Baba amuua mwanawe Kitale

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Wanafunzi wengine wakisherehekea kufanya vyema kwenye mtihani wa KCPE na wengine kutafuta kiini cha kutopata alama nzuri, baba mmoja huko Kitale ameambulia kumuua mwanawe aliyetoroka nyumbani usiku na kurejea asubuhi. Inadaiwa kuwa baba huyo alifanya hivyo kwa kuhofia mwanawe kujitosa kwenye mimba na ndoa za mapema ilhali alipita kwenye mtihani wa kcpe na alama mia nne. Mwanahabari wetu collins shityabai yuko kwenye boma hilo na anaarifu zaidi.
    Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
    This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
    Follow us:
    citizentv.co.ke
    / citizentvkenya
    / citizentvkenya
    plus.google.co...
    / citizentvkenya

Комментарии • 117

  • @joycendanu4951
    @joycendanu4951 5 лет назад +14

    Huyu mzee nikama hakuwa na school fees ya high school akatafuta njia ya kuhepa.bona kumpiga ka wamemfunga?it's like she's a thief surely!!!

  • @winfred2546
    @winfred2546 5 лет назад +9

    Never act when in anger lesson no.1....Rip Abigail

  • @jasminewest6826
    @jasminewest6826 5 лет назад +14

    Pregnancy ain't the end of the road. Death is......

  • @anastaciaw9806
    @anastaciaw9806 5 лет назад +8

    This is madness she score a good marks then ata sio wao waliishi nayeye waangaliwe kama kichwa iko sawa I feel for her aunt poleni sana

  • @maureenmwimano1973
    @maureenmwimano1973 5 лет назад +3

    pole sana kwa family

  • @blessedalicia7227
    @blessedalicia7227 5 лет назад +8

    Parents should know beating the child will never be a solution especialy at teen age...we should take time n talk to them.

  • @toto2985
    @toto2985 5 лет назад

    So sad

  • @maggynish4341
    @maggynish4341 5 лет назад +3

    It's so sad

  • @boscomuna6943
    @boscomuna6943 5 лет назад +7

    I think the parents had high hope on their daughter. I do not think there was hatred albeit they could not control their anger. They lacked enough anger management skills. This can happen to anyone if not checked.

  • @beatriceomino7321
    @beatriceomino7321 5 лет назад

    No comment mungu wangu

  • @gracekimani627
    @gracekimani627 5 лет назад +27

    At certain age children should be talked to rather than beating.

    • @susanw8926
      @susanw8926 5 лет назад +1

      Grace Kimani hawasikii hata ukimwambia

    • @joycevelmah711
      @joycevelmah711 5 лет назад +1

      Unamwadhibu kwa njia inayofaa Ata bibilia yasisisitisha then unaachia Mungu a jidhihirishe kupitia maombi bali sikuua, Sasa has Ira imekua hasara Sasa Ata alimzaa WA nn na kumlea mpaka apo

    • @ianmunene234
      @ianmunene234 5 лет назад

      Sure

    • @happynyabbysombaso9418
      @happynyabbysombaso9418 5 лет назад

      Siku izi pado watoto wanajabwa kweli wazazi wazazi wazazi!!

  • @victoriarehemah7415
    @victoriarehemah7415 5 лет назад +6

    Hasira ni mbaya. .. sasa kama mm musichana kapata 200 na sijalalamika cause I understand may be there's something disturb her. Huyo baba apewe adabu kabisa.

    • @Quilant749
      @Quilant749 5 лет назад

      Ww unaelewa kiswahili kweli, mtoto alichapwa kwa sababu alipass night kwa chali sio mambo y marks

  • @leahjoram7693
    @leahjoram7693 5 лет назад +5

    Pole kwa Familia jamani. Shetani ni mbaya

  • @danielmumo5165
    @danielmumo5165 5 лет назад +6

    kuchapa sio solution,,wsh npate mmoja wa wenye kuua

  • @kelvinonyango1897
    @kelvinonyango1897 5 лет назад

    This broke my heart. And if I am not wrong it broke the heart of many. I tried holding my tears but I failed to hold it even further at a point when the deceased's aunt explained that the girl told her that" aunty haki Mimi nimekufa wamenipiga vibaya saana ikiwa wamenifunga"parents need to understand that pple were born differently.

  • @rozyndune937
    @rozyndune937 5 лет назад +9

    Hasira hasara

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 5 лет назад +1

    So sad 😥

  • @maggiedollwambui322
    @maggiedollwambui322 5 лет назад +1

    That soo bad sisi tunapata 200marks and they still congrats us tumejaribu

  • @sejerianlioness1398
    @sejerianlioness1398 5 лет назад +4

    Parents need education talking to children is much healthier than shoutings and beatings.

  • @jloadhis9501
    @jloadhis9501 5 лет назад

    😢😢😢😢ooh goodness may those patents face judgesments at the end!

  • @annkitiria943
    @annkitiria943 5 лет назад +3

    Wazazi wote washikwe hasira ,ni hasara wee mzee kama ulifanya vizuri mbona. Umetoroka ww pia unyongwe.

  • @husnisunkar8477
    @husnisunkar8477 5 лет назад +5

    Imani zimeenda wapi, kwani amepigwa vipi?

  • @ruthgiftjunior8827
    @ruthgiftjunior8827 5 лет назад

    Pole kwa family

  • @blesdgal379
    @blesdgal379 5 лет назад +3

    Waah hasira n mbaya ..maybe sahii anaregret mbona kamchapa

  • @marykalei8147
    @marykalei8147 5 лет назад

    Pole mrembo RIP

  • @arnoldkimutai4210
    @arnoldkimutai4210 5 лет назад +3

    At first you said 270 marks. Now I see 400. Which is correct

  • @valentinenasike4624
    @valentinenasike4624 5 лет назад

    Too bad

  • @georgekay4594
    @georgekay4594 5 лет назад

    It's quite unfortunate... The law must take it's full coarse

  • @nancywekesa6248
    @nancywekesa6248 5 лет назад

    Too bad, parents should learn how to talk to their children, instead of violence

  • @mercyonyona2731
    @mercyonyona2731 5 лет назад

    sad n bad

  • @christineokwiri4720
    @christineokwiri4720 5 лет назад

    Awekwe ndani

  • @joycevelmah711
    @joycevelmah711 5 лет назад +1

    Wazazi tuwe na hekima kama Ile ilikua na suleimani kwani kizazi hiki na kijao kilitambiliwa ', Mungu tuu atuonekanie na kugeuza mienendo ya watoto wetu kwani hakuna aliyepata mtoto kama Baraka tena inageuka na kuwa laana. Mlikosea wazazi kutorture uyo mtoto jinsi hiyo hadi kifo juu iyo haikuwa suluhisho,, better Ata mngempeleka counseling vany

  • @mercymargaret2566
    @mercymargaret2566 5 лет назад

    Waluya na story za kushangaza

  • @brigidmua9558
    @brigidmua9558 5 лет назад +1

    Bad luck.....

  • @shoshoaaa2176
    @shoshoaaa2176 5 лет назад +4

    Hasira ni hasara wazazi wenzangu

  • @joshuawmabua2429
    @joshuawmabua2429 5 лет назад +2

    it's so sad!!

  • @silviapamba3756
    @silviapamba3756 5 лет назад +1

    Kuna kitu nlinotice.. masafara hupiga piga watoto Sana wakikosea, while mababi huongelesha watoto without being violent..I think si lazma uparnish mtoto ndio akuskie

  • @ruthneema5379
    @ruthneema5379 5 лет назад

    😤😤😤😤😤😤😤😤😤😤😤

  • @stecybeib8030
    @stecybeib8030 5 лет назад

    Waa

  • @perrypn5782
    @perrypn5782 5 лет назад

    Wachapwe kabisa

  • @consolataakwabi7321
    @consolataakwabi7321 5 лет назад

    Omg...kuua mtoto juu ya kuenda kuona bf pekee satani

  • @amlenad9037
    @amlenad9037 5 лет назад

    My people from musangura ndalu..shida wapi

  • @akinyililian3330
    @akinyililian3330 5 лет назад +9

    Shetani ashindwe katika jina la yesu

  • @marygift3911
    @marygift3911 5 лет назад

    killing is not a solution.... so sad

  • @ApostleAlexMosh
    @ApostleAlexMosh 5 лет назад

    Too bad indeed, hasira ni asara, may her soul rip, those parents might never see peace.

  • @brendabrenda4095
    @brendabrenda4095 5 лет назад

    Omg even though that was not correct.

  • @siznic2156
    @siznic2156 5 лет назад

    Can't hold my tears 😭😭😭😭😭😱 saitan is real....

  • @mwanababy9651
    @mwanababy9651 5 лет назад

    joy ndanu thats true huyo buda hakua na school fees that y amaamua kudo kitu kaa hiyo

  • @wambui4590
    @wambui4590 5 лет назад +2

    Yet they say respect the parents

    • @roseshi7540
      @roseshi7540 5 лет назад

      Naomi respect is from the bible & also parents are reminded not to irritate their children, parent learn how to till with children's according to bible coz that's the only way we will be able to bring them up in a good manner.

  • @lydiasigei6071
    @lydiasigei6071 5 лет назад +3

    400 sio alama ya wastani.

  • @jamesgathaiya6450
    @jamesgathaiya6450 5 лет назад +5

    Hamgeua lakini mgejaribu tu kuongea na yy

  • @ianmunene234
    @ianmunene234 5 лет назад

    Sio suluhu iyo

  • @janenjoroge8159
    @janenjoroge8159 5 лет назад

    Whatever affects one affect all Wazazi watafafungwa kwa kumuuwa mtoto na hao watoto wengine wataumia pia.

  • @christinemuthoki4317
    @christinemuthoki4317 5 лет назад

    Devil has all the ways to win those who are not strong in their faith may God deliver those parents.and her RIP

  • @happynyabbysombaso9418
    @happynyabbysombaso9418 5 лет назад

    Kwan hakukuwa na MTU amzaidie huyo mtoto poleni RIP

  • @maggiealf4474
    @maggiealf4474 5 лет назад +1

    Max haijalishi wangu alikuwa below average nulimgombanisha nikakumbuka wakati nilikuwa nimefunga God show me her max in dream and that when result out different was 5 from what she scored I told her to repeat she refused

  • @florencenandawa6388
    @florencenandawa6388 5 лет назад +1

    Is she really there daughter. That's average mark.

  • @kaimuridionisia1032
    @kaimuridionisia1032 5 лет назад

    What????ata nikiwakuta kwangu kwa nyumba siwex ua mtoi wangu sex came frm God it' does not matter what akizaa azae ata mm nilizaa nikiwa young na my life iko sawa aii crazy parents

  • @lashymreal6555
    @lashymreal6555 5 лет назад

    😥😥😥😥😥 ilikuwa bahati mbaya

  • @salmahakoth1021
    @salmahakoth1021 5 лет назад

    Asira ni hasara R.I.P mrembo.

  • @thevineyard7149
    @thevineyard7149 5 лет назад

    Serikali imesema mtoto akizaa akiwa mdogo mzazi alaumiwe. Huyu mtoto amekuwa msherati babake anafaa afanye nini?

  • @elizabethmwethia6898
    @elizabethmwethia6898 5 лет назад

    Tafadhali wazazi obeeni watoto wenu bona umue mtoto wako juu ya miimba ujui watoto ni baraka kaa mimi nilizaa nikiwa na 15years saa hii niko na kasichana karebo sana na God amenisaindia kamesoma saa hii kako form one nami ufulahia sana kukaona na pia my mum anakuanga na furaha sana na je angeniuwa saa hii angekua hanajifuna na nini

  • @perrykemmy9045
    @perrykemmy9045 5 лет назад

    Hasira hasara!

  • @SalmaSalma-yc6dg
    @SalmaSalma-yc6dg 5 лет назад

    Hasira mbaya aki

  • @naomiwhite3832
    @naomiwhite3832 5 лет назад

    Hasira hasara😭😭😭😭

  • @lucyfey3135
    @lucyfey3135 5 лет назад

    Akichapwa hamgemwokoa kuangalia tu

  • @linewangui8997
    @linewangui8997 5 лет назад

    This is too much happening in Kenya. The parliamentarians are busy fattening themselves and talking either things which do not make sense or talking sweet talks and no action takes place beyond parliament doors.
    What they do is driving big cars ,big pay, while regular mwanaichi is suffering. Poor security, drugs...bangi, poor health systems, where Doctors stealing medicine and are killing. Doctors stealing newborn and selling them example, at pumwani hospital.This has happened for decades, no arrests have been made nor is this trade of children and organs harvest being stopped. Whom do we turn to ,but to God.
    Where jails are for the poor and the innocent, while rich criminals are walking out freely , doing more crime.
    When the white man colonized Africa, he said we were not ready or mature enough to take of our selves.
    The stealing in Government offices and hopelessness in parliament and other sectors is proving white man right. That the people in leadership positions are mainly concerned about their stomach and not the citizens.

  • @miriamannamakhanu7592
    @miriamannamakhanu7592 5 лет назад

    hasira ni hasara

  • @linetmudengan4988
    @linetmudengan4988 5 лет назад

    Wazazi hasira hasara just advice na mtoto akililia wembe mpe...... nkt

  • @valentinenasike4624
    @valentinenasike4624 5 лет назад

    Todays kids they only a talk nothing else

  • @sfgvbnn1443
    @sfgvbnn1443 5 лет назад

    Huyo mzee hakuwa na school fees ndio akaua mtoto

  • @sarahnjeringige1451
    @sarahnjeringige1451 5 лет назад

    Devil!devil!devil !aaahh

  • @maryodanga140
    @maryodanga140 5 лет назад

    Wazazi msi pigeon watoto kwa hasira, anza kufunza mtoto mapema mambo za sex.Usiache afunzwe na marafiki

  • @stardust7469
    @stardust7469 5 лет назад

    What the fuck?

  • @ahmedyusufmahamed2093
    @ahmedyusufmahamed2093 5 лет назад

    Shida ni serkali wazungu hawapigi watoto na mnasema elimu ime Toka uzunguni

  • @susankaburu140
    @susankaburu140 5 лет назад

    what is that ok furaheni hawatawasubua tena hio ni kawaida ya waschana munge mukalisha chini muongee na atasikia

    • @lucymwende3932
      @lucymwende3932 5 лет назад

      Mungu zaidia hii dunia na mkono yako .tuko na shinda

  • @marymuthoni1810
    @marymuthoni1810 5 лет назад

    yesu aingililie tu coz vitu zingine ni hard kuelewa ni nini inaendelea

    • @roseshi7540
      @roseshi7540 5 лет назад

      Mary Muthoni they are happening because of the one ruling this system Satan 1st John 5:19,and also we are living in the last days 2nd Timothy 3:16.

  • @gladwelldaughterofzion9884
    @gladwelldaughterofzion9884 5 лет назад

    Mungemuogelesa na ku discipline kiazi lakini sio kupiga kama munyama muna piga

  • @octagonheros8979
    @octagonheros8979 5 лет назад

    Bora mimba kuliko kifo

  • @maggiet4802
    @maggiet4802 5 лет назад

    In today's world be a friend to your child and if you notice they might be sexualy active talk to them about safe sex and take them to birth control clinic. Then church

  • @user-fj9it6mq4u
    @user-fj9it6mq4u 5 лет назад +2

    Shetani ashindwe katika Jina la yesu

  • @anthonywanyonyi3451
    @anthonywanyonyi3451 5 лет назад

    Hii ni ujinga kwani walitaka wamtombe ama

    • @roseshi7540
      @roseshi7540 5 лет назад

      Anthony Wanyonyi weeee!why a you sounding like a lost sheep sasa hiyo ni kusema nn ?wacha kuendelea kuharibu..

  • @lavenderlucy3444
    @lavenderlucy3444 5 лет назад

    Awoyie Satan is aliar

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 5 лет назад

    So sad

  • @sarahprosper6411
    @sarahprosper6411 5 лет назад

    very sad.

  • @mwaramaggie3875
    @mwaramaggie3875 5 лет назад

    So sad.

  • @planetshow3747
    @planetshow3747 5 лет назад +2

    Hasira hasara

  • @ianmunene234
    @ianmunene234 5 лет назад

    Sio suluhu iyo

  • @luchypamasai3978
    @luchypamasai3978 5 лет назад

    So sad

  • @johnmwangi3997
    @johnmwangi3997 5 лет назад

    Very sad

  • @nancykanaya1565
    @nancykanaya1565 5 лет назад

    Very sad

  • @jacquelinendambuki2759
    @jacquelinendambuki2759 5 лет назад

    So sad

  • @roseirungo1950
    @roseirungo1950 5 лет назад

    Hasira hasara

  • @annwayoga9254
    @annwayoga9254 5 лет назад

    Hasira hasara