Mpango wa kupandishwa hadhi kwa mji wa Kitale kuwa jiji yaanza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Serikali ya Kaunti ya Trans Nzoia imeanzisha mipango ya kupandishwa hadhi kwa mji wa Kitale kuwa jiji. Gavana wa kaunti hiyo George Natembeya amesema kuwa japo ukosefu wa ardhi ni changamoto kubwa kwa upanuzi wa mji huo, serikali ya kaunti hiyo imeanzisha mchakato wa kuhakikisha mji wa Kitale umekuwa jiji.

Комментарии • 21

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380 6 месяцев назад

    Aaaaaiiiii gavana uko na kazii....but we pray we for your wisdom you have and ambitions

  • @lucynjenga9307
    @lucynjenga9307 8 месяцев назад +1

    Wahhh😮😮nitajua kwetu nikienda home next 2yrs😅😅😅new town yawa aki ata sijui hapo ni wpi town nimezaliwa😅😅😅😂😂

  • @Tesla5965
    @Tesla5965 8 месяцев назад +1

    Making Trans-Nzoia Great again. This is a great move by Natembeya the Governor

  • @sultanmswahilitv4864
    @sultanmswahilitv4864 8 месяцев назад

    Natembea is the best.Watu wa transnzoia mlipata gavana.For the last yrs of devolution hii kaunti haijawai pata maendeleo

  • @patrickwambugu2965
    @patrickwambugu2965 8 месяцев назад +1

    Tv haifanyi saahi😅

  • @gunners295
    @gunners295 8 месяцев назад +1

    Only a person who has never been past sikhendu thinks kitale is big enough to be a city😂

  • @Wisedonn
    @Wisedonn 8 месяцев назад +2

    Kitale is very small to be a city

    • @patrickwambugu2965
      @patrickwambugu2965 8 месяцев назад

      Why you hating wamesema kama kuna need the town can grow and waziri has called upon the investors

    • @Wisedonn
      @Wisedonn 8 месяцев назад

      @@patrickwambugu2965 we got soo many big towns in kenya than thatvurban centre with numbered storey building

  • @SelectaChronicles-lx6hb
    @SelectaChronicles-lx6hb 8 месяцев назад

    My Beautiful Town

  • @nickmwai4983
    @nickmwai4983 8 месяцев назад

    Ndoto ya alinacha 😂😂.

  • @user-vl7sw5mb2r
    @user-vl7sw5mb2r 8 месяцев назад

    Kazi safi

  • @georgegg1079
    @georgegg1079 8 месяцев назад

    Ensure, health services, water, schools lighting are up

  • @augyking8010
    @augyking8010 8 месяцев назад +1

    Kitale is a very small town

  • @linetnekesa
    @linetnekesa 8 месяцев назад

    Kimilili tuko mbele weee

  • @tajirimpole71
    @tajirimpole71 8 месяцев назад

    Kitale haiezi kuwa city that town is small even bungoma is way bigger

  • @noahjenkins8408
    @noahjenkins8408 8 месяцев назад +1

    Hii ni bangi

  • @onyangofranklinokoth4917
    @onyangofranklinokoth4917 8 месяцев назад

    ITAWEZA KWELI KUWA JIJI NA HII IKONOMY NA MA TAX

  • @WillisAli
    @WillisAli 8 месяцев назад

    KTL ni biggy

  • @josephmwangale9364
    @josephmwangale9364 3 месяца назад

    Kitale yefwe