DUH! TAZAMA NYOMI LA WANANCHI WALIOJITOKEZA MAANDAMANO YA CHADEMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 73

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 8 месяцев назад +8

    Kwa hali ya maisha ilivyo kuwa ngumu watu wako bize kutafuta riziki za watoto wao,hata waliojitokeza sio haba

    • @SamwelPhilipo-gt6cu
      @SamwelPhilipo-gt6cu 4 дня назад

      Wewe ni Kuma Tena sana ndo maana unaongea ukuma kisa uko kwenye nyumba ya urithi

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 8 месяцев назад +1

    Hii inaitwa mazoezi ya afya big up hao wa pikipiki wangeshuka pia watembee ingekuwa bora zaidi

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 8 месяцев назад +3

    Mwanzo mzuri

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 8 месяцев назад

      Sana!
      Mwanzo mgumu tutafika! Tunahitaji katiba mpya...
      We need changes...🇹🇿✌️🎊

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 8 месяцев назад +3

    Hawa watu ni wengi sanaa, uyu mama ajitathimin😊

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 8 месяцев назад +1

      Hawezi kujitasmini..
      Ila ataondoka madarakani kwa aibu...

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 8 месяцев назад

    Safi sana Chadema,maana hawa CCM wanakotupeleke hatupati picha kbs.

  • @deusdeditishengoma4335
    @deusdeditishengoma4335 8 месяцев назад

    Jamani imbeni nyimbo ya kuhamasisha maandamano.mzuri Sana

  • @gwamakawilliam5895
    @gwamakawilliam5895 8 месяцев назад +4

    Which nyomi are you talking about?

  • @BigfarryG77
    @BigfarryG77 8 месяцев назад +1

    Mimi zamani mtu akiniambia kuhusu mabadiliko nilikuwa simuelewi kabisa lakini saiv naona kama inakuja kuja hiv, kama inaleta leta mantiki hivi😂

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 8 месяцев назад +1

    Tumekuwa na hofuu tumeogopa kwenda weengiii

  • @danielmalale2615
    @danielmalale2615 8 месяцев назад +1

    Fact

  • @issathedontv5465
    @issathedontv5465 8 месяцев назад +2

    Dah chadema bwana

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 8 месяцев назад

      ✌️💪🇹🇿🙌🎊📣🕺😇

  • @storytownTv
    @storytownTv 8 месяцев назад +1

    R.I.P Dady uncle Magufuli..😢 hii nch saiv ccm wamekuw wez.. cjui nan aliwafundish

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi 8 месяцев назад

    Hasa huyu chalamila mbona alisema kutakua na kufagia leo mbona hatujaona

  • @enockmakombe3144
    @enockmakombe3144 8 месяцев назад

    Kumbe wananchi hawajakubali chama kilichoopi madarakan mbona kama nchi zima wanandamana

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi 8 месяцев назад

    Haya wameandamana hofu yenu ccm ilikua nini

  • @muhiyidinishabani
    @muhiyidinishabani 8 месяцев назад

    Amna nyomi hapa kiukweli watu wapo kutafuta mkate wa familya zao

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 8 месяцев назад +1

    Baada ya hapo nini kinafuata ?

  • @michaelsylvester3362
    @michaelsylvester3362 8 месяцев назад

  • @gazzomaster9462
    @gazzomaster9462 8 месяцев назад +1

    WENGINE TUNAANZA USIKU

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 8 месяцев назад

    Mbuyu ulianza kama mchicha

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 8 месяцев назад

    Watu wengi Sanaa hadi barabara imezidiwa 🤣🤣🤣

  • @JosephEmmanuel-eb7gj
    @JosephEmmanuel-eb7gj 8 месяцев назад

    Haijalishi what’s matter ni ujumbe

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 8 месяцев назад

    IPO SIKU ujinga huu tutajagundua madhara yake

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 8 месяцев назад +1

    Hawan kzi

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 8 месяцев назад +1

    Njaa tupu zawasumbua wote hao hawana kazi za kufanya

  • @ndeteleleoizdory2292
    @ndeteleleoizdory2292 8 месяцев назад

    Maandamano gani ax hakuna hata fujo yani maandamano mnaongozwa na traffic

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 8 месяцев назад

    Wantazania tulilala sanaa nw wameamuka

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 8 месяцев назад

    ❤c❤❤h❤❤d❤e❤m❤aaaaaaaaaaa

  • @chibudangote0126
    @chibudangote0126 8 месяцев назад +1

    KENYA MNAPIGWA TEAR GAS 😂😂😂

  • @caesar7745
    @caesar7745 8 месяцев назад

    Mbona hata 1000 hamfiki kelele zote

    • @deoprosper556
      @deoprosper556 8 месяцев назад +1

      Bora 100 wanaojitambua na wametoka kwa hiari yao kuliko 1000 wa kuletwa na magari na kulipwa 10000 km wanavyofanya kwenye ziara za Makonda

    • @laurencematitah7046
      @laurencematitah7046 8 месяцев назад +1

      Hata kama wangeandamana watatu, kikubwa ujumbe ufika

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 8 месяцев назад

      Serikali ya hawamu hii imefeli kuliko zote, machawa ndio wanaofanya kaz kubwa ya kusifia kuliko ata Rais na watu wake katika kutekeleza majukumu yao

    • @najmamussa
      @najmamussa 8 месяцев назад

      Hesabu. Ya. Wap iyo uliyofanya wewe

    • @najmamussa
      @najmamussa 8 месяцев назад

      ​@@laurencematitah7046tupo. Pomoja

  • @jasiriasili3694
    @jasiriasili3694 8 месяцев назад

    Vibaka wamepata nafasi

  • @mpandino
    @mpandino 4 дня назад

    Yaa ❤ivi ndivyo inavyotakiwa Askari wakiongoza msafara safi nimependa iyo ❤

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 8 месяцев назад +1

    Nimesikia kale kawimbo leo leo ndo leo kivumbi na jasho.

  • @yusuphmarcelmasinde7263
    @yusuphmarcelmasinde7263 8 месяцев назад +3

    Hii ni hatari sana kwa Taifa letu.

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 8 месяцев назад +4

    Asante wasafi tv..
    Chadema oyeeee!

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 8 месяцев назад

      Hoyeeeeeeee✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️🤝✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾

  • @paulmisalaba3364
    @paulmisalaba3364 8 месяцев назад +2

    Wametuwakilisha vzr

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt 8 месяцев назад

    Oya subirin bart 2 mtajua hamju!! Kunguru

  • @Jameswaitara-sn7zk
    @Jameswaitara-sn7zk 5 месяцев назад

    Asanteee Kwa kutuwakilisha

  • @kibwanakb1995
    @kibwanakb1995 8 месяцев назад

    Haya maandamano au matembezi

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 8 месяцев назад

    Wewe usiyejulikana unajiumiza Bure,wengine hapo,wataenda Ikuru kupokea bahasha.😂😂😂

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 8 месяцев назад +1

    Upumbavu😅

  • @RafaelMguna
    @RafaelMguna 8 месяцев назад

    Makamanda tupambane mungu yupo nasi nchi ni ya watantania sio ubaguzi wa vyama amina

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 8 месяцев назад

    mhuuuu hsya tunasubiri 2024 2025 tunachoomba amani tu

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 8 месяцев назад +1

    Nyomi iko wapi hapo na ndio wanapita kwenye mikusanyiko

  • @RamadhanAlly-cf7du
    @RamadhanAlly-cf7du 8 месяцев назад

    Pamoja sana nguvu moja maana tunaongozwa na viongoz wasio na hurumq wala kujua wanafqnya nm

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 8 месяцев назад +1

    Hii imekaa kama father day😂

    • @wemu4774
      @wemu4774 8 месяцев назад

      Hahahaha

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 8 месяцев назад

    Kipndi hiki hawakuweka vizuizi!?

  • @christinasamson5332
    @christinasamson5332 8 месяцев назад

    Ujumbe si ugonvi.

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 8 месяцев назад

    Nyomi ipi sasa?😂

  • @michaelsylvester3362
    @michaelsylvester3362 8 месяцев назад

    1:41

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 8 месяцев назад +1

    Du kweli nimeamini wakristo Kwa uongozi hawawezi Magu alikuwa anatumia nguvu nyingi kuwadhibiti ona Mama kiulaini mambo yanaenda kama ilivyo kuwa Kwa kikwete watumishi Kila mwa mishahara ilikuwa inao gezwa na ugumu was maisha ulikuwa haupo

    • @bonifacepontian4813
      @bonifacepontian4813 8 месяцев назад

      Familia yako tu unashindw kuiongoza, mpk unachapiw Dini imekusaidia nn kweny hilo ,stupid

    • @Soon815
      @Soon815 8 месяцев назад +2

      Mtoto wangu wakindergaten anakuzidi akili

    • @aggreyenock1221
      @aggreyenock1221 8 месяцев назад

      fact

    • @johnezekiel5620
      @johnezekiel5620 8 месяцев назад

      Badilisha katiba umrudishe kikwete madarakani

    • @bonifacepontian4813
      @bonifacepontian4813 8 месяцев назад

      @@Soon815 tena anamzidi sanaa ,leo ndo nimeamin ,elimu haiwakomboi watu wote