Historia ya Barabara ya laini moja katika kaunti ya Tranz Nzoia
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Mbali na maduka yaliyojengwa wakati wa serikali ya mkoloni katika barabara ya laini moja mjini kitale kuhifadhi historia muhimu ya biashara katika kaunti ya Trans-Nzoia, pia ni eneo linalohifadhi makabila yote humu nchini na kwa miaka limeendelea kuwavutia wawekezaji wengi.
Hii Kenya kwanza Iko na shida ngani jameni
Pia kiambu ni hivo
Waache upuzi na town yetu
🎉🎉🎉❤ home 🏠
Hakuna cha laain moja serekali itengeneze barabara