Baba amuua mwanawe Kitale
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Wanafunzi wengine wakisherehekea kufanya vyema kwenye mtihani wa KCPE na wengine kutafuta kiini cha kutopata alama nzuri, baba mmoja huko Kitale ameambulia kumuua mwanawe aliyetoroka nyumbani usiku na kurejea asubuhi. Inadaiwa kuwa baba huyo alifanya hivyo kwa kuhofia mwanawe kujitosa kwenye mimba na ndoa za mapema ilhali alipita kwenye mtihani wa kcpe na alama mia nne. Mwanahabari wetu collins shityabai yuko kwenye boma hilo na anaarifu zaidi.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya
Huyu mzee nikama hakuwa na school fees ya high school akatafuta njia ya kuhepa.bona kumpiga ka wamemfunga?it's like she's a thief surely!!!
Never act when in anger lesson no.1....Rip Abigail
Pregnancy ain't the end of the road. Death is......
This is madness she score a good marks then ata sio wao waliishi nayeye waangaliwe kama kichwa iko sawa I feel for her aunt poleni sana
pole sana kwa family
Parents should know beating the child will never be a solution especialy at teen age...we should take time n talk to them.
So sad
It's so sad
I think the parents had high hope on their daughter. I do not think there was hatred albeit they could not control their anger. They lacked enough anger management skills. This can happen to anyone if not checked.
No comment mungu wangu
At certain age children should be talked to rather than beating.
Grace Kimani hawasikii hata ukimwambia
Unamwadhibu kwa njia inayofaa Ata bibilia yasisisitisha then unaachia Mungu a jidhihirishe kupitia maombi bali sikuua, Sasa has Ira imekua hasara Sasa Ata alimzaa WA nn na kumlea mpaka apo
Sure
Siku izi pado watoto wanajabwa kweli wazazi wazazi wazazi!!
Hasira ni mbaya. .. sasa kama mm musichana kapata 200 na sijalalamika cause I understand may be there's something disturb her. Huyo baba apewe adabu kabisa.
Ww unaelewa kiswahili kweli, mtoto alichapwa kwa sababu alipass night kwa chali sio mambo y marks
Pole kwa Familia jamani. Shetani ni mbaya
kuchapa sio solution,,wsh npate mmoja wa wenye kuua
This broke my heart. And if I am not wrong it broke the heart of many. I tried holding my tears but I failed to hold it even further at a point when the deceased's aunt explained that the girl told her that" aunty haki Mimi nimekufa wamenipiga vibaya saana ikiwa wamenifunga"parents need to understand that pple were born differently.
Hasira hasara
So sad 😥
That soo bad sisi tunapata 200marks and they still congrats us tumejaribu
Parents need education talking to children is much healthier than shoutings and beatings.
😢😢😢😢ooh goodness may those patents face judgesments at the end!
Wazazi wote washikwe hasira ,ni hasara wee mzee kama ulifanya vizuri mbona. Umetoroka ww pia unyongwe.
Imani zimeenda wapi, kwani amepigwa vipi?
Pole kwa family
Waah hasira n mbaya ..maybe sahii anaregret mbona kamchapa
Pole mrembo RIP
At first you said 270 marks. Now I see 400. Which is correct
Too bad
It's quite unfortunate... The law must take it's full coarse
Too bad, parents should learn how to talk to their children, instead of violence
sad n bad
Awekwe ndani
Wazazi tuwe na hekima kama Ile ilikua na suleimani kwani kizazi hiki na kijao kilitambiliwa ', Mungu tuu atuonekanie na kugeuza mienendo ya watoto wetu kwani hakuna aliyepata mtoto kama Baraka tena inageuka na kuwa laana. Mlikosea wazazi kutorture uyo mtoto jinsi hiyo hadi kifo juu iyo haikuwa suluhisho,, better Ata mngempeleka counseling vany
Waluya na story za kushangaza
Bad luck.....
Hasira ni hasara wazazi wenzangu
it's so sad!!
Kuna kitu nlinotice.. masafara hupiga piga watoto Sana wakikosea, while mababi huongelesha watoto without being violent..I think si lazma uparnish mtoto ndio akuskie
😤😤😤😤😤😤😤😤😤😤😤
Waa
Wachapwe kabisa
Omg...kuua mtoto juu ya kuenda kuona bf pekee satani
My people from musangura ndalu..shida wapi
hasira.hasara.
Shetani ashindwe katika jina la yesu
killing is not a solution.... so sad
Too bad indeed, hasira ni asara, may her soul rip, those parents might never see peace.
Omg even though that was not correct.
Can't hold my tears 😭😭😭😭😭😱 saitan is real....
joy ndanu thats true huyo buda hakua na school fees that y amaamua kudo kitu kaa hiyo
Yet they say respect the parents
Naomi respect is from the bible & also parents are reminded not to irritate their children, parent learn how to till with children's according to bible coz that's the only way we will be able to bring them up in a good manner.
400 sio alama ya wastani.
Sio sahihi
Hamgeua lakini mgejaribu tu kuongea na yy
Sio suluhu iyo
Whatever affects one affect all Wazazi watafafungwa kwa kumuuwa mtoto na hao watoto wengine wataumia pia.
Devil has all the ways to win those who are not strong in their faith may God deliver those parents.and her RIP
Kwan hakukuwa na MTU amzaidie huyo mtoto poleni RIP
Max haijalishi wangu alikuwa below average nulimgombanisha nikakumbuka wakati nilikuwa nimefunga God show me her max in dream and that when result out different was 5 from what she scored I told her to repeat she refused
Is she really there daughter. That's average mark.
What????ata nikiwakuta kwangu kwa nyumba siwex ua mtoi wangu sex came frm God it' does not matter what akizaa azae ata mm nilizaa nikiwa young na my life iko sawa aii crazy parents
😥😥😥😥😥 ilikuwa bahati mbaya
Asira ni hasara R.I.P mrembo.
Serikali imesema mtoto akizaa akiwa mdogo mzazi alaumiwe. Huyu mtoto amekuwa msherati babake anafaa afanye nini?
Tafadhali wazazi obeeni watoto wenu bona umue mtoto wako juu ya miimba ujui watoto ni baraka kaa mimi nilizaa nikiwa na 15years saa hii niko na kasichana karebo sana na God amenisaindia kamesoma saa hii kako form one nami ufulahia sana kukaona na pia my mum anakuanga na furaha sana na je angeniuwa saa hii angekua hanajifuna na nini
nakubaliana na wewe
Hasira hasara!
Hasira mbaya aki
Hasira hasara😭😭😭😭
Akichapwa hamgemwokoa kuangalia tu
This is too much happening in Kenya. The parliamentarians are busy fattening themselves and talking either things which do not make sense or talking sweet talks and no action takes place beyond parliament doors.
What they do is driving big cars ,big pay, while regular mwanaichi is suffering. Poor security, drugs...bangi, poor health systems, where Doctors stealing medicine and are killing. Doctors stealing newborn and selling them example, at pumwani hospital.This has happened for decades, no arrests have been made nor is this trade of children and organs harvest being stopped. Whom do we turn to ,but to God.
Where jails are for the poor and the innocent, while rich criminals are walking out freely , doing more crime.
When the white man colonized Africa, he said we were not ready or mature enough to take of our selves.
The stealing in Government offices and hopelessness in parliament and other sectors is proving white man right. That the people in leadership positions are mainly concerned about their stomach and not the citizens.
hasira ni hasara
Wazazi hasira hasara just advice na mtoto akililia wembe mpe...... nkt
Todays kids they only a talk nothing else
Huyo mzee hakuwa na school fees ndio akaua mtoto
Devil!devil!devil !aaahh
Wazazi msi pigeon watoto kwa hasira, anza kufunza mtoto mapema mambo za sex.Usiache afunzwe na marafiki
What the fuck?
Shida ni serkali wazungu hawapigi watoto na mnasema elimu ime Toka uzunguni
what is that ok furaheni hawatawasubua tena hio ni kawaida ya waschana munge mukalisha chini muongee na atasikia
Mungu zaidia hii dunia na mkono yako .tuko na shinda
yesu aingililie tu coz vitu zingine ni hard kuelewa ni nini inaendelea
Mary Muthoni they are happening because of the one ruling this system Satan 1st John 5:19,and also we are living in the last days 2nd Timothy 3:16.
Mungemuogelesa na ku discipline kiazi lakini sio kupiga kama munyama muna piga
Bora mimba kuliko kifo
In today's world be a friend to your child and if you notice they might be sexualy active talk to them about safe sex and take them to birth control clinic. Then church
Shetani ashindwe katika Jina la yesu
Hii ni ujinga kwani walitaka wamtombe ama
Anthony Wanyonyi weeee!why a you sounding like a lost sheep sasa hiyo ni kusema nn ?wacha kuendelea kuharibu..
Awoyie Satan is aliar
So sad
very sad.
So sad.
Hasira hasara
Sio suluhu iyo
RIP baby girl
So sad
Very sad
Very sad
So sad
Hasira hasara may Lord forgive them
Hasira hasara
Hasira hasara