Je, Wajuwa Waswahili ni Nani?! Makala ya Tatu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • All my videos are meant to inform and educate the viewers in general on very relevant issues.
    #africa #global #culture #trending #history #kenya #islam #swahili #shorts #geography #zinjempire #zanzibar #persian #tiktok

Комментарии • 20

  • @katore1982
    @katore1982 4 месяца назад

    Waleikumsalam warahmtullah wabaraqthu katibu...pia vile vile maana ya salam takatifu hizi ni sawa na maneno aliyoyasema Nabii Issa rehema na amani zimshukie yeye alipokuwa anapaa mbinguni akiwaambia wanafunzi wake!

  • @TheTickingAges
    @TheTickingAges 7 месяцев назад +1

    Mohamadi batuiti hakusema kabila la watu. alisema amekutana na watu wausi wanao kaaa kando kando ya bahari. majina yote hayo uliyo yataja niya kidigo mtwapa. chilindini, shimoni, mtumbatu, mtu-mbwatu, shirazi, washirazi mama zao niwadigo baba zao kutoka shirazi mji m'moja huko Iran. mviaa yaani mvita maana yake nivita kwa kidigo. nathani wewe ni mwalimu wa hestoria na twakupa ongera kwa kazi nzuri.

  • @ahmedsharif2424
    @ahmedsharif2424 Месяц назад +1

    Kuna watu India siddi, wasema twatoka East africa

  • @user-nn3is3hr8u
    @user-nn3is3hr8u 7 месяцев назад +1

    Shukran Bother Stambuli, JazakAllahul kheir. Al muhimu ni wenyewe wanajijua na wako na athari zao nyingi sana mjini mombasa kama Misikiti, makaburi na ardhi zao nyingi ambazo walipokonywa. Kukataa kuwa hakuna mswahili ni kama kukataa kuwa hakuna mpalestina ni yahudi tu ndio aliyeko.

    • @rajabessa3675
      @rajabessa3675 7 месяцев назад

      Nakuunga mkono mia fil mia

  • @ahmedsharif2424
    @ahmedsharif2424 Месяц назад +1

    Jee hawa siddi Ni kina nani? Jee sio jamaa zetu ?,

  • @kulachuma02
    @kulachuma02 7 месяцев назад +2

    Endelea kututoa kutu gwiji sheikh wetu

  • @TheTickingAges
    @TheTickingAges 7 месяцев назад

    Nikiongezea majina uliyo yataja sikabla bali nimakao kwamfano mtwapa, mvita chilindini au kilindini, hiyo nimitaa na sikabila kwamfano washirazi baba zao walitoka mji wa shirazi mji M'moja huko Iran na mama zao niwadigo. wa Iran ndio watu wakwanza kuingia Afrika mashariki na mkoa wa pwani kama sikosei. Moahamed batuti niwa juzi tu.

  • @alfredolaba9532
    @alfredolaba9532 7 месяцев назад +1

    Ahsante Sta!

  • @TheTickingAges
    @TheTickingAges 7 месяцев назад

    Mafumbo hayo lakini kwa heshima zako kazi njuri unayo ifanya. Naomba Tafadhali ututafutie m'ngozi m'moja na mtu anaye ongea lugha hiyo ambayo ushaitamka napia mimi nimeshaelewa hayo matamko yana maana ghani. shukran.

  • @JumaMusa-zv4bj
    @JumaMusa-zv4bj 7 месяцев назад

    4:45

  • @mohammedabdulshakur8162
    @mohammedabdulshakur8162 7 месяцев назад

    Maulana umepotea sana twakusubiri Kwa hamu..

  • @safarizascnbird
    @safarizascnbird 7 месяцев назад

    Mwembe wa Waswahili. Embe aina la Sta.

  • @user-hq5qx1hu2x
    @user-hq5qx1hu2x 7 месяцев назад

    Niko kigoma natamani kupata vitabu ulivyoandika nipate kusoma hasa kuhusu mashariki ya Kati.

  • @muxfilmproduct
    @muxfilmproduct 7 месяцев назад

    Mbon maneno yote alongea kama maneno ya kipemba tu

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  7 месяцев назад

      Wa-Pemba pia ni Waswahili. Lahaja ndiyo ina tafauti kidogo tu.

    • @khamismaulid6839
      @khamismaulid6839 7 месяцев назад

      Tena waswahili originali na ndiko kiliko anzia kama sikosei

    • @muxfilmproduct
      @muxfilmproduct 7 месяцев назад

      Kwel kabis kwasababu ata uongee kiswahili gani wanakuelew