sana.Sisi Watanzania tunapuuzana na kujipuuza sana,chanzo kikuu ni viongozi wasiojitambua wanaoendekeza ugeni kuliko asili inayofaa Kuna ubunifu wetu mwingi tumeuzima kabisa kwa vitisho♥️👏

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Год назад +1

    Huyu mzee huwa anam-MIND sana Condester Sichwale. Alishamzingua kuhusu mavazi na Spika Ndugai akamtoa

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤swadakta

  • @mathewmshiu1424
    @mathewmshiu1424 Год назад

    Sahihi kabisa mwana dada

  • @omariayuba6788
    @omariayuba6788 Год назад

    100/100 nakukubali dada

  • @saiclement9761
    @saiclement9761 Год назад

    Nimefrah sana coz umenikumbusha mbal sana hata mm pia gongo ndio imenilea nakunisomesha nakunifiksha hapa nilpo familia yetu imelelewa namama muuza gongo asante sana 👉 MAMA angu mzazi👈 kipenz mungu akuzidishie maisha malefu🙏🙏🙏 chanzo chote chapato lako ulilotulelea ilikuwa. Nikuuza GONGO 🤣🤣🤣

  • @user-ig9xy5lv6s
    @user-ig9xy5lv6s 5 месяцев назад

    Ni keeling Tanzania inazaraulika

  • @amenyemwansile6919
    @amenyemwansile6919 Год назад

    Safi sana dada yangu nyie ndiyo mama samia angekuwa anawapa hata uwaziri kwa hoja zenu zenye mashiko

  • @PaschalMasinda-gl4hd
    @PaschalMasinda-gl4hd Год назад

    Ofcouse my sister

  • @tinapoul4814
    @tinapoul4814 Год назад +3

    Huyu munge jmn duuu nimempenda bure

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 9 месяцев назад

    Kweli conde mama umeongea sawa

  • @EddoMhombo-qt9rx
    @EddoMhombo-qt9rx Год назад

    We safi

  • @lameckernest633
    @lameckernest633 Год назад

    Uyu mbunge kaongea vizuri

  • @noelmichael9425
    @noelmichael9425 Год назад

    👍👍👍👍

  • @supusupu8556
    @supusupu8556 Год назад

    dadangu mbunge heshima sanaaaaa mteez wetu

  • @user-bf6sf4xj1n
    @user-bf6sf4xj1n Год назад

    Good aide

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Год назад +1

    Watu kama hawa na msukuma wana akil sanaaa

  • @larryking623
    @larryking623 Год назад

    Mvinyo 🍷

  • @Chrizabizzy1
    @Chrizabizzy1 Год назад

    Okay okay

  • @edsonpetro3754
    @edsonpetro3754 Год назад +2

    unakili sana

  • @KonchesterDamian-pc7lr
    @KonchesterDamian-pc7lr Год назад

    Kweli kabisa dada umenena kweli lifanyiwe kazi

  • @Antoniojirani-vb4ut
    @Antoniojirani-vb4ut Год назад

    Kweri dada

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Год назад

    Walevi mpooo

  • @amenyemwansile6919
    @amenyemwansile6919 Год назад

    Mama samia hii wizara mbunge huyu anaisemea vizuri tunaomba huyu dada mpe wizara hiyo ana vision kubwa na nchi hii

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Год назад

    Wanywaj mteteee hoja hii

  • @hellenahenry8150
    @hellenahenry8150 Год назад

    Dada kaongea point huyu

  • @avidthespur5120
    @avidthespur5120 Год назад

    Duuuh

  • @feisalfarsy6562
    @feisalfarsy6562 Год назад +6

    Umekosa LA kuongea ww

  • @Tatizofficial
    @Tatizofficial Год назад

    Huyu mbunge kalewaaa duh bungee la chama kimoja,😁😁😁🥶

    • @amanimlengwa9202
      @amanimlengwa9202 Год назад

      Uwage na akili sometimes uwe unaelewa context. Si unamaliza mbs na huelewi chochote?

  • @edwigasamba4953
    @edwigasamba4953 Год назад

    Unapatikanaje huo mkopo?

  • @azizimakotha4929
    @azizimakotha4929 Год назад

    😢

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 Год назад +1

    Pombe za kienyeji zinamwagwa sababu ya mawazo ya kikoloni na ndiyo maana watu wanaona hata ushoga na ulawiti ni mambo mema kwakuwa wameshawishiwa

  • @noahmadali7150
    @noahmadali7150 Год назад +1

    Zambi au dhambi

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Год назад

      Katika kiswahili brother tumekwama brother blaza dalali darali daresalm dalesalam

  • @ShirimaShirima-wp2ww
    @ShirimaShirima-wp2ww Год назад

    Dada fanya mpango ukitoka Moja tu umenena bimdada

  • @manifestationmastermindset6518
    @manifestationmastermindset6518 Год назад +1

    Taarifa Hata hiyo Methanol ni Ant-dote ya Ethanol hakuna baya

  • @maalimrajabu8942
    @maalimrajabu8942 Год назад

    Bunge la wapi hili

  • @VeronicaAdam-lx8yd
    @VeronicaAdam-lx8yd 16 дней назад

    Munip no ya mbung huyu

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 Год назад

    Upuuzi mnaoonea hap0

  • @Tatizofficial
    @Tatizofficial Год назад +1

    Wazee wa kamnyesooo wape kama walivoo

  • @petermubi1048
    @petermubi1048 Год назад +1

    Tumpe maua huyu Mama

  • @noahmadali7150
    @noahmadali7150 Год назад

    Sio samani thamani

  • @noahmadali7150
    @noahmadali7150 Год назад

    Samani au dhamani

  • @faidhacute
    @faidhacute Год назад

    Mambo ya nyagi sasa

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Год назад

    Pombe kweli ni MBAYAAAA ikizidi kwa kulewa vibaya kupitiliza kuharibu AKILI KUBWA za RIKA zote. Lkn pombe hizi zinatokana na kilimo chetu. KODI inalipwa na fedha hiyo kufanya shughuli zingine za kiserikali. Na pia inajenga misikiti, makanisa na kusaidia wasiojiweza kabisa. Mungu tupe MBADALA wa kadhia hii.

  • @EmmanuelSentimea-yu8no
    @EmmanuelSentimea-yu8no 9 месяцев назад

    Mhe. Mtanzania akigundua kitu ukweli hakithaminiki ila akigundua mzungu ndiyo unaonekana ndiyo sahihi!

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Год назад

    Mwomba Kabisa huyu mdada 'japo hii nidhambi kabisa a lakin amejaribu kutetea vyakwetu, points kabisaa
    Samini vyakwenu kongole sinywi pombe but kutetea vyetu nisahihi

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 Год назад

    Kuongea more hukooooo mnaipromote pombe nyieeeeeeeee Mungu anawaona.

  • @enockchangwa8534
    @enockchangwa8534 Год назад +2

    tutaingiza mpaka zambi

  • @endamarariektoursandsafari9717

    Ana kitu huyu asikilizwe

  • @boazpeter6524
    @boazpeter6524 Год назад

    Ndio ulichoombea kura hicho nga wachita using nachalwe

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Год назад

    Hiyo pombe ya korosho uraka

    • @user-rt1wf6se5f
      @user-rt1wf6se5f 4 месяца назад

      Hapana ni gongo dema itolewe hiyo sumu itakua safi Tena ina afya

  • @JemsiKabelege-qc7fy
    @JemsiKabelege-qc7fy Год назад

    Kuhakiki leseni

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Hata kiwanda cha chumvi kigoma kimekufa

  • @CanisiusJohnKayombo-ch6fw
    @CanisiusJohnKayombo-ch6fw Год назад

    Anaongea hoja nzuri kwa wanywa vilevi. Salama ya watu wa kawaida tokana na vilevi ni kwamba wachache wenye fedha nyingi ndo watanunua. Lakini hizo pombe za bei rahisi zinaharibu sana watoto wetu. Ulitumiaje fedha yako kununua ulevi!!! Kwani ndivyo unavyoamini kwamba wabunge, mawaziri, na matajiri ndo wanaamini Mungu wa kweli!! Gongo zinaharibu watoto wetu wewe. Yaani kimsingi pombe ni tatizo. Imani zenu na nani!! Unavyoamini wewe Hata kama wanaenda ibadani madhabahu zao ni tofauti

    • @ndewariopeter
      @ndewariopeter Год назад

      Mawazo mazuri sana
      tujivunie vya kwetu,"sio kila ki2 made in china,Japan,Kenya nk

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад

    Konyagi ni namba moja Mimi sijaionja lakini wazungu wanaipenda na kuisifu.Tukazane kama export😊

    • @aishajuma7402
      @aishajuma7402 Год назад

      Konyagi ni tamu sana kwa sababu azina makemikali inatengenezwa na ndizi Kali tu. Hizo bia tayari zina kemikali

  • @elifurahamassawe3439
    @elifurahamassawe3439 Год назад +1

    Huyu mbunge ni mkweli

  • @boazpeter6524
    @boazpeter6524 Год назад

    Mh

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 Год назад

    Nani ameskia MHE . Kaspika?😅

  • @allymaliwata3583
    @allymaliwata3583 Год назад

    Nchi ngumu sana hii, Yani inawezekana kweli jimboni kwako Tatizo kubwa la wananchi wako ni pombe za kienyeji ?? Ebu jadilini vitu vya msingi maana umeme mnapandisha

  • @manjaruu1575
    @manjaruu1575 Год назад +1

    Muheshimiwa umesema hutumii ukimaliza kuzitolea mfsno naziomba

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Год назад

    Walevi tupu

  • @bakarimtange570
    @bakarimtange570 Год назад

    Ili ndio tatizo kikao Cha ukoo ikaongee familia Moja ccm ccm ni mafisadi wakubwa

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Год назад

    6

  • @muhsiniamiri9310
    @muhsiniamiri9310 Год назад

    Mnajadil pombe kwel dah mnajua nchi bad hain chakul

  • @komboali8203
    @komboali8203 Год назад +7

    Badala ya kuongelea mambo ya msingi wanakwenda kuongelea maswala ya pombee, ujinga mtupu

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 Год назад

      Unajua zinachangia pato kiasi gani na pesa hizo zinajenga miundo ambayo wewe unatumia miundo mbinu hiyo? Moja barabara na hospital

    • @nembibenard8440
      @nembibenard8440 Год назад +2

      Kwa wanaopika pombe wala sio ujinga katetea masilahi ya wapika gongo ila ww siku kile kinakuingizia pesa kikiguswa kikaonekana ni haram ndio utajua umhim wa wabunge kama hawa

    • @fabiansemba-eh2qf
      @fabiansemba-eh2qf Год назад +2

      Wewe ukiongelea ya msingi inatosha

    • @clintonarnold6291
      @clintonarnold6291 Год назад +1

      Wanaongelea kwasababu inatumika na watanzania shida ni kwamba tumejengea Nidhamu ya kujfchafcha Kwan ww hujui kua pombe inachangia San pato la taifa kaka

  • @emmanicko1535
    @emmanicko1535 Год назад

    Fulsa inakuja kwa sisi wanywa gongo kwa kufichama

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 Год назад +3

    Sjaelewa kabisa labda nrudie tena..

    • @oscanyakunga
      @oscanyakunga Год назад +1

      Penda vyakwenu usipende vya wengne

    • @aishajuma7402
      @aishajuma7402 Год назад

      Haya majina ya Emmanuel ni vivuruge ameelewa sema tu tumuache hivyo hivyo 😂😂

    • @oscanyakunga
      @oscanyakunga Год назад

      Haya @ karibu

  • @JumaMsukwa-bu5nt
    @JumaMsukwa-bu5nt Год назад

    Jua yako pombo haikuhusu hujui sida alafu huna hella mbonanahusemi masikini wanaishi vip

  • @bakarimtange570
    @bakarimtange570 Год назад

    Ccm hamna jipya wananch Hali ngumu nyie wapumbavu mnajadili pombe

  • @AhmedAhmed-bz1re
    @AhmedAhmed-bz1re Год назад

    Baadhi ya wabunge ,hakuna kitu kabisa kama huyu hamna kitu kichwani

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Год назад

    Huyu dada ameolewa?chuma kweli kweli af anahela

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Год назад

    Mwingine atakujaingia na mabomu humo.

  • @stevenmilton2504
    @stevenmilton2504 Год назад

    Makof tafadhl

  • @ETT3
    @ETT3 Год назад

    ruclips.net/video/zGnC6bNSzt8/видео.html
    Jifunze kupata pesa mtandaoni

  • @furahakefa4806
    @furahakefa4806 Год назад

    Dada wewe kichwa nimekuelewa waambie ukweli

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 Год назад

    Heeeee kunywa pombe sio dhambi???Musukuma weweeeee

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob5795 Год назад +8

    Sikiliza, point yake kubwa ni kukuza ubunifu wetu ba tutumie made in Tanzania.wewe umeona pombe tu,nonsense.

  • @josephmussa3708
    @josephmussa3708 Год назад +1

    Hilo ndo bunge la tanzania sasa..wasomi hao..tunazungumzia pombe wakati umeme unakatika ovyo..duuuuuuh

  • @allenkatunzi9075
    @allenkatunzi9075 Год назад +1

    Stupid kabisa, ndo uwakilishi huu !

    • @anordthadeo7616
      @anordthadeo7616 Год назад +1

      ulitaka afanye uwakiliahi gan kama sio kumuwakilisha yule mtanzania anayefanya kaz za chini ....huo ndio uzalendo kafanya kwa vitendo kucompare bidhaa ya nchini na ile inayoingia na inamnufaisha nan ....na kikubwa alilenga kumjengea mtanzania wa hali ya chini hoja ni namna gani anaweza kuchangia uchumi wa viwanda