@@minazsaid2470 wote hao hawajui mpira! Mzee Said HAJUI aliyeiharibu simba ni Mo! Kwani aliye wasajili wachezaji nani( pesa) ? SIO Mo? Mo ni mfanyabiashara,hajui mpira hata kidogo? Said kila kukicha,yeye na Saidoo! ( Mfungaji bora wao misimu miwili) Yule Mzee napenda ucomedy wake,ila mpira haujui!Safari hii,tutawakanda goli 15! Tangia lini MUHINDI akajua mpira!? Duniani kote ,club gani inadhaminiwa na MUHINDI! ! NI SIMBA TU🤣🤣🤣
Hamna ndungu yangu kwa hapo nakupinga yani kama chama angesimama na ubora wake pale simba hata kama ndo angekua anasimama na onana pempen kisha yeye alaf saidobado angeonyesha kitu kwahyo me naamin chama katuuzaa misim miwili na ukitaka kuamin kuwa chama ni msaliti angalia mchezo wetu zidi ya makil kil sisi tunashinda gol 7 chama aliupiga mwingi sana. Sasa ndo nikaja kugundua yan bora kutokua nae tu kutokana na yeye anatuchezesha ss yani cku akitaka kutupa furaha anatupa akitaka kutu nyima anatunyima
Mzee masatu unamikwala anabreck za mbuzi aende tu hatutaki watu wanao deka
Baada ya apo mhoji na mzee saidi😂😂
Chama acha aende tuuuu
So kama anataka kusepa asepe maana kunamaisha mengine baada ya chama bhana haiwezekan kila mwaka yeye ni wakusajiliwa na yanga tu
chama bwana anatusumbua kama anaonaaende yeye aende tu
Kilixhoiponza Simba ndiyo hiyo. Wewe ulipwe milioni 52 Mimi milioni 3 halafu nifike jasho thubutuuu
SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉❤❤❤❤
Aje mzee saidoo bhn huyu masatu amna kitu kk
Mwonge wewe nyie si ndo mlisema Mo ni mwongi hakutoa pesaa?😮😮😮😮
Aunakosea sana mlete mzeee saidi uko usikope ilimuladi shidayako umemaliza
Mzee masatu hajui mpira tuletee mzee said analijua ball
@@minazsaid2470 wote hao hawajui mpira! Mzee Said HAJUI aliyeiharibu simba ni Mo! Kwani aliye wasajili wachezaji nani( pesa) ? SIO Mo? Mo ni mfanyabiashara,hajui mpira hata kidogo? Said kila kukicha,yeye na Saidoo! ( Mfungaji bora wao misimu miwili) Yule Mzee napenda ucomedy wake,ila mpira haujui!Safari hii,tutawakanda goli 15! Tangia lini MUHINDI akajua mpira!? Duniani kote ,club gani inadhaminiwa na MUHINDI! ! NI SIMBA TU🤣🤣🤣
Mletee mzee saidi bana tumemumiss
Aendee😊
Binafsi hatuwez mpa pesa nyingi chama kwasasa kutokana na kiwango chake kushuka
CHAMA KIWANGO HAKIJASHUKA ISIPOKUWA ALIKOSA SAPOTI YA WACHEZAJI WENZAKE CHAMA PEKE YAKE KAJIKUTA ANAKIMBIA PEKE YAKE AFU ETI CHAMA KASHUKA KIWANGO
@@stevensosipitaVP DENI MTALIPA LINI 😂😂😂😂😂 MACHOGO FC NYIE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
Hamna ndungu yangu kwa hapo nakupinga yani kama chama angesimama na ubora wake pale simba hata kama ndo angekua anasimama na onana pempen kisha yeye alaf saidobado angeonyesha kitu kwahyo me naamin chama katuuzaa misim miwili na ukitaka kuamin kuwa chama ni msaliti angalia mchezo wetu zidi ya makil kil sisi tunashinda gol 7 chama aliupiga mwingi sana. Sasa ndo nikaja kugundua yan bora kutokua nae tu kutokana na yeye anatuchezesha ss yani cku akitaka kutupa furaha anatupa akitaka kutu nyima anatunyima
@@BarnabaJaphet KACHOKA KUKIMBIZA PEKE YAKE MAKE SIMBA BILA ILIKUWA HAMNA KITU CHAMA NDO ALIKUWA ANAPAMBANA PEKE YAKE
Mzee Masatu SAS A Nenepa Simba Inakuja
Kwani ilikuwa wapi?😂😂😂msidanganywe! Yanga tunafikiria Kombe la CAFCL! Sio uBingwa wa wa bongo!
@errydeo8865 MNAFIKIRIA KULIPA DENI LA MILIONI 860 MACHOGO FC NYINYI 😂😂😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
Yanga wakimsajiri chama na Simba kumsajiri Mayele ni full Bango la Mayele Simba na Bango Chama Yanga patachimbikaaaa 24-25 Simba na Yanga
MNAPESA ZA KUMLIPA MAYELE?AU MNAROPOKA TU MAKOLO BHANA
@@stevensosipita😂😂 waache wajiongopee...
NYIE UTOPOLO MACHOGO FC LIPENI PESA ZA WATU MILIONI 680 HALAFU NDIO MUONGEE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
Ulisema Mo hatumiii pesa ya Tanzania anatumia Dollar kulikon tena ?
Huyu mzee taraabu sana haongeagi mpira
Chama alikueopo na yanga walitufunga goli5
😮
Mzee ACHA kunawa
We mzee ayo maneno yatakufanya uje kulia sana yan omba Mungu chama siyasikie ety
Wee mzee ni mnafiki kweli tunawapo wambia unapoongea maneno uwe unabakiza haya angalia sasa unavyo jikanyaga haaahaaaaa
Hana lolote! Anaongea mpira wa kijiwe!
Yanga HAWAMSAJILI CHAMA COZ OF KIWANGO CHAKE! HII NI SIMBA NA YANGA! YANGA TUNA NAMBA 10 WATATU! HII ITAWAUMIZA SIMBA KISAIKOLOJIA!!
4
1. Aziz ki inside ten
2. Max nzengel inside ten
3. Paccome Zouzoua inside ten
4. .......... Nae pia inside 10
DENI NAYE INSAID 10 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@@salimmalaka256 mangungu nae ni inside 10 .... Mbona husemiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@salimmalaka256 insaid ndo nini! ?