DUH! TAZAMA NYOMI LA WANANCHI WALIOJITOKEZA MAANDAMANO YA CHADEMA
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kwa hali ya maisha ilivyo kuwa ngumu watu wako bize kutafuta riziki za watoto wao,hata waliojitokeza sio haba
Wewe ni Kuma Tena sana ndo maana unaongea ukuma kisa uko kwenye nyumba ya urithi
Hii inaitwa mazoezi ya afya big up hao wa pikipiki wangeshuka pia watembee ingekuwa bora zaidi
Mwanzo mzuri
Sana!
Mwanzo mgumu tutafika! Tunahitaji katiba mpya...
We need changes...🇹🇿✌️🎊
Hawa watu ni wengi sanaa, uyu mama ajitathimin😊
Hawezi kujitasmini..
Ila ataondoka madarakani kwa aibu...
Safi sana Chadema,maana hawa CCM wanakotupeleke hatupati picha kbs.
Jamani imbeni nyimbo ya kuhamasisha maandamano.mzuri Sana
Which nyomi are you talking about?
U dont see that nyomi
Mimi zamani mtu akiniambia kuhusu mabadiliko nilikuwa simuelewi kabisa lakini saiv naona kama inakuja kuja hiv, kama inaleta leta mantiki hivi😂
Tumekuwa na hofuu tumeogopa kwenda weengiii
Fact
Dah chadema bwana
✌️💪🇹🇿🙌🎊📣🕺😇
R.I.P Dady uncle Magufuli..😢 hii nch saiv ccm wamekuw wez.. cjui nan aliwafundish
Hasa huyu chalamila mbona alisema kutakua na kufagia leo mbona hatujaona
Kumbe wananchi hawajakubali chama kilichoopi madarakan mbona kama nchi zima wanandamana
Haya wameandamana hofu yenu ccm ilikua nini
Amna nyomi hapa kiukweli watu wapo kutafuta mkate wa familya zao
Baada ya hapo nini kinafuata ?
Chakula
❤
WENGINE TUNAANZA USIKU
Mbuyu ulianza kama mchicha
Watu wengi Sanaa hadi barabara imezidiwa 🤣🤣🤣
Haijalishi what’s matter ni ujumbe
IPO SIKU ujinga huu tutajagundua madhara yake
Hawan kzi
Njaa tupu zawasumbua wote hao hawana kazi za kufanya
We unakazi?
@@philemonsnyanda9450 njoo Zanzibar nikuajiri Maandazi wahed
Maandamano gani ax hakuna hata fujo yani maandamano mnaongozwa na traffic
Wantazania tulilala sanaa nw wameamuka
❤c❤❤h❤❤d❤e❤m❤aaaaaaaaaaa
KENYA MNAPIGWA TEAR GAS 😂😂😂
Mbona hata 1000 hamfiki kelele zote
Bora 100 wanaojitambua na wametoka kwa hiari yao kuliko 1000 wa kuletwa na magari na kulipwa 10000 km wanavyofanya kwenye ziara za Makonda
Hata kama wangeandamana watatu, kikubwa ujumbe ufika
Serikali ya hawamu hii imefeli kuliko zote, machawa ndio wanaofanya kaz kubwa ya kusifia kuliko ata Rais na watu wake katika kutekeleza majukumu yao
Hesabu. Ya. Wap iyo uliyofanya wewe
@@laurencematitah7046tupo. Pomoja
Vibaka wamepata nafasi
Yaa ❤ivi ndivyo inavyotakiwa Askari wakiongoza msafara safi nimependa iyo ❤
Nimesikia kale kawimbo leo leo ndo leo kivumbi na jasho.
Hii ni hatari sana kwa Taifa letu.
Asante wasafi tv..
Chadema oyeeee!
Hoyeeeeeeee✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️🤝✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾
Wametuwakilisha vzr
Oya subirin bart 2 mtajua hamju!! Kunguru
Asanteee Kwa kutuwakilisha
Haya maandamano au matembezi
Wewe usiyejulikana unajiumiza Bure,wengine hapo,wataenda Ikuru kupokea bahasha.😂😂😂
Upumbavu😅
Makamanda tupambane mungu yupo nasi nchi ni ya watantania sio ubaguzi wa vyama amina
mhuuuu hsya tunasubiri 2024 2025 tunachoomba amani tu
Nyomi iko wapi hapo na ndio wanapita kwenye mikusanyiko
Kwan ulitaka waweje????
Pamoja sana nguvu moja maana tunaongozwa na viongoz wasio na hurumq wala kujua wanafqnya nm
Hii imekaa kama father day😂
Hahahaha
Kipndi hiki hawakuweka vizuizi!?
Ujumbe si ugonvi.
Nyomi ipi sasa?😂
1:41
Du kweli nimeamini wakristo Kwa uongozi hawawezi Magu alikuwa anatumia nguvu nyingi kuwadhibiti ona Mama kiulaini mambo yanaenda kama ilivyo kuwa Kwa kikwete watumishi Kila mwa mishahara ilikuwa inao gezwa na ugumu was maisha ulikuwa haupo
Familia yako tu unashindw kuiongoza, mpk unachapiw Dini imekusaidia nn kweny hilo ,stupid
Mtoto wangu wakindergaten anakuzidi akili
fact
Badilisha katiba umrudishe kikwete madarakani
@@Soon815 tena anamzidi sanaa ,leo ndo nimeamin ,elimu haiwakomboi watu wote