Historia ya Barabara ya laini moja katika kaunti ya Tranz Nzoia

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Mbali na maduka yaliyojengwa wakati wa serikali ya mkoloni katika barabara ya laini moja mjini kitale kuhifadhi historia muhimu ya biashara katika kaunti ya Trans-Nzoia, pia ni eneo linalohifadhi makabila yote humu nchini na kwa miaka limeendelea kuwavutia wawekezaji wengi.

Комментарии • 5