Antii prt 2 {with english subtitle} official video | Madrasa shop

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Maisha ya ndoa yanahitaji kuwa mvumilivu wa hali ya juu maana wanawake ni sawa na ubavu ukilazimisha kuunyoosha basi utauvunja.......hv endelea na film hii ya anti
    +255773950250 or +255717513191 #Mash Tv
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 709

  • @MaryamMamaZamda
    @MaryamMamaZamda 7 месяцев назад +3

    Kiukweli Allah atupe.uvumilivu wote.tunaofanya kazi.zandani.nakupapole sana.kakaangu.kwahuo mtihani

  • @regnoldnikodemurasa3365
    @regnoldnikodemurasa3365 Год назад +5

    daah jaman sasa kila kitu antii apo ananyanyuka saa ngapi khaa hata msalani si antii kama umekubali gonga like

  • @adijahmdosi5863
    @adijahmdosi5863 Год назад +2

    Bahati kama hizo huchezewa kweli daa Mwenyezi Mungu atujalie wepesi na subra mashallah tabarakallah iko na mafunzo

  • @abdulnaseerkhaji4102
    @abdulnaseerkhaji4102 3 года назад +2

    Filamu ni nzuri tena yenye maadili ila tunaomba muendelezo ili mwisho tuuone inafurhisha na inaelimisha jazakumu llahu khaira

  • @zakayokipingi7963
    @zakayokipingi7963 2 года назад +2

    Antii popo te alipo mm nitamuoa kwa mahali yoyote ile maana sio kwa uvumilivi huu nimeipenda sana hii tamthilia mmetufundisha sana mungu wasaidie sana

  • @hussnabakary3507
    @hussnabakary3507 3 года назад +2

    Yan ktk dunia ni wachache sana wanaopata mume na mke... Lkn tuliobaki ote inakua mume akiwa mwem bac mke sie na mke akiwa mwema bac mume mtihana yaallaha tujalie heri

  • @rahmahamis807
    @rahmahamis807 5 лет назад +9

    Masha Allah wanawake tunapopata Neema ya ndoa tujutahid kuwafanyia wema wenza wetu

  • @nururajabu8555
    @nururajabu8555 5 лет назад +6

    Hata unipe million sifanyi heeee kila kitu antiii

  • @asmaaramadhani319
    @asmaaramadhani319 5 лет назад +17

    Muoe anti mashaallaha anauvumilivu but uyo dada Sjapenda kutokumjali mumewe

  • @saidali2707
    @saidali2707 4 года назад +3

    Maashaa Allah filam ninzuri Sana hongereni Sana ngugu zetu Allah Awape wepesi muendelew nakazi ila pia hapa kuna mafunzo Kwa DADA ZETU dada zangu mue makini Sana kwani Pepo yako iko chini ya miguu ya mume wako kueni makini Sana ma ukhety wetu ngugu zetu Allah Awape wepesi mutupe VIpindi

  • @sharifaahmed3719
    @sharifaahmed3719 5 лет назад +9

    Antiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii he huchoki Ila mchezo mzuri mashallahhhhhhhh muendelez plz anti hongera

  • @zainabujuma7410
    @zainabujuma7410 5 лет назад +7

    Maa shaa Allah Antii wawatu mwenyewe yupo shap huyo...kwa utumaji huo hata warab nawatetea

  • @winnihendri3130
    @winnihendri3130 5 лет назад +149

    Mwendelezo please nzuri sana kama imekupamba kaa mimi like hapa

    • @faquegeramo4992
      @faquegeramo4992 3 года назад

      Hinayo msumbua ni hiyo smartphone mnunulie sim ya touch

    • @azizaaziza7996
      @azizaaziza7996 3 года назад

      Nimeipenda sana

    • @azizaaziza7996
      @azizaaziza7996 3 года назад

      Ile ilofikia uufukweni Mbona hamku imalizie mnatikatisha Raha njiani

    • @Jajakanjaniri
      @Jajakanjaniri 5 месяцев назад

      ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @tundaclassic2704
    @tundaclassic2704 5 лет назад +15

    Weeee mambo ni 🔥🔥🔥🔥muoe antii

  • @aminaabdalla8636
    @aminaabdalla8636 Год назад +1

    Funzo nzuri kbxa kwetu SS tuendao kwenye ndoa

  • @feysalfeyser6220
    @feysalfeyser6220 5 лет назад +4

    Mashaallah Filamu ni nzuri sana yenye mafunzo haswa ya wana ndoa wa kiislamu ni yapi ya kuepuka na yapi yakufanya yani ni majukumu yapi ya mke na yapi baba .. Ila hapo rafiki yako alipokushauri umwache mkeo na umuoe antii yupo sahihi lakini kakosea namna ya kukupa ushauri alipaswa kukuambia ongeza mke wa pili naamini itakuwa funzo kwa mkeo kujirudi na kubadilisha tabia ..

  • @zuleikhasuleiman4634
    @zuleikhasuleiman4634 3 года назад

    Uyo Antii hahisi kizunguzungu heee uyo dada anaatuma sana heeeee mtihani

  • @shailakipingu1112
    @shailakipingu1112 5 лет назад +6

    Maashallah jamani tumeshukur sana kwasab tumeisubiria sana na Leo tumeipata asanten sana

  • @madrasashoptvonline4175
    @madrasashoptvonline4175 5 лет назад +157

    Shukran kwa wote munaofatilia film hii ya Antii...Na poleni kwa kuchelewa kuweka muendelezo hii yote sbb ilio nje ya uwezo wetu HV mtatuvumilia sbb tupo Na majukumu mengi ya kimaisha....ila titajitahid vipatikane kwa haraka.

  • @rajabusuleman5111
    @rajabusuleman5111 5 лет назад +5

    Ma shaa allah mchezo mzuri

  • @zephaniakibwe6376
    @zephaniakibwe6376 3 года назад +2

    Filamu nzulii sana inafundishaa mengi,,,,,,Mashaallah

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 года назад +2

    Movie nzuri Sanaaa 🙏 hongeren washlki wote

  • @wardataliy9319
    @wardataliy9319 11 месяцев назад

    Mashaallah
    Kazi nzur Allah awape kheri

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 5 лет назад +13

    Hahahahahaaa hahahahahaaa atiii woi wakioa mke wapili mnajifanya mnapresha ufuu

  • @mwanamisaomar346
    @mwanamisaomar346 5 лет назад +8

    Hongereni kwa film nzuri..mashaallah

  • @victoriakimario7757
    @victoriakimario7757 5 лет назад +1

    Nmewapenda bure ni funzo ili

  • @mudhakirudauda7933
    @mudhakirudauda7933 5 лет назад +4

    Good advice. Piga chini mama Nura oa Antiiiiii

  • @rehematemu3748
    @rehematemu3748 5 лет назад +1

    Nyoooo antiiiiii umenizaa au boya we pambana na Hali yako muoe antiiiiii uyo

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or 5 лет назад +6

    Mashallah movei nzuri tuleteeni muendelezo

  • @Jajakanjaniri
    @Jajakanjaniri 5 месяцев назад

    Yooooo Weye Mwanamuke Tabia Zako Kama Mwarabu 😢😢😢 Hakuna Tafauti Kbx😂😂 😮😮 Yani Nawapenda Sana From Burund 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦❤❤❤

  • @joharbakar5981
    @joharbakar5981 5 лет назад +2

    Bora umuoee antiiiiiii😂😂😂 maana daah antii Mashallah 😘

  • @sophiaabdallah7821
    @sophiaabdallah7821 3 года назад

    Bora umoeee tu antii coz she is the best wf

  • @islantasadick7142
    @islantasadick7142 5 лет назад +4

    Mashaallah my patner hukuwahi kuniangushaa kipenzi pamoja nakipaty Wallah hongereni sana aminia sana broo fahdy madrasa shop itazidi kuwa juuu

  • @ashaabdi7270
    @ashaabdi7270 5 лет назад +1

    duuuuuuhhh antiiiiii huchoki kumuita yani mumeo kasafir umeshindwa kumuuliza km kafika huyoo antii ndo anauliza duh antiii hongera

  • @biommy6700
    @biommy6700 5 лет назад +5

    Nilisubiri kwa ghamu esp ll...Thanks for ploading

  • @husnahlaazizmohammed7397
    @husnahlaazizmohammed7397 5 лет назад +3

    Ma sha Allah NiCe movie 😘😘😘

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime5717 5 лет назад +5

    Mashaallah mchezo ni mzr na unafunzo mazuri na muhimu sana hongereni wahusika mulio toa mafunzo haya

    • @adamotto9630
      @adamotto9630 5 лет назад

      Geet parayi iriyo tafsiriwa ya 331

  • @rayaalaisari4592
    @rayaalaisari4592 5 лет назад +14

    Mashaallah mashaallah ❤️❤️❤️❤️❤️tu naombeni ya 3 jamani

  • @abuuzunairahonlinetv5592
    @abuuzunairahonlinetv5592 5 лет назад +7

    Ba mkwe piga chini tunaweka ndn auntiiiiiiii

  • @fanilaakimana6653
    @fanilaakimana6653 5 лет назад +8

    Mansha Allah tunaomba ya 3

  • @tinamlay3371
    @tinamlay3371 3 года назад

    Tabia mbaya sanaa huyu mwanamkee khaah

  • @beautyhennayummyfoodmwechi6833
    @beautyhennayummyfoodmwechi6833 5 лет назад +1

    Masha Allah movie nzr nawapenda sana madrasatul shop

  • @shuubinty1447
    @shuubinty1447 3 года назад +1

    Piga chini owa antyyy🤣🤣🤣👌

  • @mejubaraza9415
    @mejubaraza9415 5 лет назад +6

    Waita kama muhindi duuh wallahy waarabu wangekuwa hivi nisinge kuja kuwafanyia kazi maana ningewapuuza kila siku

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 3 года назад

    Ahaaa huyu mzee sasa ndie ameniuwa na cheko. Ukweli amuowe aunti

  • @faridamwashanda1921
    @faridamwashanda1921 5 лет назад +2

    Mwanamke haina gani haki, mimi binfi Niko na antii but hata shirt ya bwanangu agusi, chumbani hafiki.please leteni part 3 nitamu Sana 👌👌👌

  • @mazrui1948
    @mazrui1948 3 года назад

    Mm Antii namuoa potelea mbali liwe liwalo.

  • @andrewurio6056
    @andrewurio6056 5 лет назад +13

    Mashaallah Hapo sasa patam,kama umeipata neema ya ndoa na hujui thamani yake ni kher aolewe anaeijua thaman ya hyo ndoa,Muendelezo inshaallah.

  • @omanseeb2766
    @omanseeb2766 5 лет назад

    😀😀😀😀😀mwanamke Hana haya Wala hajui vibaya looo km si mwafrica Hana tofaut na waarabu kasoro rangi 😀😀😀😀

  • @bintihassan6534
    @bintihassan6534 3 года назад +1

    Duh hyo mama anaita mpka kero yn ajimudu na lolote utadhani muhindi😏😏😏

  • @huweiy6587
    @huweiy6587 3 года назад +1

    Nimefurah kuona muendelezo

  • @queenmariana5887
    @queenmariana5887 5 лет назад +1

    Mwarabu wa kwanzaa huyu mwanamkee

  • @niceally902
    @niceally902 5 лет назад +1

    Mashalha ni nzuri mno

  • @zaitunikipaty5914
    @zaitunikipaty5914 5 лет назад +2

    mashallah kaz ndhur nakuona kibule kipaty

  • @khadijasimba8720
    @khadijasimba8720 5 лет назад +4

    Anamakelele kama mwehuuu😙😙

    • @CoastalLady
      @CoastalLady Год назад

      😅😅😅😅😅😅😅

  • @munamuhammad211
    @munamuhammad211 5 лет назад +2

    Nyc movie hongerini wahusika nyote

  • @naimaally7072
    @naimaally7072 5 лет назад +7

    Ma shaa Allah kwakweli tunajifunza mengi kupitia sinema hizi Allah akuzidishieni kila lenye kher nanyie

  • @irenemmasy79
    @irenemmasy79 2 года назад

    Nachukia sana mtu anayependa kuita ovyo

  • @shedracklwila6553
    @shedracklwila6553 2 года назад

    Duu kwakweli wanawake tunajisahau sana siku izi kwenye ndoa zetu

  • @sharifathman52yusuf98
    @sharifathman52yusuf98 5 лет назад +1

    napenda kupongeza kazi yenu mzuri muendelee kutufunza mambo kama haya namengineo mengi

  • @aminatanzania6196
    @aminatanzania6196 5 лет назад +8

    Move nzur Allah awape moyo mtoe nyengin zenye mafundish Kama hiyo

    • @manenochales6954
      @manenochales6954 5 лет назад

      Minashauli mume amuoetu Hugo ant lkn asimuche mkewe ili ajifunze kwa ant jinsi ya kumhudumu mume

    • @aminagulawite7892
      @aminagulawite7892 5 лет назад

      Amina Tanzania

  • @fatumabranton2573
    @fatumabranton2573 4 года назад +2

    Filamu nzuli kbs plz next part 3 and 4. Thank you

  • @fatmaahmedbashirfatmabashi364
    @fatmaahmedbashirfatmabashi364 3 года назад

    Aki umeniboesha wallhy co ustarabu huo shukuru umepata bwana mvumilivu wengne ungekula mangumi na kwenu ukaenda.

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 Год назад

    Natazama nikiwa kenya🇰🇪🇰🇪kwa kweli mumeweza

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 года назад

    Movie mzuri ila hili neno antii limenikera sana mpka nimeskia dhiki nimepunguza sauti

  • @خسنموس
    @خسنموس 5 лет назад +3

    Nilikua nkiisubiri kwa hamu na ghamu kazi nzuri ustadh

  • @ayshahams7373
    @ayshahams7373 5 лет назад +1

    Hahahaa jaman antii umenifurahisha kweli umemkomesha hvy hvy ukiona amezid ingia chooni na yy aenuke dah

  • @anifrose7830
    @anifrose7830 5 лет назад +2

    Manshallah nimejifunza kitu shukran

  • @judithjosiah2776
    @judithjosiah2776 5 лет назад +31

    Muoe antii maana c kwa karaha hzo

  • @shadiahshadiahshadiahshadi4060
    @shadiahshadiahshadiahshadi4060 3 года назад

    Kuwapenda sana nikawaida yangu

  • @jamilabeauty1316
    @jamilabeauty1316 5 лет назад

    mume anahitaji matunzo wewe Utaibiwa jiangalie Sana

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus7333 3 года назад

    Move inamafunzo mashaalh

  • @asilembaraka2720
    @asilembaraka2720 5 лет назад +11

    ya tatu jamani jaman part 3 love antii

  • @zizerhqym1835
    @zizerhqym1835 5 лет назад +2

    nzur sana inafundisha sana🙏💕💕💕💕

  • @ahmedyousif2919
    @ahmedyousif2919 4 года назад

    Asante sana kwama madrasa mazul.kutufuza sisi wanawanke asanteni

  • @anisabakari5298
    @anisabakari5298 3 года назад

    Shukuran kwawote mrio shirik

  • @hadijahamisi5918
    @hadijahamisi5918 3 года назад

    Nawapenda washirika wote w madrassa shop ila kazidi kutuma mno😌😌😒mmmmh antiiiiiii

  • @hdhdhjdjdj1166
    @hdhdhjdjdj1166 5 лет назад +4

    Anatuma kama mwarabu

  • @hamdanyazeed8483
    @hamdanyazeed8483 4 года назад

    Mama mweny nyumba hajui wajib wake

  • @asilembaraka2720
    @asilembaraka2720 5 лет назад +2

    so beautifully antii

  • @rehemajuma2826
    @rehemajuma2826 3 года назад

    Mzuli Saaaana muendlez mmeishia ya 3

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 5 лет назад +59

    Mwanamke anatuuma km muarabu😂😂😂😂

  • @khadijaismail5013
    @khadijaismail5013 Год назад

    Mashaallah movie zur

  • @imraankeita7799
    @imraankeita7799 5 лет назад +1

    mashaallha allha filamu inafundisha mengi

  • @bilihudarashidi8319
    @bilihudarashidi8319 5 лет назад +2

    Masha Allah move nzur sana inamafunzo

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu5456 5 лет назад +3

    Mashaa Allah

  • @sharifaamry7547
    @sharifaamry7547 5 лет назад +1

    Masha Allah mwendelezo tafadhali

  • @tamrouliranzi6186
    @tamrouliranzi6186 5 лет назад +2

    Dada mvivu usishangae Boss ampende antii kuliko wewe

  • @swaumujafary1345
    @swaumujafary1345 Год назад

    Natamani ningekuwa mm aisee moyo unge kuwa unafura telle ningempenda mme wng daa aisee bahati ilioje jmn

  • @daudamohamedi4048
    @daudamohamedi4048 5 лет назад +2

    Mashaallah funzo kwa kweli filam ni nzuri naomba muendelezo

  • @hajialabrwi4504
    @hajialabrwi4504 5 лет назад +1

    MASHAALLAH.Shukran Sana Kwa mchezo mzuri na mafunzo mazur

  • @aseelaaseela4913
    @aseelaaseela4913 5 лет назад +2

    Mashaa Allah movie nzur sanaa😍 but naomba mwenye kujuwa jina la hiyo Qaswida inayoita katika simu ya bidad huyo anijuze nimeipenda mnooo...

    • @adijaiman2509
      @adijaiman2509 5 лет назад

      Mashaallah

    • @aseelaaseela4913
      @aseelaaseela4913 5 лет назад

      @@adijaiman2509 ndo inaitwa hivo ty bas ? maan nasachi hapa You siipati...

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 3 года назад

    Mashaallah nafaidika mno kwa kz nzuri

  • @rasheedadjdjj5197
    @rasheedadjdjj5197 5 лет назад +4

    Waoooo oh Leo wakwanza ku comment

  • @reserrockycostantine4200
    @reserrockycostantine4200 5 лет назад +2

    Huyo mwanamke khaaaa,,, owa antiiii

  • @magrethshangwe2111
    @magrethshangwe2111 4 года назад

    Huyu mwanamke kiboko mpka kupokea sim ya mume tu . Ni shidaaaa

  • @tatubwamkuu2002
    @tatubwamkuu2002 5 лет назад +1

    Namba Tatu tafadhali

  • @agnesnyakisara6790
    @agnesnyakisara6790 2 года назад

    Go higher secret

  • @tatubwamkuu2002
    @tatubwamkuu2002 5 лет назад

    Ni mzuli sana

  • @abuubakarmohammed3404
    @abuubakarmohammed3404 5 лет назад +1

    Vijana wenzangu tuombeni sana dua haya mambo yapo na ni mtihani