Baddest 47 X Saraphina - SINGO (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- #Baddest47 #Saraphina #Singo
Tanzania Pop superstar, Baddest X Saraphina premieres the official music video for the song "Singo". An afro-pop ballad from the Tanzania Artist.
The song is delivered mostly with Swahili and English lyrics as. The song is a message of being happy and encouraging that after a period of single in a relationship and lightness comes sunshine and happiness.
Baddest 47 Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/badest47
Written & Performed by Baddest 47 & saraphina
Follow Baddest 47 on:
/ badest_47
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Видеоклипы
Wanangu mziki wetu wa kujifariji umetoka. Asant sana baddest. Single wote likes zenu chini👍👇
🤣🤣🤣
🤣🤣😂😂😂😂aseee
Hatare sana 🤣🤣
Raha tu
🤣🤣🤣🤣 nimecheka sn
Walioletwa huku na Millard Ayo , Tujuane!
Saraphina u are absolutely talented❤
Anambite veemoney
Mama eeeeeee
Had rahaaaa 🤗
Baddest47 hili dude noma siyo pwaa pwaaa pwaaaa aaaaah😂😂😂😂
Saraphina your voice always vibes with my soul ❤️❤️ OMG z🔥🔥🔥
Saraphina shida hujiongez unamashair machache sana yan hii nyimbo ilikua unatakiwa kuibeba ww kwa mashair
Umenena kweli kabsa io ngoma angeongeza mashair angetsha zaid ya hapo
Hyo ni kweli bhana
@@sadickpengopengo348 kumbukeni hii ngoma siyo yake ameshirikishwa so hana maamuz juu ya hii ngoma
Kweli kabisa toka niachane na mbwa moja ivi naenjoy
Saraphina you got the vocals🔥🔥🔥
Hii ngoma kutoka salute ya kiba inafata hii🙏💯💛🔥🔥🔥🔥🔥
It's more than a hit.... They know wat they are doing
Kabisa kaka🙌🙌I agree 💯
Mliotoka kuachana huu wimbo unawafaa. Salut kwa badest na sarafina good song
The vocals Saraphina....woiiiiii....the mash up is dope.....we enjoyiiiiiiiin
Bad mannn!!..Bad mann!! Kitu cha kwanza nakupongeza kwa utunzi..halafu nini asikwambie mtu kitu hili banga hata ukiachwa unaenjoy hahaha mwambie @saraphina_tz nimekubali sana
Badest kaza twende duniani sasa mana mziki unaujua
Saraphina vocals 🔥🔥🔥🔥
𝑀𝑎𝑠𝑎𝑢𝑡𝑖 𝑇𝑖𝑏𝑢𝑎 𝐷𝑢𝑑𝑒 𝐾𝑎𝑚𝑎 𝑀𝑤𝑒𝑛𝑧𝑖𝑜 𝑀𝑎𝑛𝑎𝑘𝑒 𝑆𝑘𝑢𝑖𝑧𝑖 𝑈𝑚𝑒𝑠ℎ𝑖𝑛𝑑𝑎 𝐾𝑢𝑛𝑦𝑎𝑚𝑎𝑧𝑎 𝑆𝑘𝑖𝑧𝑎 𝐵𝑎𝑑𝑖 𝑊𝑒𝑒𝑑𝑦 𝐻𝑎𝑝𝑜
Asante sana sana @official masauti, ubarikiwe sana🥺🙌🙏
@@Phina_ Love una sauti nzuri
Damn true,you should do a collabo with her G
Hata nichelewe kurudi haikatai 💃💃🌹🌹
Sanaaaaaa
Brother we ninomaaa
Wataramuu wa muzikiii kwa sasahvii
*Nomaaaa dada ana sauti heee*
🔥🔥🔥
Kutoana roho kisa penz haifai😘
Kazi kali
Uuuuuuuwiii Sarah umeua 😘big up kaka
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Weeeeeh!!!
We h ngoma n 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 naenjoy kwel ukiwa xingo unaenjoy
Noma sana much love from +254❣️🔥
Sarah boo u nailed humu....umeuaa
Nadhan unenjoy ndio lilikuwa jina sahh la nyimbo
Most underrated artist in tz
Wideeeeeee
Chiiiii uyu mtoto uyu
Single raha sana
Jamaa ajawai kukosea Ata kidogo ngoma kari nasu
Kali sna👊👊👊
Na enyoy mwenzenu niko single ndo napenda
Aya bhanaaa
Aseee ili pini kali mno nilikua sijaliona aki mmeua. like 1 twende pamoja
Sauti ya saraphina ya kumtoa nyoka pangoni, huyu Dada Ni talented saana. Mm tu nainjoi Kuna lidudu limoja limeniacha wiki hii
Toka bss mpa kwa badest
Saraphina kaza wewe ndio star wakike ajae
Kazi nzur saana
Baba baddest47 hongera Sana Kaka baddest 🎬🎬🎬
Jiwe la MWEZIII👑🎵🎶
Me mwenyew naenjoy 😃
Unaenjoy fireeeeer
mie nakumbuka nilipokua singo niliinjoy pia😉
Ya 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥!!!
Video kali sanaaaaa🔥🔥🔥
Unajua nmeisikia studio nkajiuliza huyu dada mwenye sauti nyololo nani...wooow
Weeeeeeeeeeedddddyyyyyyyy
Nainjoy kusikia ngoma hiii bola kuwa singo nainjoy jamanaiiii
Saraphina killed it
Kabisa kaua I say💯percent 🔥🔥
Muziki mzuuuuri sana....saraphina is amazing
Nainjoi nainjoi
Hakyamungu Sara am gonna be single 😢 nataka na mm nkaenjoy😂😂😂😊 no stress, just nikuenjoy...much love from Precitah raphael Hapaaaaaaa
Daaah Bonge moja la ngoma hasa kwetu sie tulioko Singo
Wimbo mzur sana big up saraphina
uuuuuuu
watching from washington DC
ngoma hili fire
Kal san🎤🎤🎤🎤
Pacha Saraphina umetisha saaaaaana twin
Song letu masingo baddest weee
Huyu Dada anasauti tam sana
I feel Vanessa mellod to this lady
Saraphina keshashindikana 🔥🔥🔥
Bonge la ngoma baddest 47
❤❤❤❤❤💪💪🔥🔥
Mwanangu hujawahi kuniboa unajua sana
Kwahyo Ndo kusema mtafya kashindwa kumtumia gach b??? Gach na mtafya wametoka mbali Sana kuliko gach na baddest a.k.a dj pizzo😃😃
Big up om boy badman mwambie mtafya huyu wa Sasa sio yule tunaemjua wa kutukuyu kusauzi... Mwambie mtafya watu wa mbeya (kyela na rungwe) bado tunaimani nae
Sasa hii nyimbo inaitwa singo au unaenjoy
Idea ya wimbo mzima ni usingle....japo hata ukisearch unaenjoy inakuja
am impressed much with thix song
Upo singo kwr au ulivurugwa ndioo ukawa singo noooo
🔥🔥🔥🔥mziki upo uku sema bc tu tumuombe mungu 🙏🙏#Tutafika.
From tanzania 🔥🔥🔥
Tufanye remix na mmakonde basii😂😂🙌 itakuwa moootoo🔥🔥
Mzeee baba wimbo mzimaa ni unaimbaa injoy injoy.... Vers ina bar nne tu ushamaliza. Afu unataka uwe kwenye main streem muda mpefu...
Povu la wivu
Umeuwa my dia
Noma
Wa kwanza ku view like apa twende sawa
Mbona majiran watakarir hii ngoma bila kupenda😁
Hahah napita tyu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Naomben likes 10 tu🙏🙏
Saraphina 🤟🏼🤟🏼🤟🏼
Wow ngoma ni 🔥🔥🔥🔥 Vanessa mdee amerudi safiii saraphina
Nmependa uo mstari wa mmakonde kanyang'anywa tonge
She Queen SARAPHINA😘😘
Baddest to the top
Ukisahau pesa mezani unaikuta akhaaa
I love it
Mbeya city finest
Hit song 🔥 🔥 🔥
Yan g nako Angekaa humu ingekuwa kizaz sana @baddest 47
Saraphania sauti tamu sana kazi nzuri mnyama badest
Na me naenjoy kuwa single 😇😇
Kituuuuuu fireeeeee
Unaenjoy.....🔥🔥🔥🔥
Saraphina is the next big thing
Ngomaaa kaliii balaaa
Nikiwa Single Jamami Naenjoy😍😍😁🔥
Umefanya nikaifata😂😂😂😂😂😂
@@MOTHERFLOWERS385 hili dude balaa😂😂😂🔥
Halina mfano😁😁😁🙏🙏🙏
Masingooo wotee likes zenu jamani ❤️🥰🇹🇷