MASATU |MSHAHARA WANAOMPA YANGA HATA MIMI SIKATAI | AMEZEEKA ACHA AKALE MAFAO YANGA | KINAKUJA CHUMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 39

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад

    Mzee masatu unamikwala anabreck za mbuzi aende tu hatutaki watu wanao deka

  • @mohamedsleyim-he7wd
    @mohamedsleyim-he7wd 3 месяца назад +3

    Baada ya apo mhoji na mzee saidi😂😂

  • @YohanaJumanne-v3v
    @YohanaJumanne-v3v 3 месяца назад +2

    Chama acha aende tuuuu

  • @BarnabaJaphet
    @BarnabaJaphet 3 месяца назад +1

    So kama anataka kusepa asepe maana kunamaisha mengine baada ya chama bhana haiwezekan kila mwaka yeye ni wakusajiliwa na yanga tu

  • @MajaliwaMkurungu-we1pw
    @MajaliwaMkurungu-we1pw 3 месяца назад +1

    chama bwana anatusumbua kama anaonaaende yeye aende tu

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 3 месяца назад

    Kilixhoiponza Simba ndiyo hiyo. Wewe ulipwe milioni 52 Mimi milioni 3 halafu nifike jasho thubutuuu

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад +1

    SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @sultanmtegeta7209
    @sultanmtegeta7209 3 месяца назад +1

    Aje mzee saidoo bhn huyu masatu amna kitu kk

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 3 месяца назад

    Mwonge wewe nyie si ndo mlisema Mo ni mwongi hakutoa pesaa?😮😮😮😮

  • @JustineCostantine
    @JustineCostantine 3 месяца назад

    Aunakosea sana mlete mzeee saidi uko usikope ilimuladi shidayako umemaliza

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 3 месяца назад +1

    Mzee masatu hajui mpira tuletee mzee said analijua ball

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 месяца назад

      @@minazsaid2470 wote hao hawajui mpira! Mzee Said HAJUI aliyeiharibu simba ni Mo! Kwani aliye wasajili wachezaji nani( pesa) ? SIO Mo? Mo ni mfanyabiashara,hajui mpira hata kidogo? Said kila kukicha,yeye na Saidoo! ( Mfungaji bora wao misimu miwili) Yule Mzee napenda ucomedy wake,ila mpira haujui!Safari hii,tutawakanda goli 15! Tangia lini MUHINDI akajua mpira!? Duniani kote ,club gani inadhaminiwa na MUHINDI! ! NI SIMBA TU🤣🤣🤣

  • @amidubebedou3637
    @amidubebedou3637 3 месяца назад

    Mletee mzee saidi bana tumemumiss

  • @BenardKasambala
    @BenardKasambala 3 месяца назад +1

    Aendee😊

  • @BarnabaJaphet
    @BarnabaJaphet 3 месяца назад +1

    Binafsi hatuwez mpa pesa nyingi chama kwasasa kutokana na kiwango chake kushuka

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 3 месяца назад

      CHAMA KIWANGO HAKIJASHUKA ISIPOKUWA ALIKOSA SAPOTI YA WACHEZAJI WENZAKE CHAMA PEKE YAKE KAJIKUTA ANAKIMBIA PEKE YAKE AFU ETI CHAMA KASHUKA KIWANGO

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад +1

      ​@@stevensosipitaVP DENI MTALIPA LINI 😂😂😂😂😂 MACHOGO FC NYIE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

    • @BarnabaJaphet
      @BarnabaJaphet 3 месяца назад

      Hamna ndungu yangu kwa hapo nakupinga yani kama chama angesimama na ubora wake pale simba hata kama ndo angekua anasimama na onana pempen kisha yeye alaf saidobado angeonyesha kitu kwahyo me naamin chama katuuzaa misim miwili na ukitaka kuamin kuwa chama ni msaliti angalia mchezo wetu zidi ya makil kil sisi tunashinda gol 7 chama aliupiga mwingi sana. Sasa ndo nikaja kugundua yan bora kutokua nae tu kutokana na yeye anatuchezesha ss yani cku akitaka kutupa furaha anatupa akitaka kutu nyima anatunyima

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 3 месяца назад

      @@BarnabaJaphet KACHOKA KUKIMBIZA PEKE YAKE MAKE SIMBA BILA ILIKUWA HAMNA KITU CHAMA NDO ALIKUWA ANAPAMBANA PEKE YAKE

  • @paulmndeme
    @paulmndeme 3 месяца назад +1

    Mzee Masatu SAS A Nenepa Simba Inakuja

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 месяца назад

      Kwani ilikuwa wapi?😂😂😂msidanganywe! Yanga tunafikiria Kombe la CAFCL! Sio uBingwa wa wa bongo!

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад +1

      ​@errydeo8865 MNAFIKIRIA KULIPA DENI LA MILIONI 860 MACHOGO FC NYINYI 😂😂😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

  • @YohanaJumanne-v3v
    @YohanaJumanne-v3v 3 месяца назад

    Yanga wakimsajiri chama na Simba kumsajiri Mayele ni full Bango la Mayele Simba na Bango Chama Yanga patachimbikaaaa 24-25 Simba na Yanga

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 3 месяца назад +1

      MNAPESA ZA KUMLIPA MAYELE?AU MNAROPOKA TU MAKOLO BHANA

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад

      ​@@stevensosipita😂😂 waache wajiongopee...

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад +1

      NYIE UTOPOLO MACHOGO FC LIPENI PESA ZA WATU MILIONI 680 HALAFU NDIO MUONGEE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

  • @augustinefrancis4707
    @augustinefrancis4707 3 месяца назад +1

    Ulisema Mo hatumiii pesa ya Tanzania anatumia Dollar kulikon tena ?

  • @NiceMussa
    @NiceMussa 3 месяца назад +1

    Huyu mzee taraabu sana haongeagi mpira

  • @RahmaKhalfani-qp3vc
    @RahmaKhalfani-qp3vc 3 месяца назад

    Chama alikueopo na yanga walitufunga goli5

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 3 месяца назад +1

    Mzee ACHA kunawa

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 3 месяца назад

    We mzee ayo maneno yatakufanya uje kulia sana yan omba Mungu chama siyasikie ety

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson4474 3 месяца назад

    Wee mzee ni mnafiki kweli tunawapo wambia unapoongea maneno uwe unabakiza haya angalia sasa unavyo jikanyaga haaahaaaaa

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 месяца назад

      Hana lolote! Anaongea mpira wa kijiwe!

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 месяца назад

    Yanga HAWAMSAJILI CHAMA COZ OF KIWANGO CHAKE! HII NI SIMBA NA YANGA! YANGA TUNA NAMBA 10 WATATU! HII ITAWAUMIZA SIMBA KISAIKOLOJIA!!

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад +1

      4
      1. Aziz ki inside ten
      2. Max nzengel inside ten
      3. Paccome Zouzoua inside ten
      4. .......... Nae pia inside 10

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад +1

      DENI NAYE INSAID 10 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад

      @@salimmalaka256 mangungu nae ni inside 10 .... Mbona husemiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 месяца назад

      @@salimmalaka256 insaid ndo nini! ?