UKIMUOTA PAKA USINGIZINI | HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 79

  • @faridywabu5280
    @faridywabu5280 4 месяца назад +1

    Mungu atuepushie inshallah😢

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 Год назад +2

    Walaikum salam warahmatullahi wabarakatuh
    Sheikh mimi nimeota napigana na paka

  • @RahmaKheri-di3eq
    @RahmaKheri-di3eq Год назад +2

    Nimeota paka wengi wameinhia ukumbini.kwangu nikawafukuza wote

  • @AsiaAlly-m8w
    @AsiaAlly-m8w Месяц назад

    Mimi nimeota paka 2 nimewabeba nawapeleka sehemu

  • @islamsaid4830
    @islamsaid4830 3 года назад +4

    naomba uniambie nijue tafadhali nakuomba

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 2 года назад +2

    mashallah mashallah Allah Akulipe kila la kheri inshallah

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 Год назад +3

    Mana nimeota kuna mtu anawachinja paka kinyama wengii mpaka wanatoka kinyesi 😭😭🤦🏿💔

  • @ShijaKulwa-r2l
    @ShijaKulwa-r2l 26 дней назад

    Nimeota paka anauwa mtoto wangu akafa na paka nae akafa huku ameng'ang'ania kwenye mkonon wa mtoto

  • @janarkboy-ch3tq
    @janarkboy-ch3tq Год назад +1

    Subhanaah Allah

  • @muragizinourah1042
    @muragizinourah1042 3 года назад +2

    Mansha allah

  • @DianeMbabazi-mw1mm
    @DianeMbabazi-mw1mm 5 месяцев назад

    Nimeota paka iko kitandani kwangu,nikajaribu kumfukuza akawa anasita kuondoka,mudakidogo nikaota nimelala najifunika shuka mpaka kicwani yule paka akiwa anajitaidi kuningata ila hakufanikiwa kuningata ju nilikua nilijifunika shuka mwili mzima.tahadhari niambie nini maana ya hiyo ndoto.🙏

  • @mkibandulo1231
    @mkibandulo1231 3 года назад +1

    Mashallah

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 года назад +1

    Waalaykumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh

  • @hawaissaramsdhan5704
    @hawaissaramsdhan5704 Год назад +1

    Asalam alaykum samahni shekhe me nimeota nimelala na watoto wapaka...inaman gan.

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 Год назад +2

    Mh wakati wengine inakutea wasiwasi mana unapata vitu vya ajab😭😭

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 года назад +1

    Shukran ta sheykh

  • @anwarabduullahrawahi2067
    @anwarabduullahrawahi2067 3 года назад +1

    Sheh je ukiota paka amekufa

  • @MaryamIssa-e6u
    @MaryamIssa-e6u Месяц назад

    Kutafunwa je na paka usingzn

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 3 года назад +1

    Nimeotapaka Mara tatu
    Nipaka weusi wananiparua mgongoni naskia maumivu pia huwa nawaona mbka nikistuka siwaoni hiyo niliota Mara ya Kwanza na ya pili. Mara ya tatu niliota paka wawili weusi lakini Mmoja nikamuua Sasa sijui Inamaana gani

  • @jestinngimbuchi-pf7jr
    @jestinngimbuchi-pf7jr Год назад

    Shikamoo mimi nimeota kuku akiwa mgonjwa

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 3 года назад +1

    A aleikum nimeota paka njee Ya nyumba na hakuingia na pia paka mwenyewe Rangi kama chai lakini upande moja amechomeka upande moja wote amechomeka . Na hajingia kwa nyumbani

  • @Anneekisa-jk7yg
    @Anneekisa-jk7yg 3 месяца назад

    Nimeota tumeshirikiana na mwanangu tumemuua paka

  • @fatmaahmed4754
    @fatmaahmed4754 4 месяца назад

    Je ukiota una he za na yy unambeba na nimzito paka mwenyewe mkubwa lakini hakutishii

  • @mamuamin1929
    @mamuamin1929 3 года назад +1

    Umemuota paka kakupalula alafu akajigeuza mwanamke anakuongelesha

  • @ishanihijabstyles5364
    @ishanihijabstyles5364 3 года назад +3

    Assalam aleykum sheikh..samahani kwa usumbufu😔,,,mimi nimeota paka wawili wamebebana (yule wa aliebebwa ni mweusi) na mmoja yupo peke yake wanaitana “asha,hawa,tondokeni”😥 wanatoka ndani nikaanza kuwasomea nimewasomea (nliwaelekezea viganja vyanga)😥adi wakafa,,yan wakati nasoma viganja vya mikono yangu vilikua vinatoa nguvu adi moshi😥

  • @sharonpaur9640
    @sharonpaur9640 2 года назад +1

    Mie mara nyingi naota paka mara ananisaidia nikiwa napigwa au mfano Leo nimeota paka af nimepata paka Leo leo

  • @FeisalChombo-um4ow
    @FeisalChombo-um4ow Год назад

    A salaam Aleykum. Shekhe Mir nmeota paka mweupe yupo juu yakabat bidae yule paka akanirukia mie nkamuwahi nkamdaka nkamfinyanga finyanga hadi akaishiwa nguvu nkamuachia.. Baada ya kumuachia akajitahid kukimbia ajarudi tena,, hii ipoje shekhe wangu..

  • @elennydotto334
    @elennydotto334 3 года назад +1

    Ukiota paka amezaa watoto wawili

    • @aggie7008
      @aggie7008 Год назад

      Mimi nimeota amezaa watoto watatu

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Год назад

    Warangi mweupe siyo kweupe sana macho yake meupe nini maana yake shehe

  • @stahilimohamed9127
    @stahilimohamed9127 3 года назад +2

    Mm niliota napigana Na paka

  • @HasnuMbauro
    @HasnuMbauro Год назад

    Asalam hlykm je ukiota unapigana na paka usingizini halafu ukampiga

  • @MercyKadenge
    @MercyKadenge 8 месяцев назад

    Nimeota na panya kuniona akatoroka baadaye katika nyumba yangu nikamwona paka na mtoto wake wamelala kama wametulia sasa hiyo inamanisha😮

  • @selemanmandolya9758
    @selemanmandolya9758 3 года назад +1

    Shekhe nimeota paka wawili wameingia ndani kabla hawaja ingia uliaza upepo mkali kisha paka wawili wakaingi muda kidogo akaingia mdada lakini paka wale niliwashika wote

  • @TausitamimuRukaika
    @TausitamimuRukaika 4 месяца назад

    Mimi nimeota paka kaingia ndani akajificha nyuma ya kiti

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Ukiota ngombe kilema

  • @elimuyachumbani4280
    @elimuyachumbani4280 3 года назад +1

    Mąsha Alah
    Nimeota nimeletewa paka, ila kafungwa miguu mitatu, mmoja upo haujafungwa, sasa eti namwambia nitampa nauli aende, paka huyu anaongea kabisa, . Sheikh naomba itafakari hii, paka kafungwa maana ongea

  • @riqofficial3532
    @riqofficial3532 2 года назад +2

    Mimi nimeota baka amening'ata mguu wa kushoto mara tatu nikiwa nimelala

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 Месяц назад

    Nimeota paka wawili wananing'ata kwenye kidole gumba na baada ya hapo nikaota vidole viwili gunda kwenye mguu mmoja

  • @ThumaAbeid
    @ThumaAbeid Год назад

    Nimeota paka kamchukua mwanangu

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Год назад

    Hajafanya kitu kachuchumatu mupore sana

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад +1

    Ndio kuna mtu anaitwa sanura nilishangaa oman nilivyosikia sanura paka

  • @suleimanhaji7232
    @suleimanhaji7232 3 года назад +2

    Nimeota natoka chumbani katika kutoka nikakutana na paka rangi ya kijivu na nikahitaji kukimbia lakini akanipunguzia kasi ya kukimbia na akaniingia kuazia miguuni alipofika kiunoni nikasoma ayatul kursiyy nikashituka kilichonishangaza ilipofika magharibi natoka chumbani nikamuona yule paka anatoka chumba chengine na kukimbia nje

  • @MilicentMuhonja
    @MilicentMuhonja 4 месяца назад

    Mimi nmeota kuku mweusi na nmeota manyoa imebaki ya mwisho na nikawa na boma nyumba pia

  • @sabrahramadhani3765
    @sabrahramadhani3765 2 года назад +1

    Assalamualaikum ustadi me nliota Kuna sehem tunasafri na gar.... Tulivyofka katkat ya safar gar ilpata ajali lakin hakuna alieumia.... Tukawa tumetulia abiria hatuelew Cha kufanya ndio akapita paka tukaambiana tumpande paka ili safar iendelee .... Tukampanda yule paka .... Sasa hatujafka mbal yule paka akafa Tena akawa anatoa harufu balaa abiria tukashuka.... Nam nkastuk

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Ndio ipo dawa ya kumgandisha mchawi niliona wakifundisha na tulifundishwa au kumchapa mchawi na fimbo ya muhogo

  • @anwarabduullahrawahi2067
    @anwarabduullahrawahi2067 3 года назад +1

    Asalam aleykum

  • @ummulkheirmashjary1579
    @ummulkheirmashjary1579 2 года назад +1

    Shekhe mm nataka nikuulize swali kuhusu kuota paka,lkn naona hapo maswali mingi hujibu hata moja,INAKUAJEE HIVII!!!??

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Год назад

    Mimi nimeota paka mudogo amekaa jirani na mimi kitadani kwangu

  • @aishatarimo6780
    @aishatarimo6780 3 года назад +2

    Mm niliota paka jike na dume wamegandana na pia watu wengi wanna watizama

  • @azizaali195
    @azizaali195 3 года назад +1

    Je ukiota jina la Allah kwa kiarabu kwenye mbingu limejichora kwa harufi kubwa rangi ya dhahabu au nyeupe ya kungara inamaanisha nini shekhe

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 3 месяца назад

    A aleikum ukimuona paka wa kawaida tuu Rangi nyekundu na uka mgonga na gari akafa maana yake nini ?

  • @KhadijaAbdulySuleiman-su9nr
    @KhadijaAbdulySuleiman-su9nr 10 месяцев назад

    Nimeota ninamnyonga paka mpaka akafa

    • @DOCTORYUSSUF
      @DOCTORYUSSUF 8 месяцев назад

      Utamkamata mwizi wako, au mchawi wako,

  • @alfanifaraji
    @alfanifaraji Год назад

    Mimi nimeota mbwa anammeza paka nini maanak 🙉

  • @saidmohamed3009
    @saidmohamed3009 3 года назад +2

    A,alaykum
    ostaz mi nmeota paka mchafuu,lakini muda amegeuka amekua msafii, hujasema tafsiri yake !!

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 2 года назад +1

    Mii nimemuota paka anazaa maana yake nini,, siku ya pili nikaota ng'ombe anazungumza

  • @shemsaahmed918
    @shemsaahmed918 3 месяца назад

    Nini maana ya paka kunguka nyumba usiku akipiga kelele?

  • @ProsperKyando-b9t
    @ProsperKyando-b9t 5 месяцев назад

    Kuota paka wanafanya mapenzi maanake nini

  • @joynatasha2456
    @joynatasha2456 2 года назад +2

    Mimi nimeota napigana na paka

  • @AzaShamba
    @AzaShamba Год назад

    Maneno mengi punguza😂

  • @mariammariamomary4911
    @mariammariamomary4911 Год назад

    Kwahyoo nafanyaje ili yasinifike

  • @jaminyussuf3790
    @jaminyussuf3790 9 месяцев назад

    Nimeota paka amekufa nje ya nyumba nini maana yake

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 3 года назад +1

    Na ukimuona paka mweusi yuko ndani Ya draw . Kabati Ndiyo nini

  • @sofiamkutano2979
    @sofiamkutano2979 3 года назад +1

    Ukiota paka watatu wametoka kwenye mvungu wa kitanda chako na wawili wao wanafanya tendo la ndoa ina maana gani?

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q 2 года назад +2

    Asa Sheikh ndo unaturusha roho? Si utupe!😣

  • @OliverSamwel
    @OliverSamwel Год назад

    Naomba unisaidie mim nimeota nimechinja paja la paka nikataka kwenda kuuza nikaogopa nikaenda kuitupa Kwa siki la chooni lkn huyo mnyama sikumaliza kumchinja et ananitafta huku ananungunika hyo mnyama

  • @faudhiangwegwe4852
    @faudhiangwegwe4852 3 года назад +1

    Assalam alaykum,Shekh naomba unambie maana ya hii ndoto.. Mume wangu kaota anapigana Na paka wa 3 katika papatua yake akawa amewaminya shingo lkn mmoja akamponyoka akenda kumpara sehem zake za siri alivo shituka ameshika sehemu zake za siri akizivuta na kupiga ukelele... inamaana gani? Msaada plz

  • @fatimahussein6396
    @fatimahussein6396 3 года назад +1

    As'salam alaikum warahmatullah wabarakatuh,,,Mimi niliwahi kuota kuona paka yuazaa,,,nn maana yake??

  • @husinahamiss6607
    @husinahamiss6607 3 года назад +1

    Nimeota punda wamebeba mizigo

    • @chaukachauchau9187
      @chaukachauchau9187 2 года назад +1

      Mimi nimeota paka ananing'ata nikamkamata nikaanza kupambananae nikamkamata kichwa gafla nikashtuka nikawa nimekamata kwanguvu tumbo lamkewangu

    • @naominapendwa141
      @naominapendwa141 2 года назад +1

      Shehe Mimi nimeota nipo ndani ya nyumba ghafla akatokea paka akataka kunigusa nyayo zangu alivyo taka kunisogelea tuu ghafla akawa anzunguka mara akanguka akafa nikaona dam zinamchuruzika Nini maana yake shehe